Bwana Afya

Bwana Afya afya

17/02/2024
PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)Ni maambukizi katika njia za uzazi za mwanamke yanayotokana bakteria wanaosababisha  ma...
17/02/2024

PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)
Ni maambukizi katika njia za uzazi za mwanamke yanayotokana bakteria wanaosababisha magonjwa ya zinaa k**a vile gonorea na klamydia.
je, nizipi dalili zitakazoonyesha kuwa una PID :-
- Maumivu ya chini ya tumbo .
- Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya sehemu za siri.
- kutokwa na damu isiyoyakawaida baada ya tendo la ndoa au katikati ya mzunguko wa hedhi.
- kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa.
- kupata aja ndogo inayoambatana na maumivu.
- kupata homa za mara Kwa mara.

Nini kisababishi cha PID:-
- Kuwa na magonjwa ya zinaa bila kutibiwa Kwa muda mrefu hupelekea mwanamke kupata ugonjwa huu.
- Pia mwanamke huweza kupata PID baada ya kujifungua, hedhi na anapofanya abortion ( kutoa mimba).
- Mwanamke anaweza kupata PID kutokana na matumizi ya njia za uzazi wa mpango zinazousisha kuingiza vifaa katika njia za uzazi (IUDs).

Je, ni watu gani wapi kwenye athari kubwa ya kupata ungonjwa huu:-
- Wanawake wenye wapenzi zaidi ya mmoja.
- kushiriki tendo la ndoa bila kutumia kinga( condom).
- Wanawake wenye tabia ya kujiosha mara Kwa mara na sabuni Kali sehemu za siri hupelekea kupata PID.
- Wanawake wenye magonjwa ya zinaa (STDs) Kwa muda mrefu.

Madhara yanayoweza kujitokeza endapo mwanamke hatapata tiba Kwa muda sahihi ni pamoja na :-
- Kutungwa Kwa mimba nje ya mji wa mimba (ectopic pregnancy), hii hutokee endapo mimba itashindwa Kutungwa katika mji wa mimba (uterus) baadala yake hukaa kweny mirija ya uzazi.
- Kupoteza uwezo wa kushika mimba ( ugumba), hii hutokea Kwa sababu ya kuaribiwa kwa njia za uzazi na bakteria (bacteria) wanaopelekea PID.
- Kupata maumivu ya mara Kwa mara ya tumbo.
Je, Kwa namna gani unaweza kujikinga na PID:-
- shiriki ngono salama Kwa kutumia kinga( condom) unapokutana na mwenza mpyq.
- Zuia kujisafisha sehemu za siri na sabuni Kali zinazoweza kupelekea PID, Kwani uke unauwezo wa kujisahfisha wenye bila ya msaada wako.
- Pima PID na magonjwa mengine ya zinaa STIs ili kupata matibabu ya haraka kuzuia madhara yanayoweza kujitokeza.

Kwa msaada zaidi piga namba 0612577229 Asante.

je, matumizi ya dawa za  dharula k**a njia ya kuzuia mimba kila mara unapofanya mapenzi ni sahihi toa maoni yako hapa.
16/02/2024

je, matumizi ya dawa za dharula k**a njia ya kuzuia mimba kila mara unapofanya mapenzi ni sahihi toa maoni yako hapa.

kwa nini utumie bidhaa hii kupunguza uzito uliopitiliza:- 1.Inasaidia kuondoa sumu na takataka mwilini (detoxification),...
10/12/2023

kwa nini utumie bidhaa hii kupunguza uzito uliopitiliza:-
1.Inasaidia kuondoa sumu na takataka mwilini (detoxification), hivyo organs muhimu k**a vile figo huwezi kufanya kazi kwa ufanisi.
2. Inasaidia kuondoa mafuta mabaya (bad cholesterol) mwilini na katika mishipa ya damu.
3. Inasaidia kurekebisha kiwango cha sukari na pressure mwilini.
4. Inasaidia mfumo wa mmengenyo wa chakula kuweza kufyonza virutubisho kwa urahisi ivyo kufanya kazi kwa ufasaa.
5. Ina virutubisho zaidi ambavyo vitakusaidia katika kujenga kinga ya mwili na kuupa mwili nguvu kwa muda mrefu.
6. Inasaidia kukupa ngozi iliyo na afya njema.

📌📌 k**a umesumbuka kupunguza uzito bila majibu yoyote kwa muda mrefu basi suluhisho ni hili tuwasiliane kupitia namba 0612577229

kwanini utumie programs hizi kwa ajili ya kupunguza uzito uliopitiliza:-1. Ni rahisi kufutilia program hii tofauti na pr...
09/12/2023

kwanini utumie programs hizi kwa ajili ya kupunguza uzito uliopitiliza:-
1. Ni rahisi kufutilia program hii tofauti na programs nyingine.
2. Inapunguza mafuta mabaya yaliyorundikana mwilini.
3. Huongeza kwa haraka kiasi cha protein hivyo husaidia mwili kujijenga vizuri.
4. Virutubisho hivi vina radha nzuri (te**es good).
5. Vitakisaidia kuweza kuwa na nguvu muda mrefu.

📑Ni muda wako sasa punguza uzito uliopitiliza kwa kutumia program zetu uone mabadiliko kwa muda mfupi na niya muda mrefu.

🖍️je, unaweza kunijibu maswali haya mawili (2);-1.jinsi gani uvutaji wa sigara huathiri afya ya miili yetu?2.jinsi gani ...
19/11/2023

🖍️je, unaweza kunijibu maswali haya mawili (2);-
1.jinsi gani uvutaji wa sigara huathiri afya ya miili yetu?
2.jinsi gani uvutaji wa sigara huweza kusababisha kansa (cancer)?

madhara yanayoweza kusababishwa na matumizi ya dawa za kuongeza nguvu za kiume.Dawa hizi hujulikana k**a slidenafil hupa...
17/11/2023

madhara yanayoweza kusababishwa na matumizi ya dawa za kuongeza nguvu za kiume.

Dawa hizi hujulikana k**a slidenafil hupatikani katika brand mbalimbali k**a vile erecto 50, erecto 100 na vegar. Dawa hizi hutumika kuongeza uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kwa muda mrefu na pia hutumika kutibu shinikizo kubwa la damu (pulmonary hypertension) kwa wangonjwa.
Baadhi ya watu wanakiuka matumizi ya dawa hizi bila kujua madhara yanayoweza kujitokeza baadae kutokana na matumizi ya muda mrefu.
📒 Yafuatayo ni baadhi ya madhara yanayoweza kusababishwa na matumizi ya muda mrefu ya dawa hizi za kuongeza nguvu za kiume:-
🖍️Maumivu ya kichwa yanayoweza kudumu kwa muda mrefu baada ya matimizi ya dawa hizo.
🖍 Madhara katika mfumo wa chakula k**a vile kuarisha, kutapita na kupata maumivu ya tumbo.️
🖍 Kushindwa kuona vizuri , watumiaji wa dawa hizo kwa muda huweza kupungua uwezo wa kuona au kutofautisha baadhi ya rangi k**a vile kijani na blue. Lakini madhara hayo hudumu kwa muda baada ya kutumia dawa hizo.
️🖍 Maumivu ya mishuli, baada ya kutumia dawa hizo mtu huweza kupata maumivu ya mishuli mbalimbali ikiwemo maumivu ya mgongo.
🖍 kupata kizunguzungu, baada ya kutumia dawa hizo mtumiaji huweza kupata kizunguzungu kutokana mabadiliko ya msukumo wa damu mwilini unaosababishwa na dawa hizo.
️ 🖍 kupata maumivu yanayosabishwa na kusimama kwa muda mrefu wa misuli ya sehemu za siri ya mwanaume ( pronged er****on).
️ 🖍 kutoweza kupumua vizuri hii huwa ni dalili za hatari zaidi kutokana na matumizi ya dawa hizo.

kwahiyo ni vizuri kupunguza matumizi ya dawa hizo kwani huathiri mahusiano kutokana na mtu kushindwa kushiriki kutokana na kutegemea dawa hizo (dependence) na pia huaweza kuathri afya kiujumla k**a tulivyoona hapo juu.

kwa msaada zaidi WhatsApp simu namba 0612577229 AHSNTE .

Unaelewa nini ukiambiwa kuwa unatatizo la Tezi Dume??unaelewa nini ukiambiwa unayo Saratani ya Tezi Dume...??kwa msaada ...
09/10/2023

Unaelewa nini ukiambiwa kuwa unatatizo la Tezi Dume??
unaelewa nini ukiambiwa unayo Saratani ya Tezi Dume...??

kwa msaada zaidi piga namba +255 678 812 687 normal call na Whatsapp

01/10/2023

Kisukari na shinikizo kubwa la damu (high blood pressure)
Kwa kawaida kisukari na shinikizo kubwa la damu hutokea pamoja , mtu mwenye kisukari ana uwezekano mkubwa wa kupata shinikizo kubwa la damu kuliko mtu ambaye hana kisukari. Hii hutokana na mshipa ya damu kuaribiwa na kiwango kikubwa cha sukari hivyo moyo hutumia nguvu nyingi kuweza kusukuma damu mwilini na kupelekea shinikizo kubwa la damu( high blood pressure).
Kwa msaada zaidi piga namba +255 678 812 687 . Tanzania bila Non Communicable diseases (NCDs) inawezekana.

afya

Afya ya ngozi yako inasema mengi kuhuse wewe.  Ngozi yako ni ogani kubwa zaidi kulikozote mwilini mwako . Kuwa na ngozi ...
30/09/2023

Afya ya ngozi yako inasema mengi kuhuse wewe. Ngozi yako ni ogani kubwa zaidi kulikozote mwilini mwako . Kuwa na ngozi yenye afya njema ni mali kwako kwani ukusaidia kurekebisha joto la mwili, hukusaidia kukulinda zaidi ya mionzi mikali inayoweza kupelekea saratani na pia hukulinda zidi ya vijidudu vinavyoweza kusababisha magonjwa.

Kwahiyo Kila kitu unachokula , kunjwa, kazi unayofanya na mazingira unayoishi huathiri ngozi yako katika namna inayopelekea kuwa na afya njema au afya mbaya.
Je, unahitaji Kwa na ngozi yenye afya njema tutafute kupitia namba +255 678 812 687.

30/09/2023

afya

PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)Ni maambukizi katika njia za uzazi za mwanamke yanayotokana bakteria wanaosababisha  ma...
30/09/2023

PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)
Ni maambukizi katika njia za uzazi za mwanamke yanayotokana bakteria wanaosababisha magonjwa ya zinaa k**a vile gonorea na klamydia.
je, nizipi dalili zitakazoonyesha kuwa una PID :-
- Maumivu ya chini ya tumbo .
- Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya sehemu za siri.
- kutokwa na damu isiyoyakawaida baada ya tendo la ndoa au katikati ya mzunguko wa hedhi.
- kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa.
- kupata aja ndogo inayoambatana na maumivu.
- kupata homa za mara Kwa mara.

Nini kisababishi cha PID:-
- Kuwa na magonjwa ya zinaa bila kutibiwa Kwa muda mrefu hupelekea mwanamke kupata ugonjwa huu.
- Pia mwanamke huweza kupata PID baada ya kujifungua, hedhi na anapofanya abortion ( kutoa mimba).
- Mwanamke anaweza kupata PID kutokana na matumizi ya njia za uzazi wa mpango zinazousisha kuingiza vifaa katika njia za uzazi (IUDs).

Je, ni watu gani wapi kwenye athari kubwa ya kupata ungonjwa huu:-
- Wanawake wenye wapenzi zaidi ya mmoja.
- kushiriki tendo la ndoa bila kutumia kinga( condom).
- Wanawake wenye tabia ya kujiosha mara Kwa mara na sabuni Kali sehemu za siri hupelekea kupata PID.
- Wanawake wenye magonjwa ya zinaa (STDs) Kwa muda mrefu.

Madhara yanayoweza kujitokeza endapo mwanamke hatapata tiba Kwa muda sahihi ni pamoja na :-
- Kutungwa Kwa mimba nje ya mji wa mimba (ectopic pregnancy), hii hutokee endapo mimba itashindwa Kutungwa katika mji wa mimba (uterus) baadala yake hukaa kweny mirija ya uzazi.
- Kupoteza uwezo wa kushika mimba ( ugumba), hii hutokea Kwa sababu ya kuaribiwa kwa njia za uzazi na bakteria (bacteria) wanaopelekea PID.
- Kupata maumivu ya mara Kwa mara ya tumbo.
Je, Kwa namna gani unaweza kujikinga na PID:-
- shiriki ngono salama Kwa kutumia kinga( condom) unapokutana na mwenza mpyq.
- Zuia kujisafisha sehemu za siri na sabuni Kali zinazoweza kupelekea PID, Kwani uke unauwezo wa kujisahfisha wenye bila ya msaada wako.
- Pima PID na magonjwa mengine ya zinaa STIs ili kupata matibabu ya haraka kuzuia madhara yanayoweza kujitokeza.

Kwa msaada zaidi piga namba +255 678 812 687
Asante

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255612577229

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bwana Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Bwana Afya:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram