ZEDD Pharmacy

ZEDD Pharmacy IMMORTALIZING HEALTH. Pharmaceuticals | Medical Tourism | Supply Chain | Medical Equipments

Chunusi na mabaka meusi vinaweza kukukosesha kujiamini lakini sio tena!Slide ya kwanza inaonyesha kabla & baada ya kutum...
18/11/2025

Chunusi na mabaka meusi vinaweza kukukosesha kujiamini lakini sio tena!
Slide ya kwanza inaonyesha kabla & baada ya kutumia set hii ya kutibu chunusi na kurejesha mwanga wa ngozi ✨

Set hii inafanya kazi kwa:
🔸 Kuondoa mafuta mengi (oil control)
🔸 Kupunguza na kuponya chunusi
🔸 Kufifisha darkspots
🔸 Kulinda ngozi dhidi ya jua
🔸 Kuweka ngozi tulivu, nyororo na yenye mng'ao asili

💰 Bei: 165,000
📍 ZEDD Pharmacy: Sinza | SGR Dodoma

K**a una ngozi kavu na umesumbuka kupata mafuta yatakayo kupa unyenyevu na kufanya ngozi iwe na muonekano mzuri basi sul...
18/11/2025

K**a una ngozi kavu na umesumbuka kupata mafuta yatakayo kupa unyenyevu na kufanya ngozi iwe na muonekano mzuri basi suluhisho ni Vaseline Ceraglow body oil.

💰Bei: 50,000
📍ZEDD Pharmacy; Sinza, Dar es Salaam & SGR Station, Dodoma.

Ukiona ngozi yako imejaa madoa meusi, chunusi sugu, mafuta mengi, rangi kutokaa sawa au imechoka kila ukitumia bidhaa to...
17/11/2025

Ukiona ngozi yako imejaa madoa meusi, chunusi sugu, mafuta mengi, rangi kutokaa sawa au imechoka kila ukitumia bidhaa tofauti, hii ndio combo ya ukombozi kwa ngozi yako! ✨

Hii set nzima inafanya kazi kwa mfumo mmoja:
✔️ Kuondoa uchafu na mafuta kupita kiasi bila kukausha ngozi
✔️ Kufungua pores na kuzuia kuziba (chanzo cha pimples)
✔️ Kupunguza madoa meusi & hyperpigmentation
✔️ Kutuliza muwasho & inflammation
✔️ Kujenga skin barrier ili ngozi iwe imara na isiharibike
✔️ Kulinda ngozi dhidi ya jua (SPF 50+) ili madoa mapya yasitokee

💰Bei: 160,000
📍Sinza, Dar es Salaam & SGR Station, Dodoma.

17/11/2025

RUDISHA MUONEKANO MZURI WA NGOZI YAKO, ILI UWEZE KUJIAMINI MUDA WOTE. SET HII ITASAIDIA KUFANYA NGOZI YAKO KUWA NA YOUTHFUL GLOW.
💰Bei: 130,000
📍ZEDD Pharmacy; Sinza, Dar es Salaam & SGR Station, Dodoma.

COMPLETE SET FOR DRY SKIN WITH DARKSPOTS AND PEELING.💰Bei: 130,000📍Sinza, Dar es Salaam & SGR Station, Dodoma           ...
17/11/2025

COMPLETE SET FOR DRY SKIN WITH DARKSPOTS AND PEELING.

💰Bei: 130,000
📍Sinza, Dar es Salaam & SGR Station, Dodoma

15/11/2025

Bidhaa bora kwa ajili ya kupunguza miwasha katika ngozi na inakupa mng'ao wa asili bila kubadilisha rangi yako.

💰Bei: 48,000
📍Sinza, Dar es Salaam & SGR Station, Dodoma

Complete set ya watu wenye oily & acne prone skin. Hii set itakusaidia kuacha ngozi yako bila mafuta, chunusi na itakuwa...
15/11/2025

Complete set ya watu wenye oily & acne prone skin. Hii set itakusaidia kuacha ngozi yako bila mafuta, chunusi na itakuwa na muonekano mzuri kabisa.

💰Bei: 185,000
Free delivery in Dar & Dodoma

📍ZEDD Pharmacy: Sinza, Dar es Salaam & SGR Station Dodoma.

Vitamin C ni muhimu sana kwa mwili, hasa katika kuongeza kinga na kuipa ngozi muonekano wa ujana.Faida zake kwa urahisi👇...
14/11/2025

Vitamin C ni muhimu sana kwa mwili, hasa katika kuongeza kinga na kuipa ngozi muonekano wa ujana.

Faida zake kwa urahisi👇
✔️ Husaidia kuipa ngozi muonekano wa ujana
✔️ Inasaidia mwili kupambana na mafua na uchovu
✔️ Inasaidia mwili kupona haraka
✔️ Inaongeza kinga ya mwili

💰 Bei: 19,500

📍 Zinapatikana ZEDD Pharmacy – Sinza, SGR Dar & Dodoma
📞 Unaweza pia kuagiza WhatsApp

ENAT 400 Vitamin E ni miongoni mwa virutubisho bora kabisa vya kuimarisha afya ya ngozi:Faida:✔️ Husaidia kung’arisha ng...
14/11/2025

ENAT 400 Vitamin E ni miongoni mwa virutubisho bora kabisa vya kuimarisha afya ya ngozi:
Faida:
✔️ Husaidia kung’arisha ngozi naturally
✔️ Inapambana na free radicals ili kuzuia uzee wa ngozi
✔️ Inapunguza alama za makovu na michirizi
✔️ Inalainisha ngozi na kuifanya iwe smooth zaidi
✔️ Huongeza elasticity ya ngozi inaonekana tight na yenye afya

💰 Bei: 36,500
📍 Sinza, Dar es Salaam – 0679 960 669
📍 SGR Station, Dodoma – 0772 852 263

Ni muhimu kuwa na mwili imara, kinga bora na nguvu za kutosha 💪👇✨ DHOW Natural Ashwagandha – 36,000/-Husaidia kupunguza ...
14/11/2025

Ni muhimu kuwa na mwili imara, kinga bora na nguvu za kutosha 💪👇

✨ DHOW Natural Ashwagandha – 36,000/-
Husaidia kupunguza stress & anxiety, huongeza nguvu, na kuboresha usingizi.

✨ DHOW Natural Papaya Leaf – 30,000/-
Huimarisha kinga ya mwili, huongeza platelets, na husaidia mmeng’enyo wa chakula.

✨ DHOW Natural Turmeric – 30,000/-
Ni anti-inflammatory ya asili—hupunguza maumivu ya mwili, huleta mwanga kwenye ngozi na kuboresha digestion.

✨ DHOW Natural Shatavari – 30,000/-
Kwa wanawake! Husaidia kusawazisha homoni, huimarisha uzazi na huongeza nguvu mwilini.

📍 Zinapatikana ZEDD Pharmacy – Sinza, SGR Dar & Dodoma
📞 Sinza: 0679 960 669
📞 SGR Dodoma: 0772 852 263

Address

66FJ+734, Inbound Street, Dar Es Salaam Dar Es Salaam TZ, 00255 Dar Es Salaam Dar Es Salaam 00255
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ZEDD Pharmacy posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to ZEDD Pharmacy:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram