JJ AFYA

JJ AFYA TUNASAIDIA WATU WENYE CHANGAMOTO ZA AFYA

🌑 *MAWE KWENYE FIGO NI NINI?*Mawe kwenye figo ni mkusanyiko mgumu wa madini na chumvi kwenye figo. Yanatokea wakati mkoj...
19/04/2025

🌑 *MAWE KWENYE FIGO NI NINI?*
Mawe kwenye figo ni mkusanyiko mgumu wa madini na chumvi kwenye figo. Yanatokea wakati mkojo unakuwa na kiasi kikubwa cha vitu k**a kalsiamu, oxalate, na asidi ya uric ambavyo hugandamana na kutengeneza mawe.

---

🧪 *SABABU KUU*
1. *Kunywa maji kidogo* – ukosefu wa maji ya kutosha mwilini huongeza uwezekano wa mawe.
2. *Lishe yenye chumvi nyingi na protini ya wanyama*.
3. *Kurithi* – historia ya kifamilia ya mawe ya figo.
4. *Magonjwa mengine* k**a gout au matatizo ya mfumo wa mkojo.
5. *Madawa fulani* – mfano baadhi ya dawa za kuzuia kifafa au dawa za virutubisho vya calcium bila mpangilio.

---

⚠️ *DALILI*
- Maumivu makali ya mgongoni au upande wa chini wa tumbo.
- Maumivu wakati wa kukojoa.
- Mkojo wa rangi ya kahawia au damu.
- Kichefuchefu na kutapika.
- Hamu ya kukojoa mara kwa mara.
- Homa ikiwa kuna maambukizi.

---

❗ *MADHARA K**A HAYATIBIWI*
- Uharibifu wa figo.
- Maambukizi ya mkojo ya mara kwa mara.
- Mkojo kujaa sana kwenye figo (hydronephrosis).
- Kupungua kwa uwezo wa figo kufanya kazi.
MATIBABU YAPO TUPIGIE TUTAKUSAIDIA 0757046981
0676737155

 🩸Kuchoka choka sana 🩸Kuuma mgongo /kiuno🩸Kupungukiwa  nguvu za kijinsia (WANAWAKE  & WANAUME)🩸Kizunguzungu🩸Kukosa using...
02/04/2025


🩸Kuchoka choka sana
🩸Kuuma mgongo /kiuno
🩸Kupungukiwa nguvu za kijinsia (WANAWAKE & WANAUME)
🩸Kizunguzungu
🩸Kukosa usingizi
🩸Maumivu ya Kifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali
🩸Kichefuchefu
🩸Kiungulia
🩸Tumbo kujaa gesi
🩸Tumbo kuwaka moto
🩸Maumivu makali sehemu kilipo kidonda
🩸Kukosa choo au kupata choo kwa shida
🩸Kutapika nyongo
🩸Kutapika damu au kuharisha damu
🩸kupata hasira mara KWA mara
🩸Kukosa hamu ya kula Au wakati mwingine Kula kupita kiasi
🩸Kusahau sahau .
🩸Kuwa na ugonjwa wa BAWASILI
🩸 WAKATI mwingine kuhisi kuchanganyikiwa.
🩸kuhisi umevaa gloves Mkononi/mguu k**a umevaa soksi
🩸Wasiwasi
🩸Mapigo ya moyo kwenda Kasi k**a una pressure


Piga simu Kurahisisha Huduma na kusave Muda
Allah awabariki

TIBU BAWASIRI AINA ZOTE KWA URAHISI ZAIDI
12/03/2025

TIBU BAWASIRI AINA ZOTE KWA URAHISI ZAIDI

*DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI*Kiu ya maji isiyoisha Koo kulauka sana na kuhisi kukohoa Kila mudaNjaa KaliHaja ndogo Mar...
06/03/2025

*DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI*

Kiu ya maji isiyoisha
Koo kulauka sana na kuhisi kukohoa Kila muda
Njaa Kali
Haja ndogo Mara kwa Mara
Vidonda au mchubuko hutumia mda mrefu sana kupona
Mgonjwa kupoteza uzito
Kukosa hamu ya tendo LA ndoa na uwezo hupungua sana
Mwili kuchoka na mwili hupoteza hisia katika vidole na viganjwa
Ukungu katika fizi
Na kwa mwanamke kujifungua mtoto mwenye kilo zaidi ya nne.

*MADHARA YAKE.*

Magonjwa wa kisukari huwa katika hatari kubwa ya kupata magonjwa k**a vile;
Magonjwa ya moyo
Kiharusi
Matatizo ya kibofu cha mkojo
Shinikizo la juu la damu
Upofu
Kufa Neva za fahamu hii ni kutokana na kupungua kwa mzunguko wa damu katika mwili wa mgonjwa.
Pia huweza kupelekea kupooza.

*SULUHISHO*

Suluhisho la ugonjwa wa kisukari si la siku moja,

Zipo bidhaa ambazo mgonjwa wa kisukari anaweza kuzitumia na zikamsaidia mgonjwa huyu wa kisukari kupona kabisaa kisukari , na kuwa normal,

Pia bidhaa hizi humsaidia mgonjwa kupona magonjwa mengine ambatani yanayosababishwa na ugonjwa huu wa kisukari na hatimaye kuwa na afya bora zaidi.

Tupigie KWA Msaada ZAIDI

0676737155
0757046981

*DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI 👇*👉Maumivu wakat wa tendo la ndoa👉Mzunguuko wa hedhi kubadilika👉Kutoshika ujauzito 👉Kupun...
03/03/2025

*DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI 👇*
👉Maumivu wakat wa tendo la ndoa
👉Mzunguuko wa hedhi kubadilika
👉Kutoshika ujauzito
👉Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa
👉Kuongezeka uzito
👉Kupoteza kumbukumbu
👉Damu kutoka nyingi wakat wahedhi au kutoa damu yenye mabonge mabonge
👉 kuwa mkavu sehm za Siri au kukosa ute wa uzazi
👉Maumivu chini ya kitovu wakat wa hedhi
👉Allergy ya kuchagua chakula
👉 kuona dalili k**a mama mjamzito
👉 Hasira za mara Kwa mara
👉 Kuhisi k**a kuchanganyikiwa WAKATI mwingine nk.
*USHAURI NA TIBA VIPO TUPIGIE TUKUSAIDIE*

PIGA SIMU UPATE MSAADA0757046981
31/01/2025

PIGA SIMU UPATE MSAADA
0757046981

CHA TU YA MAJANI YA MPERA1. Itakusaidia KUPUNGUZA Cholesterol mwilini2. Itakusaidia kurekebisha Sukari yàko kwenye damu3...
31/01/2025

CHA TU YA MAJANI YA MPERA
1. Itakusaidia KUPUNGUZA Cholesterol mwilini

2. Itakusaidia kurekebisha Sukari yàko kwenye damu

3. Itakusaidia Kuimarisha Afya ya MOYO

4. Itakusaidia kung'arisha ngozi yàko

5. Itakusaidia Kuimarisha Afya ya nywele zako

6. Itakusaidia kuongeza UONI mzuri wa macho

Utumie mpera k**a mti wa matunda, mti wa kivuli ,mti wa bustani pia utumie k**a Dawa ya Kinga ya MARADHI meng

Kwa changamoto yoyote tafadhali tupigie tukusaidie
0757046981

31/01/2025

REJESHA NGUVU ZA KIUME HARAKA NDANI YA SIKU KUANZIA 7 TU
0757046981

KUHUSU NGUVU ZA KIUME NA AFYA YA UZAZI KWA MWANAUME Tunatoka Elimu ya Afya bure na USHAURI .MATOKEO YA ULAJÍ MBAYATukian...
19/01/2025

KUHUSU NGUVU ZA KIUME NA AFYA YA UZAZI KWA MWANAUME

Tunatoka Elimu ya Afya bure na USHAURI .
MATOKEO YA ULAJÍ MBAYA

Tukianza na swala la ulaji mbaya, Matokeo yake Ikiwa Nikuharibika kwa mifumo mingine ya mwili, Mfano;
Mfumo Wa Mzunguko Wa Damu
Mfumo Wa Homoni
Mfumo Wa Upumuaji
Mfumo Wa Ufahamu, Na Matatizo Yote Ya Saratani Na Viungo (joints), Uzito Uliyopitiliza, Magonjwa Ya Zinaa n.k..
Zipo SABABU nyingine nyingi zikiwemo
1.PUNYETO
2.MARADHI
3.UMRI
4.AJALI
5.KURITHI
Yote hayo yanatibika na tunatoa suluhisho lake la KUDUMU

0757046981
0676737155

Tutashauliana Kula Chakula Bora, Kunywa Maji Ya Kutosha Na Kufanya Mazoezi...

Pia Tutakushauli Kutumia Virutubisho Lishe Vyetu (Food Supplement), Ambavyo Nibora Zaidi Ili Kuimalisha Afya Yako..

*AMANGURA*  Hii bidhaa ina MANUFAA MENGI SANA KATIKA Afya ya mwanadam , na hautuwezi kuyachambua yote ila Kwa uchache tu...
04/01/2025

*AMANGURA*

Hii bidhaa ina MANUFAA MENGI SANA KATIKA Afya ya mwanadam , na hautuwezi kuyachambua yote ila Kwa uchache tu hizi ni FAIDA zake:

1️⃣ AMANGURA kwa afya ya akili na ubongo
✔Ina uwezo mkubwa wa kufanya ubongo ufanye kazi yake vizuri k**a vile
✔kuongeza ufahamu,✔ kuongeza kumbukumbu na ✔kuongeza usikivu,
✔Ashwagandha ni kiboko ya depression anxiety
na stress.
✔Husaidia kuondoa tatizo la kukosa usingizi

2️⃣ AMANGURA Huimarisha afya ya moyo na kudhibiti magonjwa yanayoshambulia moyo
Hudhibiti blood sugar
Hudhibiti cholesterol

✔Inaongeza mwili nguvu

3️⃣ AMANGURA kwa afya ya mwanaume
Ina boost testosterone.
Ina uwezo mkubwa wa ku boost kizazi kwa mwanaume
Ina mjengea mwanaume misuli na kumpa 'six pack'
Ina ongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa

4️⃣Husaidia kupunguza mafuta yasiyohitajika mwilini na kupunguza uzito

5️⃣ AMANGURA kwa ngozi
Huondoa chunusi na makovu kwenye ngozi na kuipa ngozi natural glowing

6️⃣ AMANGURA kwa afya ya nywele
✔Huchochea uzalishaji wa *melanin* hivyo kudhibiti upotevu wa melanin na hivyo kudhibiti mvi kuota kabla ya muda.
✔Kuzuia nywele kunyonyoka na kukatika pia Huboresha scalp circulation. Hufanya nywele imara na zenye afya.

7️⃣ AMANGURA kwa mwanamke

✔Hudhibiti karaha za menopause/Uomo wa Hedhi
✔Huondoa tatizo la hormone imbalance.
✔Humpa mwanamke hamu ya kufanya tendo la ndoa
✔Hondoa ukavu na maumivu wakati wa tendo

AMANGURA powder
*100g*
*Tshs 45,000*

AMANGURA capsules
*60 tablets*
*Tshs 90,000*

14/12/2024

Address

Mliman City
Dar Es Salaam

Telephone

+255676737155

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JJ AFYA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to JJ AFYA:

Share