Dr. Kasigwa

Dr. Kasigwa dr.kasigwa bigwa wa mifupa

Dophine wa zanzibar  hao
05/09/2024

Dophine wa zanzibar hao

Habari yako ndugu! Natumai  unaendelea  vizuri! *Soma hii  mpaka  mwisho k**a unataka kumiliki biashara yako mwenyewe na...
27/01/2023

Habari yako ndugu! Natumai unaendelea vizuri!
*Soma hii mpaka mwisho k**a unataka kumiliki biashara yako mwenyewe na kuongeza kipato chako*

Leo napenda kushare na wewe story yangu fupi kuhusu safari yangu ya mafanikio.

Jina langu naitwa George kasigwa, ni mwalimu katika maswala ya kipato na biashara.

Nakumbuka k**a jana vile, nilikuwa sina chochote mwaka 2020 na mambo yalikuwa magumu sana upande wangu.
Kuna kipindi nilikosa mpaka hela ya kulipa kodi licha ya kufanya kazi kwenye kampuni za kitalii zaidi ya miaka 15 lakini bado mshahara wangu haukuweza kubadilisha maisha yangu kabisa.

Niliamka asubuhi mapema watoto bado wamelala na kurudi usiku ikiwa tayari wamelala.
Jambo hili liliumiza moyo wangu sana sikuwa na furaha kabisa kwani nilitamani kujiajiri mwenyewe.

Nilijaribu kila biashara lakini niliambulia patupu, lakini 2021 nilikutana na fursa ya biashara ambayo niliamua kuifanya ili kujiongezea kipato changu cha ziada nje ya kazi yangu ya kila siku.

Lakini ndani ya miaka 2 niligundua siri ya mafanikio ambayo kwa muda wa miaka miwili na nusu ikaniwezesha kupata mafanikio haya niliyonayo Leo, na sasa nimekuwa msaada kwa watu wengine ambao hawajui namna gani wanaweza kutoka kwenye hii changamoto ya kushindwa kufikia ndoto za maisha yao wanayo yatamani kwenye maisha yao.

Kwa hiyo hali ngumu unayopitia sasa hivi ni ya muda mchache tu, kwa sababu niliishakuwa huko na naelewa jinsi unavyohisi kwa sasa lakini usichoke kupambana wala usikate tamaa siku yako ipo, mimi nakuamini sana ndugu tunaweza kuijenga kesho yetu pamoja.

Lakini yawezekana fursa hii ya biashara si kwa ajili yako maana haikutengenezwa kwa ajili ya kila mtu.

Kumbuka mafanikio si ya kila mtu Bali ni kwa ajili ya watu walio tayari tu.

Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako mr. Kasigwa,

Ebu share na mimi hapa ungependa nikusaidieje ndugu?

24/01/2023

Namna ya kukabiliana na matatizo ya viungo k**a vile maumivu ya mgongo, nyonga, mifupa kusagana, miguu kufa ganzi, pamoja na maumivu kwenye magoti.

Moja ya vyanzo vikuu vya changamoto hizi ni pamoja na Kupungua kwa uteute .

Viungo ni muunganiko kati ya mifupa miwili ( mfupa na mfupa)
Katika ya viungo kuna gegedu ( Cartilage), hii ni plastic ya asili inayozuia mfupa na mfupa visigusane kwenye viungo.

Pia kwenye viungo kuna uteute unaoitwa synovial fluid.

Hivyo virutubisho vinavyosaidia kuimalisha gegedu vinapo pungua mwilini mfano, glucosamine.

Mara nyingi virutubisho hivi hupungua kwa sababu ya umri unavyozidi kwenda.

Hivyo namna ya kutatua matatizo ya viungo kusagana ni lazima upate package za bidhaa zitakazo kusaidia

Kutengeneza gegedu, kurejesha uteute ambao umeisha na kusababisha hizo changamoto na hii inajumuisha na uingizaji wa glucosamine na chondroitin ambavyo ni virutubisho vinavyosaidia kurejesha gegedu na kurejesha uteute ulio isha.

Hivyo hakikisha unapata njia sahihi ya namna ya kuondokana na maumivu makali kutoka na mifupa pamoja na maungio.

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255692240051

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr. Kasigwa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram