Afya Bora

Afya Bora Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya Bora, Medical and health, Dar es Salaam.

```CHOO KIGUMU```*_Hii ni ile hali ya kutokupata choo kwa muda mrefu au kujisaidi haja kubwa kwa shidaa..unajisaidia kin...
30/04/2020

```CHOO KIGUMU```
*_
Hii ni ile hali ya kutokupata choo kwa muda mrefu au kujisaidi haja kubwa kwa shidaa..unajisaidia kinyesi k**a cha mbuzi..

*Kwa nini unapata choo kigumu,*

● Upungufu wa bacteria wazuri katika mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
Hupelekea kuongezeka bactreia wabaya na kuvuruga mmeng'enyo wa chakula.

● Kumbuka kazi ya bacteria wazuri ni kusaidia mmeng'enyo wa chakula

● Kuna bacteria wazuri kilo mbili mwilini ambao wakipungua binadamu anapata matatizo mbalimbali.

*SABABU ZA KUPUNGUA BACTERIA WAZURI KATIKA MFUMO WA MMENG'ENYO WA CHAKULA,/MWILINI.*

1. KUTOKULA MBOGA MBOGA / VYAKULA VYENYE NGUZI NYUZI.

2. MATUMIZI MABAYA YA ANTIBIOTICS (DAWA ZA KUUA BACTERIA) MFANO amoxylin nk.
Watu hutumia madawa ya antibiotics kiholela hii hupelekea kuua wale bacteria wazuri hivyo wabaya hupata nguvu.

3.KUUGUA MUDA MREFU MAGONJWA YA KUAMBUKIZA.

4.KUWA NA STRESS.

5.KUTOKUNYWA MAJI YA KUTOSHA.

6.KUTOFANYA MAZOEZI.

*MADHARA YA CHOO KIGUMU*

*1. KUPATA BAWASIRI(HEMMORHOID)*
Choo kigumu husababisha presha kwenye mishipa ya damu ya haja kubwa na kuleta vinyama kuvimba nakutoa damu kwenye tundu la haja kubwa,pia husababisha maumivu.

*2. KUPUNGUA KWA KINGA YA MWILI,*
Ukiwa na choo kigumu huathiri unyonywaji wa virutubisho.
Lakini pia kuna sumu nyingi hutolewa na mwili hivyo kupelekea kuathiri seli za mwili.
3.UNAWEZA PATA CANCER YA TUNDU LA HAJA KUBWA AU UTUMBO MKUBWA
4. KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA.
5. KUTAPIKA/KURUDISHA CHAKULA.
6. INAWEZA PELEKEA UTUMBO KUJIKUNJA.
7. INAWEZA PELEKEA MADONDA YA TUMBO(ULCERS)

*TIBA IPO.*
TUMIA CONSTIRELAX NA PROBIO 3 ILI KUONGEZA BACTERIA WAZURI TUMBONI NA KUREKEBISHA MMENG'ENYO WA CHAKULA, KUONDOA CHOO KIGUMU, NA KUKUTIBU AU KUKUKINGA NA MADONDA YA TUMBO(ULCERS)
PIA GESI TUMBONI NA ACIDI INAONDOKA

*✍🏽FAHAMU KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO. (ULCERS)*~Ni ugonjwa ambao mtu hupata michubuko au vijitundu katika kuta za ndani za...
29/04/2020

*✍🏽FAHAMU KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO. (ULCERS)*
~Ni ugonjwa ambao mtu hupata michubuko au vijitundu katika kuta za ndani za viungo vya umeng'enyaji au uyeyushaji chakula.
• ✍🏽 *AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO*
1/👉 Oesophagael Ulcers - ni vidonda ambavyo hutokea kwenye koo.
2/👉Duodenum ulcers - ni vidonda ambavyo hutokea kwenye utumbo mdogo
3/👉Gastric Ulcers - ni vidonda ambavyo hutokea kwenye mfuko wa chakula (TUMBO).
✍🏽CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO*
👉🏽Kushinda mda mrefu bila kula.
*👉🏽Msongo wa mawazo (Stress).*
*👉🏽Matumizi ya dawa zenye kemikali kwa muda mrefu, mfano aspirin*
👉🏽H plyori hutengeneza enzymes (urease)ambayo hupunguza makali ya tindikali.
👉🏽Matumizi ya pombe na tumbaku kwa mda mrefu.
👉🏽Bacteria(helicobacteria).

• *✍🏽DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO*
👉🏽Maumivu ya tumbo
👉🏽Tumbo kujaa gesi/kunguruma
👉🏽Kichefuchefu na kutapika.
👉🏽Kupungua uzito
👉🏽Kupata choo cheusi
👉🏽Kupatwa na kiungulia
👉🏽Kushiba kwa mda mfupi
👉🏽Kutapika damu au k**a mabaki ya kahawa.
🖊MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO.*
•👉🏽 Uvujaji wa damu ndani ya utumbo:
• 👉🏽 Hali hii yaweza kusababishwa na vidonda kuenea hadi kwenye mishipa ya damu na hivyo kufanya damu kuanza kuvuja.
•👉🏽 Vidonda vya tumbo huweza kusababisha tundu (kutoboka kwa ukuta wa tumbo) na kufanya vitu vilivyo ndani ya utumbo kutapakaa katika tumbo (abdomen) Hali hii huitwa peritonitis na ni hatari sana na inahitaji matibabu ya dharura.
•👉🏽 Aidha, kuenea huko kunaweza pia kuathiri tezi kongosho na kusababisha madhara katika tezi hiyo, ugonjwa unaojulikana k**a pancreatitis.
• 👉🏽Vidonda vya tumbo vinaweza pia kuenea na kuathiri pia viungo vya jirani k**a vile ini au kongosho (pancrease).
• 👉🏽Kuvimba kwa kuta za tumbo pamoja na makovu yanayosababishwa na vidonda hivi huweza kusababisha kuziba kwa njia ya kupitishia chakula kutoka kwenye tumbo (stomach) kwenda sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo (duodenum) hali ambayo kitaalamu huitwa gastric outlet obstruction.
👉🏽 Iwapo vidonda vya tumbo vitasababishwa na H.pylori kunauwezekano kati ya mara 3 hadi ya 6 ya mgonjwa kupata KANSA YA TUMBO(stomach cancer)🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

*✍🏽FAHAMU KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO. (ULCERS)*~Ni ugonjwa ambao mtu hupata michubuko au vijitundu katika kuta za ndani za...
29/04/2020

*✍🏽FAHAMU KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO. (ULCERS)*

~Ni ugonjwa ambao mtu hupata michubuko au vijitundu katika kuta za ndani za viungo vya umeng'enyaji au uyeyushaji chakula.

• ✍🏽 *AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO*
1/ Oesophagael Ulcers - ni vidonda ambavyo hutokea kwenye koo.

2/Duodenum ulcers - ni vidonda ambavyo hutokea kwenye utumbo mdogo.

3/Gastric Ulcers - ni vidonda ambavyo hutokea kwenye mfuko wa chakula (TUMBO).

*MADA: SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA UJAUZITO NA SULUHISHO LAKE_ 👇👇👇👇👇👇✍🏻mada hii ya leo, utaweza kuzifahamu sababu kiundani...
27/03/2020

*MADA: SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA UJAUZITO NA SULUHISHO LAKE_ 👇👇👇👇👇👇

✍🏻mada hii ya leo, utaweza kuzifahamu sababu kiundani baada ya kuona sababu za ugumba au utasa kwa mwanamke na kutazama mapungufu katika mwili wa mwanamke yanayochangia tatizo hili.

✍🏻Kama ada, katika mada nyingine, tutaona njia zinazotumika kuondoa tatizo hili la mwanamke kukosa kizazi.

✍🏻Ugumba/Kutopata Ujauzito ni hali ambapo mwanamme na mwanamke wamejamiiana kwa kipindi cha mwaka mmoja bila kinga na bado mwanamke hakuweza kupata ujauzito.

✍🏻Hali hii inachangiwa na jinsia zote na si mwanamke peke yake k**a ilivyozooleka kuamini hapo zamani. Ilibainishwa kuwa theluthi moja ya nyumba zenye tatizo hili huwa imeathirika kutokana na mapungufu ya mwanamme, theluthi nyingine kutokana na mwanamke na inayobakia inaathiriwa na matatizo au ya wote wawili au yale ambayo hayaeleweki.

✍🏻Kabla ya mada, nashauri kuwa linapotokea tatizo hili, wote wawili wanatakiwa wapimwe ili kujua ni nani kati yao ndiye chanzo cha tatizo.

*Sababu Za Mwanamke Kukosa Kizazi*
✍🏻Ili mwanamke apate mimba, sehemu zote za mwili wake zinazohusika na uzazi zinatakiwa zifanye kazi inavyotakiwa na katika hatua zote. Hatua katika utengenezaji wa mimba ni k**a zifuatazo:

👉Moja kati ya ovari mbili za mwanamke kuachia yai lililokomaa
👉Yai hili kusafirishwa na mrija wa uzazi (fallopian tube)
👉Mbegu za mwanamme kusafiri hadi kwenye cervix, kupitia tumbo la uzazi (uterus) hadi kwenye mrija wa uzazi, kulifikia yai na kulipevusha.
👉Yai lililopevushwa kusafiri kupitia mrija wa uzazi hadi kwenye tumbo la uzazi (uterus).
👉Yai kunata kwenye ukuta wa uterus na kukua

✍🏻Ugumba/Kukosa Kizazi kwa mwanamke unaweza kutokana na dosari katika hatua yo yote katika hizo zilizozitajwa na mara niyingine kutokana na dosari katika hatua zaidi ya moja.

✍🏻Pamoja na kuwa kuna sababu nyingi za mwanamke kutopata mimba, lakini sababu kuu tatu ndizo zinazohusika zaidi k**a nitakavyozielezea
Kwa maelekezo zaid 0692328126

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255655881054

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Bora posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram