PonaKisukari.

PonaKisukari. Tunawasaidia watu kuondokana na changamoto ya ugonjwa wa Kisukari

19/08/2025

UNASUMBULIWA NA ACIDIC REFLUX? 🔴

Je, unakumbwa na kiungulia, gesi tumboni, koo kuungua au ladha chungu mdomoni? Hii inaweza kuwa Acidic Reflux (GERD) – hali inayotokea pale tindikali ya tumbo inapopanda juu kwenye umio.

✅ Dalili za Acidic Reflux:-
✔️Maumivu kwenye koo
✔️Kuwa Na Kikohozi kikavu
✔️Kupata badiliko la sauti
✔️Kuhisi kuungua (Moto) kweny koo
✔️Kubeua Kila wakati
✔ Kiungulia mara kwa mara
✔ Maumivu ya kifua na koo kuungua
✔ Gesi na kujaa tumboni
✔ Ladha chungu au chachu mdomoni
✔ Kukosa usingizi kutokana na kiungulia

💡 Suluhisho?
✔ Epuka vyakula vyenye mafuta mengi na viungo vikali
✔ Kula mlo mdogo mara nyingi badala ya milo mikubwa
✔ Epuka kulala mara moja baada ya kula
✔ Tumia matibabu sahihi kupunguza tindikali

⚕ Unahitaji msaada wa kitaalamu? Wasiliana nasi kwa ushauri wa bure na upate suluhisho sahihi kwa afya yako!

📞 Piga simu / WhatsApp: 0658 579 122

👉 Afya yako ni kipaumbele chetu!

Unapojikuta ukiishi na KISUKARI, kila siku inakuwa kivuli cha matatizo: Maumivu ya mwili, uchovu wa mara kwa mara, na wa...
16/10/2024

Unapojikuta ukiishi na KISUKARI, kila siku inakuwa kivuli cha matatizo:

Maumivu ya mwili, uchovu wa mara kwa mara, na wasiwasi wa afya yako.

Huwa unajiuliza, Je, nitakaa hivi milele?

Kila jaribio unalofanya linakuacha ukijiona umekwama, unashindwa kufurahia maisha na shughuli unazopenda.

Lakini kuna njia nyingine!

Shuhuda za Pegidiat Plus zinathibitisha kuwa kuna matumaini—zaidi ya wagonjwa 300 wameweza kupambana na kisukari yao ndani ya siku 60!

Hii si tu dawa; ni nafasi ya pili ya kuishi maisha yenye afya na furaha.

Je, uko tayari kuachana na hofu na kuanza safari ya kupona?

Bonyeza link hii hapa chini:

https://patamauzo144.lpages.co/kisukari-lp/

Na ujifunze jinsi Pegidiat Plus inaweza kubadilisha maisha yako leo!

Nikiwa katika Sherehe tunapata Vinywaji….Ghafla nilipata msh*tuko na Kulingana na hali ile rafiki zangu walinipeleka hospitali Nyingine

02/07/2024

UJUE UGONJWA WA BAWASIRI NA TIBA YAKE

Nipigie:+255746862738 Dr Abdirahman

Sababu, Dalili, Tiba, Madhara Na Jinsi Ya Kujikinga.

Bawasiri ni hali ambapo mishipa ya damu katika puru (re**um) na sehemu ya haja kubwa (a**s) huvimba na kuwa na maumivu.

Sababu za ugonjwa huu wa Bawasiri ni k**a zifuatazo:-
1. Msukumo mkali wakati wa haja kubwa.
2. Kukaa kwa muda mrefu kwenye choo.
3. Uzito kupita kiasi.
4. Ujauzito.
5. Lishe yenye nyuzi kidogo.
6. Kuinua vitu vizito mara kwa mara.

Dalili za ugonjwa wa bawasiri ni:-
1. Maumivu au usumbufu katika eneo la haja kubwa.
2. Kuvimba na kuonekana k**a uvimbe katika eneo la haja kubwa.
3. Muwasho au uchungu katika eneo la haja kubwa.
4. Damu inayotoka wakati wa haja kubwa.
5. Kuvuja kwa kinyesi au majimaji bila kutarajiwa.

Tiba za ugonjwa huu ni k**a ifuatavyo japokuwa tatizo hili Huwa linajirudia:-
1. Madawa ya kupunguza maumivu k**a paracetamol na ibuprofen.
2. Madawa ya kupunguza uvimbe na muwasho k**a hydrocortisone.
3. Bafu la maji ya uvuguvugu (sitz bath).
4. Lishe yenye nyuzi nyingi na maji mengi.
5. Upasuaji (kwa bawasiri kali).
Tiba hizi uwa hazina msaada k**a muhudika hajafanya kitendo Cha kuondoa sumu mwilini mwake na kusafisha mfumo wake wa chakula.

Jinsi ya Kujikinga unapaswa kufanya yafuatayo:-
1. Kula lishe yenye nyuzi nyingi k**a matunda, mboga, na nafaka zisizokobolewa.
2. Kunywa maji ya kutosha kila siku.
3. Epuka kukaa kwenye choo kwa muda mrefu.
4. Fanya mazoezi mara kwa mara.
5. Epuka kuinua vitu vizito mara kwa mara.
6. Punguza uzito ikiwa unene kupita kiasi.

Kufuata mwongozo huu kunaweza kusaidia kupunguza hatari ya kupata bawasiri na kuboresha hali ya afya kwa ujumla.

Na k**a upo na tatizo hili basi sisi tunaweza kukusaidia tatizo lisijirudie na Wala hautofika katika hatua ya kufanyiwa UPASUAJI.

Wasiliana nasi kwa huduma na matibabu haya Kupitia namba 255746862738

Ni Mimi mwenye kujali afya yako Dr Abdirahman

HITIMISHO:
Tumekuandalia programu inayohusisha matumizi ya virutubisho vilivyo tengenezwa kutokana na mimea na matunda kwa ajili ya kuondoa chanzo na kutibu kabisa la Bawasiri. Ikiwa utahitaji virutubisho hivyo kwa ajili ya kutokomeza changamoto yako ya Bawasiri wasilina nasi kwa simu/whatspp namba 255746862738

Sawa ni sehemu ya tiba, lakini siyo tiba yenyewe....Ukitegemea dawa kwa 100% na kula Kila kinachopita mbele yako utakuwa...
16/02/2024

Sawa ni sehemu ya tiba, lakini siyo tiba yenyewe....Ukitegemea dawa kwa 100% na kula Kila kinachopita mbele yako utakuwa umefeli kwa 100%.

Mabadiliko ya mtindo wa maisha ndiyo ufunguo wa kutokomeza presha, kisukari,kupungua uzito,Kuirudiaha nguvu za kiume na kuepuka Madhara makubwa yatokanayo na ugonjwa unaokusumbua....

Tulinde afya zetu 🙏
14/02/2024

Tulinde afya zetu 🙏

Tutaonane asubuhi iliyo njema Mh E. Lowasa.🙏
11/02/2024

Tutaonane asubuhi iliyo njema Mh E. Lowasa.🙏

06/02/2024

Jinsi ya kujitibia ugonjwa wa Shinikizo la damu kwa Njia Asilia

K**a unataka kupata Suluhisho la Ugonjwa wa Shinikizo la damu, Uko na chaguzi 2;

1. Tiba ya namna ya kuishi na Shinikizo la damu (Hypertension Management)

Kwenye aina hii ya tiba, lengo kuu sio kuutokomeza kabisa ugonjwa huu,

Hapa mgonjwa anafuata baadhi ya mbinu chache kwaajili ya kupunguza makali ya ugonjwa, huku akibakia kuwa tegemezi wa Dawa za kushusha maisha yake yote..

Bahati mbaya ni kuwa aina hii ya tiba huendelea kulifanya tatizo hili liendelee kukomaa siku hadi siku..

Uchaguzi wa 2 ni;

2. Tiba ya kuuondoa kabisa ugonjwa wa Shinikizo la damu (Hypertensive Remission)

Hii ni tiba ambayo inajikita kutumia njia asilia zenye kusaidia kuuondoa ugonjwa wa Shinikizo la damu.

Tiba hii inauwezo mkubwa sana (Holistic Healing) kwani inajikita kwenye kuondoa mzizi wa tatizo la Shinikizo la damu pamoja na kukarabati mwili ili uweze kurudia hali ya awali k**a zamani.

Katika Tiba hii utatumia njia mbalimbali k**a;

✅ Kubadili aina ya Lishe unayokula kwa kipindi fulani ili kuruhusu mwili uanze kujitibia na kujikarabati (Dietotherapy)

✅ Njia ya pili inaitwa Food Abstention, hii ni formula maalumu kwaajili ya kuusaidia mwili kuongeza kasi ya kujitibia na kupokea matibabu yote unayofanya kipindi cha Tiba

✅ Njia nyingine za ziada kwaajili ya kuusaidia mwili wako kujitibia ni kuendelea kutumia Dawa za hospital kwa muda, kutumia mimea tiba, kufanya mazoezi n.k

Habari njema ni kuwa nimekuandalia Darasa maalumu kwaajili kukufundisha na kukusimamia ili uweze kutekeleza Tiba yenye kukusaidia kuondokana kabisa na ugonjwa huu

Bofya link hii ili kuweza kunitumia ujumbe WhatsApp Kupitia namba yetu ya 0717 392 665 bila malipo yoyote

>> https://wa.me/255717392665

Jiunge sasahivi kabla kwani tangazo hili halitakuwepo muda wote hewani na tunahudumia watu wengi sana

Mwenye kujali Afya yako

~ Dr. Gideon.
Mkurugenzi: Family Health Clinic

Tunawasaidia watu kuondokana na changamoto ya ugonjwa wa Kisukari

Jinsi ya kujitibia ugonjwa wa Shinikizo la damu kwa Njia AsiliaK**a unataka kupata Suluhisho la Ugonjwa wa Shinikizo la ...
06/02/2024

Jinsi ya kujitibia ugonjwa wa Shinikizo la damu kwa Njia Asilia

K**a unataka kupata Suluhisho la Ugonjwa wa Shinikizo la damu, Uko na chaguzi 2;

1. Tiba ya namna ya kuishi na Shinikizo la damu (Hypertension Management)

Kwenye aina hii ya tiba, lengo kuu sio kuutokomeza kabisa ugonjwa huu,

Hapa mgonjwa anafuata baadhi ya mbinu chache kwaajili ya kupunguza makali ya ugonjwa, huku akibakia kuwa tegemezi wa Dawa za kushusha maisha yake yote..

Bahati mbaya ni kuwa aina hii ya tiba huendelea kulifanya tatizo hili liendelee kukomaa siku hadi siku..

Uchaguzi wa 2 ni;

2. Tiba ya kuuondoa kabisa ugonjwa wa Shinikizo la damu (Hypertensive Remission)

Hii ni tiba ambayo inajikita kutumia njia asilia zenye kusaidia kuuondoa ugonjwa wa Shinikizo la damu.

Tiba hii inauwezo mkubwa sana (Holistic Healing) kwani inajikita kwenye kuondoa mzizi wa tatizo la Shinikizo la damu pamoja na kukarabati mwili ili uweze kurudia hali ya awali k**a zamani.

Katika Tiba hii utatumia njia mbalimbali k**a;

✅ Kubadili aina ya Lishe unayokula kwa kipindi fulani ili kuruhusu mwili uanze kujitibia na kujikarabati (Dietotherapy)

✅ Njia ya pili inaitwa Food Abstention, hii ni formula maalumu kwaajili ya kuusaidia mwili kuongeza kasi ya kujitibia na kupokea matibabu yote unayofanya kipindi cha Tiba

✅ Njia nyingine za ziada kwaajili ya kuusaidia mwili wako kujitibia ni kuendelea kutumia Dawa za hospital kwa muda, kutumia mimea tiba, kufanya mazoezi n.k

Habari njema ni kuwa nimekuandalia Darasa maalumu kwaajili kukufundisha na kukusimamia ili uweze kutekeleza Tiba yenye kukusaidia kuondokana kabisa na ugonjwa huu

Bofya link hii ili kuweza kunitumia ujumbe WhatsApp Kupitia namba yetu ya 0717 392 665 bila malipo yoyote

>> https://wa.me/255717392665

Jiunge sasahivi kabla kwani tangazo hili halitakuwepo muda wote hewani na tunahudumia watu wengi sana

Mwenye kujali Afya yako

~ Dr. Gideon.
Mkurugenzi: Family Health Clinic

30/01/2024

HIVI NI VITU MUHIMU SANA VYA KUZINGATIA WAKATI UKIWA MJAMZITO

Wakati wa ujauzito, kuna mambo kadhaa muhimu ya kuzingatia kwa afya yako na ile ya mtoto. Hapa kuna baadhi ya vitu vya kuzingatia:

1. Lishe Bora: Kula vyakula vyenye lishe na kufuata maelekezo ya daktari kuhusu virutubisho vya kuongeza.

2. Zoezi: Kufanya mazoezi mepesi kwa idhini ya daktari wako husaidia kudumisha afya na nguvu.

3. Mazungumzo na Daktari:Kuhudhuria vizuri kliniki na kushirikiana na daktari wako kwa ajili ya uchunguzi na ushauri wa kiafya.

4. Kuepuka Vitu Hatari: Epuka tumbaku, pombe, na dawa zisizohitajika kwa idhini ya daktari.

5. Kupumzika: Kupata usingizi wa kutosha ni muhimu kwa afya yako na mtoto.

6. Kujifunza Kuhusu Ujauzito: Elewa mabadiliko yanayotokea mwilini mwako na jifunze kuhusu maendeleo ya mtoto.

7. Usalama wa Kazini: Hakikisha mazingira yako ya kazi ni salama na elezea mahitaji yako kwa mwajiri.

8. Usaidizi wa Kisaikolojia: Kudumisha afya ya kisaikolojia ni muhimu; jifunze mbinu za kusimamia mstuko na presha.

9. Kuzuia Maambukizi: Epuka mazingira yenye hatari za maambukizi na fuata maelekezo ya usafi.

10. Kujiandaa kwa Kujifungua: Jifunze kuhusu mchakato wa kujifungua na fanya maandalizi ya kimwili na kisaikolojia.

Kila mwanamke ni tofauti, hivyo ni muhimu kushauriana na daktari wako kuhusu mahitaji yako maalum na jinsi ya kudumisha afya wakati wa ujauzito.
https://www.instagram.com/reel/C2uNE4MC5V2/?igsh=ajlzOHE3MnI0dHJz

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255717392665

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when PonaKisukari. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to PonaKisukari.:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram