Health talk clinic

  • Home
  • Health talk clinic

Health talk clinic Nawasaidia Watu kujikinga na Maumivu ya mifupa na maungio.
✔️Ganzi ,kuwaka Moto miguuni na mikononi.

LISHE & AFYA YA MIFUPA."Kinacholeta tofauti kwenye afya ya mifupa ni LISHE. Si tu LISHE, bali ile yenye virutubisho vya ...
07/11/2023

LISHE & AFYA YA MIFUPA.

"Kinacholeta tofauti kwenye afya ya mifupa ni LISHE. Si tu LISHE, bali ile yenye virutubisho vya kutosha vya; Kalsiamu, Vitamin D na Protini navyo husaidia kujenga mifupa imara na kukukinga na mvunjiko".

K**a unahitaji dondoo mbalimbali za kukusaidia. Wasiliana nasi


WHATSAPP
0685 270 490

K**a una maumivu ya mgongo na kulinda afya ya uti wa mjongo fuata maelekezo kuwa na afya bora.
26/10/2023

K**a una maumivu ya mgongo na kulinda afya ya uti wa mjongo fuata maelekezo kuwa na afya bora.

Haya ni mazoezi yatakayo kusaidia kupunguza maumivu ya mgongo.
13/10/2023

Haya ni mazoezi yatakayo kusaidia kupunguza maumivu ya mgongo.

Haya mazoezi yatakusaidia kupunguza maumivu ya mgongo.
13/10/2023

Haya mazoezi yatakusaidia kupunguza maumivu ya mgongo.

13/10/2023
Maumivu ya maungio hayaishi kwa sababu ya:_1:Unatumia dawa za kutuliza maumivu badala ya matibabu ya kuondoa chanzo cha ...
13/10/2023

Maumivu ya maungio hayaishi kwa sababu ya:_
1:Unatumia dawa za kutuliza maumivu badala ya matibabu ya kuondoa chanzo cha tatizo.
2:Chakula unachokula akiusaidii mwili kupokea matibabu.
3:Imarisha seli na homoni amabazo zimedhoofika.
4:Saidia mwili kuondoa sumu .

WHATSAPP https://wa.me/message/KW6PWMBYZ57CB1

NILITESEKA NA TATIZO LA MIFUPA, JOINTS NA MGONGO KWA MIAKA MINGI HADI NILIPOIJUA SIRI HII!!Naitwa Amadi. Nina umri wa mi...
13/10/2023

NILITESEKA NA TATIZO LA MIFUPA, JOINTS NA MGONGO KWA MIAKA MINGI HADI NILIPOIJUA SIRI HII!!

Naitwa Amadi. Nina umri wa miaka 45 sasa. Naishi Masaki Dar es Salaam.

Kwa kifupi sana ni kuwa nimepitia changamoto kubwa sana ya mifupa, joints na MGONGO kwa muda mrefu.
Mwanzo haikuwa shida. Maumivu yalikuwa madogo. Hii ilikuwa ni miaka k**a 6 iliyopita.

Mwaka jana tatizo likawa kubwa mno kiasi kwamba nikawa nashindwa hata kukaa vizuri.

Nilipata ushauri na "matibabu" kadhaa hospitali lakini sikufanikiwa. Nikatafuta matibabu sehemu nyingi lakini nikawa sioni mabadiliko makubwa. Nilikuwa napata nafuu ndiyo lakini ya muda tu. Baada ya mwezi tena maumivu yanarudi.

Nikaanza kukata tamaa!
Lakini miezi michache iliyopita nikaona makala moja hapa mtandaoni ikiongelea mambo ambayo mtu mwenye changamoto ya mifupa anapaswa kuyajua. Nikaisoma na kujifunza sababu NYINGI SANA za kwa nini watu wanaendelea kuteseka na matatizo ya mifupa na joints! Sababu zingine niliona zinanihusu. Mfano kukimbilia DAWA ZA KUTULIZA MAUMIVU (pain killers) ambazo zenyewe zipo kwa ajili ya kumpa mhusika TEMPORARY RELIEF (nafuu ya muda tu) na siyo kudili na chanzo cha tatizo.

Kingine walielezea kuwa watu wengi hawazingatii vitu vidogo k**a vile kiti anachokalia ofisini kipoje, mazoezi anayofanya yapoje na ni lishe gani mhusika ale na Godoro analolalia na mito ipoje. Nk
PIA walinishauri kitu Cha muhimu Sana ambacho sikuwahi kufikiria nadhani Watu wengi wenye maradhi ya mda mrefu wanapitia hili.Waliambia kwamba unapofikia umri kuanzia miaka 35 na kuendekea waga Kuna baadhi ya seli na homoni za mwili hupunguza nguvu ya kufanya kazi vizuri hasa Kinga ya mwili.Ndo maana unakuta Watu wengi wa changamoto ya maungio na Mifupa huwa na tatizo kwa MDA mrefu licha ya kutumia dawa za kuondoa tatizo hilo.

Nilifuata ushauri wao na Kupata huduma Bora ya kuondokana na maumivu ya maungio na Mifupa pamoja na huduma ya kuimalisha seli,homoni na Kinga ya mwili kuwa imara zaidi.Pia ilinisaidia Sana sio kwa changamoto ya maungio na Mifupa tu Bali nilijikuta baadhi ya changamoto nilikuwa nazo zikapona kabisa .
Na sasa nimerejea kwenye maisha yangu vizuri zaidi kazini na nyumbani pia k**a MME WA MTU🔥🔥🔥

0685 270 490

NILITESEKA NA TATIZO LA MIFUPA, JOINTS NA MGONGO KWA MIAKA MINGI HADI NILIPOIJUA SIRI HII!!Naitwa Amadi. Nina umri wa mi...
12/10/2023

NILITESEKA NA TATIZO LA MIFUPA, JOINTS NA MGONGO KWA MIAKA MINGI HADI NILIPOIJUA SIRI HII!!

Naitwa Amadi. Nina umri wa miaka 45 sasa. Naishi Masaki Dar es Salaam.

Kwa kifupi sana ni kuwa nimepitia changamoto kubwa sana ya mifupa, joints na MGONGO kwa muda mrefu.

Mwanzo haikuwa shida. Maumivu yalikuwa madogo. Hii ilikuwa ni miaka k**a 6 iliyopita.

Mwaka jana tatizo likawa kubwa mno kiasi kwamba nikawa nashindwa hata kukaa vizuri.

Nilipata ushauri na "matibabu" kadhaa hospitali lakini sikufanikiwa. Nikatafuta matibabu sehemu nyingi lakini nikawa sioni mabadiliko makubwa. Nilikuwa napata nafuu ndiyo lakini ya muda tu. Baada ya mwezi tena maumivu yanarudi.

Nikaanza kukata tamaa!

Lakini miezi michache iliyopita nikaona makala moja hapa mtandaoni ikiongelea mambo ambayo mtu mwenye changamoto ya mifupa anapaswa kuyajua. Nikaisoma na kujifunza sababu NYINGI SANA za kwa nini watu wanaendelea kuteseka na matatizo ya mifupa na joints! Sababu zingine niliona zinanihusu. Mfano kukimbilia DAWA ZA KUTULIZA MAUMIVU (pain killers) ambazo zenyewe zipo kwa ajili ya kumpa mhusika TEMPORARY RELIEF (nafuu ya muda tu) na siyo kudili na chanzo cha tatizo.

Epuka maumivu ya mifupa Call/whatsapp  0685 270 490
11/10/2023

Epuka maumivu ya mifupa
Call/whatsapp 0685 270 490

Address

DAR ESSALAAM KIMARA

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Health talk clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram