DrMge health plants and natural remedes

DrMge health plants and natural remedes Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from DrMge health plants and natural remedes, Health & Wellness Website, Dar es Salaam.

Tawasaidia wagonjwa wa KISUKARI kukarabati seli zao kwa kutumia Selishina ili Kuboresha utendaji wake pamoja na kujifunza namna sahihi ya KUZILISHA seli ili zidumu kuwa Bora kwa Tiba lishe,Tiba Asili na mtindo Bora wa maisha!!

*HAYA NIAMBIE SASA UNAHISI TANGU MWAKA UANZE UMEKUSANYA SUMU KIASI GANI MWILINI MWAKO?* 1.Kumbuka aina za vyakula ulivyo...
31/12/2025

*HAYA NIAMBIE SASA UNAHISI TANGU MWAKA UANZE UMEKUSANYA SUMU KIASI GANI MWILINI MWAKO?*

1.Kumbuka aina za vyakula ulivyotumia kutoka shambani , je ni salama?

2.Kumbuka namna ulivyo hifadhi, je ulihifadhi vizuri ili visitengeneze sumu?

3.Kumbuka namna ulivyoandaa kule jikoni , je huku tengeneza sumu?

4.Vipi kuhusu matunda na mboga za majani uliizotumia zilikuwa ni salama? Ni fresh kutoka shambani, ni za kutosha?

5.Vipi kuhusu maji ya kunywa, ulikunywa kiasi gani kwa siku?

6.Vipi kuhusu USINGIZI ulilala usingizi wa kutosha , kwa masaa 6-8.
7.Kwenye upande wa mazoezi hali Ipoje?? Umevuja jasho la kutosha ndani ya mwaka huu ili kuruhusu sumu kutoka nje kupitia jasho kila siku?

Vipi kuhusu AMANI YAKO YA MOYO unayo yakutosha, hujasumbuliwa na
msongo wa mawazo kwa mwaka mzima?

*UNAHISI UPO SALAMA KWENYE AFYA YAKO?*

ANGALAU KWA UPEO MDOGO ALIOKUPA MUNGU?

MENGINE TUMWACHIE MUNGU!

*Je,unahisi kuna mahali hukuenda sawa? Unahisi haupo salama kiafya? Kuna jambo unahitajika kufanya kwΓ ajili ya afya yako?*

BINAFSI NIMEPUNGUA SANA KATIKA HAYO, NAHITAJI KUFANYA KITU!!

*Kitu hicho ni nini?*

Ninahitaji kufanya usafishaji wa mwili ili kurejesha nguvu yangu na kuanza nikiwa mpyaaa 2026!

Mimi nitasafisha mwili wangu kwa kutumia hizi product mbili hapaπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

1.Miiracell
2.Miiraphyl ,kwa kuwa nahitaji kusafisha kuanzia kwenye tumbo langu!

*Vipi wewe utatumia njia gani??*

K**a unahitaji detox nzuri isiyo na madhara na yenye ufanisi mkubwa katika kusafisha mwili tuwasiliane kwa

0756602665
DR. MGE

🚨 *CONSTIPATION:* CHANZO CHA MAGONJWA MENGI 🚨Moja kati ya tabia mbaya sana zinazotengenezwa na ulaji usiofaa na unywaji ...
28/12/2025

🚨 *CONSTIPATION:*

CHANZO CHA MAGONJWA MENGI 🚨
Moja kati ya tabia mbaya sana zinazotengenezwa na ulaji usiofaa na unywaji usiofaa ni tatizo la constipation
(kukosa/kutopata haja kubwa vizuri).
πŸ‘‰ Hapa ndipo magonjwa mengi huanzia.
Mengine tunayoyaona k**a β€œmajina ya magonjwa” mara nyingi ni matokeo tuβ€”na ndipo dawa huuzwa.
❗ Usipokuwa vizuri chooni, hakuna namna ya kukwepa hata yale wanayoyaita magonjwa sugu.
🧠 JIULIZE SWALI RAHISI
🍽️ Unakula mara ngapi kwa siku?
🚽 Unapata haja kubwa mara ngapi kwa siku?
❓ Hali ikoje huko chooni? (rahisi au ngumu, kamili au haitoshi)
πŸ‘¨β€βš•οΈ Daktari wa afya yako ni wewe mwenyewe!
Kabla ya kwenda kwa daktari wa magonjwa,
wewe mwenyewe k**a DR bingwa wa afya yako:
Jipime kwa uaminifu
Jipatie majibu sahihi
Rekebisha ulaji, unywaji na mtindo wa maisha
🟒 Kumbuka: Afya ya utumbo ndiyo msingi wa afya ya mwili mzima.

Tumbo lako la chakula ndicho kitovu cha afya yote ya mwili!

K**a unafikiria kujikinga au kutibu magonjwa sugu au magonjwa ya mtindo wa maisha kisukari,presha,figo,magonjwa ya moyo huna budi kuanzia hapo kwenye tumbo lako ndipo uendelee!

Sasa zipo njia tofauti tofauti za asili na za kisasa za kusafisha utumbo

Ni huduma muhimu sana kwa kila mmoja kuifanya hata kwa wewe ambaye unadhani una afya njema kabisaa!

Sasa jiulize utaifanya kwa namna gani? Kiasili au hospital?

Jiulize mara yako ya mwisho kusafisha mwili ni lini na ulitumia njia gani? na kwasasa una mpango gani?

Hapa tunayo bidhaa ya asili ya kusafisha mmeng'enyo wako wa chakula na mwili kwa ujumla haina madhara yoyote ya upande wa pili
Ikiwa ni hitaji lako tuwasiliane kwa
0756602665

28/12/2025

Hello MUMEAMKAJE leo?? Mpo poa?
Hebu tuongee kidogo kuhusu mfumo wako wa mmeng'enyo wa chakula(tumbo la chakula)

Najua mnaoga tena sanaa,haitoshi mnaoga kwa kutumia sabuni ili kuuondoa uchafu uliogandamana ambao hauwezi kutoka kwa kutumia maji pekee,na mnaoga kutwa mara 2 hadi mara 3!

Hivi umewahi kufikiria kuhusu tumbo lako la chakula?(Mmeng'enyo wa chakula)

Hebu tufananishe na mfereji wa maji unaopitisha maji kila siku,hata k**a ni masafi kiasi gani baada ya muda fulani kuta zake hujaa uchafu ulioganda,au tuchukulie kisima au simtank la maji unalojaza maji kila siku baada ya muda fulani hujaa uchafu ulioganda na hivyo kuhitajika kusafishwa,vivyo hivyo kwenye tumbo lako la chakula kidogokidogo hujaa uchafu ulioganda,je unafanya je ili kusafisha??
Na unafikiri usiposafisha nini kinatokea?

*Nitajibu swali hili kwa audio hapa chini??*
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Jipe muda usikilize!!

Unahitaji kusikiliza Audio?
Inbox me what's up ,0756602665

22/12/2025

πŒπ€πŒππŽ 𝟏𝟎 πŒπ”π‡πˆπŒπ” πŠπ”π‡π”π’π” π€π…π˜π€ 𝐍𝐀 π•π˜π€πŠπ”π‹π€ πŠπ–π€ ππˆππ€πƒπ€πŒπ”.

*✍️Ni muhimu kuzingatia haya machache yatakusaidia mtu wa Mungu 🀝*

1. π‹πˆπ’π‡π„ ππŽπ‘π€
*Kula mlo wenye uwiano mzuri wa virutubisho, ikiwa ni pamoja na wanga, protini, mafuta, vitamini, na madini, ni muhimu kwa kudumisha afya njema.*

2. πŒπ€π“π”ππƒπ€ 𝐍𝐀 πŒππŽπ†π€πŒππŽπ†π€
*Matunda na mboga mboga ni chanzo kikubwa cha vitamini, madini, na nyuzinyuzi (fiber). Husaidia katika kuimarisha kinga ya mwili na kupunguza hatari ya magonjwa mbalimbali*.

3. π”ππ˜π–π€π‰πˆ 𝐖𝐀 πŒπ€π‰πˆ
*Maji ni muhimu kwa shughuli zote za mwili, ikiwa ni pamoja na kumeng’enya chakula, kusafirisha virutubisho, na kutoa sumu mwilini. Inashauriwa kunywa angalau glasi 8 za maji kwa siku.*

4. πŠπ”π„ππ”πŠπ€ π•π˜π€πŠπ”π‹π€ π•π˜π€ πŠπ”π’πˆππƒπˆπŠπ€.
*Vyakula vilivyosindikwa vina viwango vya juu vya sukari, chumvi, na mafuta mabaya ambayo yanaweza kusababisha magonjwa k**a vile shinikizo la damu, kisukari, na ugonjwa wa moyo*.

5. πŠπ”π‹π€ πŠπ–π€ π–π€πŠπ€π“πˆ
*Kufanya mazoea ya kula kwa wakati maalum na kutopitisha mlo ni muhimu ili kudumisha viwango thabiti vya nishati na kuepuka kula kupita kiasi*.

6. πŠπ”π“π”πŒπˆπ€ πŒπ€π…π”π“π€ π˜π„ππ˜π„ π€π…π˜π€
*Mafuta ya mimea k**a mafuta ya zeituni, parachichi, na karanga ni bora kwa afya kuliko mafuta yaliyojaa k**a vile siagi na mafuta ya wanyama*.

7. 𝐏𝐔𝐍𝐆𝐔𝐙𝐀 πŒπ€π“π”πŒπˆπ™πˆ π˜π€ π’π”πŠπ€π‘πˆ
*Sukari nyingi inaweza kusababisha ongezeko la uzito na kuongeza hatari ya kupata magonjwa k**a kisukari na magonjwa ya moyo. Ni vyema kutumia asali au matunda k**a vyanzo mbadala vya utamu*.

8. πŠπ”π‹π€ π•π˜π€πŠπ”π‹π€ π•π˜π„ππ˜π„ ππ˜π”π™πˆππ˜π”π™πˆ
*Vyakula vyenye nyuzinyuzi k**a vile nafaka nzima, mboga za majani, na matunda husaidia katika usagaji wa chakula na kuzuia tatizo la kuvimbiwa*

9. πŒπ€π™πŽπ„π™πˆ π˜π€ πŒπ€π‘π€ πŠπ–π€ πŒπ€π‘π€
* *Pamoja na kula vyakula bora, mazoezi ya mara kwa mara ni muhimu kwa ajili ya kudumisha uzito wa mwili na afya kwa ujumla, ikijumuisha kupunguza hatari ya magonjwa sugu.*

10. 𝐏𝐔𝐍𝐆𝐔𝐙𝐀 πŒπ€π“π”πŒπˆπ™πˆ π˜π€ π‚π‡π”πŒπ•πˆ
*Chumvi nyingi inaweza kusababisha shinikizo la damu na magonjwa ya moyo. Inashauriwa kutumia kiasi kidogo cha chumvi na kupendelea viungo asilia kwa ladha zaidi*.

*Kudumisha afya njema kunahitaji usawa kati ya kula chakula bora, kufanya mazoezi, na kuzingatia mienendo mizuri ya kimaisha*.

Kwa ushauri wa kiafya na tiba kwa maradhi ya mbalimbali tupigie 0756602665

*STEMCELL THERAPY:* ni teknolojia ya kisasa inayotumia seli hai (stem cells) ambazo zina uwezo wa kurekebisha au kujenga...
22/12/2025

*STEMCELL THERAPY:* ni teknolojia ya kisasa inayotumia seli hai (stem cells) ambazo zina uwezo wa kurekebisha au kujenga upya seli zilizoharibika mwilini.

*KWA KISUKARI:*

- *Kongosho:* Stemcell huchochea uzalishaji wa seli za beta zinazotoa insulini, kusaidia kurudisha uwezo wa kongosho kufanya kazi.

- *Figo:* Hurekebisha uharibifu wa figo unaotokana na kisukari, kuboresha uchujaji wa damu.

- *Ini:* Huboresha uwezo wa ini kusafisha sumu na kuchakata sukari mwilini.

- *Seli za mwili:* Huboresha uwiano wa sukari kwa kusaidia seli kutumia glukosi ipasavyo.

*Matokeo:* Kwa baadhi ya watu, wanaweza kupata Matokeo kwa Muda mfupi sana au hata kuondoa hitaji la kutumia insulini, hasa kwa kisukari cha aina ya II.

Wengine wanaweza kuchelewa Hadi kuanzia siku 20+ Kulingana na Muda na madhara.

Hata hivyo, mafanikio hutegemea hali ya mgonjwa na aina ya stemcell anayotumia

Kwa ushauri na tiba ya changamoto yoyote ya kiafya tupigie
Dr.mge healthplants and natural remedy!
0756602665

Tibu kuanzia kwenye chanzo, vinginevyo tatizo huchipua tena kwa kuwa mizizi bado ipo!Chanzo cha maradhi ni mrundikano wa...
22/12/2025

Tibu kuanzia kwenye chanzo, vinginevyo tatizo huchipua tena kwa kuwa mizizi bado ipo!

Chanzo cha maradhi ni mrundikano wa sumu mwilini na upungufu wa virutubisho unaosababisha kuchakaa kwa seli zako na kushindwa kufanya kazi ipasavyo hivyo kusababisha maradhi!!

Tupigie kwa 0756602665
Dr. Mge

Kwa ushauri, elimu ya maradhi mbalimbali ya mtindo wa maisha na tiba sahihi!

22/12/2025

Stemseli hutibu kuanzia kwenye seli kwa kukarabati seli zilizo choka na kuchochea uzalishaji wa seli mpya, kwa kufanya hivi magonjwa mengi hutibiwa kwa kuwa maradhi mengi chanzo chake ni kwenye seli!

Hapa ni ushuhuda wa mgonjwa wangu wa saratani baada ya kupata matokeo ndani ya siku chache baada ya kuanza kutumia stemcells!

Tupigie kwa namba hizi 0756602665

*NJIA NNE ZA UPONYAJI WA KWELI* Watu wengi wanatafuta uponyaji, lakini wachache wanaelewa kuwa kupona siyo tukio la baha...
22/12/2025

*NJIA NNE ZA UPONYAJI WA KWELI*

Watu wengi wanatafuta uponyaji, lakini wachache wanaelewa kuwa kupona siyo tukio la bahati, bali ni mchakato unaohitaji mpangilio sahihi.
Ujumbe huu unatufundisha kuwa uponyaji wa kweli una nguzo nne muhimu. Ukikosa moja, matokeo hayakamiliki.

NGUZO YA KWANZA: MUNGU – CHANZO CHA UZIMA NA NDIYO TABIBU MKUU.
Mungu hapa anamwakilisha:
Chanzo cha uhai
Amani ya ndani
Tumaini na imani ya kupona
Fundisho kuu
Hakuna uponyaji wa kudumu bila:
Amani ya moyo
Imani
Kuondoa hofu na msongo wa mawazo
Mwili unapona haraka pale roho inapokuwa na utulivu.
Hoja ya kujifunza
Msongo wa mawazo huchelewesha uponyaji
Hofu huongeza maumivu
Imani huimarisha mwili na ni dawa kubwa zaidi ya dawa zingine tunazozitafuta.

Kila unapoingia katika matibabu au huduma jitahidi kumwamini zaidi Mungu zaidi ya dawa yenyewe.

NGUZO YA PILI: MTAALAM SAHIHI – MAARIFA SAHIHI
Siyo kila mtu anayezungumza juu ya afya ni mtaalam sahihi.
Mtaalam sahihi ni yule:
Anayeelewa chanzo cha tatizo
Anayejali historia ya mgonjwa
Asiyetibu dalili tu, bali chanzo.

Tatizo sahihi likipelekwa kwa mtu asiye sahihi, huongezeka badala ya kuisha.

Maarifa yasiyo sahihi ni hatari kuliko kukosa maarifa
Ushauri mbaya unaweza kuharibu zaidi ya ugonjwa

NGUZO YA TATU: DAWA / HUDUMA SAHIHI – SULUHISHO SAHIHI

Dawa au huduma sahihi:
Hulingana na tatizo
Hulingana na mwili wa mtu
Hulingana na hatua ya ugonjwa

Dawa nzuri isipotumika kwa mtu sahihi, hugeuka kuwa sumu.

Kilichomsaidia mwingine kinaweza kukudhuru
Kujitibu bila uelewa ni hatari

NGUZO YA NNE: WEWE SAHIHI – UWAZI NA NIDHAMU BINAFSI
Hii ndiyo nguzo inayosahaulika zaidi.
Inahusisha:
Kubadilika kwa tabia
Nidhamu ya maisha
Uwajibikaji binafsi

Hakuna dawa inayoweza kushinda tabia mbaya.
Hoja ya kujifunza
Kupona kunahitaji ushiriki wa mhusika.
Kukataa kubadilika ni kuchelewesha uponyaji

Uponyaji wa kweli hutokea pale nguzo zote nne zinapokutana:
Mungu – huleta uzima
Mtaalam sahihi – huleta maarifa
Dawa sahihi – huleta msaada
Wewe sahihi – huleta matokeo
Kupona siyo kitu cha kufanyiwa tu, ni safari ya kushiriki.

JIULIZE:
Ni nguzo ipi watu wengi huiharibu bila kujua?

Kwa nini tabia binafsi ni muhimu kuliko dawa?
Unaweza kufanya mabadiliko gani leo ili kusaidia uponyaji wako?

ZINGATIA:
Mungu anatoa uzima,
mtaalam anaongoza,
dawa inasaidia,
lakini wewe unaamua.

Kwa tiba na ushauri kwa maradhi ya mtindo wa maisha tupigie
Dr.Mge
0756602665

Leo nimeamshwa na swali hiliπŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†Huenda kuna mwingine mwenye changamoto k**a hiyo!K**a na wewe unachangamoto hii nipigie a...
28/11/2025

Leo nimeamshwa na swali hiliπŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†
Huenda kuna mwingine mwenye changamoto k**a hiyo!
K**a na wewe unachangamoto hii nipigie au njoo whatsup nikupe audio ya majibu haya uiikilize!!

*UKISHINDWA KUTIBU KISUKARI, JIANDAE* *KUTEMBEA NA BOMU LINALOITWA FIGO* * Kisukari si mchezo. Si β€œsukari iko juu tu.”Ni...
28/11/2025

*UKISHINDWA KUTIBU KISUKARI, JIANDAE* *KUTEMBEA NA BOMU LINALOITWA FIGO*
*
Kisukari si mchezo. Si β€œsukari iko juu tu.”
Ni sumu tulivu inayochoma mwili kimya kimya. Ukikataa kukitibu kwa usahihi, unakuwa unaipa ruhusa iingie mpaka kwenye mishipa midogo ya damu ya figo zakoβ€”ambazo zikiharibika, hakuna dawa ya kuzifufua.

Ukweli mchungu ni huu:
Figo hazipigi kelele. Hazilalamiki. Haziumii. Zinakufa kimya kimya.
Na ukiona dalili, mara nyingi ni kuchelewa.

Ndio maana watu wengi huamka siku moja na kuambiwa:
β€œFigo zako zimelegea. Unahitaji dialysis. Maisha yako yote.”

Haya yote huanza na jambo moja tu:
KISUKARI KILICHOPUUZWA.

Sukari ikiwa juu kwa muda mrefu:

Inaharibu mishipa inayolisha figo,

Inapandisha presha,

Inasababisha maji kukwama mwilini,

Na hatimaye figo kuanza kuzima hatua kwa hatua.

Na ukifikia hapo, hakuna tena kuomba dua ya miujiza.
Dialysis, gharama, maumivu, na kudra ya Mungu ndiyo inabaki.

Lakini jambo la kushangaza ni hili:
Huyu shetani aitwaye kisukari anaogopa hatua ndogo tuβ€”ukiamua leo kuboresha mwili wako wote, kuondoa taka mwili, kupunguza mafuta mabaya, kubalance homoni, na kurekebisha mfumo wa sukari.

Ukitibu kisukari kwa usahihi, unazima bomu la figo kabla halijalipuka.

Wasiliana kwa ushauri zaidi *0756602665*

```Miaka 3 sasa bila kunywa soda 😎Ilinichukua takribani miezi 3 kuweza kuelewa kwanini sukari ni mbaya kwa afya.Nikasoma...
26/11/2025

```Miaka 3 sasa bila kunywa soda 😎

Ilinichukua takribani miezi 3 kuweza kuelewa kwanini sukari ni mbaya kwa afya.

Nikasoma vitabu vingi sana, lakini kimoja kilichonivutia sana na ni Cha Pure White and Deadly by John Yudkin baadae Huyu mwamba ameeleza kwa uchungu mkubwa vile sukari na biashara zake zinaharibu maisha ya watu pia niliongezea ufahamu kupitia group hili la Dr.mge unaweza lichukulia poa lakini linagusa Sana kwa yeyote anayetambua thamani ya afya katika haya maisha k**a wewe sio mbinafsi kwa kizazi chako kinachokutegemeaπŸ˜†

βœ”οΈBaada ya kujielimisha vya kutosha niliamua kuchukua hatua zifuatazo:
- Kuacha kutumia sukari
- Kuacha kunywa soda
- Kuacha kunywa juisi za viwandani
- Kupunguza ngano
- Kupunguza ugali
- Kuacha wali
- Kuacha vyakula vyote vinavyopandisha sukari mwilini

βœ”οΈIko hivi:
Sukari ya mezani na sukari nyingi k**a soda na energy zina tabia ya kupandisha sukari mara moja,
Kitaalam tunasema zina high glycemic Index.

Yaani ukinywa soda, chap unajisikia high.
Punde, sukari inashuka na unajisikia low na vibaya.
Utataka tena kunywa kitu cha sukari.
Pengine utakunywa chai au juisi.
Utajisikia vizuri, lakini baadae utarudi kule kule.

Ndo maana sukari inaleta uraibu.

Baada ya kufanikiwa kuacha kabisa sukari na washirkka wake,

Sasa nina zaidi ya miaka 3 situmii hivi vitu.

βœ”οΈNa hizi ndizo faida nilizopata:
- Sina njaa za mara kwa mara
- Ni nadra sana kusikia njaa
- Sina cravings kabisa za vyakula
- Nakula napojisikia mwenyewe
- Nimefanikiwa kuishi kwa milo 2 kwa siku
- Na sasa nataka kuhamia mlo 1 kwa siku
- Energy yangu inakuwa juu muda mwingi
- Sasa hivi ukiniwekea sukari kwenye kinywaji nahisi kichefuchefu
- Kwa ufupi nina total freedom na ulaji wa chakula

βœ”οΈK**a umechoka na matatizo ya:
- kukosa mzuka
- Kuugua vitu usivyovijua
- Kula mara kwa mara
- Kuota kitambi
- Unene kupitiliza
- Nguvu za kiume
- Hormonal imbalance

Basi hakikisha unaikataa sukari na washirika wake wote.

Kuacha sukari ni ushindi mkubwa.

Jikomboe na afya yako. Kuwa huru tena.

Kula sukari kunakufanya teja wa chakula.

ACHAAAAAAAAAAAAAA


DR.MGE
0756602665

UNAJUA KWANINI ULIAMBIWA KISUKARI NA PRESHA HAYATIBIKI?? SABABU NI HII::Wanatibu dalili/matokeo ya ugonjwa na sio chanzo...
24/11/2025

UNAJUA KWANINI ULIAMBIWA KISUKARI NA PRESHA HAYATIBIKI??

SABABU NI HII::

Wanatibu dalili/matokeo ya ugonjwa na sio chanzo!!

Ndio maana kila siku unatumia dawa za kisukari na presha ili iwe sawa!!!
Cha ajabu kuna siku inapanda na wala hasikii dawa!

Siku utakapo acha kutibu dalili za ugonjwa na kushughulikia mzizi /chanzo cha ugonjwa ndio siku utakayoagana nao!!

Kwa tiba na ushauri tupigie
Dr. Mge 0756602665

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DrMge health plants and natural remedes posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to DrMge health plants and natural remedes:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram