28/12/2021
NA KWA UVIMBE NA SARATANI YA TEZI DUME BILA UPASUAJI
TEZI DUME NI nini ..ni tez inayopatikana kwa mwanaume tu..ipo kuzunguka njia ya mkojo karibu na kibofu cha mkojo..kazi ya tezi dume ni kutengeneza majimaji ya shahawa,na kurutubisha mbegu za kiume yaani kuzipa chakula..
pia inakazi ya kuruhusu mkojo kupita na kuzuia mkojo
Mtu anapofukisha miaka na kuendelea hiyo tezi huanza KUVIMBA ikiibana njia ya mkojo.
Hivyo pale unapokojoa mkojo hauishi Kwenye kibofu unabakia..
ZA HILI TATIZO
1. MKUBWA
2. YA MARA KWA MARA KWENYE NJIA YA MKOJO mfano UTI
3.UTUMIAJI WA NA VILEZI VINGINE
4. TENDO LA NDOA MARA KWA MARA BILA KUPUMZIKA
5. (Ukoo) NK.
ZA TATIZO LA VIMBE NA SARATANI YA TEZI DUME
Hapo MTU huanza kupata dalili zifuatazo.
👉1.kukojoa Mara kwa Mara Hasa nyakati za usiku.Mara Tatu au Zaidi
👉2.unapobanwa kukojoa huwezi kusubiri unatamani kukojoa papo hapo.
👉3.ukikojoa mkojo hauruki mbele unatoka kwa kasi ndogo sio k**a zamani
👉4.unatumia muda mrefu k**aliza mchakato wa kukojoa.
👉5.unapata ugumu kuanza mchakato wa kusukuma mkojo pindi unapokwenda haja ndogo
👉6.baada ya kumaliza kukojoa unajisikia tena hamu ya kukojoa tena unajihisi mkojo bado Upo Kwenye kibofu.
👉7..unapomaliza kukojoa mkojo unatoka kisirisiri na kolowanisha nguo ya Ndani .unajishangaa umelowana..
👉8.mkojo uliochanganyika na damu
YA KUISHI NA TATIZO KWA MDA MREFU
👉1. SARATANI ya tezi dume
👉2. MAWE kwenye kibofu
👉3. athari kwenye FIGO na INI
👉4. Upungufu wa NGUVU ZA KIUME
👉5. KUFUNGA njia ya mkojo (urethra)NK.
Sasa KUNA ..
ni dawa ya asili inayokinga na kutibu tezi dume bila upasuaji. Imewasaidia wengi sana..haina kemikali, imetengenezwa kwa mtishamba unaoitwa prostaep(flavnoids na polypeptide) itakusaidia.imethibitishwa na , , ,na ,unaweza tumia kujitibu au kujikinga.
video hapo chini kwa maelezo Zaidi na piga 0652 462 523 kwa ushauri na matibabu