Daktari wa uzazi tanzania

Daktari wa uzazi tanzania 💎 TUNATIBU ILA MUNGU ANAPONYA
💎CHANGAMOTO ZOTE ZA UZAZI ME&KE
💎WHATSAPP 0675966797

LEO NATAKA NIKUPE SIRI AMBAYO NIMEITUMIA KUSAIDIA WANAWAKE WENGI KUONDOKANA NA TATIZO LA KUTOKWA UCHAFU UKENI, PID SUGU ...
19/08/2024

LEO NATAKA NIKUPE SIRI AMBAYO NIMEITUMIA KUSAIDIA WANAWAKE WENGI KUONDOKANA NA TATIZO LA KUTOKWA UCHAFU UKENI, PID SUGU , UTI SUGU PAMOJA NA FANGASI SUGU.

KUPITIA PACKAGE ZA VAGINAL DETOX AMBAZO NAZITOA KWA BEI NZURI NDANI YA MUDA WA SIKU 30 NIMEWEZA KUSAIDIA WANAWAKE WENGI KUTOKOMEZA KABISA TATIZO LA KUTOKWA NA UCHAFU UKENI.

KAZI ZA VAGINAL DETOX

1. Kukata shombo la harufu mbaya ukeni
2. Kuondoa majimaji sehemu za siri yasiyofaa na yanayotoa harufu
3. Kuondoa uchafu wote na discharge zote k**a vile uchafu mweupe , njano , kijani au kijivu unaotoka ukeni
4. Kubana uke na kuongeza joto k**a uke wako umelegea
5. Kuondoa shombo la uzazi kwa waliotoka kujifungua
6. Kuondoa maumivu wakati wa hedhi.

HUDUMA ZETU NI JUMAPILI HADI IJUMAA MASAA 24 KWA MAWASILIANO ZAIDI NJOO WHATSAPP 0767652147

LEO NATAKA NIKUPE SIRI AMBAYO NIMEITUMIA KUSAIDIA WANAWAKE WENGI KUONDOKANA NA TATIZO LA KUTOKWA UCHAFU UKENI, PID SUGU ...
12/06/2024

LEO NATAKA NIKUPE SIRI AMBAYO NIMEITUMIA KUSAIDIA WANAWAKE WENGI KUONDOKANA NA TATIZO LA KUTOKWA UCHAFU UKENI, PID SUGU , UTI SUGU PAMOJA NA FANGASI SUGU.

KUPITIA PACKAGE ZA VAGINAL DETOX AMBAZO NAZITOA KWA BEI NZURI NDANI YA MUDA WA SIKU 30 NIMEWEZA KUSAIDIA WANAWAKE WENGI KUTOKOMEZA KABISA TATIZO LA KUTOKWA NA UCHAFU UKENI.

KAZI ZA VAGINAL DETOX

1. Kukata shombo la harufu mbaya ukeni
2. Kuondoa majimaji sehemu za siri yasiyofaa na yanayotoa harufu
3. Kuondoa uchafu wote na discharge zote k**a vile uchafu mweupe , njano , kijani au kijivu unaotoka ukeni
4. Kubana uke na kuongeza joto k**a uke wako umelegea
5. Kuondoa shombo la uzazi kwa waliotoka kujifungua
6. Kuondoa maumivu wakati wa hedhi.

HUDUMA ZETU NI JUMAPILI HADI IJUMAA MASAA 24 KWA MAWASILIANO ZAIDI NJOO WHATSAPP 0675966797

Hii hali inakosesha amani yani partner akitaka tena na usiku unaofuatia unaanza kuwaza maumivu.. Tiba ipo nitafute kwa n...
12/06/2024

Hii hali inakosesha amani yani partner akitaka tena na usiku unaofuatia unaanza kuwaza maumivu.. Tiba ipo nitafute kwa namba 0675966797

Uke mkavu unatesa sana yani tu hakikisha unafurahia tendo la ndoa .. Wahi nikupatie dose kabambe ufurahie mahusiano yako
12/06/2024

Uke mkavu unatesa sana yani tu hakikisha unafurahia tendo la ndoa .. Wahi nikupatie dose kabambe ufurahie mahusiano yako

Usipotibu maambukizi utakuwa hufurahii kabisa tendo la ndoa na utalichukia sana hivyo wahi matibabu sasa.
12/06/2024

Usipotibu maambukizi utakuwa hufurahii kabisa tendo la ndoa na utalichukia sana hivyo wahi matibabu sasa.

Hii hali inatokana na maambukizi kwenye via vya uzazi pamoja na fangasi ukeni na inasumbua wanawake wengi.. Suluhisho la...
12/06/2024

Hii hali inatokana na maambukizi kwenye via vya uzazi pamoja na fangasi ukeni na inasumbua wanawake wengi.. Suluhisho la kudumu lipo njoo tuzungumze whatsapp no 0675966797

Hello my dears.. HUDUMA ZETU ZINAFIKA MIKOA YOTE NDANI YA TANZANIA USISITE KUNITAFUTA KWAAJILI YA CHANGAMOTO YOYOTE HAPO...
12/06/2024

Hello my dears.. HUDUMA ZETU ZINAFIKA MIKOA YOTE NDANI YA TANZANIA USISITE KUNITAFUTA KWAAJILI YA CHANGAMOTO YOYOTE HAPOHAPO ULIPO HUDUMA ITAKUFIKIA

MADA YA LEO  📌 UVIMBE KATIKA VIA VYA UZAZI ( FIBROIDS )Fibroids ya Uterine ni nini?📌Uvimbe wa Fibroid ni viota visivyo n...
11/05/2024

MADA YA LEO

📌 UVIMBE KATIKA VIA VYA UZAZI ( FIBROIDS )

Fibroids ya Uterine ni nini?

📌Uvimbe wa Fibroid ni viota visivyo na kansa ambavyo hukua kwenye ukuta wa misuli ya uterasi.
Fibroid inaweza kuwa microscopic au kubwa ya kutosha kujaza cavity nzima ya tumbo.

📌Kuna aina tatu za FIBROIDS:

1. Submucosal fibroid( ndani kwenye ukuta wa kizazi)
2. Intramural fibroid ( kwenye nyama ya kizazi )
3. Subserosal fibroid ( nje ya ukuta wa kizazi )

📌WATU WALIO KWENYE HATARI KUPATA FIBROID
1. Mwanamke ambaye hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2. Mwenye uzio kupitiliza
3. Aliye kwenye familia yenye historia ya fibroids ( inarithiwa )
4. Aliyeingia hedhi mapema zaidi

📌DALILI ZA FIBROIDS
1. Kupata hedhi zinazozidi siku 7 ( wengine huenda mpaka wiki 2)
2. Kutokwa uchafu mzito mweupe au manjano wenye harufu mbaya au usio na harufu
3. Maumivu makali yaliyopitiliza ya kiuno pamoja na tumbo wakati wa hedhi
4. Tumbo kuuma sana chini ya kitovu
5. Hedhi zisizo na mpangilio
6. Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa

Karibuni wateja wangu wa nguvu kwa huduma bora za afya
07/05/2024

Karibuni wateja wangu wa nguvu kwa huduma bora za afya

📌Kuwashwa sehemu za siri kunaweza kuwa dalili ya maradhi fulani kujumuisha maradhi ya uke kwa wanawake.📌Nini husababisha...
07/05/2024

📌Kuwashwa sehemu za siri kunaweza kuwa dalili ya maradhi fulani kujumuisha maradhi ya uke kwa wanawake.

📌Nini husababisha Muwasho Sehemu za Siri za Mwanamke?

(1) Maambukizi ya Fangasi Ukeni (Vaginal Yeast Infection)
Ni moja ya tatizo kwa wanawake linalosababishwa na fangasi waitwao Candida. Dalili kuu ni uwashwa ukeni, kuvimba na kutoa uchafu mweupe k**a maziwa ukeni.

(2) Ugonjwa wa kuvimba uke (Vulvovaginitis)
Ni ugonjwa unaoathiri kwa kuvimbisha sehemu za nje za uke na uke wenyewe. Dalili kuu ni kuwashwa ukeni, mkojo kuuma na kukereketa wakati wa kukojoa na kutokwa na uchafu ukeni.

(3) Kuvimba Uke baada ya hedhi kukoma (Postmenopausal Atrophic Vaginitis)
Ni ugonjwa wa kuvimba kwa uke baada ya hedhi kukoma. Hali hii huongeza maambukizi ukeni na huweza kusababisha maumivu wakati wa tendo la ndoa.

(4) Maambukizi ya Trikomonasi (Trichomonas Infection)
Ni ugonjwa wa zinaa unaosababishwa na kimelea aitwaye Trichomonas vaginalis. Dalili kuu ni muwasho katika uke au uume na kutokwa na uchafu ukeni.

(5) Ugonjwa wa Minyoo (Pinworm Infection)
Ni maambukizi ya minyoo wadogo sana wenye umbo la pini wanaoweza kushambukiza utumbo na kusambaa maeneo mbalimbali. Ugonjwa huu huwatokea sana watoto wa kati ya miaka 5 na 10.

(6) Inflamesheni ya Urethra (Urethritis)
Ni maambukizi kwenye urethra (njia wa kutolea mkojo nje) yanasababisha kuvimba kwa urethra. Dalili kuu ni mkojo kuchoma, maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kutokwa uchafu.

(7) Ge***al Warts
Ni vivimbe vidogo vinavyotokea juu ya ngozi sehemu za siri. Ugonjwa unaoenezwa kwa njia ya kujamiana na unasababishwa na virusi viitavyo Human papillomavirus (HPV). Vivimbe vinaweza sababisha muwasho na maumivu.

(8) Saratani ya sehemu ya nje ya Uke (Vulvar Cancer)
Ni saratani ya sehemu ya nje ya uke inayoambatana na kuwashwa sehemu ya nje ya uke.

(9) Ugonjwa wa Wasiwasi (Generalized Anxiety Disorder)
Ni ugonjwa ambao unaotokana na hofu ya matukio fulani. Wakati mwingine husababisha kujikuna sehemu mbalimbali hata sehemu za siri.

(10) Ugonjwa wa Sjogren (Sjogren's Syndrome)
Ni ugonjwa katika mfumo wa kinga ya mwili unaoathiri tezi zinazosaidia mwili kutengeneza unyevu nyevu kwenye macho na mdomo. Ugonjwa huu huathiri wan

06/05/2024
Good Morning my beautiful customers
03/05/2024

Good Morning my beautiful customers

Kila mwanamke ni mama
31/03/2024

Kila mwanamke ni mama

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255675966797

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Daktari wa uzazi tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Daktari wa uzazi tanzania:

Share