Bwana Afya

Bwana Afya afya

17/02/2024
PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)Ni maambukizi katika njia za uzazi za mwanamke yanayotokana bakteria wanaosababisha  ma...
17/02/2024

PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)
Ni maambukizi katika njia za uzazi za mwanamke yanayotokana bakteria wanaosababisha magonjwa ya zinaa k**a vile gonorea na klamydia.
je, nizipi dalili zitakazoonyesha kuwa una PID :-
- Maumivu ya chini ya tumbo .
- Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya sehemu za siri.
- kutokwa na damu isiyoyakawaida baada ya tendo la ndoa au katikati ya mzunguko wa hedhi.
- kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa.
- kupata aja ndogo inayoambatana na maumivu.
- kupata homa za mara Kwa mara.

Nini kisababishi cha PID:-
- Kuwa na magonjwa ya zinaa bila kutibiwa Kwa muda mrefu hupelekea mwanamke kupata ugonjwa huu.
- Pia mwanamke huweza kupata PID baada ya kujifungua, hedhi na anapofanya abortion ( kutoa mimba).
- Mwanamke anaweza kupata PID kutokana na matumizi ya njia za uzazi wa mpango zinazousisha kuingiza vifaa katika njia za uzazi (IUDs).

Je, ni watu gani wapi kwenye athari kubwa ya kupata ungonjwa huu:-
- Wanawake wenye wapenzi zaidi ya mmoja.
- kushiriki tendo la ndoa bila kutumia kinga( condom).
- Wanawake wenye tabia ya kujiosha mara Kwa mara na sabuni Kali sehemu za siri hupelekea kupata PID.
- Wanawake wenye magonjwa ya zinaa (STDs) Kwa muda mrefu.

Madhara yanayoweza kujitokeza endapo mwanamke hatapata tiba Kwa muda sahihi ni pamoja na :-
- Kutungwa Kwa mimba nje ya mji wa mimba (ectopic pregnancy), hii hutokee endapo mimba itashindwa Kutungwa katika mji wa mimba (uterus) baadala yake hukaa kweny mirija ya uzazi.
- Kupoteza uwezo wa kushika mimba ( ugumba), hii hutokea Kwa sababu ya kuaribiwa kwa njia za uzazi na bakteria (bacteria) wanaopelekea PID.
- Kupata maumivu ya mara Kwa mara ya tumbo.
Je, Kwa namna gani unaweza kujikinga na PID:-
- shiriki ngono salama Kwa kutumia kinga( condom) unapokutana na mwenza mpyq.
- Zuia kujisafisha sehemu za siri na sabuni Kali zinazoweza kupelekea PID, Kwani uke unauwezo wa kujisahfisha wenye bila ya msaada wako.
- Pima PID na magonjwa mengine ya zinaa STIs ili kupata matibabu ya haraka kuzuia madhara yanayoweza kujitokeza.

Kwa msaada zaidi piga namba 0612577229 Asante.

je, matumizi ya dawa za  dharula k**a njia ya kuzuia mimba kila mara unapofanya mapenzi ni sahihi toa maoni yako hapa.
16/02/2024

je, matumizi ya dawa za dharula k**a njia ya kuzuia mimba kila mara unapofanya mapenzi ni sahihi toa maoni yako hapa.

kwa nini utumie bidhaa hii kupunguza uzito uliopitiliza:- 1.Inasaidia kuondoa sumu na takataka mwilini (detoxification),...
10/12/2023

kwa nini utumie bidhaa hii kupunguza uzito uliopitiliza:-
1.Inasaidia kuondoa sumu na takataka mwilini (detoxification), hivyo organs muhimu k**a vile figo huwezi kufanya kazi kwa ufanisi.
2. Inasaidia kuondoa mafuta mabaya (bad cholesterol) mwilini na katika mishipa ya damu.
3. Inasaidia kurekebisha kiwango cha sukari na pressure mwilini.
4. Inasaidia mfumo wa mmengenyo wa chakula kuweza kufyonza virutubisho kwa urahisi ivyo kufanya kazi kwa ufasaa.
5. Ina virutubisho zaidi ambavyo vitakusaidia katika kujenga kinga ya mwili na kuupa mwili nguvu kwa muda mrefu.
6. Inasaidia kukupa ngozi iliyo na afya njema.

📌📌 k**a umesumbuka kupunguza uzito bila majibu yoyote kwa muda mrefu basi suluhisho ni hili tuwasiliane kupitia namba 0612577229

kwanini utumie programs hizi kwa ajili ya kupunguza uzito uliopitiliza:-1. Ni rahisi kufutilia program hii tofauti na pr...
09/12/2023

kwanini utumie programs hizi kwa ajili ya kupunguza uzito uliopitiliza:-
1. Ni rahisi kufutilia program hii tofauti na programs nyingine.
2. Inapunguza mafuta mabaya yaliyorundikana mwilini.
3. Huongeza kwa haraka kiasi cha protein hivyo husaidia mwili kujijenga vizuri.
4. Virutubisho hivi vina radha nzuri (te**es good).
5. Vitakisaidia kuweza kuwa na nguvu muda mrefu.

📑Ni muda wako sasa punguza uzito uliopitiliza kwa kutumia program zetu uone mabadiliko kwa muda mfupi na niya muda mrefu.

Address


Telephone

+255612577229

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bwana Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Bwana Afya:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram