24/03/2022
0625392500
Bila shaka umesha msikia ndugu yako, rafiki au mtu wako wa karibu wakilalamika kuuma kwa MAUNGIO k**a (Knee Joint), , (Shoulder Joint) NA . Wako pia wanaolalamika maumivu ya maungio ya (Ankle Joint)
Inasemekana kwamba kuna zaidi ya watu bilioni nne duniani wana sumbuliwa na matatizo ya viungo( MAUNGIO)
Ambapo wanawake ni 18% na wanaume ni 9.6%
Kawaida katika MAUNGIO huwa kuna ute ute uitwao synonvio fluid ambao kazi YAKE ni kulainisha MAUNGIO pia kuna kitu k**a sponji kiitwacho catilage (gegedu) ambayo Kazi YAKE ni kufanya mfupa na mfupa visisagane hivyo sponji hii na ute ute juu ndio vinavyofanya MAUNGIO yawe salaam salimini
TATIZO hili kitaalamu huitwa OSTEOARTHRITIS(OA) hutokea pale ambapo gegedu(cartilage) kuanza kulika pole pole na kusababisha mifupa ya kwenye MAUNGIO kusagana hii husababisha maumivu
•Umri
•Uzito
•Kuumia Kwa Kupata ajali
•Kurithi (genesis)
•Wafanya mazoezi/wana michezo. .
na kuwekewa za bandia ambapo kimsingi ni gharama kubwa sana
Tunazo tibaa_za_asili_zinazoongeza_ute_ute_kwenye_maungia_na_kuziponya_cartilage_au_sponji_zinazozuia_mifupa_kusagana_na_huondoa_maumivu_maungio_kab
-Huongeza GLUCOSE AMINE ambayo huunda upya cartilage(sponji zinazolinda mifupa isisagane
-Huongeza CHRONDROITIN ambayo hutumika kutengeneza ute ute kati ya maungio
-Huondoa kabisaa maumivu ya maungio yaliyokithiri
-Ni nzuri sana kwa MTU mwenye TATIZO LA ATHRITIS
-Huwafaa sana watu wanaofanya mazoezi
Kwa Tiba na ushauri wasiliana nasi kupitia number 0625392500