Tafsiri YA NDOTO YAKO

Tafsiri  YA NDOTO YAKO ufafanuzi wa ndoto, na masuala ya tiba, lakini Ndoto itakayo pelekwa inbox kwa WhatsApp italipiwa 5000.

ukiweka kwenye page hautalipishwa ila uiandike kwa ukamilifu wake siyo vidokezo.

11/11/2024
12/06/2023

TIBA YA STRESS KWA MTU ANAYE SHINDWA KUFANYA JIMAI NA MWENZA WAKE
group ya Tiba zakissuna ✍️🖊️

Chukua vijiko 5 vya unga wa Habat sauda

Vijiko 3 vya unga wa mlipu

Vijiko 2 vya unga wa mfunguo

Changanya pamoja, Kisha utakuwa unakunywa kwa maji ya moto, au kahawa au uji.

Kutwa mara 3

Baada ya siku 6 hadi 7 kutakuwa ma tokeo matamu zaidi
In shaa Allah

Chief Nusura Almaajid
Hakimu Ljinn

*Tiba zakissuna*
+255784638989

30/05/2023

CHAI YA MAJINI

Chai ya Majini ni Dawa zinazo chemshwa kwa mchanganyo wa miti, maua, majani, magome pamoja na mizizi ya miti maalum

Chai hiyo ni Dawa muhimu kwa matatizo ya :-
A. Majini walio fungwa muda mrefu
B. Uchawi ulio komaa au kulalia mwilini
C. Kutoa jasho chafu na kunyanyua nyota
D. Kufungua vifungo vya uzazi
E. Kufunguo vifungo vya maradhi yasiyo tibika Hospital
F. Kuyeyusha shina la Uchawi, linalo zalisha maradhi ya ajabu mara kwa mara
G. Kufungua vifungo vya rizq

Chai hii huwa inaandaliwa maalum, mara mbili kwa mwaka.
Ikiwa ni kuwasaidia watu ambao Wanateseka na maradhi ya kichawi au Majini

Chai hii itapikwa rasmi tarehe 18 mwezi wa 6, jumapili saa 3 asubuhi, pamoja na visomo vyake maalum Ili kuua uchawi ulio fanyiwa, na Majini wanao kutesa

Ili kushiriki, wasiliana kwa namba
+255784638989
Goba Mpakani
Dar es salaam

Dawa haitasafirishwa nje ya sehemu husika.

Chief Nusura Almaajid
Hakimu Ljinn ✍️🖊️

I've just reached 700 followers! Thank you for continuing support. I could never have made it without each one of you. 🙏...
26/05/2023

I've just reached 700 followers! Thank you for continuing support. I could never have made it without each one of you. 🙏🤗🎉

23/03/2023

DUA YA KULETA RAHMA

Ramadhani 25
Tarehe 16
Siku ya jumapili

Ni Dua ya alfa swalat alaa nnabiyy

Itafanyika Goba Mpakani
Dar es salaam

FAIDA YA DUA HII
1 Kufungua vifungo vya maisha pamoja na rizq
2. Kufunga milango ya uadui
3. Kuondoa vifungo vya maradhi
4. Kufungua vifungo vyote vya Majini sugu
5. Kuondoa vifungo vya Kichawi na balaa zake.
6. Nuksi na aina za mikosi
7. Vifungo vya ndoa na uzazi

Kwa wale wenye Nia ya kushiriki basi wasiliana mapema.

Ukitaka kushiriki basi fanya mawasiliano kwa njia ya WhatsApp

Walio nje mbali na wanahitaji kushiriki, utatuma jina lako na baba yako na Mama yako

Mfano
Nusura Rajab Hidaya

Kisha utatuma na swadaka yako, itakayo kuwa kafara kwa kuwafariji wasio jiweza

+255784638989

UNAIKUMBUKAJE SIKU ULIYO PIGA MAGOTI HADHARANI??Hakika na ni wazi tumekuwa wenye kujisahaulisha yanayo takiwa kukumbukaN...
23/02/2023

UNAIKUMBUKAJE SIKU ULIYO PIGA MAGOTI HADHARANI??

Hakika na ni wazi tumekuwa wenye kujisahaulisha yanayo takiwa kukumbuka

Neno
samahani
Ahsante
Nimekusamehe
Nakupenda

Haya ndiyo maneno yenye kulinda upendo, na kuonesha ukomavu wa akili yako.

Lakini maneno haya, nakupenda, ahsante, nisamehe na nimekusamehe

Ukishindwa kuyatumia, ni sawa na kusahau kuwa juu ya shingo yako umebeba kichwa.

Kwanini ushindwe kumtamini na kumtunzia heshima, mtu ambaye alikuingiza kwenye darasa la utiifu mbele za watu, Kisha ushindwe kumpa heshima mkiwa wawili ??

Nikukunhushe
1 Mkeo, amekutoa mbele ya watu, ulikuwa na aibu na huwezi kupita mahala penye watu wengi, lakini kwa ajili ya uliye funga naye ndoa uliweza kujitokeza hadharani

2. Ni fundi mzuri wa kuongea, lakini yeye alikufanya ufundishwe kusema, mbele ya watu bila kujali elimu yako. Na ukaongea kwa kufata kauli elekezi ( sema nimekubali kumuoa..........) Na ulifatisha

3. Bila kujali hadhi wala Mali yako, ulipiga magoti hadharani, na ukafata muelekeo ulio amriwa. Na ukainuka kwa kufata amri pasipo ukaidi

K**a unayazingatia haya, leo iweje ndoa yako iyumbe na kutafuta ushauri kwa mtu asiye jua ndoa?

Zingatio la ajabu, wanao kushauri talaka wao wapo kwenye ndoa, na wanao kwambia vumilia wao wamesha twangana talaka

Hii ndiyo ndoa, maana ndoa hujengwa na Wana ndoa, na ndoa huvunjwa na Wana ndoa

Unaweza kuniita Chief Nusura Almaajid, kichwa kilicho jaa busara, na nywele kuchakaa kwa mvi

Nikwambie
K**a kweli unaikumbuka hii siku uliyo piga magoti mbele ya watu, na ukakubali kufundishwa kusema mbele za watu bila kujali elimu yako, basi Jenga ndoa yako Kwa maneno

1 Nakupenda mwambie mwenzako Ili ajue thamani yake

2. Nisamehe, pindi ujuapo au akwambiapo kuwa umemkosea

3. Nimekusamehe, tumia kauli hiyo pindi anapo kuomba msamaha
4. Ahsante hili neno litumie hata k**a kakunawisha mikono au umekula chakula kisicho na chumvi

+255784638989
Chief Nusura Almaajid
Mwarabu wa Goba
Kwetu Salalah Oman

https://youtu.be/5pEm1rBkqB4Siku za kujiorodhesha ili kushiriki, zinazidi kutamatika ✍️🖊️+255784638989Tarehe 18 December...
05/12/2022

https://youtu.be/5pEm1rBkqB4

Siku za kujiorodhesha ili kushiriki, zinazidi kutamatika ✍️🖊️

+255784638989

Tarehe 18 December

Saa Saba kamili adhuhuri ✍️🖊️

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255784638989

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tafsiri YA NDOTO YAKO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Tafsiri YA NDOTO YAKO:

Share