HANS MGAYA Hospital

HANS MGAYA Hospital Hospital

Karibu HM HospitalKwa ushauri, uchunguzi na matibabu au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi.        ne...
02/01/2026

Karibu HM Hospital

Kwa ushauri, uchunguzi na matibabu au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi.






newyear
anzanasi2026
hmhospital

HM Hospital inawatakia wa Tanzania wote Heri ya  Mwaka Mpya.
01/01/2026

HM Hospital inawatakia wa Tanzania wote Heri ya Mwaka Mpya.

HM! Tunapenda kuwataarifu  kuwa tunatoa huduma bora za Afya kwa watu wanaotumia BIMATunahakikisha kwamba kila mtu anapat...
30/12/2025

HM! Tunapenda kuwataarifu kuwa tunatoa huduma bora za Afya kwa watu wanaotumia BIMA

Tunahakikisha kwamba kila mtu anapata matibabu yanayostahili

Chagua Huduma Bora na Salama , karibu H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi!








Afya
Tanzania
bimazaafya
bima

Maumivu ya masiko, pua na koo yanaweza kuwa kiashiria cha tatizo la kiungo kusika au ugonjwa wa sehemu nyingine ya kichw...
27/12/2025

Maumivu ya masiko, pua na koo yanaweza kuwa kiashiria cha tatizo la kiungo kusika au ugonjwa wa sehemu nyingine ya kichwa au shingo. Pia dalili ya maumivu inaweza kusababishwa na maambukizi aidha ya ‘virus’ and ‘bacteria’. Hivyo basi, onana na Daktari kwa uchunguzi na uhakiki wa tatizo la Afya ya masikio, pua na Koo.
Tumia fursa ya huduma ya matibabu ya kibingwa ya Masikio, Pua na Koo.

Katibu Kliniki ya Macho ya hans Mgaya Hospital upate fursa ya kupata tiba sahihi kwa wakati

Kwa uchunguzi na matibabu, Karibu, H.M Hospital
au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi!

Karibu, HM Hospital, ni haki yako kuhudumiwa na
kutibiwa kwenye malazi safi, salam na tulivu

Wasiliana nasi kupitia namba 0748053303



At H.M Hospital we provide comprehensive advice before providing treatment. To be healthy, consider good nutrition at al...
26/12/2025

At H.M Hospital we provide comprehensive advice before providing treatment. To be healthy, consider good nutrition at all times.

For examination and treatment, visit H.M
Hospital or contact us at 0748053303 for more information.



HM Hospital inawatakia wa Tanzania wote Heri ya Krisimasi  na Mwaka Mpya.
25/12/2025

HM Hospital inawatakia wa Tanzania wote Heri ya Krisimasi na Mwaka Mpya.

Yapo matatizo mengi ambayo yanaweza kuleta hitilafu kwenye sehemu inayohusika na kutoa sauti. Mengine ni ya muda mrefu y...
23/12/2025

Yapo matatizo mengi ambayo yanaweza kuleta hitilafu kwenye sehemu inayohusika na kutoa sauti. Mengine ni ya muda mrefu yanayoweza kuadhiri sauti , njia ya hewa na pengine kuwa kiashiria cha ugonjwa mkubwa k**a saratani ya koo. Lakini mengine ni ya mfupi na sauti hurudia kwenye hali ya kawaida. Ni muhumi kuhakiki sababu ya matatizo ya mabadiliko ya sauti ya muda mrefu.
Karibu Hans Mgaya Hospital kwa uchunguzi na Tiba ya kibingwa yenye salama na yenye matokeo ya uhakiki

Karibu, HM Hospital, ni haki yako kuhudumiwa na
kutibiwa kwenye malazi safi, salam na tulivu

Wasiliana nasi kupitia namba 0748053303



Kukauka au kukwakuruza kwa sauti ni hali ya mabadiliko ya sauti inayotokana na hitilafu kwenye kiungo kinachohusika na u...
22/12/2025

Kukauka au kukwakuruza kwa sauti ni hali ya mabadiliko ya sauti inayotokana na hitilafu kwenye kiungo kinachohusika na utoaji wa sauti kwenye koo. Zipo sababu mbalimbali zinazoweza kusababisha mkwaruzo wa sauti au sauti kukauka. Hali hii peke yake siyo ugonjwa bali ni dalili ya tatizo au ugonjwa fulani ambao umeathiri sehemu ya kutengeneza sauti. Klinki yetu ya Afya na Tiba ya Masikio, Pua na Koo inahimiza kufanya uchunguzi wa badiliko ya sauti ilikuepuka madhari ya ugonjwa sababishsi

Karibu, HM Hospital, ni haki yako kuhudumiwa na
kutibiwa kwenye malazi safi, salam na tulivu

Wasiliana nasi kupitia namba 0748053303



Dalili za matiatizo na magonjwa ya koo ni pamoja na suati kutokutoka vizuri, kubadilika, kutoka kwa mkwaruzo, na kuhitaj...
20/12/2025

Dalili za matiatizo na magonjwa ya koo ni pamoja na suati kutokutoka vizuri, kubadilika, kutoka kwa mkwaruzo, na kuhitaji kutumia nguvu kutoa sauti. Pia maumivu wakati wa kumeza mate au chakula, harufu mbaya mdomoni na kikohozi. Ni muhimu kupambanua na kutathmini ukubwa wa tatizo kwa kutumia huduma ya Kibingwa yeneye uhakika wa usalam na matikeo maziri ya tiba.

Karibu, HM Hospital, ni haki yako kuhudumiwa na
kutibiwa kwenye malazi safi, salam na tulivu

Wasiliana nasi kupitia namba 0748053303



HM Hospital tunapenda kukutaarifu kuwa tuna huduma ya kukodisha gari za ambulance! Tunaelewa umuhimu wa usafiri wa harak...
17/12/2025

HM Hospital tunapenda kukutaarifu kuwa tuna huduma ya kukodisha gari za ambulance!

Tunaelewa umuhimu wa usafiri wa haraka na salama kwa wagonjwa na tunajitahidi kutoa suluhisho la kukidhi mahitaji yako ya matibabu.

Kwa mahitaji ya kukodisha wasiliana nasi kwa namba +255734111555



Mifumo mingi ya mwili, pamoja na sikio, pua na koo lako umeunganishwa kwa ndani. Mfumo kuu husika na kusikia, kuptisha h...
13/12/2025

Mifumo mingi ya mwili, pamoja na sikio, pua na koo lako umeunganishwa kwa ndani. Mfumo kuu husika na kusikia, kuptisha hewa na kukupa ‘balance’. Watu wengi wanaopata kizunguzungu hasa baada kusimama haraka sana au wakati wa kipandauso, hu sabushwa na Matatizo ya Mfumo wa masikio , Pua na Koo. Ilikutambua uhalisia wa chanzo cha kizunguzungu , tumia fursa ya kuonana na Daktari Bingwa kwa uchunguzi na Tiba
Kwa maelezo zaidi.....

Karibu, HM Hospital, ni haki yako kuhudumiwa na
kutibiwa kwenye malazi safi, salam na tulivu

Wasiliana nasi kupitia namba 0748053303!


HM! Tunapenda kuwataarifu  kuwa tunatoa huduma bora za Afya kwa watu wanaotumia BIMATunahakikisha kwamba kila mtu anapat...
12/12/2025

HM! Tunapenda kuwataarifu kuwa tunatoa huduma bora za Afya kwa watu wanaotumia BIMA

Tunahakikisha kwamba kila mtu anapata matibabu yanayostahili

Chagua Huduma Bora na Salama , karibu H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi!





bima

Address

165 Kitunda Street Off Mabwepande Road, Bunju B Area, Kinondoni
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when HANS MGAYA Hospital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to HANS MGAYA Hospital:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category