Keflin na afya njema

Keflin na afya njema Nalejesha afya za watu kupitia dawa za asili ambazo hazina kemikali

Jamani siyo siri nampenda huyu dada
25/06/2024

Jamani siyo siri nampenda huyu dada

31/08/2022

KAZI YA TEZI DUME
0756569863
Mojawapo ya kazi za tezi dume ni kutoa majimaji yanayochanganyika na mbegu za kiume (sperms) wakati wa kilele cha tendo la kujamiana. Mchanganyiko huu wa mbegu pamoja na majimaji hayo hutengeneza shahawa (semen).

▫️Vifuatavyo ni vyanzo vya kutanuka kwa tezi dume:

- Ukosefu wa lishe kamili na Virutubisho muhimu mwilini.
- Uwepo wa sumu nyingi mwilini.
- Kutokufanya mazoezi.
- Matumizi ya pombe kali, na uvutaji wa sigara.
- Uzito mkubwa (uliopindukia, uliokithiri), na Kitambi.
- Kutokukaa sawa kwa vichocheo vya mwili (Hormone Imbalance).
- Msongo wa mawazo (Stress).
- Magonjwa ya zinaa.
- Umri mkubwa.
- Upasuaji wa korodani, kuzaliwa na korodani moja.
- Historia ya Familia (Kurithi).
- Mazingira (Ethnicity).

▫️Dalili za saratani ya tezi dume ni zipi?

a) Dalili za awali
- Kukojoa mkojo uliochanganyikana na damu
- Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
- Maumivu kwenye mfumo wa mkojo
- Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
- Kuhisi kibofu kimeja mkojo muda wote na ukienda kukojoa mkojo hautoki, lakini ukirudi kukaa unahisi kukojoa tena.
- Homa
- Kukojoa mara kwa mara wakati wa usiku

b) Dalili za mtu aliyeathirika
- Maumivu ya mifupa hasa chini ya mgongo, kiuno na mbavu
- Miguu kuwa dhaifu
-Kushindwa kumudu tendo la ndoa, au Kuhisi maumivu makali wakati unamaliza tendo la ndoa
- Kushindwa kuzuia mkojo, pindi unapohisi kukojoa
- Kushindwa kuzuia haja kubwa (kinyesi cha maji maji)
- Tumbo kuja gesi mara kwa mara

▫️Madhara ya Tezi Dume:
Yafuatayo ni madhara ya tezi iliyotanuka:
- Kibofu cha mkojo kuuma: hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini … … n.k.
- Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa
- Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)
- Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika)
- Ugumba (Infertility, Frigidity for men)
- Kutokea kwa majipu sehemu ya Tezi Dume
- Kifo
0756569863
KWA TIBA YA TEZI DUME BILA UPASUAJI WASILIANA NASI KWA NAMBA AU WhatsApp https://wa.me/255756569863

MATATIZO YA VIUNGO NA MIFUPA=OSTERPOROSIS%•Hili ni tatizo ambalo linatokea mtu anapokuwa na upungufu wa calcium•Hili hup...
20/09/2021

MATATIZO YA VIUNGO NA MIFUPA

=OSTERPOROSIS%

•Hili ni tatizo ambalo linatokea mtu anapokuwa na upungufu wa calcium
•Hili hupekelea viungo kuvunjika kwa urahisi mfano, mifupa ya miguu, uti wa mgongo nk
•Tatizo hili linaathiri viungo na baadae huathiri mifupa
• Hutokea baada ya gegedu ( cartilage) kulika kwenye viungo pia uteute kuisha
•Huathiri viungo mbalimbali k**a vile pingili za uti wa mgongo, nyonga, magoti nk

Kwa ushauri na huduma zaidi wasiliana nasi kwa no hii 0756569863.

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NINI?~Ni hali inayotokea kwa mwanaume pale ambapo uume wake hushindwa kusimama kabisa au kuto...
19/09/2021

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NINI?
~Ni hali inayotokea kwa mwanaume pale ambapo uume wake hushindwa kusimama kabisa au kutoweza kuendelea kusimama barabara na kukamilisha tendo la ndoa.

Mwanaume anapata tatizo la nguvu za kiume pale ambapo
>Uume hausimami kabisa
>Uume umesimama legelege
>Uume unasimama vizuri Ila unakaa mda mfupi na unarudi chini.

Kuna sehemu kuu nne za mwili wa mwanaume kuathirika hadi hadi mwanaume kupata upungufu wa nguvu za kiume

1. Mishipa ya fahamu inayozunguka uume kutofanyakazi vizuri
2 . Upungu wa muzunguko wa damu kwenye uume
3. Damu kutohifadhiwa ndani ya uume
4. Kukosa hisia kutoka kwenye ubongo

/ #
Vitu vyovyote vinavyoathiri sehemu hizi nne hapo juu ndiyo hupekelea upungufu wa nguvu za kiume.

Kwa ushauri na huduma zaidi wasiliana nasi kwa no hii 0756569863

KWA CHANGAMOTO ZA UDHAIFU WA TENDO LA NDOA IMALISHA HUDUMA.Karibu tukuhudumieKwa ushauri na huduma zaidi wasiliana nasi ...
19/09/2021

KWA CHANGAMOTO ZA UDHAIFU WA TENDO LA NDOA IMALISHA HUDUMA.

Karibu tukuhudumie
Kwa ushauri na huduma zaidi wasiliana nasi kwa no hii 0756569863.

DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME✓Udhaifu katika utoaji mkojo, mkojo hauishi✓Kwenda kukojoa mara Kwa mara✓Mkojo ulio chang...
19/09/2021

DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME

✓Udhaifu katika utoaji mkojo, mkojo hauishi
✓Kwenda kukojoa mara Kwa mara
✓Mkojo ulio changanyika na damu
✓Kushindwa kukojoa
✓Maumivu ya mifupa na nyonga.

Kwa ushauri na huduma zaidi wasiliana nasi kwa no hii 0756569863.

MATATIZO YA TEZI DUME KUTANU√Mkojo kushindwa kabisa kutoka√Madhara kwenye kibofu na figo√Maambukizi kwenye kibofu na fig...
19/09/2021

MATATIZO YA TEZI DUME KUTANU
√Mkojo kushindwa kabisa kutoka
√Madhara kwenye kibofu na figo
√Maambukizi kwenye kibofu na figo.

Kwa ushauri na huduma zaidi wasiliana nasi kwa no hii 0756569863

FAHAMU KAZI YA TEZI DUMETazi dume ni kiungo kidogo na ni moja ya sehemu ya uzazi wa mwanaume.Hupatikana chini ya kibofu ...
19/09/2021

FAHAMU KAZI YA TEZI DUME

Tazi dume ni kiungo kidogo na ni moja ya sehemu ya uzazi wa mwanaume.
Hupatikana chini ya kibofu na mbele ya mwanzo Cha njia itoayo mkojo hupitia ndani ya tezi dume.
Tezi dume ndiyo hutoa majimaji yanayobeba mbegu (manii) ya mwanaume.

Kwa changamoto yoyote ya afya na ushauri

Wasiliana nasi kwa no hii 0756569863

14/09/2021

Hii DAWA iliotengenezwa kwa viambata zaidi ya vinne na haina CAFFIENE inawafaa watu wa aina zotee.

AINA ZA VIAMBATA
✓MACCA Extract~inasaidia kuongeza Hamasa uzalishwaji wa mbegu za kutoshaaa!, Na kumpatia nguvu kila anapo tumia na baada ya kutumia( na hi ni maka ya Peru inayo fahaika kwa ubora namba moja duniani)

✓GINSENG Extract~ inakazi yakufungulia damu kwenye Mishipa na kuifanya damu ikae kwa muda mrefu katika mzunguko

✓Tongkat ALI Extract~ Inasaidia na kuifanya mtu aweze kua active kila wakati na kuondoa uchovu na kuifanya mtu kuwa mwenye nguvu na kasi kila wakati, ivo uondoa maumivu ya kiuno, mgongo, uchovu, KUTOKUA na amasa(hii imegundulika Bala la Asia na mtishamba wenye ubora Sanaa)

✓EPIMIDIUM Extract~ Inasaidia kuimalisha misuli kuweza kukaza na kukaa mda mrefu bila kulegea, na kuiruhusu damu kuzunguka katika mpangilio mzuri! Na kuboresha ujengwaji wa misuri mipya katika mwili

✓VITAMIN B II hi Inasaidia kugeuza sukari ya mwili AMBAYO upunguzaa nguvu kifanya kua nguvu mwilini na kuulinda moyo,na kujenga misuri na Mishipa ya fahamu

✓Mitishamba hii na virutubisho vimepatikana
CHINA,KOREA,AMERICA,AFRICA ilio katika ubora wa hali ya juu Sanaa! Na imethibitushwa
na FDA MAREKANI,TMDA Tanzania, TBS Tanzania,ISO,HALAL
Inawafaa watu wa aina zotee! na kubore
Afya yako bila mathala mengine 0756569863 piga kwa ushauri na tiba

30/08/2021

JE, UNAJUA BAWASIRI NI NINI????!!
#0756569863
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe
# # # *CHANZO CHA TATIZO*
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO (CHOO KIGUMU)
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

# # # DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana

*MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI*
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume.
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa morali ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
👉Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya UTUMBOCANCER) kwa sababu kile kinyama kinakaa K**a kidonda.,,

Piga #0756569863 kupata huduma

EWE MWANAMKE UNA TATIZO LA HORMONE IMBALANCE NA UMEKUWA UKIONA DALILI ZIFUATAYO👇?1.Mzunguko wako haupo sawa2.hedhi inato...
08/07/2021

EWE MWANAMKE UNA TATIZO LA HORMONE IMBALANCE NA UMEKUWA UKIONA DALILI ZIFUATAYO👇?

1.Mzunguko wako haupo sawa
2.hedhi inatoka kidogo
3.unapata maumivu ya nyonga, kitovu na tumbo
4.unapata HEDHI yenye harufu Kali
5.mzunguko kutopata kwa wakati
6.umepoteza hamu ya kufanya TENDO la ndoa au kupata maumivu wakati wa tendo
7. Kutokwa na uchafu ukeni?
8.Miwasho na fungus ukeni
9. PID
Kwa ushauri na tiba Piga: 0756569863

Address

Dar Es Salaam, Mbezi
Dar Es Salaam

Telephone

+255756569863

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Keflin na afya njema posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram