Gaston kwa ubora wa afya yako

Gaston kwa  ubora wa afya yako Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Gaston kwa ubora wa afya yako, Medical and health, Dar es Salaam.

Karibu upate kujielimisha juu ya tezi dume ,uweze kujikinga na kupata tiba sahihi ya uvimbe wa tezi dume bila kufanyiwa Upasuaji .Epuka Upasuaji madhara ni makubwa.

15/03/2022

AFYA YA MIFUPA NA MAUNGIO
0757898003

15/03/2022

AFYA BORA YA MIFUPA NA MAUNGIO
(0757898003)

*UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE* ( SHUHUDA YA MGONJWA ALIYEPONA PID ) 0757898003 *(pelvic Inflammatory Disease)*  *Ni maam...
23/10/2021

*UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE* ( SHUHUDA YA MGONJWA ALIYEPONA PID ) 0757898003
*(pelvic Inflammatory Disease)*
*Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu*
*🟢Zifuatazo-:*

*✳️Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua*

✳️ *Pia sababu nyingine ni matumizi ya Condoms na kufanya ngono zembe* .

*🟢DALILI ZA UGONJWA WA PID*
1️⃣ *Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa* ni *mweupe, njano, au maziwa*
2️⃣ *Kuwashwa sehemu za siri*
3️⃣ *Uke kutoa harufu mbaya*
4️⃣ *Maumivu ya tumbo chini ya kitovu*
5️⃣ *Uke kuwa wa ulaini sana*
6️⃣ *Maumivu wakati wa tendo la ndoa*
7️⃣ *Kuvurugika Kwa hedhi*
8️⃣ *Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi*
9️⃣ *Maumivu wakati wa kukojoa na* *wakati wa choo kubwa*
🔟 *Homa, uchovu,kizunguzungu na* *kukosa hamu ya kula*

*🟢MADHARA YA PID*
1️⃣ *Ugumba*
2️⃣ *Kansa ya shingo ya kizazi*
3️⃣ *Mirija ya uzazi kuziba*

⚠️ *USIENDELEE KUTESEKA....TUNALO SULUHISHO*
wasiliana na mimi sasa;0757898003

*UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE* ( SHUHUDA WA WALIPONA PID *(pelvic Inflammatory Disease)*  *Ni maambukizi katika via vya ...
23/10/2021

*UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE* ( SHUHUDA WA WALIPONA PID
*(pelvic Inflammatory Disease)*
*Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu*
*🟢Zifuatazo-:*

*✳️Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua*

✳️ *Pia sababu nyingine ni matumizi ya Condoms na kufanya ngono zembe* .

*🟢DALILI ZA UGONJWA WA PID*
1️⃣ *Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa* ni *mweupe, njano, au maziwa*
2️⃣ *Kuwashwa sehemu za siri*
3️⃣ *Uke kutoa harufu mbaya*
4️⃣ *Maumivu ya tumbo chini ya kitovu*
5️⃣ *Uke kuwa wa ulaini sana*
6️⃣ *Maumivu wakati wa tendo la ndoa*
7️⃣ *Kuvurugika Kwa hedhi*
8️⃣ *Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi*
9️⃣ *Maumivu wakati wa kukojoa na* *wakati wa choo kubwa*
🔟 *Homa, uchovu,kizunguzungu na* *kukosa hamu ya kula*

*🟢MADHARA YA PID*
1️⃣ *Ugumba*
2️⃣ *Kansa ya shingo ya kizazi*
3️⃣ *Mirija ya uzazi kuziba*

⚠️ *USIENDELEE KUTESEKA....TUNALO SULUHISHO*
wasiliana na mimi sasa;0757898003

*UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE* (0757898003) *(pelvic Inflammatory Disease)*  *Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawa...
23/10/2021

*UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE* (0757898003)
*(pelvic Inflammatory Disease)*
*Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu*
*🟢Zifuatazo-:*

*✳️Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua*

✳️ *Pia sababu nyingine ni matumizi ya Condoms na kufanya ngono zembe* .

*🟢DALILI ZA UGONJWA WA PID*
1️⃣ *Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa* ni *mweupe, njano, au maziwa*
2️⃣ *Kuwashwa sehemu za siri*
3️⃣ *Uke kutoa harufu mbaya*
4️⃣ *Maumivu ya tumbo chini ya kitovu*
5️⃣ *Uke kuwa wa ulaini sana*
6️⃣ *Maumivu wakati wa tendo la ndoa*
7️⃣ *Kuvurugika Kwa hedhi*
8️⃣ *Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi*
9️⃣ *Maumivu wakati wa kukojoa na* *wakati wa choo kubwa*
🔟 *Homa, uchovu,kizunguzungu na* *kukosa hamu ya kula*

*🟢MADHARA YA PID*
1️⃣ *Ugumba*
2️⃣ *Kansa ya shingo ya kizazi*
3️⃣ *Mirija ya uzazi kuzi

Jee Huyu Ni Wewe... Dk 1 Tu Umeshafika Kileleni?(0757898003)Dawa zetu za tiba lishe zinalenga kusaidia wanaume kukabili ...
23/10/2021

Jee Huyu Ni Wewe... Dk 1 Tu Umeshafika Kileleni?(0757898003)

Dawa zetu za tiba lishe zinalenga kusaidia
wanaume kukabili changamoto ya kuwahi kufika kileleni ambayo kwa mujibu wa tafiti mbalimbali hupelekea idadi kubwa ya wenza kutodumu muda mrefu katika Tendo

Hali hii hufanya wanaume wengi kukosa raha, kutojiamini na hata kushindwa kufurahia ndoa zao.

Changamoto hii ikiachwa huweza kuchangia uibukaji wa matatizo mengine k**a uhanithi na kuishiwa kabisa uwezo wa kushiriki tendo.

Habari njema ni kwamba ....

Jambo hili lisikukoseshe furaha,

Unayo haki ya kufurahia maisha bila kujali hali yako kwa sasa,

Si wewe tu, wengi wamepitia changamoto hii lakini mwisho wa siku walifurahia maisha kwani tatizo lilitatuliwa, walichelewa kufika kileleni kwa zaidi ya Dk 20 - 30 na Ukaweza kurudia tendo zaidi ya mara moja.

Changamoto ya kuwahi kufika kileleni huweza kutatuliwa kwa uhakika ikiwa utatumia tiba lishe zetu ambazo ni dawa za asili ambayo haziachi madhara kwa mtumiaji na hazina
kemikali yoyote

Ni K**a bahati kwako kwa sasa Tuna SULUHISHO la tatizo lako, Dawa zetu za tiba lishe zimeshika namba moja kwa matatizo ya kuwahi kufika Kileleni

Ili kupata Huduma hii tuma Ujumbe NGUVU ZA KIUME sasa hivi kwenda 0628673718 au tuma Ujumbe WhatsApp

K**a upo Dar es salaam fika ofisini kwetu ilala boma jengo la mwalimu house mkabala na ofisi ya mkuu wa mkoa

Kwa wale wa mikoani hatujawasahau. Mwagizie ndugu yako au jamaa afike ofisini kwetu akuchukulie akutumie kwa njia bus na kwa Zanzibar watatumiwa kwa njia ya boti

K**a huna ndugu usijali utatumiwa kwa uaminifu mkubwa popote ndani na nje ya nchi

Delivery kwa Wateja wa Dar es salaam ambao wapo busy watapelekewa dawa popote walipo kwa kuchangia sh elfu 5 ya Bodaboda

KARIBUNI....0757898003

Jee Huyu Ni Wewe... Dk 1 Tu Umeshafika Kileleni? ( O757898003)Dawa zetu za tiba lishe zinalenga kusaidia wanaume kukabil...
23/10/2021

Jee Huyu Ni Wewe... Dk 1 Tu Umeshafika Kileleni? ( O757898003)

Dawa zetu za tiba lishe zinalenga kusaidia
wanaume kukabili changamoto ya kuwahi kufika kileleni ambayo kwa mujibu wa tafiti mbalimbali hupelekea idadi kubwa ya wenza kutodumu muda mrefu katika Tendo

Hali hii hufanya wanaume wengi kukosa raha, kutojiamini na hata kushindwa kufurahia ndoa zao.

Changamoto hii ikiachwa huweza kuchangia uibukaji wa matatizo mengine k**a uhanithi na kuishiwa kabisa uwezo wa kushiriki tendo.

Habari njema ni kwamba ....

Jambo hili lisikukoseshe furaha,

Unayo haki ya kufurahia maisha bila kujali hali yako kwa sasa,

Si wewe tu, wengi wamepitia changamoto hii lakini mwisho wa siku walifurahia maisha kwani tatizo lilitatuliwa, walichelewa kufika kileleni kwa zaidi ya Dk 20 - 30 na Ukaweza kurudia tendo zaidi ya mara moja.

Changamoto ya kuwahi kufika kileleni huweza kutatuliwa kwa uhakika ikiwa utatumia tiba lishe zetu ambazo ni dawa za asili ambayo haziachi madhara kwa mtumiaji na hazina
kemikali yoyote

Ni K**a bahati kwako kwa sasa Tuna SULUHISHO la tatizo lako, Dawa zetu za tiba lishe zimeshika namba moja kwa matatizo ya kuwahi kufika Kileleni

Ili kupata Huduma hii tuma Ujumbe NGUVU ZA KIUME sasa hivi kwenda 0628673718 au tuma Ujumbe WhatsApp

K**a upo Dar es salaam fika ofisini kwetu ilala boma jengo la mwalimu house mkabala na ofisi ya mkuu wa mkoa

Kwa wale wa mikoani hatujawasahau. Mwagizie ndugu yako au jamaa afike ofisini kwetu akuchukulie akutumie kwa njia bus na kwa Zanzibar watatumiwa kwa njia ya boti

K**a huna ndugu usijali utatumiwa kwa uaminifu mkubwa popote ndani na nje ya nchi

Delivery kwa Wateja wa Dar es salaam ambao wapo busy watapelekewa dawa popote walipo kwa kuchangia sh elfu 5 ya Bodaboda

KARIBUNI....0757898003

*TATIZO LA KUKOSA CHOO/KUPATA CHOO KIGUMU (CONSTIPATION)* (0757898003)    UKOSEFU wa choo ni tatizo sugu miongoni mwa wa...
11/10/2021

*TATIZO LA KUKOSA CHOO/KUPATA CHOO KIGUMU (CONSTIPATION)* (0757898003)


UKOSEFU wa choo ni tatizo sugu miongoni mwa watu wengi. Bila kujua kuwa ni tatizo ambalo linahitaji tiba ya haraka, watu wengi hupuuzia na kuona siyo tatizo kubwa na ni hali ya kawaida. Ukosefu wa choo wa muda mrefu, huwa ndiyo chanzo cha magonjwa mengine hatari.
Mtu anapokosa choo kikubwa kwa siku kadhaa, uchafu hujikusanya tumboni na unapokosa sehemu ya kutokea hukimbilia kwenye damu na kuingia kwenye mfumo mzima wa damu. Uchafu huo unapoingia kwenye mfumo wa damu huwa sumu na chanzo cha maradhi mengine ambayo hujitokeza baadae na kuanza kumuathiri mtu, bila kujua chanzo chake.
Kwa kawaida mtu unapaswa kupata choo cha uhakika japo mara moja kwa siku, kutegemeana na mlo wake wa kila siku, unapokosa choo kwa siku nzima ili hali una kula milo yote kwa siku, elewa una tatizo katika mfumo wako wa kusaga chakula hivyo unapaswa kuchukua hatua haraka.
K**a Unakosa Choo Zaidi Ya Masaa 72 (Siku 3) Upo Kwenye Hatari Kubwa Ya Kupata Magonjwa Yafuatayo:-
~Kansa ya Utumbo.
~Uzito uliozidi.
~Bawasiri(Vinyama sehemu ya haja kubwa).
~Maumivu ya Kiuno,Mgongo,Mabega,Kichwa,Misuli.
~Kukosa usingizi(Insomnia)
~Kukosa hamu ya kula(Loss of appetite).
~Tumbo kujaa gesi.
~Vidonda vya tumbo(Ulcers).
~Upungufu wa nguvu za kiume.
~Kushindwa kubeba mimba au kuzaa.
~Kupasuka kwa utumbo.
~Kutoa harufu mbaya mdomoni na unapojamba.
Kati ya changamoto kubwa ya kiafya ni kutopata choo na kupata choo kigumu k**a cha mbuzi,na watu wengi wanadhani ni kawaida kutopata choo kwa muda wa siku 3 hadi week,kumbe ni tatizo kubwa linaloweza kusababisha 90% ya magonjwa yasiyoambukizwa na hatimae KIFO
WATU wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospitali kupata tiba.

CHANZO CHA TATIZO
Tatizo la kutopata choo linasababishwa na mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakula.Kwenye utumbo mdogo ambao una urefu wa takribani mara 10 mpaka 13 ya urefu wa mtu husika,kuna Villars, hivi ni k**a vidole vinavyokua vinachezacheza ili kumeng'enya chakula,ila kutokana na sumu tunazoingiza mwilini kila siku kuto
-
-

*SABABU* *ZA* *MWANAMKE* *KUKOSA* *HEDHI* *KWA* *WAKATI* FAHAMU SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA HEDHI /KUTOPATA HEDHI KATIKA M...
11/10/2021

*SABABU* *ZA* *MWANAMKE* *KUKOSA* *HEDHI* *KWA* *WAKATI*

FAHAMU SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA HEDHI /KUTOPATA HEDHI KATIKA MPANGILIO MAALUMU (AMENORRHEA)

Elimu kwa wanawake na wasichana kuepukana na magonjwa mbalimbali yanayosababisha kukosa hedhi iliyo salama, kutokana na maswali yenu ya kwanini mwanamke huwa anakosa hedhi ilhali Hana mimba?

Nimeona ni vyema kuelezea hili tatizo kwa undani ili muweze kutambua vizuri tatizo hili ambalo kitaalamu linajulikana k**a AMENORRHOEA

*AMENORRHEA* *NI* *NINI*?
Hii ni hali ya mwanamke ambaye amepevuka na kukomaa maumbile yake ya Uzaz kushindwa kupata hedhi/kupitiliza siku za hedhi
~kwa ufupi tatizo hili limekua likiwakumba na kuwaletea usumbufu wa kisaikolojia wanawake wengi wakidhani kwamba wamepata ujauzito nk, hata hivyo tatizo hili la kukosa hedhi linaweza kutokea awali au baadae kabisa maishani
~kuna aina mbili za tatizo hili (amenorrhea)

*(1) PRIMARY* *AMENORRHEA* ~hii ni hali ya kukosa hedhi inayomtokea mwanamke/msichana aliye katika umri wa kuvunja ungo ambapo Hali hii huweza kuendana na kutopata mabadiliko ya kimaumbile yanayoambatana na kuvunja ungo k**a vile KUOTA NYWELE SEHEMU ZA SIRI, KUOTA MATITI, NK ila bado hapati siku zake

*(2) SECONDARY* *AMENORRHEA* ~hii ni hali ya kukosa hedhi inayomtokea mwanamke ambaye si mjamzito wala hanyonyeshi na ambaye hajakoma hedhi na wala hatumii dawa za Uzazi wa mpango ambapo awali alikua akipata hedhi k**a kawaida Lakini akasimama kwa muda huenda ni miezi au mwaka mzima hapati hedhi mpaka sasa

*~NAMNA* *AMBAVYO* *MWANAMKE* *HUPATA* *HEDHI*
Kwa Kawaida ili mwanamke apate hedhi katika mzunguko ulio Sawa ni lazima tezi ya hypothalamus na pituitar pamoja na kiwanda cha mayai(ovaries) viwe vinafanya kazi kwa ushirkiano yani sawasawa

*~VYANZO* *VYA* *TATIZO* *HILI*
Vyanzo vya tatizo hili vyaweza kuwekwa katika Makundi makuu matatu ambayo ni vile vinavyohusisha matatizo katika mfumo wa homoni, vile vinavyohusisha matatizo katika tezi ya pituitar, mfumo wa Uzazi na vile vinavyohusisha mabadiliko katika mwili wa mwanamke visababishi hivyo ni;

👉Matatizo katika hypothalamus ambapo matatizo haya husababisha
-
-
-

11/10/2021

SHUHUDA YA MCHUNGAJI MARTIN ALIYE PONA TEZI DUME BULA UPASUAJI .(0757898003)
Karibu upate ushauri juu ya changamoto ya tezidume epuka kuondoa uvimbe wa tezi dume kwa njia ya Upasuaji inamadhara makubwaa.karibu tukusaidie kwa mawasilino piga sim au tuma ujumbe kwenda namba 0757898003

11/10/2021

SHUHUDA YA MCHUNGAJI MARTIN ALIYE PONA TEZI DUME BILA UPASUAJI.(0757898003)
-karibubupate ushauri na elimu juu ya tezi dume epuka kuondoa tezi dume kwa njia yanupaeuaji in madhara makubwa .Nipigie kwa namba 0757898003 kwa mawasilino zaidi.
-
-
-

IJUE CHANGAMOTO YA GOITA(0757898003)Goita (Goiter) ni hali ya kuvimba kwa tezi ya thyroid. Uvimbe huu hautokani na sarat...
09/10/2021

IJUE CHANGAMOTO YA GOITA
(0757898003)
Goita (Goiter) ni hali ya kuvimba kwa tezi ya thyroid. Uvimbe huu hautokani na saratani na kwamba goita si saratani. Tezi ya thyroid ipo sehemu ya mbele ya shingo. Kazi kuu za tezi ya thyroid ni kuzalisha homoni mbalimbali ambazo husaidia mwili kuthibiti na kufanya kazi zake mbalimbali.

Aina za goita na visababishi vyake
Kuna aina kadhaa za goita. Goita ya kawaida (simple goiter) inaweza kutokea bila kuwepo kwa chanzo chochote cha kueleweka. Wakati mwingine, yaweza kutokea wakati tezi ya thyroid inaposhindwa kuzalisha homoni/vichocheo vya kutosha vya thyroid kwa ajili ya mahitaji ya mwili. Ili kuweza kuendana na hali hii, tezi ya thyroid huongezeka ukubwa ili kufidia upungufu wa homoni za thyroid.

Kuna aina mbili za goita ya kawaida, Goita inayowapata wakazi wa eneo fulani (endemic goiter). Aina hii pia huitwa colloid goiter, na Goita inayotokea maeneo tofauti (sporadic goiter). Aina hii pia hujulikana k**a nontoxic goiter.

Endemic goiter au colloid goiter huwapata makundi ya watu wanaoishi maeneo yenye udongo wenye upungufu mkubwa wa madini ya Iodine. Maeneo ya aina hii mara nyingi ni yale yaliyo mbali kutoka pwani ya bahari au yaliyo katika nyanda za juu kutoka usawa wa bahari k**a vile mikoa ya Mbeya, Iringa na Rukwa.

Iodine ni madini muhimu yanayohitajika katika utengenezaji wa homoni mbalimbali zinazozalishwa na tezi ya thyroid. Watu wanaoishi kwenye maeneo k**a haya wapo katika hatari ya kupata goita kwa vile hawapati madini ya kutosha ya Iodine katika chakula chao.

Matumizi ya chumvi ziliongezwa madini ya Iodine yamesaidia sana kupunguza matatizo ya upungufu wa Iodine miongoni mwa watu wengi nchini Tanzania na duniani kwa ujumla. Hata hivyo, upungufu wa madini ya Iodine bado umeendelea kuzikumba sehemu nyingi za Afrika ya kati, Amerika ya kusini pamoja na Asia ya kati.

Chanzo cha sporadic goiter au nontoxic goiter bado hakifahamiki vema miongoni mwa wagonjwa wengi. Hata hivyo, matumizi ya baadhi ya dawa k**a vile lithium pamoja na aminoglutethimide yameelezwa kuwa chanzo kimojawapo cha aina hii ya goita.

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255757898003

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Gaston kwa ubora wa afya yako posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Gaston kwa ubora wa afya yako:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram