14/12/2022
Tatizo la UGUMBA na Mimba Kuharibika limekuwa linaongezeka zaidi
Hali inayotia Hofu, huzuni pia kufedheka kwa mwanamke katika MAHUSIANO ...
Na cha kusikitisha, baadhi yao Tayari wamepambana kutumia Dawa tofauti Tofauti bila MAFANIKIO...
Miongoni mwa sababu (05) Hapo chini, ndizo zinasababisha USHINDWE kubeba mimba kwa wakati........
1️⃣Uwepo wa kasoro kwenye upevushaji wa mayai (40% ya wanawake)
2️⃣UHARIBIFU /KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI
unaosababishwa na maambukizi ya PID au Makovu labda kutokana na utoaji mimba katika njia zisizosalama
3️⃣UVIMBE kwenye kizazi :Dalili ni Maumivu chini ya Tumbo, kutokwa Damu nyingi, maumivu wakati wa tendo la ndoa, maumivu Ya mgongo na miguu, kukojoa mara kwa mara
4️⃣PID :Dalili za PID ni uchafu ukeni, maumivu ya tumbo Unapokaribia hedhi, Homa, Maumivu /kutokwa na Damu wakati wa tendo la ndoa, pia Kutokwa na Harufu mbaya ukeni.
5️⃣MVURUGIKO WA HOMONI :Homoni maalumu zinazosaidia Ushike UJAUZITO, zinapovurugika, upevushaji wa mayai huwa ni NADRA kutokea au Kutotokea kabisa.
6️⃣UMRI :Umri Mkubwa wa miaka 45 na kuendelea nafasi ya kushika mimba ni nadra sana kutokea
Ni KWELI hutafikia SULUHISHO(kushika ujauzito) iwapo hutopata matibabu sahihi 😔
ILA una nafasi Bado ya kubeba Mimba,
Kupata SULUHISHO rahisi tuwasiliane kupitia whatsapp/piga 0718341181 TUTAKUSAIDIA.