Abely_afya

Abely_afya HUDUMA BORA ZA AFYA

10/02/2025

Welcome

✨Sababu Za Uti Kwa Mwanaume:-UTI kwa mwanaume yaweza kusababishwa na vijidudu vya namna nyingi. Mathalani ni vimelea (ba...
14/09/2023

✨Sababu Za Uti Kwa Mwanaume:-
UTI kwa mwanaume yaweza kusababishwa na vijidudu vya namna nyingi. Mathalani ni vimelea (bakteria) japo pia na jamii nyingine ya vijidudu vinaweza kusababisha UTI. Bakteria aina ya Escherichia coli kwa kiasi kikubwa ndio inayosababisha UTI japo pia bakteria wengine wapo. Vijidudu hivi vyaweza kuingia katika njia ya mkojo kutokea nje ya mwili au hata kwa kupitia damu ya mhusika.

✨Dalili za kawaida za UTI ni pamoja na:-

♨kwenda haja ndogo mara kwa mara
♨Kupanda kwa joto la mwili
♨Kuhisi baridi mwilini
♨Maumivu ya mgongo
♨Mkojo mzito wenye harufu kali mara kazaa kuambatana na damu
♨Maumivu au muwasho unapokwenda haja ndogo
♨Kichefuchefu na kutapika
♨Maumivu ya misuli na tumbo
♨kukosa hamu ya tendon la ndoa
♨uume k**inyaa kua k**a wa mtoto ndogo.

✨Jinsi Ya Kujikinga Na Uti Kwa Wanaume:
Kuna baadhi ya njia zinazoweza kutumika kujikinga na tatizo la UTI ya kujirudia kwa wanaume. Mfano wa njia hizo ni pamoja na;

1) Kunywa maji na vinywaji kwa wingi kila siku. Hii itakusaidia ukojoe mara kwa mara na kutoruhusu bakteria kujenga makazi kwenye njia ya mkoj. Kojoa kila ujisikiapo mkojo na usiubane kwa muda mrefu.

2) Epuka ngono zembe kwa kutumia kondomu wakati wa kujamiiana nayo ni kinga nzuri dhidi ya uti.

3) Kuacha tabia ya kutunza mkojo kwa muda mrefu baada ya kuhisi haja ndogo. Mkojo ukikaa sana kwenye kibofu unaweza kuzalisha bakteria.

4) Kwenda haja ndogo (kukojoa) mara tu umalizapo tendo la kujamiiana. Hii itasaidia kutoruhusu bakteria kuingia na kujenga makazi kwenye njia ya mkojo.

5) Kuacha mazoea ya kuvaa nguo za ndani mbichi.

Huduma & tiba
wasiliana nasi
+255 674 624000 0674 624 000

✨Ugonjwa wa ge***al Warts ni hali ya kuota vinyama kwenye ngozi au utando laini unaozunguka maeneo ya sehemu za siri, vi...
05/09/2023

✨Ugonjwa wa ge***al Warts ni hali ya kuota vinyama kwenye ngozi au utando laini unaozunguka maeneo ya sehemu za siri, vinyama hivyo Vinaweza kutokea kwenye uume, uke, mrija wa mkojo (urethra), v***a, shingo ya kizazi (cervix), au maeneo ya kuzunguka njia ya haja kubwa au ndani yake, ni ugonjwa unaoenezwa kwa njia ya kujamiiana.Ugonjwa huu pia hujulikana kwa kitaalamu k**a “Condyloma acuminatum.”

👉Ugonjwa huu husambazwa kwa mgusano wa ngozi kwa ngozi hasa wakati wa ngono, japo migusano mingine ya maeneo athirika isiyohusisha ngono inaweza pia kuwa chanzo cha kusambaa kwake.

👉Virusi wanaosababisha ugonjwa huu huwa na uhusiano wa moja kwa moja na kutokea kwa saratani ya mlango wa kizazi, saratani ya koo, uke, uume pamoja na saratani ya njia ya haja kubwa, hivyo ni vyema wagonjwa wakatibiwa haraka na kwa usahihi ili kuepusha changamoto hizi.

👉Mara baada ya kuambukizwa, ugonjwa huu huweza kuchukua mpaka muda wa wiki sita hadi miezi 6 kwa masundosundo kuwa dhahiri, ingawa baadhi ya wagonjwa wanaweza kukaa hata miaka kadhaa bila kuwa na dalili yeyote ile.

✨Tabia Hatarishi Zinazoweza Kupelekea Kupata Ugonjwa Wa Ge***al Warts:
Zifuatazo ni tabia hatarishi zinazomuweka mtu katika hatari ya kupata ugonjwa wa ge***al warts ambazo ni pamoja na;

1) Kuwa Na Wapenzi Wengi.
🔥Ikiwa una wapenzi wengi (multiple sexual partners) na hautumii kinga (condom) wakati wa kushiriki ngono basi unajiweka katika hatari ya kupata ugonjwa wa ge***al warts.

2) Kufanya Ngono Isiyo Salama Na Mwathirika Wa Hpv.
🔥Ikiwa unashiriki ngono isiyo salama na mtu aliyeathirika na virusi wa Hpv basi unajiweka katika hatari kubwa ya kupata ugonjwa wa ge***al warts. Pia kufanya ngono kwa kutumia mdomo inakuweka katika hatari ya kupata warts au kuota vinyama sehemu za mdomo.

3) Ngono katika umri mdogo.
🔥Watu wanaoanza ngono mapema wapo kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata ge***al warts kutokana na kinga za mwili kua chini sana.

4) Matumizi Makubwa Ya Sigara Na Pombe.
🔥Tafiti zinaonesha kwamba watu wenye matumzi makubwa ya pombe na sigara wanajiweka katika hatari ya kupata ugonjwa wa ge***al warts.

5) Upungufu wa kinga mwilini (immunosuppression)

MATIBABU
👉wasilliana nasi 👇

📲🗨 0674 624 000

Follow 👉

🙏🙏🙏

♨Dalili za kuvimba kwa tezi dume hutokea kwa sababu ya kubanwa kwa njia ya kutoa mkojo nje ya mwili (urethra) au kibofu ...
02/09/2023

♨Dalili za kuvimba kwa tezi dume hutokea kwa sababu ya kubanwa kwa njia ya kutoa mkojo nje ya mwili (urethra) au kibofu kushindwa kuthibiti mkojo. Aidha dalili hizi hutofautiana kati ya mtu na mtu, ingawa karibu wagonjwa wote, nazo huwa k**a ifuatavyo:

1. Kukojoa mkojo unaokatika katika
2. Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
3. Kusita kabla ya kuanza kukojoa
4. Hali ya kujihisi kubanwa na mkojo kila mara
5. Kushindwa kuthibiti mkojo kiasi cha mkojo kutiririka wenyewe
6. Hali ya kuhisi mkojo haujaisha kwenye kibofu
7. Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku
8. Kushindwa kukojoa kabisa (urine retention)


🔖Je, Nini Madhara Yake?

*Kuvimba kwa tezi dume ni k**a ilivyo saratani ya tezi dume, inaweza kumletea mgonjwa madhara kadhaa. Madhara hayo ni pamoja na;

📌Mkojo kushindwa kutoka (retention of urine)
📌Mgandamizo kwenye kibofu cha mkojo
📌Vijiwe kwenye kibofu cha mkojo
📌Uambukizi katika njia ya mkojo (UTI)
📌Madhara katika figo au kibofu
📌Shinikizo la damu
Kushindwa kutoa shahawa kwenye uume (retrograde ej*******on)
📌Maambukizi mbalimbali
📌Damu kuganda
Uhanithi

💊MATIBABU
✨Tunatibu bila upasuaji matokeo ndani ya siku 15-30
Unapona kabisa na tatizo halirudii tena

👉Kwa msaada na tuba piga & SMS👇

☎️ 0674 624 000

✨P.I.D- Pelvic Inflammatory Disease.♨P.I.D Ni maambukizi kwenye via vya uzazi kwa mwanamke ambayo huusisha maambukizi kw...
30/08/2023

✨P.I.D- Pelvic Inflammatory Disease.

♨P.I.D Ni maambukizi kwenye via vya uzazi kwa mwanamke ambayo huusisha maambukizi kwenye shingo ya kizazi(CERVICITIS),nyama kwenye mfumo wa wa uzazi(ENDOMETRITIS) na mirija ya uzazi(SALPINGITIS).

👉WANAMKE ANAUPATAJE UGONJWA WA P.I.D
*Kupitia ngono zembe
*Kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja
*Kufanya mapenzi bila kutumia kinga
*Kupitia magonjwa ya zinaa hususani kaswande na kisonono
*Kupitia kunyonywa ukeni mara kwa mara
*Utoaji wa mimba na kutosafishwa vizuri baada ya kutoa mimba
*Kuweka vitu ukeni ili kuufanye uke ubane au kumvutia mpenzi wako
*Kutumia dawa na njia za kuzuia mimba(vijiti na sindano)
*Kuwa na U.T.I. sugu au fungus ya muda mrefu

👉DALILI ZA P.I.D
👎Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri yaweza ukawa njano, mweupe au maziwa
👎Uke kutoa harufu mbaya
👎Kuwashwa sehemu za siri
👎Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
👎Uke kuwa mlaini sana
Maumivu wakati wa tendo la ndoa
👎Kuvurugika kwa hedhi
👎Kutokwa na maji maji ukeni kupita kiasi
👎Maumivu wakati wa kukojoa
👎Homa, uchovu na kizunguzungu

✨MADHARA YA P.I.D
♨Maumivu ya tumbo au nyonga ya mara kwa mara mara baada ya tendo la ndoa. au kipindi cha upevushaji mayai hali hii hutokana na majeraha yaliyopi katika mirija ya uzazi
♨Kusababisha majeraha ndani na nje ya mirija za uzazi ambayo hipelekea mirija kuziba
Kubeba mimba nje ya kizazi husababishwa yai kushindwa kufika kwenywe mji wa uzazi kupitia mirija ya uzazi
♨Ugumba kwa mwanamke
♨kupata kansa ya shingo ya uzazi

JINSI YA KUEPUKANA NA P.I.D

Japo kuwepo na tiba za kujitibu lakini unashauriwa kinga ni bore kuliko tiba hivyo zingatia yafuatayo;-
👉Epuka kufanya ngono zembe
👉Usifanye mapenzi baada ya kujifungua au mimba kutoka
👉Weka tabia ya kufanya vipimo mara kwa mara
Kuwa msafi na nguo zako za ndani na kula lishe bora
👉Epuka kushare nguo za ndani

📂CHUNUSI ni tatizo la kawaida la ngozi linalowaathiri watu kipindi fulani cha maisha yao. Chunusi husababisha vipele vid...
28/08/2023

📂CHUNUSI ni tatizo la kawaida la ngozi linalowaathiri watu kipindi fulani cha maisha yao.
Chunusi husababisha vipele vidogo vya mafuta kwenye ngozi na wakati mwingine hufanya ngozi kuwa na maumivu au
kuhisi kuungua. Mara nyingi hutokea maeneo ya usoni, mgongoni na kifuani ambapo asilimia 15 ya wanaosumbuliwa na tatizo hili huwa na aina hii ya chunusi.

💫Kwanini unapata chunusi?

🔮Mara nyingi chunusi huhusianishwa na mabadiliko ya kiwango cha homoni kipindi cha balehe. Hata hivyo, zinaweza kuanza katika umri wowote. Baadhi ya homoni zilizo jirani na vinyweleo vya ngozi hutengeneza kiwango kikubwa cha mafuta. Mabadiliko haya hufanya bakteria wanaoishi kwenye ngozi bila kusababisha madhara kukasirika na kusababisha vipele vyenye usaha.

🔮Pia, homoni hufanya utando mnene chini ya vinyweleo vya ngozi na kusababisha kuziba kwa vijitundu vya ngozi hatimaye kusababisha chunusi. Kuosha ngozi hakusaidii kuondoa tatizo la vijitundu kuziba.

🔮Unaweza pia kurithi tatizo la chunusi. Ikiwa baba na mama yako walikuwa na chunusi kipindi fulani cha maisha yao basi kuna uwezekano mkubwa wa wewe kuwa na chunusi.

🔮Mabadiliko ya homoni yanayotokea kipindi cha hedhi au ujauzito yanaweza kusababisha chunusi kwa wanawake. Hakuna uthibitisho kuwa lishe, uchafu au ngono huchangia kutokea/kutotokea kwa chunusi.

🛢watu wanao asirika zaidi ni:-

👉Chunusi hutokea zaidi kwa vijana. Takribani asilimia 80 ya watu wenye chunusi wana umri kuanzia miaka 11 hadi 30. Chunusi hutokea zaidi kwa wasichana kuanzia miaka 14 hadi 17 na kwa wavulana ni kuanzia miaka 16 hadi 19.

👉Chunusi huja na kuondoka kwa watu wengi kwa miaka mingi ambapo miaka michache baadae hali hii huanza kupungua. Watu wengi hupona kabisa tatizo hili wakiwa na umri kuanzia miaka 25 na kuendelea.

KWA HUDUMA & TIBA
0674 624 000

💋Mara nyingi wanawake ambao wameshawahi kufikishwa kileleni huko nyuma au kufika kileleni kwa kujichua wao wenyewe ,huwe...
23/08/2023

💋Mara nyingi wanawake ambao wameshawahi kufikishwa kileleni huko nyuma au kufika kileleni kwa kujichua wao wenyewe ,huweza kuwaacha wanaume zao wapya ambao wameshindwa kuwafikisha kileleni .

💝Dalili za mwanamke aliyefika kileleni.

1) uke hubana na kuachia .
K**a ni uume au ni kidole uliingiza ukeni basi utahisi ukibanwa na kuachiwa.Hii ni misuli ya uke inatanuka na k**inyaa.Ikiashiria mwanamke kufika kileleni.

2)Huhema kwa kasi na kutoa jasho sana.

3)kulegea mwili ghafla .
kabla hajafika kileleni huwa amekukumbatia na kukushika lakini akifika kileleni hukuachia na kutulia hafanyi chochote.

4)kuloana sana uke
Wengine hutoa maji mengi hutoka k**a bomba kwa kasi ni kiashiria kwamba kafika kileleni.Pia wengine uke hukauka pia ni kiashiria kwamba kafika kileleni.

5)Hukuzuiya usiendelee kufanya chochote .
Unaweza kukuzuiya usiingize uume ukeni au kidole .

6)Anaweza kukumbatia ghafla.
Anaweza kukubana kwa mikono yake ghafla na ukashindwa kufanya chochote.

7)Hutulia ghafla na kubaki akiwa amekuangalia tu.
K**a alikuwa anapiga kelele mwanzoni basi anatulia ghafla .

8)Hutetemeka au wengine huita degedege,lakini baaada ya mda hutulia .

💋Sio lazima uone dalili zote izo ,dalili moja tu ni ishara tosha .

💋K**a hujawahi ona dalili hizo basi hujawahi mfikisha mkeo kileleni .

👉mwanamke yoyote ambae hajawai kufika kileleni awasiliane nami kupitia 0674 624 000

Usisahau Ku like & follow Abely_afya

In Facebook, Instagram & threads

✨Kupata hedhi kupita kiasi ni moja ya matatizo ya uzazi yanayosumbua wanawake wengi. Tafiti zimeonyesha kwa kila wanawak...
19/08/2023

✨Kupata hedhi kupita kiasi ni moja ya matatizo ya uzazi yanayosumbua wanawake wengi. Tafiti zimeonyesha kwa kila wanawake 1000; wanawake 53 kati ya huwa na tatizo la kupata hedhi kupita kiasi. Ni theruthi tu ya wanawake wenye shida ya hedhi hutafuta tiba stahiki kwa daktari wengi hukaa nayo kwa aibu au hofu.

✨Je ni wakati gani mwanamke anatakiwa kuhisi kuwa anapata hedhi kupita kiasi?

1: Unapata hedhi inayozidi siku 7
2: Unapata hedhi nzito inayofanya ubadiri pedi moja ndani ya masaa mawili
3: Unapata hedhi nzito inayokulazimu kuvaa pedi zaidi ya moja
4: Unapata hedhi nzito inayolowesha hadi nguo za nje
5: Unapata hedhi nzito inayokulazimu kuamka usiku kubadiri pedi
6: Hedhi inayotoka na mabonge
✍️Sababu gani huweza kuchangia mwanamke kupata hedhi nzito kupita kiasi?

Vivimbe kwenye kuta za mji wa kizazi; vivimbe hivi sio saratani huitwa fibroids
Yai kupevuka bila mpangilio (Irregular ovulation) ; hali hii husababisha kuta za mji wa mimba zivimbe na kuwa nene hivyo kutoa damu nyingi. Hutokea zaidi kipindi cha kuvunja ungo na kipindi cha kukaribia ukomo wa hedhi
Matatizo ya kugandisha damu
Matumizi ya dawa za kuzuia damu kuganda
Baadhi ya wanawake waliotumia vitanzi (IUD) hasa ndani ya mwaka wa kwanza
Maambukizi ya mji wa mimba na mirija ya uzazi (PID)
Endometriosis
Saratani ya mji wa kizazi; kwa kinamama waliofikia umri wa ukomo wa hedhi. Wakianza kupata hedhi isiyokoma huweza kuwa dalili ya ya saratani ya mji wa kizazi
✨ATHARI ZA HEDHI NZITO KUPITA KIASI KWENYE AFYA

◽Hedhi nzito kupita kiasi huchangia wanawake wengi kupata upungufu wa damu
◽Hedhi kuwa nzito kupita kiasi huweza kuwa ni dalili ambao unahitaji tiba ya haraka
◽Huweza kuchangia kudhoofisha afya ya akili ya mwanamke ikiwemo kujiamini na wasiwasi

Wasiliana nasi
☎️+255674624000
Like & follow Abely_afya

✨Kwanza kabisa ifahamike kuwa, kukosa hedhi ni tatizo la kiafya hata k**a,lisipoambatana na maumivu yoyote, lakini mwana...
17/08/2023

✨Kwanza kabisa ifahamike kuwa, kukosa hedhi ni tatizo la kiafya hata k**a,
lisipoambatana na maumivu yoyote, lakini mwanamke hapaswi kulifumbia macho tatizo hili.
🔸Kibaiolojia, hedhi ya kila mwezi, ni mchakato unaojiendesha wenyewe ndani ya mwili kwa ushirikiano wa mfumo wa homoni na mfumo wa uzazi bila ridhaa ya mwanamke mwenyewe, hivyo endapo mwanamke atashindwa kupata hedhi kikamilifu, ni ishara ya kuwa na tatizo, aidha, kwenye mfumo wa homoni au mfumo wa uzazi kwa jumla ambako kunasababishwa na matatizo mengine k**a nitakavyoeleza.

✍️Tatizo hili kitaalam huitwa Amenorrhea. Hii hutokea pale ambapo mwanamke anakosa kuona mzunguko wa hedhi kuanzia mwezi mmoja na kuendelea. Hivyo kwa mwanamke ambaye pia amekosa hedhi kwa miezi mitatu mfululizo na kwa wasichana kuanzia umri wa miaka 15 hadi 18 ambao nao pia hawajaona mizunguko yao ya hedhi, wapo kwenye kundi hili.

✨Sababu kubwa ya kukosa hedhi ambayo wengi tumeizoea ni:-

1: ujauzito.
Kwa tafsiri ya kawaida, ujauzito ndiyo sababu ya asili ya kukosa hedhi. Kisayansi mwanamke hapati hedhi kabisa kwa kipindi chote cha ujauzito wake.

2: sababu nyingine ni pamoja na matatizo ya kiafya yanayojitokeza kwenye via vya uzazi na mfumo wa uzazi kwa jumla na kwenye mfumo unaoratibu homoni mwilini na ni muhimu kuwaona wahudumu wa afya ili kuchunguza matatizo haya.

3: matumizi ya baadhi ya njia za uzazi wa mpango.
Mathalan, matumizi ya vidonge vya uzazi wa mpango, yanachangia kwa kiasi kikubwa sana kuharibu utendaji kazi wa mfumo wa homoni na kusababisha kukosa hedhi.

KWA USHAURI NA TIBA WASILIANA NAMI

☎️+255674624000
Like & follow Abely_afya

16/08/2023

FAIDA NA UBORA WA HUDUMA YANGU:

✍️Kupata Ushauri Mzuri Namna Ya Kuishi Ili Kuepukana na Changamoto Hizi.

✍️Kuondoa Vyanzo Vya Vikuu vya Tatizo: Yaani Kuua Bacterias Wa UTI na FUNGASI Ambao Ndio Vyanzo Vikuu Vya vinavyopelekea UGONJWA Huu wa PID

✍️Kuzalisha Bacterias Walinzi ( Normal Florals ) Ambao Watakua wanalinda Sehemu za Siri ili Usisumbuliwe na Bacterias Wabaya wa UTI Na Fangasi Tena.

✍️Kuondoa Wiwasho,Harufu Mbaya,Uchafu sehemu Za Siri na Maumivu Wakati Wa Tendo.

✍️Kuweka Sawa Hormones Ili kuzuia Mpangilio Mbovu Wa Siku/Tar Za Hedhi, Maumivu ya Tumbo Wakati Wa Hedhi.

✍️Kuondoa Maambukizi Kwenye Via Vya Uzazi, Kusafisha Mirisha ya Uzazi, Kuongeza Madini Muhimu Kwenye Kizazi, Mf: ZINC,CALCIUM nk Pia Kurutubisha Mayai Ili Iwe Rahisi Kushika Ujauzito!

🤝HAIJALISHI UMEHANGAIKA SEHEMU NYINGI KIASI GANI NA HAUJAPATA SULUHISHO.
🤝HAIJALISHI DOCTOR ALIKUPA MAJIBU GANI.

KARIBU NITAKUSAIDIA NA UTAPONA KABISA NDANI YA SIKU 30 TU ✅

Piga SM/SMS/WHATSAPP:+255 674 624000
0674 624 000

✨SABABU ZINAZOWEZA KUSABABISHA KUPATA NGIRI,1. Uzito kupita kiasi2. Tumbo kujaa maji3. Kujisaidia choo kigumu4. Kunyanyu...
14/08/2023

✨SABABU ZINAZOWEZA KUSABABISHA KUPATA NGIRI,
1. Uzito kupita kiasi
2. Tumbo kujaa maji
3. Kujisaidia choo kigumu
4. Kunyanyua vitu vizito
5. Kikohozi sugu (chronic obstructive pulmonary disorder)
6. Umri mkubwa
7. Uvutaji sigara
8. Kurithi

DALILI ZA NGIRI
dalili za ugonjwa huu wa ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu,
1. kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapo kula vitu vitamu.
2.kupiga mingurumo tumboni.
3. kujaa gas tumboni.
4. kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.
5. kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.
6. kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.
8. Nuru ya macho hupotea taratibu.
9. Kuvimba kwa korodani ama korodan kupanda juu (moja ama zote kwa pamoja)
10. Maumivu kati ya paja na kinena na hupelekea mguu kuwaka moto
11. Uume k**inyaa na kunywea k**a wa mtoto.
12. Maumivu makali ya mgongo au kiuno,

✨MADHARA YA NGIRI
1. Inaweza kusababisha utasa.
2. kuwai kufika kileleni
3. dhakari kurudi ndan na kuwa na dhakari ndogo k**a ya mtoto
4. dhakari k**imama kwa ulegevu na hufikia hatua dhakari hushindwa kabsa k**i mama
5. kupata bawasiri kutokana na kupata choo kigumu...

MATIBABU
👉tatibu bila upasuaji matokeo ndani ya siku 15-30

kwamsaada zaid
Follow Abely_afya
0674 624 000

TATIZO LA MIMBA KUHARIBIKA NA KUTOKA KABLA YA UMRI WAKE UNAOTAKIWA KUKAMILIKA⚪Nini husababisha mimba kuharibika?Kwa muji...
13/08/2023

TATIZO LA MIMBA KUHARIBIKA NA KUTOKA KABLA YA UMRI WAKE UNAOTAKIWA KUKAMILIKA

⚪Nini husababisha mimba kuharibika?

Kwa mujibu wa wataalamu wa afya ya uzazi kuna sababu nyingi zinazosababisha mimba kuharibika kisha kutoka.

1: Umri mkubwa-kwa kawaida, mwanamke anapofikisha umri wa miaka 35 au zaidi, misuli ya mji wake wa uzazi hulegea na kupungua nguvu za kuweza kuhimili na kutunza kiumbe kinachokuwa ndani ya mji wa uzazi. Kulegea kwa misuli hii husababisha mimba kutoka kwa urahisi.
2: Magonjwa-wanawake wanaosumbuliwa na magonjwa k**a kisukari, unene kupindukia,malaria kali, magonjwa ya zinaa na mengineyo huwa katika hatari kubwa ya mimba zao kutoka.
3: Hitilafu za kizazi-baadhi ya wanawake huwa na mfuko wa mimba ambao muundo wake siyo wa kawaida. Wanawake wenye tatizo hili, huwa na hatari kubwa ya mimba zao kuharibika kabla ya kutimiza umri wa miezi tisa.
4: Maambukizi ya bakteria au fangazi-maambukizi hayo husababisha misuli ya kizazi kushambuliwa na kisha kupoteza uwezo wake wa kuhifadhi ujauzito, jambo ambalo husababisha mimba kutoka.
5: Sababu nyingine ni pamoja matumizi ya pombe kali, uvutaji sigara, matumizi ya dawa za kulevya, kemikali, matatizo ya kurithi na kadhalika.

⚪Dalili za Mimba Kuharibika.

1: maumivu ya mgongo
2: kuvuja damu ukeni
3: kutoka kwa tishu za mabongemabonge katika uke
4: misuli kukaza na
maumivu makali ya tumbo
👉Hakikisha unaongea na daktari haraka iwezekanavyo unapoanza kuona dalili k**a hizi. Kumbuka inawezekana kabisa kupata dalili hizi lakini mimba yako ikawa salama. Lakini ni muhimu kwa dactari kujiridhisha k**a uko salama.

⚪Jinsi ya Kuzuia Mimba kuaribika

1: Usitumie pombe, madawa, na kuvuta sigara wakati wa ujauzito
2: Fanya mazoezi mepesi mara kwa mara ili kuimarisha ukuaji wa kichanga tumboni
3: Jikinge na maambukizi kwenye njia ya uzazi kwa kunawa mikono kwa maji safi na kutoambatana na watu wanaoumwa
4: Usitumie vyakula na vinywaji vyenye caffeine k**a kahawa wakati wa ujauzito
5: Kula mlo mzuri wa vitamin ili kuimarisha ukuaji wa kichanga

⚪Kushika Mimba tena Baada ya Mimba ya Awali Kuharibika.
👉Kabla hujaamua kushika ujauzito mwingine ni vizuri kuhakikisha mwili uko sawa na afya yako ni njema.

Follow
Abely_afya
🗨📲. 0674 624 000

Address

Mlimani Tower
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255674624000

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Abely_afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Abely_afya:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram