HANS MGAYA Hospital

HANS MGAYA Hospital Hospital

Kwa wengi, ni rahisi kupuuza umuhimu wa uchunguzi wa macho mara kwa mara hadi tatizo linapotokea. Mara nyingi tunatenga ...
12/11/2025

Kwa wengi, ni rahisi kupuuza umuhimu wa uchunguzi wa macho mara kwa mara hadi tatizo linapotokea. Mara nyingi tunatenga muda wa chughuza Afya ya Macho tunapohisi tatizo la kutoona vizuri, ukavu na adha machoni au maumivu ya macho au kichwa. Ukisubiri mpaka
upate dalili hizi unaweza kuwa umeshapata hitilafu ya macho ambayo ingeweza kuzuilika;

Hudhuria Kliniki ya Macho ya Hans Mgaya Hospital kwa uchunguza wa mapema uepuka madhara yasiyotibika pamoja na upovu usiyo walazima.H.M Hospital tunatoa ushauri wa kina kabla ya kutoa matibabu.

Kuwa na afya njema zingatia lishe bora wakati wote.

Kwa uchunguzi na matibabu, Fika H.M
Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303
kwa maelezo zaidi .

Huduma ya macho ni mahususi kwa Afya na Utinzaji wa macho yako. Hans Mgaya Hospitalinatoa huduma hii maalum kwa kupima m...
11/11/2025

Huduma ya macho ni mahususi kwa Afya na Utinzaji wa macho yako. Hans Mgaya Hospital
inatoa huduma hii maalum kwa kupima macho na miwani, na kuchunguza na kutiba majeraha ya
sehemu zote machoni, magonjwa yanayoadhiri lenzi k**a ‘cataracts’, pressure ya macho
k**a‘glacoma’, kuzorota na kudhoufika kwa sehemu muhimu za macho k**a ‘Retina’,
‘Macular’ na Lensi kaw mfano :shinikizo la damu na isukari na menineyo k**a kuwa na macho
makavu,
Huduma hii inatolewa kwa watuwazima na watoto.

H.M Hospital tunatoa ushauri wa kina kabla ya kutoa matibabu. Kuwa na afya njema zingatia lishe bora wakati wote.

Kwa uchunguzi na matibabu, Fika H.M
Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303
kwa maelezo zaidi .



1. Ulaji wa vyakula vyenye sukari na wanga wengi Vyakula vyenye sukari hutoa chakula kwa bakteria mdomoni ambao husababi...
10/11/2025

1. Ulaji wa vyakula vyenye sukari na wanga wengi
Vyakula vyenye sukari hutoa chakula kwa bakteria mdomon
i ambao husababisha asidi inayosababisha meno kuoza.
Kutoweka vizuri kwa meno

2. Usafi wa kutosha wa meno
husaidia kuondoa mabaki ya chakula na bakteria ambayo
husababisha kuoza.Kunywa vinywaji vyenye sukari .

3. Vinywaji vyenye sukari k**a
vile soda na juisi huongeza hatari ya kuoza meno.
Kupungua kwa uzalishaji wa mate .

3 Mate huchangia kusafisha
asidi mdomoni, na upungufu wa mate unaweza kuongeza
hatari ya kuoza meno.

4. Kutohudhuria daktari wa meno mara kwa mara -
Ukaguzi wa mara kwa mara na matibabu ya meno
husaidia kugundua na kutibu matatizo mapema.

Kwa uchunguzi na matibabu, Fika H.M
Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303
kwa maelezo zaidi .




Kuchagua chakula na vinywaji sahihi na kuunda tabia nzuri ya ulaji ni funguo za kupunguza hatari ya matatizo ya afya ya ...
08/11/2025

Kuchagua chakula na vinywaji sahihi na kuunda tabia nzuri ya ulaji ni funguo za kupunguza hatari ya matatizo ya afya ya kinywa. Hapa kuna vidokezo vichache vya mpango wako wa lishe wa kila siku: Chagua matunda, mboga mboga, nafaka, bidhaa za maziwa zisizo na mafuta na mafuta kidogo, na protini zisizo na mafuta k**a vile bata mzinga, kuku na samaki .

Kwa uchunguzi na matibabu, Fika H.M
Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303
kwa maelezo zaidi .




Kusafisha meno na kinywa mara kwa mara , hususani mara baada ya kula, husaidia kuzuia magonjwa ya kinywa k**a vile kutob...
06/11/2025

Kusafisha meno na kinywa mara kwa mara , hususani mara baada ya kula, husaidia kuzuia magonjwa ya kinywa k**a vile kutoboka na kuhabika kwa meno (Dental caries), michibuko na kuvimba fizi (Gingivitis), na harufu mbaya mdomoni (halitosis).

Meno ni zawadi ambayo hatupaswi kuchukulia poa.
Utunzaji wa kinywa na meno ni moja ya msingi wa Afya imara.
Magonjwa ya kinywa na meno yanaweza kusabisha maambukizi kwenye shingo, koo, fuvu la kichwa, ubongo na seheume zinfine za mwili kupitiamfumo wa damu. .

Jizoeshe kuchunguza Afya ya kinywa na onana na Mtaalamu wa Afya punde tu unpahisi dalili ya kwanza.

Kwa uchunguzi na matibabu, Fika H.M
Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303
kwa maelezo zaidi .




HM! Tunapenda kuwataarifu  kuwa tunatoa huduma bora za Afya kwa watu wanaotumia BIMATunahakikisha kwamba kila mtu anapat...
30/10/2025

HM! Tunapenda kuwataarifu kuwa tunatoa huduma bora za Afya kwa watu wanaotumia BIMA

Tunahakikisha kwamba kila mtu anapata matibabu yanayostahili

Chagua Huduma Bora na Salama , karibu H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi!







Kujifungua kwa njia ya upasuaji (C-section) ni mchakato wa kipekee unaohitaji wakati wa kupona na uangalizi wa kipekee, ...
27/10/2025

Kujifungua kwa njia ya upasuaji (C-section) ni mchakato wa kipekee unaohitaji wakati wa kupona na uangalizi wa kipekee, hasa kwa kidonda cha upasuaji. Kidonda cha operation ya uzazi hutumia muda wake ili kupona kikamilifu, lakini wakati wa uponaji unaweza kutofautiana kulingana na mambo mbalimbali, k**a vile afya ya mama, njia ya matibabu, na jinsi alivyoshughulikia mabadiliko haya.

Chagua Huduma Bora, karibu H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 K**a ungependa kukutana
na Daktari Bingwa.



Karibu HM HospitalKwa ushauri, uchunguzi na matibabu au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi.
26/10/2025

Karibu HM Hospital

Kwa ushauri, uchunguzi na matibabu au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi.





• Pumzika muda mrefu na hakikisha vitu unavyohitaji kwa ajili yako na huduma za mtoto unavifikika kirahisi.• Usinyanyue ...
24/10/2025

• Pumzika muda mrefu na hakikisha vitu unavyohitaji kwa ajili yako na huduma za mtoto unavifikika kirahisi.

• Usinyanyue vitu vizito zaidi ya kilo 10 katika wiki 3-4 za mwanzo.

• Tumia dawa za kuzuia maumivu zilizo shauriwa na Dakari kwa kuzingatia
usalama wa mtoto anaponyonya.

• Punguza hatari ya maambukizi ya bacteria na maumivu, kwa kutojamiiana (sexual in*******se) kabla ya wiki 6 baada ya upasuaji.

• Usitumbukize kitu chochote ukeni kabla ya wiki 6 baada ya upsuaji.

• Zingatia maelekezo ya klinki ya wazazi kuhusu huduma ya Afya ya Mama na Mtoto hata baada ya kujifungua pamoja na ratiba ya chanjo.

Chagua Huduma Bora, karibu H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 K**a ungependa kukutana
na Daktari Bingwa.




• Mtoto kuchoka kutokana na dhiki ya hewa ya ‘oxygen’ yaani ‘fetal distress’. Nini maana ya mtoto kuchoka? Mabadiliko ya...
22/10/2025

• Mtoto kuchoka kutokana na dhiki ya hewa ya ‘oxygen’ yaani ‘fetal distress’.

Nini maana ya mtoto kuchoka?

Mabadiliko ya kiwango (rate) na mdundo
(rhythm) wa mapigo ya moyo ya mtoto huashiria dhiki ya hewa ya ‘Oxygen’. Hivyo, ni kidokezo cha hatari kwa mtoto akiendelea kukaa ndani ya tumbo la mama.

- Hitilafu za kimaumbile ya mtoto kabla ya kuzaliwa.

- tatizo la moyo, mapafu, mafigo nk.

- Dawa za kulevya na zingine zinazoweza kumlewesha mtoto anapokaribia kuzaliwa.

- Upungufu mkubwa wa maji yanayomzunguka mtoto.

Chagua Huduma Bora, karibu H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 K**a ungependa kukutana
na Daktari Bingwa.



Kwa mara nyingi, uhitaji wa kujifungua kwa upasuaji wa kwanza au ujauzito mwingine haujulikani mapema mpaka pale ujauzit...
22/10/2025

Kwa mara nyingi, uhitaji wa kujifungua kwa upasuaji wa kwanza au ujauzito mwingine haujulikani mapema mpaka pale ujauzito utakapokuwa na kidokezo hatarishi au anapoanza uchungu wa kujifungua.

Hii ndiyo sababu ya huduma za H.M Hospital kuzingatia kutoa maelezo na ushari wa maandalizi ya kujifungua
wakati wa mahudhurio la kliniki. Pia wahudumu H.M Hospital

Kwa uchunguzi na matibabu, Karibu H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi!





Ili kuhakikisha mama na mtoto kuwa chini ya ungalizi wa kutosha na kutoa tiba ya dharura ili  kuepusha:•Changamoto ya mu...
20/10/2025

Ili kuhakikisha mama na mtoto kuwa chini ya
ungalizi wa kutosha na kutoa tiba ya dharura ili
kuepusha:

•Changamoto ya muda mfupi ya kupumua
kutokana na mabadiliko ya mazingira ndani na
nje ya mwili wa mama, baada ya kujifungua

•Kutokwa damu nyingi wakati wa upasuaji
na baadae

•Maambukizi ya n´bacteria kwenye kidonda
cha upasuaji na njia ya uzazi

•Madhara ya damu kuganda kwenye mishipa
mikubwa baada ya upasuaji

•Madhara ya muda mrefu na vifo nya mama na mtoto.


Kwa uchunguzi na matibabu, Karibu ujifungulie H.M Hospital au wasiliana nasi kwa namba 0748053303 kwa maelezo zaidi!





Address

165 Kitunda Street Off Mabwepande Road, Bunju B Area, Kinondoni
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when HANS MGAYA Hospital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to HANS MGAYA Hospital:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category