Mango Herbal Online

Mango Herbal Online Mango Herbal Tanzania✅
| Chakula Mbadala | Tiba Lishe |
| Kulinda | Kutunza | Afya zetu |
(1)

🚨 K**a Una MIWASHO UKENI, U.T.I SUGU au FANGASI SUGU? Hili Ndio SULUHISHO LAKO! 🚨NB: K**a unaumwa ugonjwa wowote ule muo...
19/02/2026

🚨 K**a Una MIWASHO UKENI, U.T.I SUGU au FANGASI SUGU? Hili Ndio SULUHISHO LAKO! 🚨

NB: K**a unaumwa ugonjwa wowote ule muone

Wasiliana nami kwa 0758 673 897

🔥 Usipochukua hatua sasa, tatizo hili linaweza kuwa kubwa zaidi! 🔥

➡️ Miwasho ukeni isiyoisha?
➡️ Fangasi sugu na harufu mbaya ukeni?
➡️ UTI zinazorudiarudia?

Usisubiri hali iwe mbaya zaidi! Ukiacha hivi hivi, unaweza kupata maambukizi makali yanayoathiri afya yako ya uzazi! 🚫

Lakini HABARI NJEMA NI KWAMBA kuna tiba ya asili yenye nguvu inayoweza kukusaidia kuondoa miwasho, fangasi, na harufu mbaya ndani ya siku 7 tu! ✨

HALBAT ATHAUM ni mchanganyiko wa dawa asilia nyingi kutibu magonjwa sugu ya U.T.I kikamilifu na hakika haitarudi tena.

🕒 MATUMIZI:
👉 Kunywa kijiko 1 cha chakula asubuhi na jioni kwa siku 7 mfululizo.
👉 Unaweza kutumia k**a kinywaji cha detox kwa kusafisha mwili.
👉 Epuka vyakula vyenye sukari na mafuta mengi kwa matokeo bora zaidi.

💥 MATOKEO:
✔️ Miwasho na fangasi sugu zinaisha haraka!
✔️ UTI inapona bila dawa za hospitali!
✔️ Uke unakuwa msafi, wenye harufu nzuri na afya bora!
✔️ Kinga yako ya mwili inaimarika zaidi!

⚠️ UKIPUUZA TATIZO HILI...
⛔ Miwasho na fangasi vinaweza kuongezeka na kusababisha VIDONDA UKENI!
⛔ Maambukizi sugu yanaweza kusababisha UZAZI MGUMU!
⛔ Harufu mbaya ukeni inaweza kuathiri maisha yako ya ndoa!

Whatsapp 0758673897
Asili huponya

HASBABI✔️ ni tiba Mujarabu inayotibu tatizo sugu la vidonda vy tumbo na Acidity Reflux..Kwanini Vidonda vya tumbo  ? Kun...
19/02/2026

HASBABI✔️ ni tiba Mujarabu inayotibu tatizo sugu la vidonda vy tumbo na Acidity Reflux..

Kwanini Vidonda vya tumbo ? Kuna kitu kimoja kimekuwa kikiwatesa watu wengi kimya kimya… Madonda ya tumbo.

Maumivu makali, kiungulia kisichokoma, kutapika damu au kupoteza hamu ya kula, hugeuza maisha kuwa mateso....

— Lakini je, ulikuwa unajua kwamba suluhisho linaweza kuwa kalibu yako ni HASBABI POWDER.?

Madonda ya tumbo (Peptic Ulcer) hutokana na mambo k**a....

↳ Vimelea (H. pylori bacteria)

↳ Unywaji wa pombe na sigara

↳ Matumizi ya dawa za maumivu bila mpangilio

↳ Msongo wa mawazo (stress)

↳ Lishe duni na kula chakula kwa muda usio sahihi

Matokeo yake..?

Maumivu yanakufanya uishi kwa machungu ya kila siku, Wengine hufikia hatua ya kulala njaa kwa hofu ya kula.! ☠️

HASBABI ( Leaves Juice) ndiyo tiba ya asili inayothibitishwa kupunguza maumivu na kusaidia kuponya vidonda vya tumbo kitaalamu kabisa...

Kwa nini.. HASBABI?

↳ ina enzyme ya sohjin inayosaidia mmeng’enyo bora wa chakula na kupunguza presha tumboni.

↳ ina antioxidants zinazopunguza uvimbe na kulinda ukuta wa tumbo.

↳ inasaidia kuzuia ukuaji wa bakteria H. pylori ambao mara nyingi husababisha vidonda...

NB: Kunywa kijiko chakula asubuhi kabla ya kula chochote na jioni kabla ya kulala..Endelea kwa wiki 2–3 kwa matokeo ya kudumu...

Je, umewahi kusumbuliwa na maumivu ya tumbo na kuishi kwa mateso kila siku..? ANZA TIBA HII LEO..📌

Mahitaji ya Dawa zilizo ayari kwa matumizi ya Kutibu vidonda vya tumbo wasiliana nasi:0758673897

Hupati Hedhi? Unahitaji mtoto!KUKOSA HEDHI.Kukosa Hedhi, inayojulikana k**a Amenorea, ni hali ambayo mzunguko wa hedhi w...
18/02/2026

Hupati Hedhi? Unahitaji mtoto!
KUKOSA HEDHI.
Kukosa Hedhi, inayojulikana k**a Amenorea, ni hali ambayo mzunguko wa hedhi wa mwanamke unakuwa haupo au ni usio wa kawaida.
Kukosa hedhi kunaweza kuwa dalili ya matatizo mbali mbali katika mfumo wa uzazi au mwilini kwa ujumla , k**a vile.

1.Matatizo katika mfumo wa uzazi. hali k**a vile Polycystic O***y Syndrome,Fibroids,kuziba kwa mirija ya uzazi.

2.Unene kupita kiasi au upungufu wa uzito
3.Matatizo ya tezi .matatizo katika tezi ya putuitary au tezi thyroid yanaweza kusababisha kukosa hedhi

4.Matumizi ya Dawa (Addicted)
5.Mvurugiko wa Homoni....

Hizi ndio sababu za kukosa hedhi na k**a wewe ni mmoja wapo wa changamoto hiyo.

LUNATI POWDER ni dawa asilia inayorudisha mfumo wa uzazi wa k**e kurudi kuwa awali.
1. Inatibu fangasi ukeni
2.Inatibu tatizo uvimbe kwenye izazi
3.Hurekebisha hormoni za k**e
4.Hedhi kupata kwa mpangilio
5.Nzuri kwa chango la uzazi
6.Hutibu U.T.I Sugu
7.Hurudisha uke uwevu wake na kuondoa uke mkavu.

: NZURI KWA MWANAMKE ANAYEHITAJI MTOTO HARAKA

MATUMIA: Kunywa kwa Kutumia maji moto kwa siku 7 mpaka 11 itapona innshallah

LUNATI POWER DOZI:45000Tsh
LOCATION: MANZESE
WHATSAPP:+255 758 0758 673 897

UNA-MARADHI YASIYO YA KAWAIDA? UPATI HAUWENI? KAMATA PANGA LA MAJINI & WACHAWI Ni mafuta yalio-andaliwa waganga zaidi ya...
18/02/2026

UNA-MARADHI YASIYO YA KAWAIDA? UPATI HAUWENI?
KAMATA PANGA LA MAJINI & WACHAWI
Ni mafuta yalio-andaliwa waganga zaidi ya 7 kuandaa tiba itakayokuwa Opoo la kukinga na wachawi na majini wabaya watembea usiku na mchana.

Mafuta yana mchanganyiko wa mafuta za zaidi ya 15 na opoo la mangube na usembe mkali zaidi ya 21 kwa kufukuza na kukukinga zidi ya mashetani na wachawi.

Faida ya mafuta ya PANGA LA MAJINI NA WACHAWI.
1. Hukinga mwili wako zidi ya majini wachawi na wanga
2.Hufungua matego katika miji na nyumba
3.Huvunja mazindiko katika miji na nyumba
4.Husafisha nyota na kupandisha nyota
5.Huongeza mvuto mwilini.
6.Hufungua rizki
7.Huondoa uchawi wa kulishwa mwili.
8. Hufukuza jin mahaba
9.Huzuia chuma uete kwenye biashara
10.Huongeza mvuto wa mapenzi

: Ni mafuta mazuri kwa wachimba migodi kukukinga na nguvu za kijini na kichawi pale unapo enda kuatafuta mali.

: Pakaa usiku na mchana mwili mzima. Choma chumbani kwako.. Pia jifukize itakusaidia kufungua mwili na kuondoa vifungo vya uchawi mwili na kutapika uchawi k**a ulilishwa.

Mahitaji ya MAFUTA YA PANGA LA MAJINI NA WACHAWi

Piga | Whatsapp : 0758 673 897

TAFUTA MAJI YA DUA UTASAIDIKAMAJI YA DUA Ni maji yaliyokusanywa kwenye visima, mito, mapango na mvua na kupata kisomo Mu...
18/02/2026

TAFUTA MAJI YA DUA UTASAIDIKA

MAJI YA DUA
Ni maji yaliyokusanywa kwenye visima, mito, mapango na mvua na kupata kisomo Mujarabu kutoka kwa mashekh zaidi ya 12 kuandaa tiba itakayokuwa Josho la kukinga na wachawi na majini wabaya watembea usiku na mchana.

Maji Yamesomea Dua mchanganyiko ni nyingi za kinabii na Mitume ambazo zimeelezwa kwenye Qurani zaidi ziliomba na waja wema zikawa Josho la kufukuza wachawi na majini. Maji ya dua kwa kufukuza na kukukinga zidi ya mashetani na wachawi.

Faida za Maji ya DUA
1. Hukinga mwili wako zidi ya majini wachawi na wanga
2.Hufungua matego katika miji na nyumba
3.Huvunja mazindiko katika miji na nyumba
4.Husafisha nyota na kupandisha nyota
5.Huongeza mvuto mwilini.
6.Hufungua rizki
7.Huondoa uchawi wa kulishwa mwili.
8. Hufukuza jin mahaba
9.Huzuia chuma uete kwenye biashara
10.Huongeza mvuto wa mapenzi

: Ni maji mazuri kwa wagonjwa wenye maradhi ambayo hayajulikani hospital yote unapona kwa kukukinga na nguvu za kijini na kichawi.

: Kunywa usiku na mchana vifuniko 6. Weka vifuniko 2 Changanya maji ya kuoga oga..itakusaidia kufungua mwili na kuondoa vifungo vya uchawi mwili na kutapika uchawi k**a ulilishwa.

MAJI YA DUA 25000TSH, LOC; MANZESE DSM
WHATSAPP:+255 758 673897

NATURAL BLOOD PURIFIER  ni mchanganyiko wa mimea zaidi ya 28 ambayo ni Sana,Revand chini,Neem,chiraita na Tulsi kwa kusa...
18/02/2026

NATURAL BLOOD PURIFIER
ni mchanganyiko wa mimea zaidi ya 28 ambayo ni Sana,Revand chini,Neem,chiraita na Tulsi kwa kusafisha magonjwa kutoka kwenye damu na kujenga ngozi asilia kwa 100%

Magonjwa ya ngozi huathiri ukuaji wa nywele kwa kukatika au kuweka upara au kokosa nywele .. Endapo utatumia kinywa Top syrup itakusaidia kumaliza changamoto ya kukosa nywele.

THIS IS TOP! yaani ya zote ni Mwisho acha kuteseka sana na Mapunye, Pumu ya ngozi, upele sugu, vibarango, Miwasho, Mabaka-baka, fangasi sugu, majipu mwili mwako? Sasa Mwilini kwako unatoa harufu mbaya? Mwili unatoa harufu ya jasho kali k**a shombo la samaki? Unajitahidi kuwa msafi lakini hali bado haija-isha?😥

Unachukia vipele, chunusi, sunzua na muwasho kwenye ngozi? hutoa muwasho mkali, lakini ina ng'arisha ngozi yako hata k**a imejikunja. Hivyo utapata ubora zaidi wa mwonekano wa ngozi yako.

Wajanja wakipata muwasho, upele, fangasi, utango tango hutumia Lishe ya Top-SYRUP!

Top-Syrup inaua bakteria wasababishao magonjwa na kuacha ngozi yako ikiwa na afya bora zaidi. Lishe tiba inayotibu magonjwa ya ngozi kuanzia kwenye chanzo cha tatizo kwenye damu. Inasafisha damu na kuleta ngozi yenye Afya zaidi.
• Huua bakteria magonjwa ya ngozi ndani ya mwili.
• Hupunguza muwasho wa ngozi
• Hupunguza uzalishaji mafuta kwenye ngozi
• Huondoa Aleji (mzio) mwilini
• Husafisha ngozi
• Huboresha afya ya ngozi

Wasiliana nasi tukuhudumie, tunakufikia popote ulipo nchini:
0758 673 897 Kujipatia bidhaa bora na za uhakika kutoka kwetu.

 ! Power Rijaal haitestiwi ni uhakika kwa 100%. Hakikisha una-mke unapomaliza Dozi ya Power Rijaal.. Furahia sasa tendo ...
18/02/2026

! Power Rijaal haitestiwi ni uhakika kwa 100%. Hakikisha una-mke unapomaliza Dozi ya Power Rijaal.. Furahia sasa tendo hii ndio Power Rijaal

FAIDA YA POWER RIJAAL KUU
📌uimarisha afya na misuli ya uume
✅Huzibua mishipa iyosinyaa kunyooka imara
✅Kufanya tendo mara nyingi zaidi kwa muda mrefu
✅Kupata manii kwa wingi
✅TIBA YA MADHARA YA PUNYETO
✅linalotokana na umri
✅.linalotokana na ngiri
✅.linalotokana na kujamiana na mtu ndani ya siku zake
✅linalotokana na vyakula
✅.linalotokana na kisukali &presha

Ukifanikiwa kunywa chupa 2 za POWER RIJAAL ndani ya 2 week itakupa matokeo mazuri kabisa k**a utakunywa yaani chupa 2 utamaliza tatizo kabisa naomba nikusaidie kwa kukupatia product yangu ya POWER RIJAAL Leo

🌐MATUMIZI YA POWER RIJAAL :
🔥Tumia kijiko cha chakula 1 X 2 kwa siku
(KABLA YA KULA CHOCHOTE TULIA DAKIKA 10-15)
🔥Huchanganyi na chochote unatumia k**a ilivyo kwa siku 15
🔥Dozi ni siku 15 Tu (inategemea na ukubwa wa tatizo lako kuongezeka)
🔥Matokeo yanaweza kuwa haraka au mpaka mwisho wa dozi kutegemea na Hormonal reaction ya mwili wako
🔥Tingisha Chupa ya dawa vizuri kabla ya kutumia hakikisha inachanganyika vizuri

: K**a umekunywa POWER RIJAAL saa 1:00am asubuhi hakikisha unakunywa POWER RIJAAL saa 1:00 pm usiku

✅🔞CALL 0758 673 897

CHOO CHA NDANI- WENGI WANATESEKA NA MAJINI CHOONI BILA KUJUAWengi wetu tupo kwenye usasa katika maisha ya kisasa, Tunasa...
18/02/2026

CHOO CHA NDANI- WENGI WANATESEKA NA MAJINI CHOONI BILA KUJUA

Wengi wetu tupo kwenye usasa katika maisha ya kisasa, Tunasahau tamaduni zetu na desturi zetu.. Wengi nyumba zetu choo kinakuwa ndani humo humo na mtu anaishi humo humo ni hatari..

Dhamani Wazee wetu walikuwa wanajenga choo mbali na nyumba kuepuka mambo ya kijini na kichawi.. Majini mengi makazi yao chooni.

Choo sehemu kunaifadhia uchafu au kutupia uchafu.. Majini wengi ndio chakula chao, Pia ni makazi yao wanaishi majini wachafu na vyakula vyao ni uchafu wa choo na harufu chafu za chooni

Kuna ongezeko la watu kuanguka choo kufa au kupata stroke ( kiharusi) hugumbana na upepo wa majini hao wachafu.. K**a 60% wengi wenye stroke wameipata chooni.

Maisha yako magumu, una jin mahaba, una nuksi umekumbana nazo chooni..

Thibiti choo chako hasa cha ndani hakikisha utoi vitu vya choo kuweka chumbani .. Usiache choo wazi. Funga choo chako umalizapo haja zako kuepuka majini wa choo kufanya chumba chako choo

Weka maji ya dua kwenye ndoo ya kupigia deki piga chumba chako deki mara kwa mara kuepusha majini wa chooni kuhamia chumbani kwako.

Kunywa maji ya dua yatakusaidia kuzuia maji mabay na wachawi.. Na kutapika uchawi.

TAFUTA MAJI YA DUA UTASAIDIKA

MAJI YA DUA
Ni maji yaliyokusanywa kwenye visima, mito, mapango na mvua na kupata kisomo Mujarabu kutoka kwa mashekh zaidi ya 12 kuandaa tiba itakayokuwa Josho la kukinga na wachawi na majini wabaya watembea usiku na mchana.

Maji Yamesomea Dua mchanganyiko ni nyingi za kinabii na Mitume ambazo zimeelezwa kwenye Qurani zaidi ziliomba na waja wema zikawa Josho la kufukuza wachawi na majini. Maji ya dua kwa kufukuza na kukukinga zidi ya mashetani na wachawi.

Faida za Maji ya DUA
1. Hukinga mwili wako zidi ya majini wachawi na wanga
2.Hufungua matego katika miji na nyumba
3.Huvunja mazindiko katika miji na nyumba
4.Husafisha nyota na kupandisha nyota
5.Huongeza mvuto mwilini.
6.Hufungua rizki
7.Huondoa uchawi wa kulishwa mwili.
8. Hufukuza jin mahaba
9.Huzuia chuma uete kwenye biashara
10.Huongeza mvuto wa mapenzi

: Ni maji mazuri kwa wagonjwa wenye maradhi ambayo hayajulikani hospital yote unapona kwa kukukinga na nguvu za kijini na kichawi.

: Kunywa usiku na mchana vifuniko 6. Weka vifuniko 2 Changanya maji ya kuoga oga..itakusaidia kufungua mwili na kuondoa vifungo vya uchawi mwili na kutapika uchawi k**a ulilishwa.

MAJI YA DUA 25000TSH, LOC; MANZESE DSM
WHATSAPP: 0758 673 897

GANZI MESSAGE OIL- Tiba ya magoti kuuma, kusagika hata kujaa maji! Fanya masaji kwa kutumia mafuta haya maji yaliyojaa k...
18/02/2026

GANZI MESSAGE OIL- Tiba ya magoti kuuma, kusagika hata kujaa maji! Fanya masaji kwa kutumia mafuta haya maji yaliyojaa kwenye magoti itatawanyika na utapona kabisa innshallah.

Ni mchanganyiko wa mafuta saa wa sabaa (77) yenye kisoma cha rukyia kufukuza nguvu za kichawi zinazoleta maradhi mwilini.

Mafuta ya kuchua yanafukuza kabisa wachawi na majini k**a jini SUBIANI na majini wengine.

Faida:
1. Hutibu maumivu ya viungo, misuli na ganzi.
2.Huondoa uvimbe kwa kufanya masaji.
3.Hutibu maradhi ya kifafa na kuanguka.
4.Tiba ya watoto wenye sonza kichwani( kichwa panga)
5. Tiba kwa watoto wenye degedege
6. Hufukuza ndoto mbaya


chukua mafuta kidogo,paka sehem unayohisi maumivu au ganzi au hali yeyote ile isiyokuwa ya kawaida.

Inshaallah utapata ahueni ndani ya dakika tano...k**a unasumbuliwa na kichwa kinachouma upande mmoja,paka mafuta haya upande huo na utapata ahueni insha Allah...bei yake ni tsh 35000 kwa dozi yenye chupa 2 utatumia kwabsiku 11.

Utatumiwa popote pale ulipo.

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia namba 0758 0758 673 897 #

Jini Mahaba ni roho ya Shetani/Pepo mchafu anayemwingilia mtu kimapenzi/Kingono ndotoni.Jini mahaba hawezi kuonekana kwa...
18/02/2026

Jini Mahaba ni roho ya Shetani/Pepo mchafu anayemwingilia mtu kimapenzi/Kingono ndotoni.

Jini mahaba hawezi kuonekana kwa macho ya asili/nyama lakini unaweza kumuona kwenye ulimwengu wa roho k**a vile kwenye ndoto, maono, matendo, nk.

Jini mahaba anapotaka kumuingilia mtu huwa hana vigezo maalumu isipokua anakua amempenda tuu.
Jini mahaba anaweza kumuingilia mtu yoyote aliyempenda bila kujali kaoa/kaolewa na ambaye hajaoa/kuolewa.

Jini huyu hutumika kutumia watu ndoto za ngono, hutumika kuwalawiti wanaume kwa wanawake k**a popo bawa, hutumika pia kuwafanya au kuwashawishi wale alionao kuingilia au kuingiliwa kinyume na maumbile, kuwaingilia watu na kuwafanyia michezo ya kinyume na maumbile. Hutumika pia kuua kwa kubaka. Shetani huyu hutumika vile vile katika kuleta ufukara, hutumika pia katika kuwafanya wazee na watu wazima kuzini na watoto wadogo na huwafanya watu wawe na ashiki kupindukia, lakini pia kubwa katika mambo anayoyafanya ni kuwaondolea wahanga hisia za kimapenzi na kumfanya mwanaume asiweze kusimamia uume barabara unakuwa umelegea na pia kuwaondoshea wanawake ladha ya mapenzi na wengine huwafanya kukosa kabisa hamu ya mapenzi na kuwapa mvuto kwenye jinsia inayofanana nao.

Baadhi ya watu humuita popobawa kulingana na yale aliyoyafanya na wengine humuita jini mahaba kulingana na alichofanya. Wengine humuita majina wanayoyajua wao lakini Wazungu hawa huwaita Succubi au Succubus, yaani hiyo mmoja anakuwa ni dume na mwingine ni jike.

Yote kwa yote, elewa ewe ndugu yangu kuwa viumbe hawa hawana wema kwa mtu zaidi ya kuweka naye mikataba ya uhakika kwamba atashindwa na kuweza kukosea masharti kisha lile analohitaji yeye kuanza kulifanya kwa muhusika.

Watu wengi mara ya kwanza anapowakumba huwafanya au kuwaingilia au kushiriki nao kinyume na maumbile na pia huwafanya wahanga kuwa ni wenye kujificha sana na aibu hii hata kutafuta msaada kwa maana humtia aibu katika sura yake kuzungumzia jambo hili na kumjaza upepo wa mawazo kuwa yeye akisema au akitaka msaada ataonekana vipi, hivyo anakuwa anacheza na akili ya muhusika,

Wengi huota wakifanya mapenzi na mama zao au baba zao hata kaka au dada au mtu yeyote unaemuheshimu k**a shangazi na wengineo.

Muhanga mwingine hujikuta akipitiwa tu na usingizi basi huota mwanamke anakuja na kuanza kumlazimisha au mwanaume wafanye nae mapenzi kinyume baada ya hapo muhusika huishiwa nguvu na kukubali kufanya au kufanyiwa, wengine huona kabisa k**a kivuli live kikilazimisha kumuingilia hasa pale ambapo hatasema na kuhangaika kutafuta msaada wa hili, basi kiumbe yule huanza kumfanyia hayo na kumshurutisha mambo mengine yaliyokuwa machafu na kumuadhiri mbele za watu na kumfanya ajihisi kudharaulika na kuchukiwa bila sababu na humfanya kuwa ni mtu mwenye hasira za hovyo au mtu wa kulipuka hovyo, jazba zinakuwa karibu naye kwa muda mwingi.

Muhanga mwingine huyu humkumba na kumuotesha ndoto kuwa anawekewa vidole na watu sehemu hizo za siri na kumkusanyia kundi la watu ndotoni wakionyesha kumcheka na kumdharau.

Muhanga mwingine huyu humkumba na kumfanya live hata watu wakawa wanaona kinachoendelea bila kumuona anayefanya na kuanza kuingiwa na hofu kubwa. Hapa wengine hufungiwa ndani kwa kuficha fedheha nje kwa watu na asijulikane kinachofanyika ndani.

Zipo aina nyingi sana za huyu shetani zilizo mbaya na za aibu kabisa. Wengine pia huzijua waliokwisha kukutana na wahanga au wahanga wenyewe. Hizi nimeweka chache tu, zingine ni k**a kutekenywa sehemu za siri na kushikwa sehemu za maziwa bila kumuona anaefanya hivyo na wengine kuingiziwa vidole bila kuona anayefanya hivyo live.

Haya ikiwa hayajakukuta au hujaona basi usidharau na kupuuza kwa maana siku kinakutokea usione kitu kipya au usikutwe ukiwa hujui.

SABABU ZA KUMKUMBA MTU:
Zipo sababu nyingi za haya madudu kumkumba mtu hapa nitataja chache tu kwanza:

1: Kukaa na shahawa muda mrefu
2: Kuchezea baharini nyakati za magharibi
3: Kuingia mkataba kwa ajili ya kupata mali
4: Kujichua au kujisaga maeneo ya chooni au maliwato maarufu k**a PUNYETO, (siyo BAFUNI)
5: Kulala uchi huku mwili ukiwa na mafuta peke yako
6: Kulala peke yako ukiwa nusu uchi huku umeweka marashi au air freshener bila kusali
7: Kulala huku kioo kikikuangalia upo uchi
8: Kufanya ngono kinyume
9: Kuchungulia watu wakifanya mapenzi
10: Kukojoa au kumwaga shahawa baharini/kisimani/mtoni/ndani ya mbuyu
11: Kutupiwa jini huyu anakuwa katika mfumo wa popo bawa

DALILI ZITAKAZO KUTAMBULISHA KWAMBA UMEVAMIWA NA JIN MAHABA
1⃣ Kuota unafanya Mapenzi/Ngono Ndotoni.

Mtu yoyote anayefanya ngono/mapenzi katika ndoto huyo ana jini mahaba.
K**a zamani ulishafanya ngono katika ndoto na haujafunguliwa, ujue una jini mahaba.

Kwenye ulimwengu wa mwili jini mahaba akikupenda hata ufanyeje huwezi kumkimbia.
Upende usipende atafanya ngono na wewe mpaka hapo utakapofunguliwa kwenye ulimwengu wa roho.

2⃣ Kutofurahia tendo la ndoa na mwenza wako.

Jini mahaba ana wivu sana hivyo akimwingia mtu hataki mtu huyo awe na mahusiano na Mtu mwingine.
Anachofanya anamuondolea hamu mtu huyo ili asifurahie tendo la ndoa anaposhiriki na mwenza wake.

Mfano; Mume kila anapotaka kushiriki tendo mke analeta visingizio mara sijisikii, naumwa, nanyonyesha, hasira zisizo sababu n.k.
Ukiona hali k**a hii inajitokeza mara kwa mara ujue jini mahaba yuko kazini.

Jini mahaba ni moja ya sababu kubwa ya ndoa nyingi kuvunjika.

3⃣ Kukosa Mvuto kwa mumeo au mkeo.

Kwa walio kwenye ndoa/mahusiano Jini mahaba anakufanya umchukie mwenza wako hata k**a hajakukosea.
Kuna wanawake wanaosema hawana hisia kwa wenza wao, ujue amek**atwa na jini mahaba.

Jini mahaba anatabia ya kuiba mvuto kwa mwenza wako na kuweka mvuto huo kwa mtu mwingine tofauti.
Hivyo unakua unavutiwa zaidi na wanawake au wanaume wa nje kuliko wa ndani.
Hii inapelekea wanandoa kuanguka kwenye uzinzi.

Kwa wale ambao hawajaolewa, umeshasikia mwanamke anakwambia 'wanaume ni mbwa tu', 'siwezi kuolewa na sina mpango', nk.
Huyo sio yeye ni jini mahaba linaongea.

Jini mahaba atahakikisha anamfarakanisha mke kwa mume wake lakini atamfanya kuwa na mvuto kwa wanaume wengine wa nje.

4⃣ Kumchukia mwenza au mpenzi wako.

Jini mahaba humfanya mke/mume amchukie mwenza wake bila sababu za msingi.
Mara nyingi kunakuwa na tabia ya kuonyeshana upendo wakiwa mbali lakini wakiwa pamoja hakuna maelewano.
Eg. mume asipokuwepo mke atammiss sana mumewe lakini akiwepo hana hamu naye.

Kwa wale ambao hawajaoa au kuolewa, wanakuwa na chuki kwa jinsia tofauti na hasa kwa mtu ambaye ana mahusiano naye.
Mbali na chuki jini mahaba husababisha hasira/kisirani na kutosamehe inapotokea wawili hao wametofautiana.

5⃣. Kupenda matendo ya Kingono.
(Sexual addicted)

Mfano; kupenda kuangalia picha au video za ngono, kujichua, kuvutiwa na ngono kinyume na maumbile, kusagana, Nk

Jini mahaba anaweza kumuingilia mtu kinyume cha maumbile au kumfanya mtu awe na tabia za kupenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile/ushoga.

6⃣. Utasa na Kuwa na kiwango kidogo cha Manii.
(Barrenness & Low s***m count for men)

Jini mahaba anaweza kukusababishia utasa kwa kuziba mirija ya uzazi, kuharibu mimba, homon imbalance, upungufu wa damu, cancer, Nk.

Anak**ata kizazi ili kuhakikisha huwezi kupata mtoto na kwa wanaume mbegu za kiume hazizalishi.

Jini mahaba anapofanya mapenzi na mtu huiba viungo vya asili na kupachika viungo feki ili kuharibu kizazi chako.

7⃣. Kuumwa Magonjwa ya mara kwa mara.

Jini mahaba huja na magonjwa ya mara kwa mara Hii ni ili kukuteka kukuunganisha kwenye ufalme wa kipepo.

8⃣. Mwanamke kuwa k**a mwanaume na mwanaume mwanamke.

Jini mahaba wa k**e akimuingilia mwanaume humfanya awe na tabia za k**e. Vivyo hivyo Jini mahaba wa kiume akimuingilia mwanamke humfanya awe na tabia za kiume.

Mfano; Mungu aliumba mwanamke kuwa mpole, anayejali, anayeheshimu, mtiifu, mnyenyekevu, sauti nyororo, kuzaa na kuwalea watoto wake, nk.
Lakini Shetani hubadilisha hii kumfanya mwanamke kuwa mbabe, mkali, asiye na heshima, mgomvi, asiye mnyenyekevu, sauti nzito nk.

Kwa Wanaume, wao huanza kupenda tabia za k**e, kufanya kazi za k**e, mavazi nk.

Katika maradhi ambayo huwashinda matabibu wengi ni haya ya mashetani hawa wa mahaba kwa maana hutakiwa tabia yule kufanya mawili kati ya haya:

1: Kufunga yule jini na kwenda kumtupa mbali (au k**a kafanya mtu, kumpa mwenyewe mzigo wake)
2: Kumuua yule shetani kwa maana si rahisi kumtoa kwa makubaliano aondoke. Ukitaka kukubaliana naye ili aondoke utatakiwa kufanya atakayoamuru; anaweza kukwambia ushiriki jambo lolote la kishetani ili amuondokee (hadi kuweza kuzungumza naye imeshapita kazi kubwa)


Panga la Wachawi & Majini
Ni mafuta yalio-andaliwa waganga zaidi ya 7 kuandaa tiba itakayokuwa Opoo la kukinga na wachawi na majini wabaya watembea usiku na mchana.

Mafuta yana mchanganyiko wa mafuta za zaidi ya 17 na opoo la mangube na usembe mkali zaidi ya 21 kwa kufukuza na kukukinga zidi ya mashetani na wachawi.

Faida ya mafuta ya PANGA LA MAJINI NA WACHAWI.
1. Hukinga mwili wako zidi ya majini wachawi na wanga
2.Hufungua matego katika miji na nyumba
3.Huvunja mazindiko katika miji na nyumba
4.Husafisha nyota na kupandisha nyota
5.Huongeza mvuto mwilini.
6.Hufungua rizki
7.Huondoa uchawi wa kulishwa mwili.
8. Hufukuza jin mahaba
9.Huzuia chuma uete kwenye biashara
10.Huongeza mvuto wa mapenzi

: Ni mafuta mazuri kwa wachimba migodi kukukinga na nguvu za kijini na kichawi pale unapo enda kuatafuta mali.

: Pakaa usiku na mchana mwili mzima. Choma chumbani kwako.. Pia jifukize itakusaidia kufungua mwili na kuondoa vifungo vya uchawi mwili na kutapika uchawi k**a ulilishwa.

Mahitaji ya MAFUTA YA PANGA LA MAJINI NA WACHAWi

Piga | Whatsapp : 0758673897

 : Kukauka mdomo kupita kiasi (xerostomia), kuhisi uvimbe au maumivu yasiyoeleweka kwenye mdomo, uso au shingo, kunapasw...
18/02/2026

: Kukauka mdomo kupita kiasi (xerostomia), kuhisi uvimbe au maumivu yasiyoeleweka kwenye mdomo, uso au shingo, kunapaswa kuchukuliwa hatua.

Watoto wenye sura zisizo za kawaida (na wanaoweza kuwa na matatizo ya meno yanayohitaji matibabu) wanapaswa kuchunguzwa Afya ya meno. Kwa watu wazee au wale wenye magonjwa ya fizi (periodontal disease), fizi hujiondoa kidogo na hivyo kuacha mzizi wa jino wazi karibu na sehemu ya juu ya jino. Husababisha mzizi huo kushambuliwa kwa haraka na kuoza.

K**a jino litaoza sana na kuhitaji kung’olewa, ule msukumo wa kawaida wa kutafuna ambao huisaidia mifupa ya taya kubaki imara hukoma. Hali hii husababisha mfupa wa taya kupungua na kudhoofika kwa sababu ya kukosa meno (senile atrophy).Mdomo kutoa harufu mbaya,Sababu kubwa hizi hapa:

- Kutokusafisha kinywa vizuri(Poor oral and dental hygiene), Hii ni miongoni mwa sababu kubwa ambazo hupekea kutoa harufu mbaya kinywani,

Mbali na kutoa harufu mbaya kinywani, kutokusafisha meno na kinywa vizuri hupelekea mabaki ya chakula kuganda kwenye meno, hali ambayo hupelekea watu wengi sana kuwa na matatizo ya Meno.

; Wataalam wa afya ya kinywa wanasema,miongoni mwa sababu kubwa za matatizo ya meno kwa wagonjwa wengi ambao wanawapata, ni kuganda kwa uchafu kwenye meno kutokana na meno kutokusafishwa vizuri.

- Maambukizi ya magonjwa kwenye meno,Fizi na kinywa, kuwa na shida ya FANGASI mdomoni au kwenye Ulimi, maambukizi ya bacteria, kidonda baada ya kutoa jino au meno,meno kuoza,vidonda mdomoni,n.k vyote hivi huweza kusababisha tatizo la kutoa harufu mbaya mdomoni.

- Uvutaji wa Sigara ikiwemo Tumbaku, mbali na kuwa kwenye hatari ya kupata magonjwa ya fizi(gum disease) na meno,wavutaji wa sigara ikiwemo tumbuku wapo kwenye hatari ya kupata shida ya kutoa harufu mbaya mdomoni

- Shida ya mdomo kuwa mkavu(Dry mouth), Mate husaidia sana kusafisha mdomo na kuondoa mabaki ya chakula(Food particles) ambayo huweza kusababisha harufu mbaya mdomoni,

Tatizo hili la mdomo kuwa mkavu yaani Dry mouth or xerostomia huweza kusababisha harufu mbaya kutoka kinywani kwa sababu ya upungufu mkubwa wa mate mdomoni.

- SUPER TEETH ina uwezo wa kusafisha kinywa na MENO KUNG'AA kuongeza uwezo mkubwa kuondoa fangasi, magonjwa ya meno kikamilifu.. Pigia mswaki kila siku asubuhi itaweza kumaliza tatizo la kinywa.

SUPER TEETH: 35000TSH-2WEEKS
WHATSAPP:+255 0758 0758 673 897
LOCATION:MANZESE
|Ushauri Zaidi,Elimu na Tiba tuwasiliane.

Address

Manzese
Chalinze

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mango Herbal Online posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mango Herbal Online:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram