bk_healthcares

  • Home
  • bk_healthcares

bk_healthcares �AFYA YA UZAZI (WANAWAKE NA WANAUME)
U.T.I
P.I.D
HORMONE IMBALANCE
FIBROID
HEDHI

�AFYA YA WATOTO
Kuk

Tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana limewakumba vijana wengi sana lishe kamili ndiyo mkombozi wa tat...
14/10/2022

Tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana limewakumba vijana wengi sana lishe kamili ndiyo mkombozi wa tatizo hili kupitia virutubisho ambavyo vimethibitishwa kimataifa kupitia vyakula ambavyo vinauwezo wa kutatua changamoto hizi moja kwa moja kwa Wanaume

Mawasiliano zaidi
Piga simu/Whatsapp ➡️ 0678512127

PHARMACIST]
PHARMACIST]

Huenda pia na wewe ni mwenye hizo Changamoto na umesumbuka kwa muda mrefu sana bila kupata matokeo unayotaka Habari njem...
26/08/2022

Huenda pia na wewe ni mwenye hizo Changamoto na umesumbuka kwa muda mrefu sana bila kupata matokeo unayotaka Habari njema ni kwamba wengi nimewasadia kupata suluhisho sahihi la changamoto hizi

Usikate tamaa PHARMACIST]] nipo kukusaidia wewe mwenye hizi changamoto uweze kupata suluhisho sahihi

Mawasiliano zaidi
Piga simu/Whatsapp 0678512127

PHARMACIST]]
PHARMACIST]]

Usikate tamaa kwasababu ya changamoto yako ya uzazi uliyonayo najua maumivu ni makali muda mwingine unashindwa kuendelea...
09/07/2022

Usikate tamaa kwasababu ya changamoto yako ya uzazi uliyonayo najua maumivu ni makali muda mwingine unashindwa kuendelea mbele kwasababu ya hali au tatizo ulilokuwa nalo muda mwingine unachekwa sana naomba nikupe pole

Habari njema ni kwamba PHARMACIST]] ninasuluhisho la changamoto yako suluhisho ambalo la kudumu

Karibu tuzungumze kupitia
Mawasiliano ya Whatsapp ➡️ 0678512127

Nieleze Changamoto inayokusumbua kwa muda mrefu bila kupata suluhisho la uhakika
PHARMACIST]]
PHARMACIST]]



Hata wewe pia unaweza kuitwa mama nitafute leo nikupe suluhisho kwa changamoto inayokusumbua Whatsap ➡️ 0678512127PHARMA...
08/07/2022

Hata wewe pia unaweza kuitwa mama nitafute leo nikupe suluhisho kwa changamoto inayokusumbua

Whatsap ➡️ 0678512127

PHARMACIST]
PHARMACIST]

Je, Mwanamke wewe ni mmoja ya watu wanaosumbuliwa na matatizo ya uzazi yanayopelekea kushindwa kubeba mimba Karibu PHARM...
04/07/2022

Je, Mwanamke wewe ni mmoja ya watu wanaosumbuliwa na matatizo ya uzazi yanayopelekea kushindwa kubeba mimba

Karibu PHARMACIST]] nikusaidie upate suluhisho la uhakika kwa changamoto yako

: MATATIZO Y UZAZI YANATIBIKA

Mawasiliano zaidi jinsi ya kupata huduma
Nipigie/Whatsapp ➡️ 0678512127
PHARMACIST]]
PHARMACIST]]

𝙏𝙐𝙇𝙀 𝙏𝙐𝙒𝙀𝙕𝘼𝙑𝙔𝙊 LAKINI  𝙏𝙐𝙉𝘼𝙃𝙄𝙏𝘼𝙅𝙄 𝙑𝙄𝙍𝙐𝙏𝙐𝘽𝙄𝙎𝙃𝙊! *KWA NINI? TUNAHITAJI SANA KUTUMIA VIRUTUBISHO ( SUPPLEMENTS) MIILI YETU ...
30/06/2022

𝙏𝙐𝙇𝙀 𝙏𝙐𝙒𝙀𝙕𝘼𝙑𝙔𝙊 LAKINI 𝙏𝙐𝙉𝘼𝙃𝙄𝙏𝘼𝙅𝙄 𝙑𝙄𝙍𝙐𝙏𝙐𝘽𝙄𝙎𝙃𝙊! *KWA NINI? TUNAHITAJI SANA KUTUMIA VIRUTUBISHO ( SUPPLEMENTS) MIILI YETU INAZIHITAJI MNO! Kwa sababu, uwepo wa vyakula tulivyoviandaa mezani haumanishi kuwa vina virutubisho vyote vinavyotakiwa! Uwepo wake unategemea mchakato mzima mpaka kukifikisha hapo mezani. 📍Kwamba vililimwa wapi?Ikiwa na maana hali ya udongo - wenye rutuba asilia (organic) au ulioshehenezwa mbolea zenye kemikali? 📍Vilivunwa vikiwa vimekomaa au siyo? 📍Je vina mda gani tangu kuvunwa? 📍Madawa kiasi gani yalitumika wakati vikilimwa na kuhifadhiwa ili visiharibike? 📍Je, aina ya mbegu iliyotumika ni ya asili, au GMO? 📍Maandalizi ya mapishi nyumbani: Wengi tunamenya nyanya, caroti nk, tunakoboa nafaka, tunapika kwa kutumia joto kali ili kuivisha haraka (matumizi ya gesi na pressure cooker). 📍Aina na kiasi cha mafuta tunayopikia na, pia 📍Tunakula kiasi gani nafaka nzima, mboga na matunda, protini, mafuta na sukari? Fuatilia mchakato huo halafu ujiulize kuna kiasi gani cha lishe kilichobaki kukamilisha mahitaji ya mwili????

Hizi ni changamoto ambazo zinatatulika kwa 100% sasa ni kuamua kufanya uamuzi sahihi wa kuanza kutatua changamoto hizi m...
10/06/2022

Hizi ni changamoto ambazo zinatatulika kwa 100% sasa ni kuamua kufanya uamuzi sahihi wa kuanza kutatua changamoto hizi muda ni sasa usisubiri matatizo yakawa mengi zaidi

Mawasiliano zaidi
Piga/Whatsapp ➡️ 0678512127
PHARMACIST]
PHARMACIST]

Matatizo ya uzazi yanatibikaJe? Wewe mwenye changamoto hizi za uzazi umechukua hatua gani kupata suluhisho la tatizo lak...
10/06/2022

Matatizo ya uzazi yanatibika
Je? Wewe mwenye changamoto hizi za uzazi umechukua hatua gani kupata suluhisho la tatizo lako najua bado unahangaika kupata solution ya tatizo

Fanya mawasiliano na PHARMACIST]] upate suluhisho la changamoto yako leo..

Mawasiliano zaidi
Piga/Whatsapp ➡️ 0678512127
PHARMACIST]]
PHARMACIST]]

Kuziba kwa mirija ya uzazi ni moja ya sababu inayochangia ugumba kwa wanawake, mirija hii hujulikana kitabibu k**a Fallo...
25/05/2022

Kuziba kwa mirija ya uzazi ni moja ya sababu inayochangia ugumba kwa wanawake, mirija hii hujulikana kitabibu k**a Fallopian tube ndiyo inayounganisha kokwa za k**e (o***y) na nyumba ya uzazi.

Kila mwezi katikati ya mzunguko wa hedhi kijiyai huchoropoka na kusafiri kutoka katika kokwa za k**e kupitia katika mirija ya uzazi na kwenda katika nyumba ya uzazi.

Endapo mbegu ya kiume itarutubisha kijiyai cha k**e katika mirija muunganiko huo husafiri na kujipachika katika tando nyororo za nyumba ya uzazi kwa ajili ya kupiga hatua za ukuaji (mimba).

K**a mirija hii itazibwa kwa namna yoyote ile ina maana kuwa mbegu za kiume zitashindwa kwenda kurutubisha kijiyai cha k**e.

Ni kawaida pia mirija kuziba na kuacha kipenyo hivyo mbegu ya kiume hupita na kupandikiza kijiyai lakini baadaye hushindwa kusafiri kwenda katika nyumba ya uzazi kwa ajili ya mimba kukua.

SABABU ZINAZOCHANGIA MARA KWA MARA
kujitokeza kwa tatizo hili ikiwamo uwepo wa kovu, maambukizi na kukandamizwa na tishu za maeneo ya kiunoni.

Maambukizi ya bakteria katika viungo vilivyopo ndani ya kiuno ikiwamo nyumba ya uzazi hushambuliwa na kusababisha makovu ndani ya mirija ya uzazi.

Makovu hayo kutokana na maumbile yake huweza kusababisha kijiyai kukwama. Uwepo wa tatizo la tishu za tando laini za nyumba ya uzazi kujirundika eneo lisilo lake ikiwamo katika mirija ya uzazi husababisha kuziba, tatizo lijulikanalo kitabibu k**a Endometriosis.

Vile vile tishu hizo huweza kujipachika nje ya nyumba ya uzazi na kubanana na mirija hiyo na hatimaye kuiziba.

Magonjwa yanayoenea kwa njia ya kujamiiana ikiwamo kisonono (Gonorrhea) na klamidia hushambulia maeneo ya viungo vya uzazi hivyo kuchangia tatizo hili.

Kuwahi kufanyiwa upasuaji baada ya mimba kutunga na kukua katika mirija badala ya nyumba ya uzazi (Ectopic Pregnancy) upasuaji huu huweza kuacha kovu katika mirija.

Uvimbe wa Fibroid unaweza kuwa mkubwa na kuziba katika mirija hiyo hasa mahala ulipojichimbia katika nyumba ya uzazi.

Kuwahi kufanyiwa upasuaji wa nyumba ya uzazi hasa katika mirija yenyewe inaweza kusababisha kushik**ana na tishu za tumbo na mirija hiyo kuziba.

Mambo mengine hatarishi ni pamoja na vimelea kushambulia katika nyumba ya uzazi, kuharibika kwa mimba mara kwa mara na kujifungulia maeneo yasiyo salama.

Vile vile uvamizi wa maambukizi ya bakteria mwilini, kupasuka kwa kidole tumbo, kusafishwa nyumba ya uzazi na vifaa visivyo safi na salama na upasuaji wa maeneo ya pango la tumbo.

Mambo mengine yanayochangia tatizo hili ingawa kwa uchache ni pamoja na matumizi ya vidonge vya uzazi wa mpango, ajali au majeraha maeneo ya kiuno.

Madhara ya kuziba ni pamoja na mimba kutungwa na kukua katika mirija tatizo linaloitwa Ectopic Pregnancy, hutokea baada ya mbegu za kiume kupita katika upenyo wa mrija ulioziba kwa kiasi. Madhara makubwa ni pale mirija yote miwili inapokuwa imeziba bila kuacha upenyo wowote hivyo mbegu ya kiume hushindwa kupita kwenda kuungana na kijiyai cha k**e. Matokeo ya hali ni kupata ugumba kwa wanawake.

Ushauri na Tiba ya uhakika
Piga simu/Whatsapp ➡️ 0678512127

Ni kipi kinakukwamisha usishike ujauzito?Yawezekana kunasababu ambayo inasababisha ushindwe kubeba mimba miongoni mwa sa...
20/05/2022

Ni kipi kinakukwamisha usishike ujauzito?

Yawezekana kunasababu ambayo inasababisha ushindwe kubeba mimba miongoni mwa sababu hizo zinaweza kuwa ni

📍Hormone imbalance
📍K*kosa Ute wa uzazi (OVULATION)
📍Kutokwa na uchafu mweupe (P.I.D)
📍Uvimbe kwenye kizazi (FIBROIDS)
📍Cancer ya shingo ya kizazi
📍PCOS
📍Ovarian cyst (Uvimbe kwenye mayai)
📍U.T.I Sugu na Fungus

Hizi ni miongoni mwa sababu kubwa sana ambazo zinasababisha Mwanamke ashindwe kupata mimba na kubeba ujauzito

Sasa PHARMACIST]] tunasuluhisho la changamoto zote hizo zinahusiana na uzazi
Karibu DM au Whatsapp tuweze kupeana nafasi na kujuzana na changamoto ipi inakusumbua na historia yake

Nakuhakikishia utapata huduma bora k**a ilivyokuwa kwa wengine na wewe ufurahie kuwa na familia yako

Tunapatikana kwa namba
0678512127
0678512127
Unaweza kupiga/Whatsapp
PHARMACIST]]
PHARMACIST]]

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when bk_healthcares posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to bk_healthcares:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram