Afya max

Afya max Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya max, Medical and health, Dar es Salaam.

13/03/2023

_________________________________
TIBA YA KUDUMU YA UGONJWA BAWASIRI/MGORO/HAEMORRHOIDS
_____________________________
PIGA
0753 939 748
__________________________________

BAWASIRI NI NINI ? NA TIBA YAKE YA ASILI YA KUDUMU NI IPI ?

Bawasiri ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya dawa sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama ambacho ndio huitwa Bawasiri/mgoro/mgongo nk

Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni Mgandamizo sehemu ya haja kubwa ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya haja kubwa hivyo hupelekea kuota kwa kinyama,miwasho,maumivu makali na kutoa damu

MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI

[1] Uzito kupita kiasi(Overweight)
[2] Ujauzito
[3] Unywaji pombe
[4] Kukaa sana sehemu ngumu
[5] Kuingiliwa sehemu ya haja kubwa.
[6] Kujisaidia Choo Kigumu.
Miongoni mwa sababu za kujisaidia choo Kigumu ni
✓ Vidonda vya TUMBO
✓ Ngiri/Hernia
✓ Ulaji duni
[7] Kula sana nyama nyekundu
[8] Presha ya kupanda
[9] Kula sana pilipili
[10] Kula udongo - Wajawazito na watoto wadogo.
[11] Tatizo sugu la kuharisha
[12] Kunyanyua vitu vizito

DALILI ZA BAWASIRI

[1] Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
[2] Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
[3] Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
[4] Kupata kinyesi chenye damu
[5] Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa
[6] kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
[7] Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
[8] Uume kusinyaa - unapoteza urefu na ukak**avu

ATHARI/MADHARA YA BAWASIRI

[1] Upungufu wa damu mwilini
[2] Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
[3] kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
[4] kupungukiwa nguvu za kiume
[5] kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
[6] Kupata tatizo la kisaikolojia
[7] Kutopata ujauzito
[8] Mimba kuharibika
[9] Kupata kansa ya utumbo ( Colorectal cancer)
[10] Mwili kudhoofika
[11] Upungufu wa damu mwilini
[12] Kutokwa na kinyesi bila kujitambua

13/03/2023

_________________________________
TIBA YA ASILI YA KUKUZA MAUMBILE/UUME
_______________________________
PIGA
0753 939 748
_________________________________
SABABU ZA UDOGO WA MAUMBILEE
_________________________________

Mwanaume wa kawaida tu anapo pima uume wake hali ya kuwa ume simama anatakiwa kuwa na vipimo vufuatavyo
_________________________________
> Upana Inches 4 mpaka inches 5
> Urefu inches 6 mpaka inches 7
_____________________________
(1) Kupiga Punyeto kwa muda mrefu{ uume kusinyaa, kudumaakukosa nguvu, Kusimama legelege
(2) Kuugua chango la uzazi (ungonjwa wa ngiri , mshipa, mnyama)
(3) Magonjwa ya utotoni ( fangazi sehemu za siri )
(4) Kutahiriwa vibaya (kushonwa vibaya mshipa mkuu)
(5) Kurithi kutoka kwa familia{ genetics}
(6) Unene na kitambi ( over weight, uzito mkubwa kupita kiasi )
(7) Upasuaji (tezi dume , hernia)
(8) Mihadarati ( pombe , sigara, madawa ya kulevya )
(9) Upungufu wa nguvu za kiume
Magonjwa mbali mbali sugu (moyo , kisukari presha)
(10) Tatizo la saikolojia (kutazama picha za ngono)
(11) kudhoofika kwa afya

13/03/2023

____________________________________

DALILI - CHANZO AU SABABU ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA TIBA YAKE
________________________________
PIGA
0753 939 748
__________________________________
DALILI
__________________________________

1. Kushindwa kabisa kusimamisha uume wako
2. Uume kusimama ukiwa legelege
3. Kuwahi kumaliza tendo la ndoa
4. Mwanaume kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa katika baadhi ya staili
5. Uume kutokuwa na uwezo wa kusimama wenyewe bila kushikwashikwa
6. Uume kusinyaa ukiwa ndani ya mwanamke.
7. Uume kusinyaa, pindi inapotokea activity yoyote ya kiungo ama ogani nyingine ya mwanaume wakati wa tendo la ndoa.
8. Uume kusinyaa mara tu baada ya kutolewa ndani ya uke
9. Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa.
10. Kupatwa na maumivu wakati wa tendo la ndoa.
_____________________________
CHANZO/SABABU
_______________________________

1. Ukosefu wa Elimu,vyakula,tendo
2. Pombe/sigara/mihadarati
3. Unene/Uzito/kitambi/kukosa mazoezi
4. msongo wa mawazo/saikolojia
5. Punyeto-mapenzi ya bila mwanamke
6. Kutazama picha na videoa za ngono(x)
7. Mapenzi ya jinsia moja
8. Mapenzi ya kunyume na maumbile
9. Kutumia dawa za kungeza nguvu za kiume zenye kemikali
10. Kuwa na historia ya kuumwa kwa muda mrefu
11. Magonjwa mbali mbali sugu
12. Vidonda vya tumbo
13. Chango la uzazi (ngiri hernia)
14. Kusukari/moyo/presha/shinikizo la damu
15. Mangonjwa yote yale ambayo watu husema hayana TIBA
16. majini mahaba
17. Uchawi/ kurogwa/ushirikina
18. Mambo ya ajabu mauzauza
_____________________________
TIBA YAKE YA ASILI >>

13/03/2023

_________________________________
TIBA NA DALILI ZA UGONJWA NGIRI/HERNIA KWA WANAUME
_________________________________
PIGA
0753 939 748
____________________________________
1. Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.
2. Kupiga mingurumo tumboni.
3. Kujaa gesi tumboni.
4. Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.
5. Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.
6. Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.
7. Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.
8. Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.
9. Nuru ya macho hupotea taratibu.
10. Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.
11. Kuvutwa makende au upande mmoja maumivu.
12. Kupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.
13. Maumivu makali ya mgongo au kiuno
14. Uume kusinyaa na kunywea k**a wa mtoto
15. kende(pumbu) moja au mbili kuvimba
16. kuvimba Juu ya kinena kushoto au kulia
17. kufanyiwa UPASUAJI wa hernia
18. Kufanyiwa UPASUAJI kisha ika rejea tena
19. kende( pumbu) kupotea zote au moja
20. Kenda kujaa maji.
21. Kuvimba kwa kitovu au kende uvimbe wenye kujaa k**a nyama
22. Kuwa na uvimbe unaoteremka kuingia ndani ya korodani
23. UKuwa na uvimbe unaojitokeza tumboni na kuteremka hadi ndani ya korodani, uvimbe huu hauumi na unaweza kurudishwa kwa urahisi iwapo mgonjwa atalala chali na kusukuma kwa vidole, uvimbe huu.
24. Maumivu/Kusikia kichefuchefu/
__________________________________
SABABU ZA UGONJWA WA NGIRII
____________________________________
1. Kujik**au kwa nguvu wakati wa haja kubwa kutokana na choo kuwa kigumu
2. Kikohozi cha mara kwa mara
3. Kuwa na tatizo la cystic fibrosis
4. Kuvimba kwa tezi dume
5. Unene wa kupindukia
6. Kukojoa kwa shida
7. Kunyanyua vitu vizito
8. Maji tumboni
9. Lishe duni
10. Uvutaji wa tumbaku
11. Uchovu wa Mwili

13/03/2023

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya max posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya max:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram