machawi na tiba zake

machawi na tiba zake Karibuni sana wapendwa mjipatie tiba za magonjwa aina mbalimbali zitokanazo na masheitwani ya kijini.

ZIJUE FAIDA YA MBEGU ZA MRONGE RONGE KATIKA TIBA YA MARADHI YAFUATAYO.(1) Presure ya mara kwa mara(2)U.t.i sugu(3)Malari...
15/02/2023

ZIJUE FAIDA YA MBEGU ZA MRONGE RONGE KATIKA TIBA YA MARADHI YAFUATAYO.
(1) Presure ya mara kwa mara
(2)U.t.i sugu
(3)Malaria yakujirudiarudia
(4) Kizunguzungu
(5) Kichwa/kipanda uso
(6)Tumbo kujaa gues.
Sasa hapa tuelewane kidogo nimetaja baadhi ya magonjwa lakin tiba zake zinakuwa tofaut kutokana na unaumwa wewe lakin hii itakusaidia sana kwa uwezo wake ALLAH.Kama unashida kati ya hzo hapo na unaweza pata hzo mbegu nieleze ntakupa maelekezo na utapona Ishaallah.
Kwa mawasiliano .0713930721 au 0764060983.maswal ruksa.

EBU KIJUE KIMVULI CHA MAKABURINI PIA JUA DALILI ZAKE NA MADHARA YAKE.DALILI ZAKE.(1)kuota unafanya tendo (2)kuacha/kuach...
13/02/2023

EBU KIJUE KIMVULI CHA MAKABURINI PIA JUA DALILI ZAKE NA MADHARA YAKE.

DALILI ZAKE.
(1)kuota unafanya tendo
(2)kuacha/kuachwa bila sababu
(3)kuchoka kwa kupitiliza
(4)ucngizi mda wa kaz
(5)kuchukia kufanya tendo.

MADHARA YAKE.
Ukiwa umetupia/au kupatwa na hii utakuwa ni mtu kila cku unakosa thaman kwa waliokuzunguuka vile kusahaulika katika shughuli zakupata riziki unaweza zingiziwa kitu ambacho ujafanya ili mradi tu upate mitihani pia mda mwengine unakuwa niwakupoteza vitu kwa maajabu maajabu tu na uvioni tena pia utakuwa mwenye kupishana na kaz za pesa utaambulia kupata vichange tu lakin sio pesa yakufanya maendeleo sasa hii huwa nanyanyuliwa kutoka na jinsia yako k**a nimwanaume unatupiwa wakike na k**a ni mwanamke unatupiwa wakiume ili mradi uteseke tu ndio furaha ya adui yako.
Ahsantee kwa kufuatilia ukarasa wangu unaweza enda Istagram kwa majina (maalim kukacha)

UNAMJUA JINI MAHABA.DALILI ZAKE .(1)Kuota unafanya tenda (2) Kutodumu katika mahusiano(3)Kuchukiwa na mwenzio bila sabab...
11/02/2023

UNAMJUA JINI MAHABA.
DALILI ZAKE .
(1)Kuota unafanya tenda
(2) Kutodumu katika mahusiano
(3)Kuchukiwa na mwenzio bila sababu
(4)Kukosa ham ya tendo
(5)Mke maumivu wakat wa tendo
(6)Mume kukosa nguvu za kiume
(7) Kuchukia tendo kila uwapo na mwenzio
SASA HAPA TUELEWANE KIDOGO KUNA KIUMBE HUWA ANAFANA NA VITU K**A VYA JINI MAHABA HUYU NAE ANASUMBUA SANA KWA % KUBWA MNO NA KUKOSA MSADA KWA WENYE HILI TATIZO KWA KUPATA TIBA BILA MAFANIKIO MAANA UNATIBIWA JINI MAHABA KUMBE NI HUYO KIUMBE SASA UTAONA K**A UPATIWI TIBA KUMBE YULE KIUMBE UTIBIWA KWA TIBA ISIO KUWA YAKE JINI MAHABA ILA TIBA YAKE IPO NA ANAWEZEKANA KUTOKA.
Ahsanteeeee kwa kufuatilia ukurasa wangu pia unaweza enda Istagram kwa majina hayo hayo ukajifunza zaid

Address

Gongo La Mboto, Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
12101

Telephone

+255713930721

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when machawi na tiba zake posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to machawi na tiba zake:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category