Jali Afya Yako

Jali Afya Yako You're Health is Our Concern ~
Call Us +255655562181 / +255769600821

UTAJUAJE K**A UNA ACID REFLUX NA  MICHUBUKO TUMBONI? - ( Gastric Ulcers). ~ +255655562181 , +255769600821 ~โ€ข Kifua kwa n...
18/09/2025

UTAJUAJE K**A UNA ACID REFLUX NA MICHUBUKO TUMBONI? - ( Gastric Ulcers).

~ +255655562181 , +255769600821 ~

โ€ข Kifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali. โ€ข Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma k**a sindano na kuacha maumivu makali

โ€ข๐Š๐ข๐œ๐ก๐ž๐Ÿ๐ฎ๐œ๐ก๐ž๐Ÿ๐ฎ
โ€ข๐Š๐ข๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ฅ๐ข๐š
โ€ข๐“๐ฎ๐ฆ๐›๐จ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐š๐š ๐ ๐ž๐ฌ๐ข
โ€ข๐“๐ฎ๐ฆ๐›๐จ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š๐ค๐š ๐ฆ๐จ๐ญ๐จ
โ€ข Kukosa hamu/ufanisi wa tendo la ndoa.
โ€ข Maumivu makali sehemu kilipo kidonda.
โ€ข Kukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika k**a cha mbuzi.
โ€ข Kutapika nyongo.
โ€ขKutapika damu au kupata choo chenye damu..
โ€ข Kukosa hamu ya kula.
โ€ข Kusahahu sahau na kupatwa na hasira bila sababu

๐Œ๐€๐ƒ๐‡๐€๐‘๐€ ๐˜๐€ ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ๐ฌ).

โ€ข Hali hii yaweza kusababishwa na vidonda kuenea hadi kwenye mishipa ya damu na hivyo kufanya damu kuanza kuvuja kwenye utumbo.

โ€ข Pia ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, (๐๐ž๐ฉ๐ญ๐ข๐œ ๐ฎ๐ฅ๐œ๐ž๐ซ๐ฌ) - huweza kusababisha tundu (kutoboka kwa ukuta wa tumbo) na kufanya vitu vilivyo ndani ya utumbo kutapakaa katika tumbo (abdomen) Hali hii huitwa peritonitis na ni hatari sana na inahitaji matibabu ya dharura.

โ€ข ๐•๐ˆ๐ƒ๐Ž๐๐ƒ๐€ ๐•๐˜๐€ ๐“๐”๐Œ๐๐Ž, vinaweza pia kuenea na kuathiri pia viungo vya jirani k**a vile ini au kongosho (pancrease).

โ€ข iwapo vidonda vya tumbo vimesababishwa na H. pylori, kuna uwezekano wa kati ya mara tatu hadi ya sita ya mgonjwa kupata kansa ya tumbo (stomach cancer).

โ€ขUSHAURI
Vidonda vya tumbo vinatibika na kupona kabisa tuna product nzuri kwa ugonjwa huu wa vidonda vya tumbo haijalishi umeumwa muda mrefu kiasi ganiโ€ข

๐Š๐€๐‘๐ˆ๐๐” ๐๐ˆ๐Š๐”๐’A๐ƒ๐ˆ๐„ ๐๐ˆ๐†๐€ & ๐–๐‡๐€๐“๐’๐€๐๐

Callโž–text&smsโž–whatsapp๐Ÿ‘‡

โž– Ili Kupata Ushauri na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

โž– Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa ๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

โž– SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™ kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

๐Š๐€๐‘๐ˆ๐๐” ๐€๐’๐€๐๐“๐„.

_*DALILI NA MATIBABU YA UGONJWA WA TEZI DUME*_~ +255769600821 , +255655562181 ~โ€ข Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la k...
27/07/2025

_*DALILI NA MATIBABU YA UGONJWA WA TEZI DUME*_

~ +255769600821 , +255655562181 ~

โ€ข Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analo, tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume,Jinsi umri unavyo ongezeka tezi dume nalo huongezeka ukubwa ambao unaweza kuwa wa kawaida au saratani.

โ€ข Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume: (1) Maambukizi ya Bakteria (Prostatitis). (2) Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign Prostatic Hypertrophy-BPH). (3) Saratani ya tezi dume.

_*Dalili*_

โ€ข Dalili huonekana baada ya umri wa miaka ya hamsini . Karibu wanaume wote wenye umri wa sabini na themanini huwa na tatizo hili.
โ€ข Dalili huanza polepole na kuzidi jinsi miaka inavyo ongezeka. Dalili hizi ni k**a zifuatazo:-
โ€ข Kukojoa mara nyingi hasa nyakati za usiku. Hii ni dalili ya mapema sana.
Kulazimika, mara nyingi hasa nyakati za usiku,
โ€ข Mkojo kutiririka polepole, kukatikakatika na hutumia nguvu kutoka au Mkojo kushidwa kutoka hata wakati mtu anapohisi kukojoa.
โ€ข Mkojo kuendelea kutoka kidogokidogo baada ya kukojoa, matone ya mkojo huendelea kutoka hata baada ya kukojoa hivyo kulowesha nguo za ndani.

_*Matatizo ya tezi dume iliyotanuka*_

โ€ข Tezi dume ikitanuka sana huleta matatizo mengi kwa wagonjwa wengine hali hii isipotibiwa. Matatizo hayo ni k**a yafuatayo:
โ€ข Mkojo kushindwa kabisa kutoka na kulazimu mgonjwa awekewe kathetra ili kumimina mkojo.
โ€ข Madhara kwenye kibofu na figo .

_*Matibabu ya Tezi Dume.*_

โ€ข Matibabu ya BPH yameganyika katika sehemu mbili, yale yanayofanywa kwa kutumia dawa na yale yanayofanywa kwa kutumia upasuaji mdogo.
โ€ข Matibabu kwa Njia ya Dawa hutumika kwa lengo la kulifanya tezi dume kusinyaa na kupungua ukubwa wake.
โ€ข Upasuaji mdogo husaidia kuondoa dalili za BPH na hufanyika pale ambapo matibabu kwa njia ya dawa yameshindwa kuonesha mafanikio yeyote.

โ€ข Njia nyingine ni tiba ya kutumia mawimbi ya joto (Transurethral microwave procedures, TUMT).
โ€ข Tiba ya kutumia Joto la maji (Water-induced thermotherapy).

โ€ข Madaktari wengi hushauri kuondolewa kabisa kwa tezi dume iwapo itathibitika kuwa mgonjwa ana BPH.

_* Za Upasuaji wa Tezi dumeAina*_

โ€ข Zipo njia nyingi za upasuaji wa BPH, nazo ni pamoja na upasuaji kwa kupitia kwenye mrija wa mkojo (Transurethral surgery, TURP), upasuaji mkubwa wa wazi (Open surgery), upasuaji wa kutumia nishati kuondoa tishu za tezi dume Laser surgery), na upasuaji wa kutumia joto la fibreoptic probe kuchoma tishu za tezi dume (Interstitial laser coagulation).

_*Madhara Ya Upasuaji*_

โ€ข Kukosa uwezo wa kufikia kishindo yani hutoi shahawa (retrogade ej*******on) wazee wengi hulalamika sana baada ya hizi operation hivyo ushauri nasaha lazima utolewe ili mgonjwa ajue nini madhara yake kabla ya operation.
โ€ข Kuziba kwa njia ya mkojo kutoka na kuumia kwa njia hizo wakati wa kitendo hicho.
โ€ข Baada ya upasuaji mgonjwa anapoendelea kupona kovu linaweza kuziba njia ya mkojo.
โ€ข Shida ya kushindwa kudhibiti mkojo usitoke ovyo (Incontinence): Ni kawaida kwa mgonjwa kushindwa kudhibiti kutoka kwa mkojo katika siku za mwanzo baada ya operesheni.
โ€ข Hata hivyo hali hii hujirekebisha baada ya siku kadhaa kupita.
โ€ข Kutokwa na damu katika siku za awali mara baada ya upasuaji kupitia njia ya mkojo: Kidonda kwenye tezi dume kinaweza kuvuja damu ambayo itaonekana katika mkojo.
โ€ข Kuwa mgumba , Ni kawaida Wanaume kuwa wagumba yaani wasioweza kupata watoto. Kwa kawaida, wakati wa tendo la ngono, mbegu za kiume kutoka kwenye korodani huingia kwenye urethra karibu na kijitundu cha kibofu cha mkojo. Wakati wa tendo la ngono, misuli maalum hufunga kijitundu hicho ili kuzuia mbegu zisiingie kwenye kibofu badala yake zielekee kwenye urethra ya katika uume โ€ข โ€ข Hata hivyo, upasuaji wa tezi dume huondoa misuli hiyo na kufanya mbegu kuingia kwenye kibofu cha mkojo badala ya kuendelea kwenye urethra ya uume. Shahawa hizo hatimaye hutolewa nje ya kibofu pamoja na mkojo.

Njia Sahihi.

Matumizi ya Virutubisho yameonekana kuwa njia Sahihi na salama kutokana na uwezo wake wa kupenya ndani ya sell za tezi dume na kuziboresha hali inayofanya tezi iliyovimba kusinyaa na kurudi katika umbo lake la awali bila kuacha madhara yoyote kwa mgonjwa na kufanya aendelee kufurahia maisha k**a zamani
๐Š๐€๐‘๐ˆ๐๐” ๐๐ˆ๐Š๐”๐’A๐ƒ๐ˆ๐„ ๐๐ˆ๐†๐€ & ๐–๐‡๐€๐“๐’๐€๐๐

Callโž–text&smsโž–whatsapp๐Ÿ‘‡

โž– Ili Kupata Ushauri na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

โž– Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa ๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

โž– SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™ kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

๐Š๐€๐‘๐ˆ๐๐” ๐€๐’๐€๐๐“๐„.

*"TATIZO LA KUTOPATA CHOO NA  TUMBO KUJAA GESI - ( Constipation )".*โ€ข Hili ni Tatizo la kutopata Kwa Muda Mrefu au Kupat...
16/07/2025

*"TATIZO LA KUTOPATA CHOO NA TUMBO KUJAA GESI - ( Constipation )".*

โ€ข Hili ni Tatizo la kutopata Kwa Muda Mrefu au Kupata Mara Chache Lakini Kwa Shida Sana na Nguvu Kubwa huwa inatumika Katika Kuhakikisha Walau hicho Kidogo Kinatoka.

โ€ข Hii ni Kwa Sababu Ya Choo hicho Kuwa Kwenye Muundo K**a tope Jeusi au Vipande Vipande K**a Cha Mbuzi na Kwa Kiwango Kikubwa Kinatawaliwa na Miungurumo isiyokwisha tumboni na Hewa Nyingi Wakati wa Kwenda haja ( *Kujamba Sana* ) Inayo ambatana na Harufu Kali Sana.

*"CHANZO CHA CONSTIPATION NI NINI ?"*

โ€ข Constipation inasababishwa na mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakula Kwenye utumbo mdogo ambao una urefu wa takribani mara 10 mpaka 13 ya urefu wa mtu husika , Kwenye Utumbo huo kuna Villars , hivi ni k**a vidole ambavyo muda Wote huwa vinachezacheza ili kumeng'enya chakula.

โ€ข Ila kutokana na sumu tunazoingiza mwilini kila siku kutoka kwenye vinywaji , Chakula , Dawa , Hewa tunzovuta Pamoja na Mafuta tunayokula kwenye vyakula huwa Viaenda kujipachika katikati ya Villars (vidole) na hivyo kusababisha vidole visimame (blocked) hivyo chakula Kinakuwa hakimeng'enywi na kusababisha chakula tunachokula kupitiliza moja kwa moja kwenye utumbo mkubwa K**a Kilivyo na hapo ndio tatizo linapoanzia.

*"MADHARA"*.

โ€ข Tatizo hili la Constipation hupelekea Watu kupata Magonjwa Mengi na Kusababisha Vifo Vingi Sana Kwa Watu Mbali Mbali Mbali na Wengine Bila Kufahamu Chanzo Cha Magonjwa Waliyonayo - Hata Baada ya Vipimo Vya Kimaabala .

โ€ข K**a Unapata Choo Mara Moja(1) Kwa SIKU Na Unakula Mara Tatu (3) Upo Kwenye Hatari Kubwa Ya Kupata Magonjwa Yafuatayo:

~Kansa ya Utumbo.
~Uzito uliozidi.
~Bawasir i(Vinyama sehemu ya haja kubwa).
~Maumivu ya Kiuno , Mgongo , Mabega , Kichwa , Misuli.
~Kukosa usingizi(Insomnia)
~Kukosa hamu ya kula (Loss of appetite).
~Tumbo kujaa gesi.
~Vidonda vya tumbo (Ulcers).
~Upungufu wa nguvu za kiume.
~Kushindwa kubeba mimba au kuzaa ( Ugumba ).
~Kupasuka kwa utumbo.
~Ileocecal valve incompetence.
~Kutoa harufu mbaya mdomoni na unapojamba.
~ Msongamano wa Hewa Kwenye Mapafu ( Kubanwa Mbavu na Kukosa Pumzi).
~ Maumivu ya tumbo Mara kwa Mara.
~ Muwasho Njia ya Haja Kubwa .
~ Maumivu ya Koromeo ( Kuhisi Kitu Kinapanda Kooni na Kushuka ).
~ Kiungulia .
~ Magonjwa ya Ngozi.Na Mengine Mengi Sana..

๐Ÿ•ณ Usisite Kuwasiliana Nasi Kuhusu Tiba Kwa Njia za Kisasa Kabisa na Ushauri wa Masuala Mbali Mbali Ya Afya.

โ€ข Tupigie Sasa Kupitia Namba Zifuatazo - +255769600821 au +255655562181 Ili Kufanya oda Ya Dose Ya Tatizo hili na Utatumiwa Popote Ulipo.

โ€ข Ili Kujiunga na Group letu la whatssapp Fuata Link hii hapa ๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰ https://chat.whatsapp.com/KqQ2iOVSj2XEYv1eZIXcIz

ยฐ Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
https://wa.me/255655562181

๐Ÿšจ ๐™ˆ๐™ฌ๐™ž๐™ก๐™ž ๐™’๐™–๐™ ๐™ค ๐™ƒ๐™ช๐™š๐™ฃ๐™™๐™– ๐™๐™ฃ๐™–๐™ ๐™ช๐™ค๐™ฃ๐™ฎ๐™–, ๐™‡๐™–๐™ ๐™ž๐™ฃ๐™ž ๐™๐™ฃ๐™–๐™ฅ๐™ช๐™ช๐™ฏ๐™– ๐˜ฟ๐™–๐™ก๐™ž๐™ก๐™ž! Usawa wa sukari ya damu hauonyeshi kila wakati na dalili kubwa. W...
07/07/2025

๐Ÿšจ ๐™ˆ๐™ฌ๐™ž๐™ก๐™ž ๐™’๐™–๐™ ๐™ค ๐™ƒ๐™ช๐™š๐™ฃ๐™™๐™– ๐™๐™ฃ๐™–๐™ ๐™ช๐™ค๐™ฃ๐™ฎ๐™–, ๐™‡๐™–๐™ ๐™ž๐™ฃ๐™ž ๐™๐™ฃ๐™–๐™ฅ๐™ช๐™ช๐™ฏ๐™– ๐˜ฟ๐™–๐™ก๐™ž๐™ก๐™ž!

Usawa wa sukari ya damu hauonyeshi kila wakati na dalili kubwa. Wakati mwingine, inaonekana kimya... kwa njia ambazo tunapuuza kwa urahisi: -

๐Ÿ˜– Maumivu ya kichwa
๐Ÿฅฑ Uchovu
๐Ÿ’ซ Kizunguzungu
๐Ÿ‘€ Uoni hafifu
๐Ÿฝ๏ธ Njaa ya mara kwa mara
๐Ÿฅค Kiu iliyopitiliza
๐Ÿšฝ Kukojoa mara kwa mara
๐Ÿงค Ganzi au kuwashwa
โšก Mikono inayotetemeka

au zaidi kati ya hizi, mwili wako unajaribu kuzungumza nawe. Usisubiri hadi uone dalili mbaya zaidi. ๐Ÿ‘‰๐Ÿฝ Anza mabadiliko leo ya chakula chako, vinywaji vyako na fanya mazoezi . Anza na mabadiliko madogo..

๐‘ฒ๐’‚๐’๐’–๐’”๐’‰๐’ ๐‘ด๐’‚๐’†๐’๐’†๐’›๐’ ๐’‰๐’‚๐’š๐’‚ ๐’๐’Š ๐’Œ๐’˜๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’…๐’‰๐’–๐’Ž๐’–๐’๐’Š ๐’š๐’‚ ๐’Œ๐’Š๐’†๐’๐’Š๐’Ž๐’– ๐’‘๐’†๐’Œ๐’†๐’† ๐’๐’‚ ๐’”๐’Š ๐’Ž๐’ƒ๐’‚๐’…๐’‚๐’๐’‚ ๐’˜๐’‚ ๐’–๐’”๐’‰๐’‚๐’–๐’“๐’Š ๐’˜๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’•๐’Š๐’ƒ๐’‚๐’ƒ๐’–.

๐—ฃ๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐—ง๐—ถ๐—ฏ๐—ฎ ๐—ฏ๐—ผ๐—ฟ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ท๐—ถ๐—น๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—ž๐—ถ๐˜€๐˜‚๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ,๐—ฝ๐—ฟ๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ณ๐—ถ๐—ด๐—ผ ๐˜€๐—ฎ๐˜€๐—ฎ hivi :-

โ˜Ž๏ธTupigie au Njoo Mwenyewe Moja Kwa Moja Ofisini Mwenge, Kinondoni Manyanya , Ilala Boma Jirani na Ofisi ya mkuu wa mkoa au Kijitonyama Dar es salaam , Tanzania Jirani na Makumbusho Bus Stand.

๐Ÿ”…Mawasiliano :โ˜Ž๏ธ +255655562181 au +255769600821

Ku chart Nasi Moja Kwa Moja WhatsApp Bonyeza Hapa ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ https://wa.me/255655562181

" ,Jiunge na Group Letu la Whatsaapp .. Bonyeza Link hii hapa >>>>> https://chat.whatsapp.com/KCYfdXeCyVI1fVufcFbaVf

๐™†๐™ช๐™จ๐™๐™–๐™ง๐™š ๐™†๐™ฌ๐™– ๐™๐™–๐™ž๐™™๐™– ๐™”๐™– ๐™’๐™š๐™ฃ๐™œ๐™ž๐™ฃ๐™š.

--""MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOKUWA NA MIAKA 40 AU ZAIDI ""--       +255655562181 / +2557696008211 A. Mambo mawili ya kupi...
31/05/2025

--""MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOKUWA NA MIAKA 40 AU ZAIDI ""--

+255655562181 / +2557696008211

A. Mambo mawili ya kupima mara kwa mara:

(1) Msukumo wa damu(presha)
(2) Sukari kwenye damu

B. Mambo sita ya kupunguza kabisa kwenye chakula chako:

(1) Chumvi
(2) Sukari
(3) Vyakula vya makopo na vilivyokaa muda mrefu
(4) Nyama nyekundu kipekee ya kuchoma
(5) Bidhaa za maziwa
(6) Vyakula vyenye wanga

C. Vitu vinne vya kuongeza kwenye vyakula:

(1) Mbogamboga
(2) Maharage
(3) Matunda
(4) Karanga, korosho, macadamia, almond(nuts)

D. Mambo matatu unayotakiwa kuyasahau:

(1) Umri wako
(2) Yaliyopita
(3) Majonzi yako

E. Mambo manne ya lazima kuwa nayo, bila kujali hali yako:

(1) Marafiki wanaokupenda kweli
(2) Familia inayokujali
(3) Mawazo chanya
(4) Nyumba yenye furaha.

F. Mambo manne ya kufanya ili kuwa na afya njema:

(1) Kufunga
(2) Kutabasamu na kucheka
(3) Kutembea/mazoezi ya mwili
(4) Kupunguza uzito

G. Mambo sita ya kutofanya:

(1) Usisubiri hadi upate njaa ili ule.
(2) Usisubiri upate kiu ndio unywe maji
(3) Usisubiri upate usingizi ndio ulale.
(4) Usisubiri uchoke kabisa ndipo ulale
(5) Usisubiri uugue ndipo uende hospitalini kupima afya yako la sivyo utajutia baadae
(6) Usisubiri uwe na tatizo ndipo umwombe Mungu akusaidie

JIJALI

Utaweza kutimiza ndoto zako ukizingatia hizi dondoo na kuwaona watoto wa watoto wako.

Asante kwa kusoma na kushea ๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ

โ˜†Unaposhea kontenti k**a hii unawezesha watu wengi zaidi kipekee marafiki zako kufahamu jinsi ya kuwa na afya njema na maisha bora zaidi.

Jali Afya Yako +255655562181 / +255769600821

๐Ÿ•ณ Kwa msaada zaidi :- Tafadhali Usisite Kuwasiliana Nasi Kuhusu Tiba Kwa Njia za Kisasa Kabisa na Ushauri wa Masuala Mbali Mbali Ya Afya.

๐Š๐€๐‘๐ˆ๐๐” ๐๐ˆ๐Š๐”๐’A๐ƒ๐ˆ๐„ ๐๐ˆ๐†๐€ & ๐–๐‡๐€๐“๐’๐€๐๐

Callโž–text&smsโž–whatsapp๐Ÿ‘‡

โž– Ili Kupata Ushauri Bure na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

โž– Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa ๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰ https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

*TATIZO LA GANZI YA MIGUU NA MIKONO(MIGUU KUWAKA MOTO NA TIBA YAKE)*Ganzi ni moja ya tatizo/ugonjwa unaowakumba watu wen...
23/04/2025

*TATIZO LA GANZI YA MIGUU NA MIKONO(MIGUU KUWAKA MOTO NA TIBA YAKE)*

Ganzi ni moja ya tatizo/ugonjwa unaowakumba watu wengine sana na ni tatizo ambalo linakera sana kwa sababu hata unapoenda hospitali Mara nyingi hawapati tatizo lolote

*NINI HASWA CHANZO CHA TATIZO HILI*

*1:UMRI*

Kawaida mtu anapokua umri umeenda, mwili mzima uzeeka pamoja na mfumo mzima wa damu, hii husababisha mishipa midogo midogo ya damu kufa, au kuziba hii husababisha chakula na hewa ya oksijeni kutofika kwa ufasaha maeneo ya mbali k**a miguuni na vidoleni hali hii hupeleekea mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa safi hivyo ganzi hutokea

*2:KISUKARI*

Sukari inapokua nyingi kwenye mzunguuko wa damu hupelekea kuunguza mishipa ya damu halo hii husababisha mishipa kusinyaa ambalo hupelekea hewa ya oksijeni na chakula kutofika kwa ufadsaha maeneo ya mbali sana k**a miguuni na mikononi hali hii husababisha mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa hivyo husababisha ganzi

*3:DAMU NZITO*

Damu inapokua nzito pia hupelekea MTU kupata tatizo LA ganzi kwa ni husababisha kutofika kwa damu kwenye mishipa midogo midogo ya damu hii hupelekea ganzi pia

*Msaada zaidi.

โ˜Ž๏ธTupigie au Njoo Mwenyewe Moja Kwa Moja Ofisini , Ilala Boma Jirani na Ofisi ya mkuu wa mkoa au Kijitonyama Dar es salaam , Tanzania Jirani na Makumbusho Bus Stand.

๐Ÿ”…Mawasiliano :โ˜Ž๏ธ +255655562181 au +255769600821

Ku chart Nasi Moja Kwa Moja WhatsApp Bonyeza Hapa ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ https://wa.me/255655562181

" ,Jiunge na Group Letu la Whatsaapp .. Bonyeza Link hii hapa >>>>> https://chat.whatsapp.com/KCYfdXeCyVI1fVufcFbaVf

Kushare Kwa Faida Ya Wengine.

"VYAKULA 16 VINAVYOONGEZA KINGA YA MWILI"โœ’ Watu wengi tumekuwa tukijiuliza kinga ya mwili ni kitu gani na je ni nini tuf...
12/04/2025

"VYAKULA 16 VINAVYOONGEZA KINGA YA MWILI"

โœ’ Watu wengi tumekuwa tukijiuliza kinga ya mwili ni kitu gani na je ni nini tufanye ili kuiongeza hiyo kinga ndani ya miili yetu. Suala la kuimarisha na kuiongeza kinga ya mwili linapaswa kuwa ni jambo endelevu la kila siku.

โœ’ Hakuna dawa au chakula cha kula siku moja na kuponya tatizo la kushuka kinga ya mwili milele. Kinga ya mwili huongezeka ama kupungua kila siku kutegemea na umekula nini, umekunywa nini au hali ya ubongo wako kwa ujumla ipoje kwa siku hiyo, mathalani k**a umeshinda una hasira hasira tu kutwa nzima lazima na kinga yako itapungua.

โœ’ Mwili ulibuniwa na Mungu uweze kujitibu wenyewe bila kuhitaji DAWA YOYOTE. Ulivyo ni vile unavyokula na kunywa. Shida ni kuwa watu wengi hatujuwi tule nini kwa ajili ya nini, mara nyingi tunakula ili tushibe.

โœ’ Fanya chakula kiwe ndiyo dawa zako na dawa zako ziwe ni chakula unachokula. Kinga yako inapokuwa na nguvu na ya kutosha huwezi kuugua ugonjwa wowote kirahisirahisi.

Vifuatavyo ni vyakula na mitishamba 16 inayoweza kukusaidia kuongeza kinga ya Mwili wako

๐Ÿ‘‰ Vyakula vinavyoongeza Kinga ya mwili"

1. MTINDI (yoghurt).

โœ’ Hutengenezwa kwa kutumia maziwa ya ngโ€™ombe na kimea, hupatikana kwa ladha mbalimbali kulingana na matakwa yako, yogati pengine ndio chakula kinachoongoza kwa kuogeza kinga ya mwili wako

๐Ÿ‘‰ 2. MATUNDA.

โœ’ Yanapatikana sehemu yoyote duniani kwa bei unazozimudu, katika mlo wako wowote jitahidi usiache kujumuisha angalau tunda la aina moja. Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, mtu asiyekula matunda ana hatari kubwa zaidi ya kupata magonjwa zaidi ya mlaji wa matunda.

โœ’ Unaweza kuamua pia moja ya mlo wako katika siku k**a ni wa jioni au wa mchana au wa asubuhi uwe ni matunda tu na si kitu kingine zaidi. Jaza kwenye sahani yako ndizi, embe, papai, nanasi, tikiti maji, parachichi nk, sahani iwe na matunda tu kula hadi ushibe matunda tu.

๐Ÿ‘‰ 3. Tui la N**i:

โœ’ N**i ikiliwa na binadamu hugeuza aina hizo za mafuta kuwa tindikali ambayo kitaalamu huitwa โ€˜medium chain fatty acidsโ€™ au kwa kifupi (MCFAโ€™s) ambazo huwa na uwezo wa kuiimarisha kinga ya mwili na hivyo kuupa mwili uwezo wa kuyashinda maradhi mbalimbali".

โœ’ Matumizi ya n**i k**a tiba ya kuimarisha kinga ya mwili duniani yalishika kasi mwaka 1990 mara baada ya mtafiti wa tiba kutoka Iceland, Bw. Halldor Thormar, kubaini maajabu ya tiba hii. Waathirika wa UKIMWI toka sehemu mbalimbali duniani waliotumia n**i walitoa ushuhuda wao wa namna walivyopata nafuu mara baada ya kutumia n**i k**a tiba.

โœ’ Dozi yake ni rahisi, kunywaji glasi nne za tui la n**i kila siku kwa muda wa kati ya miezi mitatu hadi minne, huweza kuondoa maradhi yote yanayosababishwa na kupungua kwa kinga ya mwili na pia hungโ€™arisha ngozi na kuifanya kuwa nyororo.

โœ’ Kula n**i kwa wingi kadiri uwezavyo, k**a kinga yako imepunguwa basi anza kunywa tui la n**i glasi nne kwa siku na utaona maajabu ndani ya miezi mitatu tu. K**a tayari una vidonda visivyopona basi paka mafuta ya n**i kila utokapo kuoga, na matokeo utayaona bayana.

๐Ÿ‘‰ 4. VITUNGUU SWAUMU".

โœ’ Hupatikana kwa wingi Tanzania! Japokuwa vitunguu swaumu vimekuwa vikitumika sana kwa ajili ya matibabu ya magonjwa mbalimbali toka enzi za mababu, wataalamu wameshauri pia vitunguu hivi ni chanzo muhimu kwa kinga ya binadamu. Lakini ili upate faida zaidi za kitunguu swaumu utatakiwa ukimeze katika maji kikiwa kibichi, yaani bila kupitishwa katika moto au kuwa kimepikwa.

โœ’ Chukuwa kitunguu swaumu kimoja, Kigawanyishe katika punje punje, chukua punje 6 hivi, Menya punje moja baada ya nyingine. Kisha vikatekate (chop) vipande vidogo vidogo na kisu, Meza k**a unavyomeza dawa na maji vikombe 2 kila unapoenda kulala au fanya kutwa mara 2.

๐Ÿ‘‰ 5. Mlonge:

โœ’ Mlonge au Moringa oleifera kwa kiingereza umekuwa ukijulikana k**a mti wa miujiza kwa karne nyingi katika baadhi ya nchi za Afrika, Asia na katika nchi za Caribbean. Mti huu umeripotiwa kutibu zaidi ya magonjwa 300 ikiwemo magonjwa mbalimbali sugu.

โœ’ Karibu kila sehemu ya mti huu hutumika k**a dawa. Majani ya mlonge yanaweza kutafunwa mabichi, yaliyochemshwa k**a mboga au yaliyokaushwa na kusagwa kuwa unga. Unga wa mlonge unaweza kuhifadhiwa kwa miezi kadhaa bila kupoteza ubora na faida zake za kiafya.

โœ’ Mbegu za mlonge zimekuwa dili kubwa duniani kwa sasa, zinahitajika kwa kiasi kikubwa katika nchi ya Marekani na China na kwa mjibu wa taarifa ni kuwa zinauzwa mpaka shilingi 45000 ya Tanzania kwa gramu 500. Walikuja pia wachina kuzinunua kwa wingi na walipokuwepo hapa Tanzania bei ya mbegu za mlonge ilifika mpaka 11000 kwa kg kwa bei ya jumla yaani kwa anayechukua kg 100 au 500 au 1000 na kwenda juu.

โœ’ Taarifa zisizo rasmi zinadai Wachina hawa walikimbia nchini baada ya serikali kuanza kufuatilia na kuwak**ata wakwepaji kodi bandarini. Isingekuwa hivi mpaka leo mlonge ungekuwa umeshatoweka wote Tanzania.

โœ’ Faida za mlonge zimeandikwa na majarida ya afya na lishe kadhaa duniani. Kile ulikuwa hujuwi ni kuwa viwanda na makampuni mengi ya dawa za hospitalini yamekuwa yakitumia virutubishi vilivyomo kwenye mti huu kutengenezea madawa kwa ajili ya binadamu na wanyama.

๐Ÿ‘‰ MLONGE UNA:

*Kalsiamu mara 17 zaidi ya ile ya maziwa ya ngโ€™ombe
*Potasiamu mara 15 zaidi ya ile ya kwenye ndizi
*Una vitamini A mara 10 zaidi ya ile ya kwenye karoti
*Una protini nyingi mara 9 zaidi ya ile ya kwenye mtindi (Yogurt)
*Una Klorofili (kemikali ya rangi ya kijani ipatikanayo katika mimea) mara 4 zaidi ya ile ya kwenye nyasi au majani ya ngano (wheatgrass)
*Una madini chuma (iron) mara 25 zaidi ya yale ya kwenye Spinach
*Una vitamini A mpaka Z,
*Una Omega 3, 6, na 9
*Una asidi amino zile mhimu zaidi zinazohitajika na mwili
*Una kiasi cha kutosha cha madini ya Zinc ambayo ni madini mhimu katika kuongeza homoni za kiume na nguvu za kiume kwa ujumla

๐Ÿ‘‰ MLONGE NDICHO CHAKULA CHENYE AFYA ZAIDI KULIKO CHAKULA KINGINE CHOCHOTE JUU YA ARDHI;

๐Ÿ‘‰ 6. Asali yenye Mdalasini

โœ’ Asali ni dawa kwa kila ugonjwa, zingatia tu unapata asali mbichi na nzuri ya asili kwani endapo utauziwa asali iliyochakachuliwa kuna hatari ya kuharibu afya yako zaidi. Katika kila lita moja ya asali ongeza vijiko vikubwa vya chakula 8 vya unga wa mdalasini na uchanganye vizuri kisha lamba kijiko kimoja cha chakula cha mchanganyiko huo kila siku kutwa mara tatu kwa mwezi mmoja hivi kinga yako ya mwili itarudi katika hali yake nzuri.

๐Ÿ‘‰ 7. UYOGA:

โœ’ Usishangae! Ndio.. hiki ni moja ya vyakula muhimu zaidi kuimarisha afya yako kwani huchangia kiasi kikubwa kuimarisha seli nyeupe za damu zinazofanya kazi ya kupambana na magonjwa mbalimbali!

๐Ÿ‘‰ 8. SUPU YA KUKU:

โœ’ Wengi watahisi ni gharama lakini si kubwa kuzidi gharama ya kumuona daktari! Unywaji wa supu ya kuku ya moto husaidia kuzuia kupungua kwa seli nyeupe za damu vilevile hupunguza uwezekano wa kupata matatizo yanayohusiana na mapafu na mfumo wa hewa kiujumla!

โœ’ Mhimu ni kuwa supu hii ya kuku hakikisha ni ya kuku wa kienyeji tu.

๐Ÿ‘‰ 8. Mafuta ya habbat soda

โœ’ Unaweza kutumia mafuta ya habbat soda kuimarisha kinga yako ya mwili kwa ujumla na hivyo kuongeza ulinzi wa mwili wako dhidi ya magonjwa mbalimbali ikiwemo dhidi ya bakteria na virusi. Mafuta ya habbat soda ndiyo bidhaa pekee ya asili iwezayo kuimarisha kinga yako ya mwili kwa muda mfupi.

โœ’ Ukiacha hili la kuongeza kinga ya mwili, Habbat soda ni dawa kwa kila ugonjwa isipokuwa kifo.

๐Ÿ‘‰ 9. Ubuyu:

โœ’ Pata kikombe kimoja cha juisi ya ubuyu kila siku (kumbuka uwe ubuyu halisi). Ubuyu una vitamini C nyingi zaidi kuliko ile ipatikanayo kwenye machungwa au maembe.

โœ’ Unga wa ubuyu unaelezwa kuwa na vitamini na madini mengi kuliko matunda mengine yoyote unayoyajuwa.

1. Inaelezwa kuwa unga wa ubuyu una vitamini C nyingi mara 6 zaidi ya ile inayopatikana katika machungwa.
2. Ubuyu una kiwango kingi cha madini ya Kashiamu (Calcium) mara 2 zaidi ya maziwa ya ngโ€™ombe, pia madini mengine yapatikanayo katika ubuyu ni pamoja na madini ya Chuma, Magnesiamu na Potasiamu ambayo ni mara 6 zaidi ya ile potasiamu ipatikanayo katika ndizi!
3. Husaidia kujenga neva za fahamu mwilini
4. Ina virutubisho vya kulinda mwili
5. Ubuyu una vitamini B3 na B2 ambayo ni mhimu katika kuondoa sumu mwilini na umengโ€™enyaji wa madini ya chuma, kimsingi vyakula vyenye afya zaidi kwa ajili ya mwili ya binadamu huwa pia huwa na vitamin B2.
6. Unaongeza kinga ya mwili sababu ya kuwa na kiasi kingi cha vitamini C
7. Huongeza nuru ya macho
8. Husaidia kuzuia kuharisha na kutapika
9. Ina magnesiam ambayo husaidia kujenga mifupa na meno
10. Husaidia wenye presha ya kushuka na wenye matatizo ya figo

โœ’ Unywe kiasi gani? Jipatie kikombe kimoja cha juisi ya ubuyu kila siku hasa usiku na baada ya wiki kadhaa utaona matokeo yake mwilini.

โœ’ Ili upate faida za juisi ya ubuyu, zinazoelezwa hapa, lazima upate ule ubuyu halisi (mweupe) usiochanganywa na kitu kingine cha kuongeza ladha au rangi.

๐Ÿ‘‰ 11.VIAZI VITAMU(mbatata):

โœ’ Unaweza kuhisi ngozi sio sehemu ya muhimu katika kinga ya binadamu lakini ukweli ni kwamba ngozi ni sehemu ya muhimu sana kwa mwili wa binadamu. Kwa kinga kamili ya mwili wa binadamu tunahitaji Vitamin A ambayo hupatikana kwa wingi kwenye viazi vitamu

๐Ÿ‘‰ 12. KAROTI:

โœ’ Karoti zina ziada kubwa ya vitamin pengine kuliko tunda lolote lile hivyo jitahidi kujumuisha karoti k**a kiungo kwenye chakula au unaweza kuitafuna ikiwa mbichi!

๐Ÿ‘‰ 13. SAMAKI:

โœ’ Husaidia seli nyeupe kuzalisha ctokins zinatohusika kuzuia baadhi ya magonjwa yanayosababishwa na virusi hasa yale yanayohusiana na mfumo wa hewa nk.

๐Ÿ‘‰ 14. MATIKITI:

โœ’ Wengi Hudharau lakini tunda hili ni muhimu sana katika afya ya kila siku ya binadamu kwani husaidia kuongeza kiasi cha maji mwilin, madini chuma na kuimarisha seli nyeupe za damu.

โœ’ Tunda linasaidia kuwa na uwezo mkubwa wa kuimalika kwa misuli na mfumo wa fahamu kufanya kazi zake vizuri na kuondoa katika hatari ya kupata shinikizo la damu.

๐Ÿ‘‰ Faida 13 za tikiti maji kiafya

โ€ข Asilimia 92 yake ni maji
โ€ข Vitamini A ndani yake huboresha afya ya macho
โ€ข Vitamini C ndani yake huimarisha kinga ya mwili,
โ€ข Huponya majeraha,
โ€ข Hukinga uharibifu wa seli
โ€ข Huboresha afya ya meno na fizi
โ€ข Vitamini B6 husaidia ubongo kufanya kazi vema
โ€ข Hubadilisha protin kuwa nishati
โ€ข Chanzo cha madini ya potasiamu
โ€ข Husaidia kushusha na kuponya shinikizo la damu
โ€ข Hurahisisha mtiririko wa damu mwilini
โ€ข Huondoa sumu mwilini
โ€ข Huongeza nguvu za kiume hasa ukila pamoja na mbegu zake

๐Ÿ‘‰ 15. MAJI YA KUNYWA:

โœ’ K**a kuna Kitu cha kwanza kwa uhai wa binadamu basi ni maji. Bila kunwya maji ya kutosha bado utakuwa katika hatari ya kupata magonjwa mbalimbali. Angalau glasi 8 hadi 10 za maji kwa siku ni muhimu kwa afya yako!.

โœ’ Kila mtu ana kiasi cha maji anachohitaji kunywa kila siku kwa mjibu wa uzito wake.

๐Ÿ‘‰ 16. Mbegu za Maboga:

โœ’ Mbegu za maboga pia zina kiasi kingi cha madini ya Zinki (Zinc). Madini haya yana faida lukuki mwilini, ikiwa ni pamoja na kuimarisha kinga ya mwili, kuboresha ukuaji na uundaji wa chembechembe hai za mwili, kuboresha usingizi, kuboresha ladha mdomoni na harufu, huboresha afya ya macho na ngozi, hurekebisha sukari na huboresha nguvu za kiume pia.

โœ’ Upungufu wa madini ya Zinc mwilini una uhusiano mkubwa sana na matatizo ya kuzaa watoto njiti, kuota chunusi nyingi mwilini, watoto kuwa na uwezo mdogo darasani kimasomo na matatizo mengine mengi ya kimwili na kiakili.

๐Ÿ‘‰ Namna nzuri ya kula mbegu za maboga:

โœ’ Unaweza kula zikiwa kavu na ndiyo utapata faida nyingi zaidi ingawa mimi napenda kuzikaanga kidogo k**a dakika 15 hivi na huwa n**ichanganya na maji ya chumvi ya mawe ya baharini kidogo kwa mbali ili kupata radha.

โœ’ Unahitaji ujazo wa kiganja kimoja cha mkono wako cha mbegu za maboga kwa siku ujazo wa k**a nusu kikombe cha chai hivi kwa siku.

โœ’ Vitu vinavyoharibu na kushusha kinga ya mwili

1. Msongo wa mawazo (stress)
2. Vilevi vyote
3. Lishe duni (chakula kichache)
4. Kutokufanya mazoezi ya viungo
5. Kutumia dawa za kupunguza maumivu kila mara bila ushauri wa kitaalamu.

๐Ÿ”…Mawasiliano :โ˜Ž๏ธ 0655562181 au 0769600821

Ku chart Nasi Moja Kwa Moja WhatsApp Bonyeza Hapa ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ https://wa.me/255655562181

"Ili Kuwa Karibu Nasi Saa 24 ( 24hrs ) Kwa Msaada na Ushauri Wa Magonjwa Mbali Mbali , Jiunge na Group Letu la Whatsaapp .. Bonyeza Link hii hapa >>>>> https://chat.whatsapp.com/KCYfdXeCyVI1fVufcFbaVf

SHARE post hii kwa ajili ya wengine

_*USIYOYAJUA KUHUSU "TEZI DUME" NA FAIDA ZAKE*_~ +255769600821 / +255655562181 ~โ€ข Hii ni Tezi ambayo Inaundwa na sehemu ...
08/04/2025

_*USIYOYAJUA KUHUSU "TEZI DUME" NA FAIDA ZAKE*_

~ +255769600821 / +255655562181 ~

โ€ข Hii ni Tezi ambayo Inaundwa na sehemu mbili ambazo zimeunganishwa na kufunikwa kwa nje kwa utando wa tishu.

โ€ข Tezi hii ipo mbele kidogo ya puru ( *re**um* ) na chini kidogo ya kibofu cha mkojo.

โ€ข *Tezi dume* inauzunguka mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na uume ( *urethra* ).

* KAZI ZA TEZI DUME*

1โ€ข *Tezi dume* hutoa majimaji ambayo huchanganyika na mbegu za kiume na kutengeneza shahawa.

โ€ข Asilimia 60 ya shahawa huwa ndio hayo majimaji yaliyo tengenezwa na *tezi dume* na asilimia 40 ndio mbegu za kiume zilizotengenezwa kwenye kiwanda cha mbegu ( *korodani* ).

2โ€ข Majimaji yanayotoka kwenye *tezi Dume* ndiyo huanza kutangulia mbele kusafisha njia ya mkojo ili kuondoa asidi kwenye njia hiyo na kubakia hali ya *alkaline* ili mbegu za kiume zisife.

โ€ข Hivyo inaondoa asidi na pia in**ilinda zisife kuanzia kwenye njia ya mkojo ya mwanaume mpaka *ukeni kwa mwanamke* maana nako Pia kuna asidi sana.

3. Kazi nyingine ya *tezi dume* ni *kuchuja sumu* ili zisichanganyike na mbegu za kiume hivyo hata mbegu inakuwa haina ugonjwa na salama.

4. *Tezi dume* ndio yenye kufunga njia ya mkojo na kuruhusu mbegu za kiume zitoke wakati umefika kileleni na kuziba njia ya mbegu za kiume na kufungua njia ya mkojo unapokuwa umemaliza tendo.

5. Wanaume tukimaliza tendo huwa shahawa zinaruka sana hiyo ni kazi ya *tezi dume*.

โ€ข K**a shahawa zako zinamwagika tu lakini haziruki zenyewe k**a mkojo nikiwa na maana kwa speed ujue *tezi dume* lako haliko sawa.

โ€ข Pia Inakuwa ngumu mbegu zako kufikia yai la mwanamke na kumpa ujauzito Kwa Sababu Zitakosa Uwezo Wa Kusafiri Kwa Wepesi Endapo *Tezi dume haina Uwezo Wa Kutosha .

6. *Tezi dume* inailinda njia ya mkojo isishambuliwe na vijidudu vya U.T.I.

7. *Tezi dume* ni sehemu ya kilele cha raha kwenye tendo la ndoa kwa mwanaume.

8. *Tezi dume* Kupitia majimaji yake ndio inayosaidia Kusafirisha *mbegu za kiume* kutoka kwa mwanaume mpaka kwa mwanamke na kukutana na yai la mwanamke.

9. Majimaji yanayotoka kwenye *tezi dume* ambayo ndani Yake Kuna Protein ndiyo chakula cha mbegu za kiume , Endapo Maji haya Yakiosekana Mwanaume ana Uwezekano Mkubwa Wa Kupeleka Kwenye Kizazi Cha Mwanamke Mbegu mfu na Zisizo na Uwezo Wa Kutungisha mimba.

โ€ข Kwa hiyo mbegu za kiume zinapata chakula kutoka kwenye *tezi dume* .

*Kuvimba Tezi Dume (BPH)".*

โ€ข Kwa kadri mwanaume anavyozeeka, ni jambo la kawaida pia kwa *tezi dume* kuongezeka ukubwa Kupita Kiwango Cha Kawaida au kuvimba.

โ€ข Sababu Ya *Kuvimba kwa *tezi dume*.

โ€ข Chanzo halisi cha kuvimba kwa tezi au vihatarishi vyake ( *risk factors* ) havijulikani kwa uhakika.

โ€ข Kwa muda mrefu imekuwa ikichukuliwa kuwa ugonjwa huu hutokea kwa wanaume watu wazima na wazee tu lakini siku hizi hata vijana..

โ€ข Ingawa Baadhi Ya tafiti Zinaonyesha Kuhusika Kwa Baadhi Ya Sababu K**a :- Hormones , Ongezeko la Umri Maambukizi Ya Magonjwa Ya Mfumo wa Mkojo Kuhusishwa na Uwezejano Mkubwa Wa Kusabiaha tatizo hili la Kuvimba au Kukua Kusiko Kwa Kawaida Kwa *tezi dume*.

*Dalili Za Kuvimba Kwa*Tezi Dume*

- Kukojoa mkojo unaokatika katika.
- Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu.
- Kuchukua muda kabla ya mkojo kuanza kutoka.
- Hali ya kujihisi kubanwa na mkojo kila mara.
- Kushindwa kuthibiti mkojo kiasi cha mkojo kutirika wenyewe.
- Hali ya kuhisi mkojo haujaisha kwenye kibofu.
- Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku.
- Kushindwa kukojoa kabisa ( *Urine retention* ) .

*Madhara Ya Kuvimba Kwa Tezi dume* :

โ€ข Endapo mtu atapatwa na tatizo la Kuvimba kwa *tezi dume* inaweza Pia Kusababisha Vijiwe kwenye Kibofu cha mkojo.
- Maambukizi Yasiyokwisha ( *Mara Kwa Mara* ) Katika njia ya mkojo ( *U.T.I* ).
- Madhara katika figo au kibofu.
- Shinikizo la damu ( *Pressure* ).
-Kufanya tendo la ndoa bila kutoa Shahawa Kwenye Uume ( *retrograde ej*******on* ).
- Kupungua kwa *nguvu za kiume* na kushindwa *tendo la ndoa*.
- Kushindwa Kusamisha Uume ( *Uhanithi* ) au Kusimama Kwa taabu Sana.

*Msaada zaidi.

โ˜Ž๏ธTupigie au Njoo Mwenyewe Moja Kwa Moja Ofisini , Ilala Boma Jirani na Ofisi ya mkuu wa mkoa au Kijitonyama Dar es salaam , Tanzania Jirani na Makumbusho Bus Stand.

๐Ÿ”…Mawasiliano :โ˜Ž๏ธ +255655562181 au +255769600821

Ku chart Nasi Moja Kwa Moja WhatsApp Bonyeza Hapa ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ https://wa.me/255655562181

" ,Jiunge na Group Letu la Whatsaapp .. Bonyeza Link hii hapa >>>>> https://chat.whatsapp.com/KCYfdXeCyVI1fVufcFbaVf

Kushare Kwa Faida Ya Wengine.

Address

Kijitontama
Dar Es Salaam
T17

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jali Afya Yako posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Jali Afya Yako:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram