Tabibu hajra

Tabibu hajra Ninawasaidia watu wenye Vidonda Vya Tumbo kwa kuwapatia Elimu, Ushauri na Tiba. Tuwasiliane

24/09/2025

🌿 Ushuhuda wa kweli kutoka kwa wateja wetu!Tunashukuru kwa kila mmoja anayetuamini katika safari ya uponyaji.Hakika afya njema ni baraka kubwa 💚.👉 Je, na wewe umepata nafuu kwa kutumia tiba asilia? Acha ushuhuda wako kwenye comment au DM, tupone pamoja!

28/08/2025

🌿 Ushauri kwa wenye vidonda vya tumbo 🌿Vidonda vya tumbo ni ugonjwa unaoweza kudhibitiwa kwa mtindo bora wa maisha.✅ Kula kwa wakati bila kuruka mlo✅ Epuka vyakula vyenye pilipili, mafuta mengi na pombe✅ Punguza msongo wa mawazo (stress)✅ Wahi matibabu ili kupunguza athari kubwa✅ Tumia tiba sahihi kwa ushauri wa kitaalamuKumbuka: Afya njema huanza na maamuzi bora ya kila siku. 💚Mawasiliano – 0719 291 570 Tunapatikana – MBEZI LUIS DSM

12/08/2025

👩‍⚕️Vidonda vya tumbo vinaweza kusababisha maumivu ambayo huonekana kuwa hayahusiani na tumbo.😩Maumivu ya kifua: Vidonda vya tumbo mara nyingine husababisha maumivu yanayofanana na maumivu ya moyo (angina) au kiungulia, hasa ikiwa asidi ya tumbo inapanda juu na kuchochea njia ya umio. Hali hii inaweza kuwachanganya watu kufikiri wanapata matatizo ya moyo.😰Maumivu ya mgongo: Ikiwa kidonda kiko sehemu ya nyuma ya tumbo (posterior ulcers), maumivu yanaweza kusambaa hadi mgongoni, na mara nyingine kugundulika k**a tatizo la mgongo badala ya tumbo.🩸Dalili za upungufu wa damu: Ikiwa kidonda kinaambatana na kutokwa na damu ndogo kwa muda mrefu (haemorrhage ya muda mrefu), mtu anaweza kuhisi uchovu mwingi, maumivu ya kichwa, au kufa ganzi mikononi na miguuni kwa sababu ya upungufu wa damu (anemia), bila kujua kuwa vidonda vya tumbo ndio chanzo.📝Hii inaonyesha kwamba vidonda vya tumbo vinaweza kuwa na athari zisizotarajiwa na wakati mwingine kugunduliwa vibaya k**a magonjwa mengine. Ni muhimu kuzingatia dalili zote na kumwona daktari kwa uchunguzi wa kina.kuwasiliana namimi kwa ELIMU, TIBA na USHAURI au kunipigia kwa namba hizi hapa chini.Mawasiliano – 0719 291 570 / 0757 970 089 Tunapatikana – MBEZI LUIS DSM💡kwa msaada wa kitabibu, elimu na ushauri, tuwasiliane 0719291570

Sina tena usemi mwenye macho haambiwi tazama natumai k**a unaumwa vidonda vya tumbo basi wahi kutumia dawa hii chaguo sa...
08/08/2025

Sina tena usemi mwenye macho haambiwi tazama natumai k**a unaumwa vidonda vya tumbo basi wahi kutumia dawa hii chaguo sahihi linajulikana 🙏🏽

Maisha mapya yameanza! Ndivyo mgonjwa alivyo pona vidonda vya tumbo. Kwa nini usijiunge naye  kwenye safari ya kupona na...
28/07/2025

Maisha mapya yameanza! Ndivyo mgonjwa alivyo pona vidonda vya tumbo. Kwa nini usijiunge naye kwenye safari ya kupona na dawa hizi? “

kwa msaada wa kitabibu, lishe, tuwasiliane
0719291570





























Tiba ya Kipekee ya Vidonda vya Tumbo na Daktari Bingwa🩹 Unateseka na vidonda vya tumbo? Jisikie huru tena na huduma bora...
02/07/2025

Tiba ya Kipekee ya Vidonda vya Tumbo na Daktari Bingwa

🩹 Unateseka na vidonda vya tumbo? Jisikie huru tena na huduma bora kutoka kwa Daktari Bingwa wa Vidonda vya Tumbo! 🌟

🌿 Jumuika na Maelfu ya Wenye Furaha Walionufaika na Tiba yetu!

🌟 K**a tabibu wa vidonda vya tumbo, tunatoa suluhisho la asili na dawa zenye ufanisi kwa vidonda vya tumbo, asid reflux, na gesi!

👨‍⚕️ Daktari Bingwa: Huduma zetu zinatolewa na wataalamu walio na uzoefu wa miaka mingi katika kutibu magonjwa ya mfumo wa utumbo.

🍃 Dawa za Asili: Tunatumia mimea asilia yenye nguvu kutoa nafuu bila madhara yasiyohitajika.

💊 Matibabu Bora: Dawa zetu zinakupa suluhisho la kudumu na kurudisha afya yako ya utumbo.

📞 Piga 0719291570 sasa kupata maelezo zaidi na kuanza safari yako ya afya bora. Hakuna haja ya kuishi na maumivu tena!

💚KWA MIKOA ZAIDI YA 15 UTALIPIA UKIPOKEA DAWA, ikiwemo DODOMA, MWANZA, ARUSHA, MBEYA, KILIMANJARO, KIGOMA, MUSOMA, KATAVI, GEITA, TUNDUMA NK.

🌐 Hali yako ni muhimu kwetu. Tumia fursa leo na pata matibabu yanayokufaa. Tuchukue hatua pamoja kuelekea afya bora.

20/06/2025

🍋 Vidonda vya tumbo visipotibiwa mapema vinaweza kusababisha madhara makubwa k**a kutoboka kwa ukuta wa tumbo na kutokwa damu ndani kwa ndani?

kuwasiliana namimi kwa ELIMU, TIBA na USHAURI au kunipigia kwa namba hizi hapa chini.

Mawasiliano – 0719 291 570 / 0757 970 089
Tunapatikana – MBEZI LUIS DSM

💡kwa msaada wa kitabibu, elimu na ushauri, tuwasiliane
0719291570







EID AL ADHAA MUBARAK 🐐
06/06/2025

EID AL ADHAA MUBARAK 🐐

16/05/2025
K**a tabibu wa tiba mbadala ninae hudumia wagonjwa wa vidonda vya tumbo ama kuzidi kwa asidi tumboni, ningekuonya kwa dh...
22/04/2025

K**a tabibu wa tiba mbadala ninae hudumia wagonjwa wa vidonda vya tumbo ama kuzidi kwa asidi tumboni, ningekuonya kwa dhati juu ya madhara ya kula vyakula vyenye mafuta mengi kwa mtu anayesumbuliwa na asidi nyingi au vidonda vya tumbo. Hii ni sababu mojawapo inayowafanya wagonjwa wengi kushindwa kupona haraka, hata wanapotumia dawa bora za asili.

Madhara ya vyakula vyenye mafuta mengi kwa mtu mwenye asidi ya tumbo ni k**a ifuatavyo:
1. Huchelewesha mmeng’enyo wa chakula: Mafuta yanapunguza kasi ya tumbo kuyasaga chakula, hali inayosababisha chakula kubaki tumboni kwa muda mrefu. Hili husababisha asidi kuongezeka na kuchoma ukuta wa tumbo, na hivyo kuchochea vidonda.
2. Huongeza uzalishaji wa asidi tumboni: Vyakula vya kukaanga au vyenye mafuta mengi (k**a chipsi, mishikaki ya mafuta, mayai ya kukaanga, nk) huchochea tumbo kuzalisha asidi nyingi zaidi, hali inayoweza kusababisha maumivu makali ya tumbo, kiungulia, na hata kutapika.
3. Huathiri kazi ya valve ya kuzuia asidi kurudi juu: Mafuta huweza kulegeza misuli ya valve inayozuia asidi kurudi kwenye koromeo (esophagus). Hii husababisha mtu kupata hali ya kuchoma kifuani (heartburn) na gesi kupanda juu.
4. Huzuia nafuu ya dawa: Hata ukitumia dawa zangu za asili k**a unga wa mizizi ya mkwaju, majani ya mlonge au unga wa asali na mdalasini, lakini bado unakula vyakula vya mafuta mengi, nafuu itakuwa ndogo au ya muda mfupi.

Ushauri wa Tabibu:

Ikiwa unateseka na tatizo la acid au vidonda vya tumbo, unapaswa kuachana kabisa na vyakula hivi:
• Chipsi
• Vyakula vya kukaanga
• Vyakula vya maziwa mengi k**a jibini
• Vyakula vya viwandani (fast food)
• Mayai ya kukaanga kwenye mafuta mengi

Na zaidi ya yote, unaweza kujaribu dawa yangu ya asili ya vidonda vya tumbo—imeandaliwa kutokana na mizizi mitatu ya asili, husaidia:
• Kupunguza asidi
• Kufunga vidonda vya tumbo
• Kuondoa gesi tumboni
• Kurudisha afya ya ukuta wa tumbo.

Afya yako ni muhimu, na ni vyema kuchukua hatua sahihi za kuitunza.

💡kwa msaada wa kitabibu, elimu na ushauri, tuwasiliane
0719291570



🌿💊

Sisi tunatibu Mungu anaponya, sio ujanja wetu bali ni uwezo wa Mungu tu.  🙏🏽❤️
26/03/2025

Sisi tunatibu Mungu anaponya, sio ujanja wetu bali ni uwezo wa Mungu tu. 🙏🏽❤️

Address

Mbezi Luis

Opening Hours

Monday 08:00 - 19:00
Tuesday 08:00 - 19:00
Wednesday 08:00 - 19:00
Thursday 08:00 - 19:00
Friday 08:00 - 19:00
Saturday 09:00 - 17:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tabibu hajra posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Tabibu hajra:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram