Tabibu hajra

Tabibu hajra Ninawasaidia watu wenye Vidonda Vya Tumbo kwa kuwapatia Elimu, Ushauri na Tiba. Tuwasiliane

🔥 USIPUUZE HII FEEDBACK! 🔥Mgonjwa halisi, matokeo halisi! 🙌Baada ya kutumia MNOEDI, sasa anaendelea vizuri na anajiandaa...
09/04/2026

🔥 USIPUUZE HII FEEDBACK! 🔥

Mgonjwa halisi, matokeo halisi! 🙌
Baada ya kutumia MNOEDI, sasa anaendelea vizuri na anajiandaa kumaliza dozi yake akiwa na afya njema 💚

👉 K**a bado unateseka na vidonda vya tumbo, maumivu, kiungulia au gesi, usiendelee kujitesa kimya kimya!
Wengi wamepona — na WEWE unaweza kuwa next!

⚠️ Usisubiri hali yako izidi kuwa mbaya
✔️ Dawa salama
✔️ Matokeo yanaonekana
✔️ Tunakujali mpaka upone kabisa

📍 Ofisi: Mbezi Luis – DSM
🚚 Tunatuma mikoani kote – unalipia ukishapokea mzigo wako

📞 Piga/WhatsApp sasa: 0719291570

💬 Chukua hatua leo… afya yako haina mbadala!

“Nilikuwa naumwa sana… lakini sasa nashukuru Mungu nimepona.”Huu ni ushuhuda wa mmoja wa wagonjwa waliotumia dawa ya MNO...
07/03/2026

“Nilikuwa naumwa sana… lakini sasa nashukuru Mungu nimepona.”

Huu ni ushuhuda wa mmoja wa wagonjwa waliotumia dawa ya MNOEDI kwa ajili ya vidonda vya tumbo. 🙏

Baada ya kusumbuliwa na:
❌ Maumivu ya tumbo mara kwa mara
❌ Acidi kali baada ya kula
❌ Kichefuchefu na tumbo kuwaka

Leo anasema anaendelea vizuri na anashukuru kwa nafuu aliyopata.

👉 Hii ndiyo sababu watu wengi sasa wanaamini dawa ya asili ya MNOEDI kusaidia kupunguza na kuondoa tatizo la vidonda vya tumbo.

Usiendelee kuteseka kimya kimya.
Anza safari ya kupona leo k**a wengine walivyofanikiwa.

📞 Piga / WhatsApp: 0719 291 570
📍 Wasiliana na: Tabibu Hajra

⚠️ K**a una dalili za vidonda vya tumbo k**a:
• Maumivu ya tumbo mara kwa mara
• Kiungulia au acidi kali
• Tumbo kuwaka baada ya kula

Usisubiri hali iwe mbaya zaidi. Wasiliana nasi sasa.

KUTOKA KUKOPA PESA MPAKA KUPATA TIBU YA UHAKIKA! 🙏✨🫙Hii ndio stori ya Dullah. Alifika kwetu akiwa amekata tamaa kabisa. ...
22/01/2026

KUTOKA KUKOPA PESA MPAKA KUPATA TIBU YA UHAKIKA! 🙏✨

🫙Hii ndio stori ya Dullah. Alifika kwetu akiwa amekata tamaa kabisa. Alikuwa ameshatumia dawa nyingi bila mafanikio mpaka akafikia hatua ya kukopa pesa ili ajaribu dawa ya MNOEDI.

🙇‍♂️Alikuwa anahisi tumbo linawaka moto, baridi kali tumboni, na hawezi kula vizuri. Lakini angalia leo! Ameweza kufunga Ramadhan yote na sasa anafurahia mlo wake bila maumivu. Hata pilipili alijaribu kula na tumbo liko imara! 💪

Je, na wewe unateseka na:
✅ Vidonda vya tumbo sugu?
✅ Bakteria (H. Pylori) wanaokataa kuondoka?
✅ Maumivu ya moto au baridi tumboni?

Usikate tamaa k**a alivyokuwa Dullah. Suluhisho lipo!

💰 Dozi kamili ni 110,000/= tu.

📞 Piga/WhatsApp: 0719291570 📍 Tabibu Hajra - Tunatibu chanzo cha tatizo!

Baada ya kutumia huduma zetu, mteja ameridhika na maendeleo ya afya ya tumbo. Matokeo chanya yanaendelea kuonekana.🎉🤩
03/01/2026

Baada ya kutumia huduma zetu, mteja ameridhika na maendeleo ya afya ya tumbo. Matokeo chanya yanaendelea kuonekana.🎉🤩

Ushuhuda wa mteja: Vidonda vya tumbo vilivyokuwa vinasumbua kwa muda mrefu sasa vimedhibitika. Huduma bora, matokeo hali...
03/01/2026

Ushuhuda wa mteja: Vidonda vya tumbo vilivyokuwa vinasumbua kwa muda mrefu sasa vimedhibitika. Huduma bora, matokeo halisi📌

🌿 Ushuhuda wa kweli kutoka kwa wateja wetu!Tunashukuru kwa kila mmoja anayetuamini katika safari ya uponyaji.Hakika afya...
02/12/2025

🌿 Ushuhuda wa kweli kutoka kwa wateja wetu!
Tunashukuru kwa kila mmoja anayetuamini katika safari ya uponyaji.
Hakika afya njema ni baraka kubwa 💚.

👉 Je, na wewe umepata nafuu kwa kutumia tiba asilia? Acha ushuhuda wako kwenye comment au DM, tupone pamoja!

K**a unapata dalili hizi basi acha mara moja matumizi ya soda mara kwa mara.🚨Dalili za Acid Reflux (GERD)♻️Kuwaka moto k...
29/11/2025

K**a unapata dalili hizi basi acha mara moja matumizi ya soda mara kwa mara.

🚨Dalili za Acid Reflux (GERD)

♻️Kuwaka moto kifuani (heartburn)
♻️Kurejea chakula au maji mdomoni (regurgitation)
♻️Ladha chungu au tindikali mdomoni
♻️Kupumua kwa tabu / kifua kubana
♻️Kikohozi cha muda mrefu
♻️Maumivu ya koo / sauti kukwaruza
♻️Tumbo kujaa gesi
♻️Kushiba haraka
♻️Kichefuchefu
♻️Maumivu ya juu ya tumbo

Kumbuka: Afya njema huanza na maamuzi bora ya kila siku. 💚

Mawasiliano – 0719 291 570
Tunapatikana – MBEZI LUIS DSM

24/09/2025

🌿 Ushuhuda wa kweli kutoka kwa wateja wetu!Tunashukuru kwa kila mmoja anayetuamini katika safari ya uponyaji.Hakika afya njema ni baraka kubwa 💚.👉 Je, na wewe umepata nafuu kwa kutumia tiba asilia? Acha ushuhuda wako kwenye comment au DM, tupone pamoja!

28/08/2025

🌿 Ushauri kwa wenye vidonda vya tumbo 🌿Vidonda vya tumbo ni ugonjwa unaoweza kudhibitiwa kwa mtindo bora wa maisha.✅ Kula kwa wakati bila kuruka mlo✅ Epuka vyakula vyenye pilipili, mafuta mengi na pombe✅ Punguza msongo wa mawazo (stress)✅ Wahi matibabu ili kupunguza athari kubwa✅ Tumia tiba sahihi kwa ushauri wa kitaalamuKumbuka: Afya njema huanza na maamuzi bora ya kila siku. 💚Mawasiliano – 0719 291 570 Tunapatikana – MBEZI LUIS DSM

12/08/2025

👩‍⚕️Vidonda vya tumbo vinaweza kusababisha maumivu ambayo huonekana kuwa hayahusiani na tumbo.😩Maumivu ya kifua: Vidonda vya tumbo mara nyingine husababisha maumivu yanayofanana na maumivu ya moyo (angina) au kiungulia, hasa ikiwa asidi ya tumbo inapanda juu na kuchochea njia ya umio. Hali hii inaweza kuwachanganya watu kufikiri wanapata matatizo ya moyo.😰Maumivu ya mgongo: Ikiwa kidonda kiko sehemu ya nyuma ya tumbo (posterior ulcers), maumivu yanaweza kusambaa hadi mgongoni, na mara nyingine kugundulika k**a tatizo la mgongo badala ya tumbo.🩸Dalili za upungufu wa damu: Ikiwa kidonda kinaambatana na kutokwa na damu ndogo kwa muda mrefu (haemorrhage ya muda mrefu), mtu anaweza kuhisi uchovu mwingi, maumivu ya kichwa, au kufa ganzi mikononi na miguuni kwa sababu ya upungufu wa damu (anemia), bila kujua kuwa vidonda vya tumbo ndio chanzo.📝Hii inaonyesha kwamba vidonda vya tumbo vinaweza kuwa na athari zisizotarajiwa na wakati mwingine kugunduliwa vibaya k**a magonjwa mengine. Ni muhimu kuzingatia dalili zote na kumwona daktari kwa uchunguzi wa kina.kuwasiliana namimi kwa ELIMU, TIBA na USHAURI au kunipigia kwa namba hizi hapa chini.Mawasiliano – 0719 291 570 / 0757 970 089 Tunapatikana – MBEZI LUIS DSM💡kwa msaada wa kitabibu, elimu na ushauri, tuwasiliane 0719291570

Sina tena usemi mwenye macho haambiwi tazama natumai k**a unaumwa vidonda vya tumbo basi wahi kutumia dawa hii chaguo sa...
08/08/2025

Sina tena usemi mwenye macho haambiwi tazama natumai k**a unaumwa vidonda vya tumbo basi wahi kutumia dawa hii chaguo sahihi linajulikana 🙏🏽

Maisha mapya yameanza! Ndivyo mgonjwa alivyo pona vidonda vya tumbo. Kwa nini usijiunge naye  kwenye safari ya kupona na...
28/07/2025

Maisha mapya yameanza! Ndivyo mgonjwa alivyo pona vidonda vya tumbo. Kwa nini usijiunge naye kwenye safari ya kupona na dawa hizi? “

kwa msaada wa kitabibu, lishe, tuwasiliane
0719291570





























Address

Mbezi Luis
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 19:00
Tuesday 08:00 - 19:00
Wednesday 08:00 - 19:00
Thursday 08:00 - 19:00
Friday 08:00 - 19:00
Saturday 09:00 - 17:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tabibu hajra posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Tabibu hajra:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram