Neutriceutical herbal services

Neutriceutical herbal services Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Neutriceutical herbal services, Medical and health, Makumbusho, Dar es Salaam.

Tiba asilia zenye kutatua na kukinga changamoto za magonjwa na maradhi mbalimbali kwa watoto hadi watu wazima.Pia tunatoa ushauri wa magonjwa na maradhi tofauti tofauti bureee!!!

22/10/2019
22/10/2019

ANACTIC_HERBAL_SOAP

Ni sabuni iliyotengenezwa kwa kutumia;
-asali
-mawese
-mzeituni/ Alizeti
-zabibu

Ni sabuni maalumu kwa wenye matatizo ya ngozi aina zote.
Tumia_sabuni_hii_kwa_matumizi_ya_muda_mrefu_kuondoa; -Chunusi na kufifiza madoa
-Mba wa aina wote (kichwani au mwilini)
-Hukausha mafuta usoni
-Huondoa harufu mbaya ya miguu, kwa wale wanaosumbuliwa na matatizo ya kunuka miguu na fangasi wa miguuni au vidoleni
-Hukufanya uonekane kijana muda wote
-Hupendezesha ngozi
-Husaidia kwa wenye kuwashwa ngozi

Kwa mawasiliano na namna ya kuipata tutafute kwa namba 0744557179 piga ama tuma msg kwa hii namba utahudumiwa.

20/10/2019

KIFAA CHA KUCHUJIA MAJI PUREWELL waterpurifierCc:

Ni kifaa cha kiteknolojia ya juu sana, inayosafisha, kurutubisha, na kuzuia bacteria wabaya, vumbi, kutu, michanga, rangi ya maji n.k
Hufungwa moja kwa moja kwenye bomba la maji na husafisha maji kuwa safi na salama
Inachuja maji na kuyafanya yawe safi na salama Kwa kunywa, kupikia, kupigia mswaki na shughuli zingine za nyumbani au ofisini au kiwandani
Inaondoa kutu, vumbi na wadudu wote bila kuchemsha maji
Huboresha ladha ya maji na kuwa salama
Ni muhimu kuwa na kifaa hiki kwani kinabana matumizi hasa Kwa watu ambao huchemsha maji ya kunywa au Kwa watu ambao wananunua maji
majiniuhai
Inapatikana sasa!
#0744557179 kwa mawasiliano zaidi na kufika ofisini kwetu.

JE, WAJUA CHANZO, DALILI ZA MADHARA YA KUKOSA CHOO(CONSTIPATION)? Je, kukosa choo ni nini?Kukosa choo maana yake ni kuto...
20/10/2019

JE, WAJUA CHANZO, DALILI ZA MADHARA YA KUKOSA CHOO(CONSTIPATION)? Je, kukosa choo ni nini?
Kukosa choo maana yake ni kutokuwa na uwezo wa kwenda haja kubwa kutokana na kinyesi kukusanyikana sehemu moja tumboni na kuwa kigumu na kushindwa kutoka. Nahili tatizo kwa wanaume huweza kusababisha hata matatizo kwenye mfumo wa uzazi yaani kukosa nguvu za kiume endapo tatizo litaendelea

Kwa kawaida kinyesi tumboni kinapaswa kutoka kila siku kila baada ya kupata mlo, iwe ni mlo wa asubuhi, mchana au jioni. Hivyo, kila mtu anapaswa apate choo mara 2-3 kila siku. Lakini hali hii inapokosekana, vitu vibaya au vichafu pia huanza kusafiri taratibu na kuingia katika utumbo mpana. Utoaji kinyesi huwa wenye maumivu sana pindi muhusika anapoenda chooni kujisaidia, na hivyo sumu hunyonywa tena na kurudi tumboni, na kusababisha mzigo mkubwa katika utendaji kazi wa ini na figo. Na ieleweke kuwa, uchafu wote katika mwili wa mwanadamu unapaswa uondolewe ndani ya masaa 18-24 tu!! Napenda kila mmoja wetu tuelewe kuwa, matatizo mengi ya magonjwa mbalimbali mara nyingi yamekuwa yakisababishwa na hali ya kukosa choo kutokana na milo yetu, kwa mfano: >Kutokwa na harufu mbaya mdomoni,
Mwili kutoa harufu, tumbo kujaa gesi, kichwa kugonga, mshipa wa ngiri,
Mishipa ya damu kuwa migumu na kusababisha shinikizo la juu la damu na miguu au mikono kufa ganzi,
Mwili kuwa mnene,
Kukosa usingizi, maumivu ya kiuno, mwili kuchoka,
Chakula kushindwa kurudiwa kumeng’enywa mara ya pili, na ulimi kuwa na utando mweupe.
Sumu inayonyonywa mara ya pili kutoka kwenye kinyesi kinachoshindwa kutoka tumboni, inaweza pia kusababisha hali ya kipanda uso, tumbo kujaa gesi mara kwa mara na kulifanya kuunguruma na hivyo kujamba hewa yenye harufu mbaya, homa ya uti wa mgongo au vimbe wa tando za uti wa mgongo na ubongo, nk.

Je, Nini Husababisha Kukosa Choo?

Kwa kawaida tatizo hili mara nyingi husababishwa na ulaji wa vyakula aina zifuatazo: >Vyakula vilivyokobolewa k**a vile, ugali wa sembe, unga wa ngano(maandazi, chapatti, nk)
>Chips mayai na juisi
Nyama nyekundu(mishikaki, supu, nk)hasa inapoliwa kwa mfululizo)
>Vyakula vilivyosindikwa kwa ushauri nini ufanye wasiliana na sissy kwa namba 0787825579

Hatari zinazoweza kumpata mtumiaji wa madawa ya kemikali ya kubusti jogoo muda mfupi kabla ya tendo la ndoaLeo napenda n...
15/10/2019

Hatari zinazoweza kumpata mtumiaji wa madawa ya kemikali ya kubusti jogoo muda mfupi kabla ya tendo la ndoa

Leo napenda nitoe angalizo kwa watu wote wanaotumia au wenye mpango wa kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume (Viagra,sildenafil citrate ),
Kwanza kabisa napenda kuwahabarisha kwamba vifo vingi vinavyotokea kwenye guest house pale mtu anapokuwa na michepuko hutokana na wanaume kutumia dawa hizi ili waonekane wako vizuri kabisa
Dawa hizi hufanya kazi kwa kusisimua kwa nguvu sana mfumo wa damu mwilini hivyo kupelekea mtu kupata athari mbalimbali za muda mfupi na za muda mrefu katika ogani mbalimbali za mwili k**a,

1. Mapigo ya moyo kuongezeka au kupiga bira mpangilio hivyo kusababisha shida katika mfumo wa upumuaji na kusukuma damu.

2. Maumivu ya moyo(Angina) hii hutokana na moyo kuchoka kutokana kufanya kazi sana kuliko kawaida

3. Mishipa ya damu kupasuka,hii mara nyingi hutokea kwenye ubongo au kwenye coronary arteries hivyo kupelekea mtu kupata stroke au kifo cha ghafla.

4. Kupata kifafa

5. Maumivu makali sana ya kichwa pamoja na pamoja viungo pamoja na misuli.
Upofu na uziwi wa ghafla.

6. Kushindwa kusimamisha kabisa

Ushauri wa mwisho kabisa ni kwamba dawa hizi ni kwaajili ya watu wenye shida ya nguvu za kiume waliothibitishwa na daktari hivyo USITUMIE DAWA HIZI K**A HUJAANDIKIWA NA DAKTARI AU UNAJIJUA KABISA UNAMATATIZO YA MOYO AU SHINIKIZO LA DAMU utakufa kabla siku zako hazijafika.

Tumia Tiba Asili
Au zingatia zile kanuni zetu tatu muhimu

1: Chakula 2: Mazoezi na 3: Mtindo bora wa kuishi kwa kuepuka matumizi ya kemikali.

Kwa waliowahi kutumia hizi kemikali, au wenye shuhuda si vibaya kutoa maoni ili hata ambaye hayajamkuta basi anusurike.

TUMIA NJIA ASILI
-X POWER COFFEE
-X POWER CAMPULES PLUS
-MICRO 2 CYCLE
-ZAMINOCAL NA PROSTRATE RELAX
Kwa ushauri na suluhisho hili wasiliana na sissy kwa namba 0744557179

12/10/2019

Aaminie amepona!Tuseme Amen 🙏🏻 bawasiri
TATIZO LA BAWASIRI
(HEMORRHOIDS/PILES) MGOLO NA JINSI YA KUTIBU BILA UPASUAJI
JE! Bawasiri (piles) au ni nini?
Ni pale mishipa ya veins (nyama) zinapojitokeza eneo la haja kubwa (A**s)
Hali hii humfanya mtu ajisikie hali ya kukera sana na wakati mwingine maumivu makali, hali ya kukera hutokea kipindi aendapo chooni kupata haja kubwa ila kwa wengine hali hii huwafanya wapate maumivu kila wakati na kujisikia vibaya sana na kushindwa kufanya mambo mengine.
Mara nyingi bawasiri huendana na kupata choo choo chenye damu

BAWASIRI HUSABABISHWA NA NINI?

Kawaida eneo la haja kubwa lina mishipa ya damu mingi aina ya VEINS na mishipa hii IPO juu juu sana. Sasa presha inapoongezeka eneo hili mishipa hiyo hupasuka na hujitokeza kwa nje hivyo huonekana k**a nyama zimejitokeza
Ingawa wakati mwigine BAWASIRI hujitokeza ndani kabisa ya njia ya haja kubwa hivyo hufanya bawasiri iwe ya ndani bila nyama kutokea nje ya haja kubwa MTU atajisikia hali ya kukera bila nyama kutoka nje kwa hiyo hii inaitwa BAWASIRI ya ndani.
———————————————————
SABABU ZA BAWASIRI KUTOKEA

1️⃣KUPATA CHOO KIGUMU
Choo kigumu huongeza presha eneo la haja kubwa hivyo husababisha bawasiri kutokea
Hii hutokea zaidi kwa watoto wadogo na watu wenye constipation au wenye tatizo la kutopata choo
2️⃣UZAZI (MIMBA)
Huongeza presha eneo la nyonga hivyo huongeza presha eneo la haja kubwa hivyo huongeza nafasi ya kupata bawasiri
3️⃣KITAMBI (OBESITY)
Pia huongeza presha eneo la nyonga, hii hupelekea huongeza presha eneo la haja kubwa
4️⃣KUNYANYUA VITU VIZITO
Pia huongeza presha eneo la haja kubwa,pia huongeza nafasi ya kupata bawasiri
——————————————————
Mara nyingi watu wengine hufanyiwa UPASUAJI kutatua tatizo hili kwa jinsi lilivyo.

TIBA YA BAWASIRI BILA UPASUAJI

Dawa asili ya NOVEL DE PILE huondoa kabisa BAWASIRI bila kufanyiwa upasuaji dawa hii imetengenezwa kwa tunda aina ya CITRUS NA vitu vingine asilia ambavyo hurudisha eneo lako la haja kubwa kuwa katika hali yake k**a kawaida NA huondoa hali ya kukera na maumivu
Haijalishi bawasiri yako IPO katika kiwango gani NOVEL DE PILE HUONDOA ukiitumia na CONSTIRELAX
SASA HUNA HAJA YA KUANGAIKA NA KUFANYIWA UPASUAJI piga 0744557179 Kwa maelezo zaidi

UHUSIANO BAINA YA UGUMBA NA MIRIJA YA UZAZI KUZIBA.Kuziba kwa mirija ni tatizo linalosababisha ugumba kwa wanawake wengi...
12/10/2019

UHUSIANO BAINA YA UGUMBA NA MIRIJA YA UZAZI KUZIBA.

Kuziba kwa mirija ni tatizo linalosababisha ugumba kwa wanawake wengi kwa kiasi kikubwa sana mpaka sasa. Wanawake wanaoshindwa kupata ujauzito hukabiliwa na matatizo matatu; kwanza kabisa ni

A- kuziba kwa mirija ya mayai kunaambatana na ugumba kwa sababu kuu mbili.

1 # huzuia mbegu ya mwanaume na mayai ya mwanamke kukutana kutungisha mimba.

2 # huzia yai kusafirisha kwenda kwenye mji wa mimba(uterus).

KUMBUKA

Kuziba kwa mirija ya uzazi huchukua asilimia ishirini tu (20%) ya tatizo la ugumba kwa mwanamke.

B- matatizo katika mfumo wa homoni. Ambapo dalili kuu huwa ni;-

1-kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi.
hedhi kwa kipindi kirefu
damu kwa siku nyingi sana 5 hadi 9
damu kwa siku chache sana 1hadi 2

2-matiti kutoa maziwa wakati siyo mjamzito wala hunyonyeshi mtoto.

3-kutokuzalisha mbegu zenye ubora, hii ni kwa wanaume tu, na hii huambatana na shida ya
-upungufu wa nguvu za kiume.
-kuwahi kumaliza/ kufika kileleni (Premature Ej*******on).

AINA ZA UZIBAJI MIRIJA YA UZAZI.

NAMBA MOJA.

mirija kuziba upande wa mwishoni karibu na vifuko vya mayai (Distal Tubal Occlusions).

Hali hii ya kuziba mirija mwishoni husababisha sehemu ya mirija iliyo k**a vidole iitwayo Fimbriae kugandamana na kusababisha kushindwa kuchukua yai lililopevuka na kuliingiza katika mirija tayari kwa kutungisha mimba.

NB,
Uvimbe wa aina hii unahusiana kabisa na matatizo 3 k**a ifuatavyo hapa chini;-

A. mirija kuvimba au kujaa maji hali iitwayo kitaalam Hydrosalpinx ambapo pamoja na mwanamke kushindwa kupata mimba.

B. husumbuliwa na maumivu ya tumbo chini ya kitovu mara kwa mara yanayosambaa kulia na kushoto.

C. hali ya kuvimba kwa mirija au mirija ya uzazi kujaa maji husababishwa na maambukizi ya vimelea vya Chlamydia Trachomatics.

NAMBA MBILI.

kushik**ana mirija ya uzazi hali iitwayo kitaalamu ‘Pelvic adhesions.’ Tatizo hili linasababishwa na jamii hiyohiyo ya vimelea vya ‘Chlamydia Trachomatis’.

Tatizo hili huwa siyo kali na mara chache mgonjwa hulalamika maumivu ya tumbo.
kushik**ana huku ni hali ya makovu ndani na nje ya mfumo wa uzazi, kwani upande wa vidole vinavyoshika mayai hujikunja na wakati mwingine mrija wenyewe huk**atana na viungo vingine jirani na kuzuia yai kupenya na kusafiri kwenye mrija kwenda kwenye uterus. Wakati mwingine mrija unaweza kuwa wazi na ukaruhusu yai kupenya japo ni mara chache sana.

NAMBA TATU

kuziba sehemu ya katikati kitaalamu huitwa ‘midsegment tubal osbsraction’ na hii inaweza kusababishwa na operesheni ya kufunga kizazi ambayo wanawake wengi hufanyiwa.

NAMBA NNE

kuziba upande wa juu karibu na mfumo wa uzazi na chanzo kikuu ni maambukizi ndani ya kizazi hasa baada ya kutoa au kuharibika mimba.

Mirija inaweza kuziba kwa bahati mbaya baada ya upasuaji wa uzazi au upasuaji wa kuondoa uvimbe wowote ule.

Chanzo cha mirija kuziba katika aina hii huwa ni maambukizi ndani ya kizazi au maambukizi ya viungo vya uzazi ‘Pelvic Inflammatory diseases’ au kwa kifupi ‘PID”, kwani utafiti unaonyesha kwamba asilimia 12% ya wanawake wanaopata ugumba kwa kuziba mirija ya uzazi huwa wameugua PID, wanatibiwa na kupona zaidi ya mara moja.

Waliougua PID zaidi ya
mara tatu wana zaidi ya asilimia 53 ya kupata tatizo hili la kuziba mirija ya uzazi.

Baadhi ya dalili za ugonjwa huu wa PID.
-maumivu ya tumbo chini ya kitovu mara kwa mara,
-kutokwa na uchafu mweupe, cream ama kijani ukeni aidha ukiwa na harufu kali au muwasho juu ya mashavu ya uke.
-maumivu wakati wa tendo la ndoa.
-siku za hedhi kuvurugika.
-kukosa hamu ya tendo la ndoa hata uandaliweje!
- kukosa hedhi zaidi ya miezi miwili na kuendelea.

CHANZO CHA PID

A. baada ya kujifungua.
B. endapo utakuwa na ugonjwa wa kidole tumbo.
C. Mimba kuharibika na kukaa muda mrefu bila kusafishwa.
D. Kutoa mimba kwa makusudi.
E. Dawa za uzazi wa mpango.
F.msongo wa mawazo uliopitiliza.

VIPIMO VYA MIRIJA

Kipimo cha HSG ambacho hupima kwa huingiza dawa katika kizazi na kupiga picha huko ndani. Kipimo hiki hakizibui mrija k**a wengi wajuavyo, bali kinaonyesha tu jinsi mrija ulivyo.

Ultrasound au Sonography kipimo hiki pia huonyesha hali ya mrija kwa nje k**a una kasoro zozote, aidha umevimba, umejaa maji ama umejikunja.

Baada ya hapo tiba sahihi itafanyika k**a ni kuzibua au upasuaji.
Endapo mirija itazibuliwa na ikaziba tena, basi uwezekano wa kuizibua huwa mdogo na ushauri huwa ni upandikizaji au IVF.
K**a unapitia hali hii, tunaomba utupigie, tutakupa ushauri na suruhisho lenye uhakika kabisa, piga 0744557179 kwa maelezo zaidi na ushauri bure

05/10/2019
TIBA YA BAWASIRI(HEMORHOIDS)  VINYAMA KUOTA KWENYE TUNDU LA HAJA KUBWA BILA UPASUAJI  #0744557179KWANZA UFAHAMU UGONJWA ...
03/10/2019

TIBA YA BAWASIRI(HEMORHOIDS) VINYAMA KUOTA KWENYE TUNDU LA HAJA KUBWA BILA UPASUAJI #0744557179

KWANZA UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!! ~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe
# # # *CHANZO CHA TATIZO*
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO (CHOO KIGUMU)
👉MATATIZO YA UMRI 👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU 👉UZITO KUPITA KIASI 👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
# # # DALILI ZA BAWASIRI 👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa 👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia 👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa 👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo 👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana *MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI*
👉kupata upungufu wa damu (anemia) 👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo 👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume.
👉kuathirika kisaikolojia 👉kukosa morali ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
👉Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya UTUMBOCANCER) kwa sababu kile kinyama kinakaa K**a kidonda.,, # # # *TIBA NA KINGA YA BAWASIRI YA UHAKIKA* *(NOVEL DE PILE)*🤞🤞 NOVEL DE PILE NI BIDHAA YA ASILI INAYOSAIDIA KUPONYESHA BAWASIRI,
IMETENGENEZWA KWA VIAMBATA VYA ASILI AMBAVYO NI JAMII YA MALIMAO NA MACHUNGWA (CITRUS FRUITS)
INAONDOA PRESHA KUBWA KWNYMISHIPA YA DAMU YA SEHEMU YA HAJA KUBWA
,,HIVYO BAWASIRI INAPOTEA KABISAAAAA,,,
HUONDOA MAUMIVU MAKALI NDANI YA MUDA MFUPI SANA,
HUKATA DAMU INAYOTOKA HARAKA,
Piga 0744557179kupata huduma
HAINA KEMIKALI IMETHIBITISHWA NA TFDA,HALAL,GMP NK....
Tazama hapo juu👆👆 ushuhuda wa mtu aliyepona bawasiri kabisaaa..

😊 Epuka kutumia bidhaa zenye sumu (chemicals)zinazoleta madhara ya kando mwilini(side effects) ili uwe na mwili unaofany...
02/10/2019

😊 Epuka kutumia bidhaa zenye sumu (chemicals)zinazoleta madhara ya kando mwilini(side effects) ili uwe na mwili unaofanya kazi zake vizuri na kuwa fit muda wote.Ijali familia yako kwa kula vizuri (balanced diet) kufanya mazoezi ya mwili na viungo vya mwili,kunywa maji mengi,kujiweka mbali na mawazo,kutumia supplements (tiba lishe)ikitokea umepata shida yoyote kiafya,pumzika na ulale kwa masaa anayotakiwa kulala mwanadamu kila siku..........Nishukuru baadae

Address

Makumbusho
Dar Es Salaam
255

Telephone

+255787825579

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Neutriceutical herbal services posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram