Dr Charle Afya ya mifupa na maungio.

Dr Charle Afya ya mifupa na maungio. Tunatoa elimu,ushauri,tiba na kinga kwa changamoto za mifuapa na maungio kwa kutumia virutubisho .

17/09/2022

SURUHISHO LA MAUMIVU YA PINGIL IZA MGONGO,KIUNO,NA NYONGA.
(0757898003)

WATU WENGI WANAPATA MAUMIVU YA MGONGO KIUNO,MAGOTI NA NYONGA KWA MUDA MREFU BILA KUPATA SURUHISHO LA KUDUMU.

UKWELI NI KWAMBA MATUMIZI YA DAWA ZA KUTULIZA MAUMIVU SIO JIBU LA MAUMIVU HAYO. MAZOEZI HUSAIDIA LAKINI PEKEYAKE SIO TIBA ,WENGINE WANAHUDHULIA KUCHUKUA DAWA HOSPTALI KILA MWEZI HADI MWAKA MZIMA BILA KUPATA SURUHISHO LA KUDUMU, HAKUNA DOZI INAYOTOA SURUHISHO IKAWA NI YA MWAKA ZINAKUPA NAFUU YA TATIZO LAKO LAKINI SIO SURUHISHO LA KUDUMU KUNA WALIOFANYIWA UPASUAJI NA WAMEPATA NAFUU LAKINI BADO WANAPATA MAUMIVU YA VIUNGO.

JE UTUMIE NINI SASA ? KITU CHA KWANZA HAKIKISHA UNAPOPATA MAUMIVU HAYA UNACHUKUA TAHADHARI KWA KWENDA KUPIMA .HII INAKUSAIDIA KUA NA UHAKIKA WA TATIZO LAKO INAKUSAIDIA KUPEWA TIBA KADILI YA TATIZO LAKO.

NIMEWASAIDIA WENGI KUTIBU CHANGAMOTO ZA KUSAGIKA KWA PINGILI ZA MGONGO,KIUNO,NA NYONGA PAMOJA NA UTE KUTEMWA. WAPO WANAOPATA SHIDA ZA MIFUPA KWA SABABU YA AJALI PIA UTASADIWA KADIRI YA TATIZO LAKO.

VIRUTUBISHO SAHIHI VINA AINA NYINGI ZA MADINI YA KUJENGA MIFUPA,KUZALISHA UTE KUZALISHA GEGEDU NDANI YAKE VINA ZINC , CALCIUM,VITAMIN D,MADINI YA CHRONGOTIN,MAGNESIUM ZINC HUZALISHA UTE NA KUONDOA SUMU ZOTE MWILINI.KARIBU KWA USHAURI ZAIDI

NAJUA UMEHANGAIKA USIJIKATIE TAMAA KUMBUKA
"AFYA YAKO NI MAISHA YAKO"
BY DR GASTON
0757898003

AFYA YA MIFUPA NA MAUNGIO.9757898003Kunamuda unaweza kupata maumivu makali ya maungio yaweza kua ni mgongo,kiuno,nyonga ...
17/09/2022

AFYA YA MIFUPA NA MAUNGIO.
9757898003

Kunamuda unaweza kupata maumivu makali ya maungio yaweza kua ni mgongo,kiuno,nyonga au magoti na ukafanya vipimo wasione tatizo .

kupata maumivu ni dalili dhahili lkwamba sehemu husika inayouma kunashida hivyo unahitaji kuchukua tahadhari mapema sana. Jitahidi chulua tahadhari katika vyakula pamoja na kinga ili kuondoa tatizo kabla halijawa kubwa n kujionyesha katika vipimo.

K**a unapata maumivu makali ya mgongo pingili kupishana au kulika bhasi unapoendelea kupata tiba kamili jambo hili linaweza kukupa hauweni kuoga maji yamoto angalia na soma maandishi katila picha hii chini kafanye kwa vitendo ilikuona uhalisia wake. KAributujifunze

" Afya yako ni maisha yako."
By Dr Gaston
0757898003

17/09/2022

TATIZO LA MIFUPA, MISULI NA MGONGO
0757898003

?

Ondoa shida ya mifupa na viungo kwa kutumia vya asili vilivyotengenezwa kiasili 100%

hivi vina sifa zifuatazo:-
-Haina kemikali
-Vimetengenezwa kwa mimea asili na viumbe vya baharini
-Vinaondoa matatizo yote ya mifupa
-Hufanya kazi kwa muda mfupi

virutubisho hivi hufanya kazi maalumu katika mwili wa mwanadamu k**a zifuatazo -Inaondoa ya mgongo hasa kwa wanaokaa kitako muda mrefu ofisini, na
-Inaongeza ute na ukuaji wa wa nyama telezi
-Inaongeza mwilini na kufanya mifupa na meno viwe imara na kufanya meno yadumu muda mrefu
-Inaondoa mwilini
-Inaondoa hamu ya kula kwa watoto na watu wazima waliowavivu kula
-Inasaidia kuongeza nguvu ya mifupa kuunga haraka kwa mtu aliepata au

Kumbuka "AFYA YAKO NI MAISHA YAKO"
BY Dr Gaston charle
0757898003

16/09/2022

SHUHUDA YA MIFUPA NA MAUNGIO
0757898003

TUMIA VIRUTUBISHO LISHE KUTATAUA CHANGAMOTO HIZI BILA KUFANYIWA UPASUAJI.

AFYA YAKO NI MAISHA YAKO
BY Dr gaston

16/09/2022

AFYA YA MIFUPA NA MAUNGIO.
9757898003

Kunamuda unaweza kupata maumivu makali ya maungio yaweza kua ni mgongo,kiuno,nyonga au magoti na ukafanya vipimo wasione tatizo .

kupata maumivu ni dalili dhahili lkwamba sehemu husika inayouma kunashida hivyo unahitaji kuchukua tahadhari mapema sana. Jitahidi chulua tahadhari katika vyakula pamoja na kinga ili kuondoa tatizo kabla halijawa kubwa n kujionyesha katika vipimo.

K**a unapata maumivu makali ya mgongo pingili kupishana au kulika bhasi unapoendelea kupata tiba kamili jambo hili linaweza kukupa hauweni kuoga maji yamoto angalia na soma maandishi katila picha hii chini kafanye kwa vitendo ilikuona uhalisia wake. KAributujifunze " Afya yako ni maisha yako."

Tunatoa elimu,ushauri,tiba na kinga kwa changamoto za mifuapa na maungio kwa kutumia virutubisho .

MATATIZO  YA PINGILI ZA MGONGO HUPELEKEA MUSURI KUUMA, MIGUU KUFA GANZI  NA KUWAKA MOTO.WATU WENGI WANAKUA WANAJIULIZA K...
16/09/2022

MATATIZO YA PINGILI ZA MGONGO HUPELEKEA MUSURI KUUMA, MIGUU KUFA GANZI NA KUWAKA MOTO.

WATU WENGI WANAKUA WANAJIULIZA KWAMBA KUNAUHUSIANO GANI KATI YA PINGILI KUPISHANA AU KUSAGIKA NA MISULI KUVUTA MIGUU KUFA GANZI UKWELI NI KWAMBA UPO UHUSIANO MKUBWA KWAMBA PINGILI HUWEZA GANDAMIZA MISHIPA YA NEVA NA KUPELEKEA MAUMIVU MAKALI YA MGUU . PIA KUSABABISHA MIGUU KUFA GANZI KWANI HUWEZA KANDAMIMIZA MISHIPA MIDOGOMIDOGO YA DAMU NA KUATHIRI DAMU KUWEZA PITA VIZURI BAADAE ENEO LINALOKOSA DAM KWA UWIANO HUPELEKEA KUFA GANZI NA MIGUU KUWAKA MOTO .

USIHANGAIKA KUTIBU CHANZO CHA TATIZO AMBACHO NI PINGILI KULIKA AU KUSAGIKA AU KUPISHANA.

KUMBUKA

"AFYA YAKO NI MAISHA YAKO"
0757898003
DR GASTON

*DALILI ZA KUWEZA KUKUJULISHA KUWA VIUNGO VINASAGANA NI K**A IFUATAVYO*          *KWENYE MAGOTI*✔️magoti kushindwa kujik...
16/09/2022

*DALILI ZA KUWEZA KUKUJULISHA KUWA VIUNGO VINASAGANA NI K**A IFUATAVYO*

*KWENYE MAGOTI*
✔️magoti kushindwa kujikunja
✔️Maumivu kwenye magoti
✔️kushindwa kupanda ngazi kwa urahisi
✔️kusikia milio ya mifupa kugusana kwenye magoti

*KWENYE MGONGO/UTI WA MGONGO*
✔️maumivu kwenye mgongo
✔️kushindwa kuinama
✔️kusikia maumivu makali wakati wa kuinama
Kusikia ganzi kwenye mapaja au miguuni.

KWENYE BEGA(SHOULDER JOINT)
✔️kushindwa kunyanyua mkono
✔️kusikia maumivu makali kwenye bega

Afya yako ni maisha yako
By Dr gaston charle
0757898093

TATIZO LA MIFUPA, MISULI NA MGONGO0757898003  ?Ondoa shida ya mifupa na viungo kwa kutumia   vya asili vilivyotengenezwa...
16/09/2022

TATIZO LA MIFUPA, MISULI NA MGONGO
0757898003

?

Ondoa shida ya mifupa na viungo kwa kutumia vya asili vilivyotengenezwa kiasili 100%

hivi vina sifa zifuatazo:-
-Haina kemikali
-Vimetengenezwa kwa mimea asili na viumbe vya baharini
-Vinaondoa matatizo yote ya mifupa
-Hufanya kazi kwa muda mfupi

virutubisho hivi hufanya kazi maalumu katika mwili wa mwanadamu k**a zifuatazo -Inaondoa ya mgongo hasa kwa wanaokaa kitako muda mrefu ofisini, na
-Inaongeza ute na ukuaji wa wa nyama telezi
-Inaongeza mwilini na kufanya mifupa na meno viwe imara na kufanya meno yadumu muda mrefu
-Inaondoa mwilini
-Inaondoa hamu ya kula kwa watoto na watu wazima waliowavivu kula
-Inasaidia kuongeza nguvu ya mifupa kuunga haraka kwa mtu aliepata au

kumbuka "Afya yako ni maisha yako "
By Dr Gaston charle
0757898003

16/09/2022

SURUHISHO LA MAUMIVU YA MIFUPA NA MAUNGIO.
(MAUMIU YA MGONGO,NXONGA,KIUNO,NA MAGOTI)

~Watu wengi wamekua wakisumbuliwa na changamoto za mifupa na maungio kwamuda mrefu sana bila kupata suruhisho la kudumu.

~Uwepo wa vituo vingi na watu binafsi kutoa dawa zisizotoa suruhisho la kudumu hupelekea watu wengi kuzinguka na kutoa pesa nyingi kutafuta tiba bila suruhisho la kudumu kupelekea watu kukosa imani k**a wanaweza kupona vhangamoto hizi kabisa.

~zipo aina nne za tiba kwa mgonjwa wa tatizo hili la mifupa na maungio aina ya kwanza hutumika na watu wengi ambyo ni kutuliza maumivu hizi husaidia kuodoa maumivu pale unapomeza ukiacha maumivu huludi.aina ya pili nikupitia upasuaji pia hutumiwa na watu lakin inakulazimu kuludi kufanyiwa tena upasuaji baada ya muda.aina ya tatu ni kwa wagonjwa wa mgongo hufanya mazoezi na kupew mikanda kuzuia pingili kupishana.

~matibabu ya mwisho yenyee uhakika jappokuwa tayari kumeshakua na watu wanaojifanya kutoa virutubisho visivyo na mdaada. Kuna suppliment za aina mbili hadi tatu mgonjwa akitumia anapona kabisa.

~ virutubisho vya kuzalisha ute ktk maungio huzuia kusambaa kwa ugonjwa kwenye maungio mengine yasiyo athirika.kirutubisho chenye madin ya zinc ,calcium ,amino acid chrongotin ni chakula chamifupa husaidia kuondoa taatizo la kulika kwa pingili na kusagika kwa migupa huongeza kinga na afya ya maungio.Na cha mwisho kuboresha gegedu na maungio kwa ujumla.

»Karibu sana kwa ushauri na tiba wapo wengi nilio wasaidia wamepona Dar es salaam wapo pamoja na huyu mama, Arusha wapo mwingine kanipigia jana alikua hawezi tembea bila msaada,Mbeyaa ,na Dodoma mikoa minginee wapo waliosaidiwa kupitia matawi yetu pia na wamepata suruhisho la kudumu.

"Afya yako ni maisha yako"

0757898003 Dr Gaston

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 19:00
Tuesday 08:00 - 19:00
Wednesday 08:00 - 19:00
Thursday 08:00 - 19:00
Friday 08:00 - 19:00
Saturday 08:00 - 19:00
Sunday 08:00 - 19:00

Telephone

+255757898003

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Charle Afya ya mifupa na maungio. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr Charle Afya ya mifupa na maungio.:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram