31/12/2025
*HAYA NIAMBIE SASA UNAHISI TANGU MWAKA UANZE UMEKUSANYA SUMU KIASI GANI MWILINI MWAKO?*
1.Kumbuka aina za vyakula ulivyotumia kutoka shambani , je ni salama?
2.Kumbuka namna ulivyo hifadhi, je ulihifadhi vizuri ili visitengeneze sumu?
3.Kumbuka namna ulivyoandaa kule jikoni , je huku tengeneza sumu?
4.Vipi kuhusu matunda na mboga za majani uliizotumia zilikuwa ni salama? Ni fresh kutoka shambani, ni za kutosha?
5.Vipi kuhusu maji ya kunywa, ulikunywa kiasi gani kwa siku?
6.Vipi kuhusu USINGIZI ulilala usingizi wa kutosha , kwa masaa 6-8.
7.Kwenye upande wa mazoezi hali Ipoje?? Umevuja jasho la kutosha ndani ya mwaka huu ili kuruhusu sumu kutoka nje kupitia jasho kila siku?
Vipi kuhusu AMANI YAKO YA MOYO unayo yakutosha, hujasumbuliwa na
msongo wa mawazo kwa mwaka mzima?
*UNAHISI UPO SALAMA KWENYE AFYA YAKO?*
ANGALAU KWA UPEO MDOGO ALIOKUPA MUNGU?
MENGINE TUMWACHIE MUNGU!
*Je,unahisi kuna mahali hukuenda sawa? Unahisi haupo salama kiafya? Kuna jambo unahitajika kufanya kwΓ ajili ya afya yako?*
BINAFSI NIMEPUNGUA SANA KATIKA HAYO, NAHITAJI KUFANYA KITU!!
*Kitu hicho ni nini?*
Ninahitaji kufanya usafishaji wa mwili ili kurejesha nguvu yangu na kuanza nikiwa mpyaaa 2026!
Mimi nitasafisha mwili wangu kwa kutumia hizi product mbili hapaππππ
1.Miiracell
2.Miiraphyl ,kwa kuwa nahitaji kusafisha kuanzia kwenye tumbo langu!
*Vipi wewe utatumia njia gani??*
K**a unahitaji detox nzuri isiyo na madhara na yenye ufanisi mkubwa katika kusafisha mwili tuwasiliane kwa
0756602665
DR. MGE