AFYA NGUVU KAZI YAKO

AFYA NGUVU KAZI YAKO DR THOMAS SUMA HEALTH CARE �

KARIBU DR THOMAS SUMA HEALTH CARE

KWA suluhu ya magonjwa sugu ya uzazi Kama vile;

KWA MWANAMKE

~Ugumba na kuziba kwa mirija ya uzazi.
~Kulegea kwa kizazi
~Kupata maumivu makali wakati wa hedhi
~Kukosa hedhi/ kupata hedhi kwa muda mrefu
~P.I.D, U.T.I, Fangas sugu, Kutokwa na uchafu na harufu mbaya ukeni.
~Mimba kuharibika
~Saratani ya shingo ya kizazi
~Uvimbe kwenye via vya uzazi


KWA MWANAUME

•TEZI DUME
•HERNIA/NGIRI
•Upungufu wa nguvu za kiume
•Wanaoshindwa kuzalisha. DR THOMAS SUMA HEALTH CARE TUNATIBU PIA MAGONJWA MENGINE KAMA VILE;

•Kifua kikuu
•Kisukari
•Shinikizo la damu(BP)
•Matatizo ya mifupa
•Ngozi
•Kansa
•Uzito/unene kupita kiasi

na mengine mengi.

,NGUVU KAZI YAKO.��

08/04/2024

‎View this item on WhatsApp: https://wa.me/p/7578020918923966/255692936639
‎Description: KARIBU KWA USHAURI NA MATIBABU JUU YA MAAMBUKIZI MBALIMBALI SUGU KATIKA VIA VYA UZAZI VYA MWANAMKE

•Fangasi & UTI inayojirudia rudia
•Maambukizi katika via vya ndani vya uzazi (Pelvic Inflammatory Diseases/P.I.D)
•Magonjwa ya ngono/Zinaa; kaswende, kisonono n.k
•Kutokwa na uchafu na harufu mbaya ukeni

✳️ushauri (Bure).

Cc~AFYA CARE HEALTH HELP♻️

UGONJWA WA MASUNDOSUNDO / VIGWARU (GE***AL WARTS) ."GE***AL WARTS - ( MASUNDO SUNDO ) NI NINI?Ni vinyama Laini vidogovid...
02/12/2022

UGONJWA WA MASUNDOSUNDO / VIGWARU (GE***AL WARTS) .

"GE***AL WARTS - ( MASUNDO SUNDO ) NI NINI?

Ni vinyama Laini vidogovidogo vinavyoota kwenye ngozi au utando Laini unaozunguka maeneo ya sehemu za siri, vinyama hivyo vinaweza kutokea kwenye uume, uke, mrija wa mkojo (urethra), maeneo yanayozunguka haja kubwa na sehemu mbalimbali za mwili.

~Ugonjwa huu unaenezwa kwa njia ya kujamiiana (S*XUAL TRANSMITTED INFECTION) STI)

"CHANZO CHA TATIZO HILI"

~Ugonjwa wa Masundosundo husababishwa na virus waitwao HUMAN PAPILLOMA VIRUS ( HPV) hata hivyo Kuna Aina tofauti za virus wa HPV hivyo sio wote wanaosababisha tatizo hili kwani Kuna ambao wanaosababisha Masundosundo katika sehemu tofauti k**a vile mkono, mgongoni, mguuni nk.

Pia HPV huweza kasababisha saratani ya shingo ya kizazi (CARCINOMA OF THE CERVIX) kwa wanawake, na pia huweza kusababisha saratani ya sehemu ya haja kubwa (A**L CANCER) kwa jinsia zote mbili.

~Ugonjwa huu wa Masundosundo umejitokeza kwa kiasi kikubwa baada ya kuwepo kwa janga la UKIMWI hivyo watu wenye wapenzi wengi, wanaofanya mapenzi kwa njia ya mdomo na haja kubwa, wajawazito, watumiaji wakubwa wa sigara na pombe, watu wenye upungufu wa kinga mwilini wapo katika hatari ya kupata ugonjwa huu

DALILI ZA MASUNDOSUNDO"

"~mgonjwa wa tatizo hili hutokewa na vinyama Laini vidogovidogo vinavyoota kwenye katika maeneo tofauti (MFANO HALISI TIZAMA KATIKA PICHA) ingawa wakati mwingine huwa ni vidogo kiasi cha kutoweza kuonekana kwa njia ya kawaida.

~mgonjwa kupata ganzi maeneo yaliyozungukwa na Masundosundo
~kutokwa na uchafu mzito sehem za siri na kuwashwa kupita maelezo
~kutokwa damu ukeni mara baada ya kufanya tendo la ndoa.

NOTED :mwanaume huwa anachelewa kupata dalili na huwa na uwezekano mkubwa wa kuambikiza wenza wao

"MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA UGONJWA HUU"

~matibabu ya tatizo hili hupatikana kirahisi iwapo tatizo halijachelewa kupatiwa tiba, matibabu hutolewa kwa kufuata utaratibu wa Majibu yaliyopatikana katika vipimo mbalimbali, matibabu hayo huweza kuwa ya kuviondoa vinyama kwa kufanya operations au kutumia dawa, hata hivyo njia ya operation sio nzuri sana kwasababu huweza kutengeneza madhara zaidi na uwezekano mkubwa wa kupata kansa hivyo tiba nzuri ni kutumia dawa ambazo zitatibu na kuondoa tatizo hilo na mgonjwa kupona kabisa ila cha kuzingatia ni kwamba ugonjwa huu ni wa kuambikiza hivyo inashauriwa wenza wote kupata matibabu hata k**a atajihisi hana dalili yoyote ni vyema akafanya vipimo ili kujihadhari kabla ugonjwa haujaleta madhara zaidi.

~Waswahili wanasema bora kinga kuliko matibabu hivyo ni vyema ukajiepusha na ugonjwa huu kwa kuepuka yafuatayo:

-EPUKA KUWA NA WAPENZI WENGI
-EPUKA KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
-ACHA ORAL S*X UKISHINDWA BASI KUWA NA MPENZI MMOJA TU AMBAYE NDIO UNAWEZA KUMNYONYA SEHEMU ZAKE ZA SIRI.

ZINGATIA MAPENZI UJUZI LAKINI AFYA YAKO NI MALI ZAIDI WADADA/WAKAKA WENGI MMEKUA MKITAKA KUWARIDHISHA KILA MNAOKUTANA NAO KIMWILI KWA KUWANYONYA SEHEMU ZA SIRI KITU AMBACHO KINAKUWEKA KATIKA HATARI YA KUPATA UGONJWA HUU NA KANSA YA KOO.
-EPUKA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA, SIGARA NA POMBE KUPITA KIASI

NOTED : NDUGU RAFIKI ugonjwa huu una madhara makubwa unaweza kusababisha kansa ya kizazi, kansa ya uume, kansa sehemu ya haja kubwa Nk hivyo hakikisha unapata matibabu ya uhakika iwapo una tatizo hili au ikiwa hauna jitahid kujiepusha na vihatarishi vya ugonjwa huu.

K**a unahitaji tiba na ushauri wa Magonjwa na Matatizo Mbali Mbali ya Kiafya Unaweza kuwasiliana nasi ukafika ofsini Makumbusho au Mlimani City - DAR ES SALAAM ambapo utapata dawa na ushauri kwa gharama nafuu.

MAWASILIANO
☎️0692936639
☎️0757499476

UGONJWA WA MASUNDOSUNDO//GE***AL WARTS~ugonjwa huu huenezwa kwa njia ya kujamiiana (S*XUAL TRANSMITTED INFECTION/STI) "C...
02/12/2022

UGONJWA WA MASUNDOSUNDO//GE***AL WARTS

~ugonjwa huu huenezwa kwa njia ya kujamiiana (S*XUAL TRANSMITTED INFECTION/STI)

"CHANZO CHA TATIZO HILI"

~ugonjwa wa masundosundo Husababishwa na virus waitwao HUMAN PAPPILON VIRUS (HPV), hata hivyo kuna aina tofauti za virus wa HPV hivyo siyo wote wanaosababisha tatizo hili, kwani kuna ambao wanasababisha masundosundo sehemu tofauti k**a vile mkono, mgongoni, mguuni n.k

Pia HPV Huweza kusababisha saratani ya shingo ya kizazi(CARCINOMA OF CERVIX) kwa wanawake, na pia huweza kusababisha saratani ya sehemu ya haja kubwa (A**L CANCER) kwa jinsia zote mbili.

-EPUKA KUWA NA WAPENZI WENGI
-EPUKA KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
-ACHA ORAL S*X UKISHINDWA BASI KUWA NA MPENZI MMOJA TU AMBAYE NDIO UNAWEZA KUMNYONYA SEHEMU ZAKE ZA SIRI.

ZINGATIA MAPENZI UJUZI LAKINI AFYA YAKO NI MALI ZAIDI WADADA/WAKAKA WENGI MMEKUA MKITAKA KUWARIDHISHA KILA MNAOKUTANA NAO KIMWILI KWA KUWANYONYA SEHEMU ZA SIRI KITU AMBACHO KINAKUWEKA KATIKA HATARI YA KUPATA UGONJWA HUU NA KANSA YA KOO.
-EPUKA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA, SIGARA NA POMBE KUPITA KIASI

NOTED : NDUGU RAFIKI ugonjwa huu una madhara makubwa unaweza kusababisha kansa ya kizazi, kansa ya uume, kansa sehemu ya haja kubwa Nk hivyo hakikisha unapata matibabu ya uhakika iwapo una tatizo hili au ikiwa hauna jitahid kujiepusha na vihatarishi vya ugonjwa huu.

K**a unahitaji tiba na ushauri wa magonjwa na matatizo mbalimbali ya afya, unaweza kuwasiliana nasi ukafikia ofisini Makumbusho au Mliman City - DAR ES SALAAM ambapo utapata dawa na ushauri juu ya changamoto yako.

MAWASILIANO
☎️ 0692936639
📞0757499476
......*********.......

SABABU ZA MAUMIVU MAKALI YA KICHWA MARA KWA MARA..🔴🔴 Homa🔴🔴 Shinikizo la Damu (High Blood Pressure)🔴🔴 Mishipa ya damu ku...
26/11/2022

SABABU ZA MAUMIVU MAKALI YA KICHWA MARA KWA MARA..

🔴🔴 Homa

🔴🔴 Shinikizo la Damu (High Blood Pressure)

🔴🔴 Mishipa ya damu kukosa maji kwa muda mrefu.

🔴🔴 Msongo wa mawazo (stress)

🔴🔴 Ongezeko la sumu katika damu (Toxins)

🔴🔴 Kusinyaa/kuziba kwa mishipa ya damu kutokana na mafuta mengi (cholesterols) Mwilini.

🔴🔴 Kutopata usingizi Vizuri nyakati za usiku.

🔴🔴 Uzito mkubwa

🔴🔴 Mvurugiko wa homoni mwilini.

⚫⚫ATHARI ZA MAUMIVU YA KICHWA.
🔸Kupoteza kumbukumbu
🔸Kupoteza uwezo wa kuona vizuri
🔸Kupata kiharusi (stroke)
🔸 Kukosa usingizi
🔸Kupata tatizo la kipanda uso
🔸Mingurumo na makelele sikioni, hali hii itapelekea kupoteza kabisa uwezo wa kusikia katika umri wa uzee au kadri unaongezeka umri.

Kwa msaada zaidi wasiliana nami tafadhal tiba na ushauri🤝.

Piga simu•||WhatsApp
☎️ 0692 936 639

*FAHAMU KUHUSU CHEMBE YA MOYO.....*     CHEMBE YA MOYO hujumuisha dalili mbalimbali zinazoashiria kukosekana kwa hewa sa...
28/08/2022

*FAHAMU KUHUSU CHEMBE YA MOYO.....*
CHEMBE YA MOYO hujumuisha dalili mbalimbali zinazoashiria kukosekana kwa hewa safi ya Oxygen kwenye misuli ya moyo.

Dalili kubwa ya CHEMBE ya Moyo ni Maumivu katika kifua na pumzi fupi.

Chembe ya moyo si Ugonjwa lakini ni moja ya Dalili inayoashiria uwepo wa magonjwa ya mishipa ya damu izungukayo moyo, ambapo kunakosekana usawaa kati ya uhitaji na upatikanaji wa hewa safi kwenye moyo.

Dalili za CHEMBE YA MOYO hujumuisha Maumivu ya kifua, pumzi fupi, kuhisi uwepo wa kitu kizito sehemu ya kifua(mgandamizo), kuhisi kuelemewa upande mmoja, kuhisi kuungua maeneo ya kifuani, Maumivu ya meno, kuhisi kuvutwa na kamba kifuani, kuhisi uwepo wa kitu maeneo ya kooni n.k.

Upungufu huu wa hewa safi ya oxygen hutokea mara baada ya kupungua kwa damu kuzunguka moyo. Chembe ya moyo hutokea endapo uhitaji wa hewa safi yakiongezeka Zaidi.

Kuna sababu nyingi za kuongezeka kwa uhitaji wa hewa safi ya oxygen ambazo ni kuvunjika au kufungwa kwa mishipa izungukayo moyo, kupungua kwa upana wa mishipa ya damu na kuganda kwa mafuta katika mishipa ya damu(bad cholesterol).

Kupungua kwa hewa safi ya oxygen kwa muda mrefu hupelekea chembe hai au seli za sehemu ya moyo kufa.

Chembe ya moyo inaweza kuwa hatari zaidi endapo kuna uwepo wa magonjwa mengine ambatanishi ambayo ni SHINIKIZO LA DAMU, UPUNGUFU WA DAMU n.k

♂️AINA ZA CHEMBE YA MOYO;
♻️... Aina ya kwanza (Stable Angina); Aina hii ya chembe ya moyo ina tabia zifuatazo;- Ni yenye kudumu kwa kipindi kirefu☑️ Yenye kujirudia mara kwa mara katikati ya mwezi au mwaka☑️ Maumivu ya aina hii ya chembe ya moyo ni yenye uzito mkubwa lakini hayaji kwa haraka na mara nyingi hupelekea kuona k**a kuna kitu kizito kwenye kifua ambayo huambatana na hisia za kuungua kifuani na pumzi fupi☑️ Aina hii ya chembe ya moyo hudumu kati ya dakika 0.5 hadi 3, ijapokuwa hutoweka kwa haraka zaidi endapo mgonjwa atatumia kidonge cha kuweka chini ya ulimi cha Nitroglycerin.

Sababu ya aina hii ya chembe ya moyo (Stable Angina) hutokana na kuvunjika au kufunga kwa mishipa izungukayo moyo. Hivyo kwa mishipa ambayo haijafunga au kuvunjika yenye damu safi ya oxygen hushindwa kusukuma damu yenye kukidhi mahitaji ya moyo hasa kwa nyakati za mazoezi, mawazo au habari mbaya, kuwepo katika mazingira ya baridi na mara baada ya kula chakula kingi.

Watu ambao wako katika hatari ya kupata aina hii ya chembe ya moyo ni wenye SHINIKIZO LA DAMU, mwenye mafuta mengi mwilini (bad cholesterol), Uvutaji wa sigara, wasiofanya mazoezi na wenye uzito Mkubwa..

♻️... Aina ya pili (Unstable Angina); Aina hii ya chembe ya moyo ina tabia zifuatazo;- huwa na Maumivu makali yenye kuja haraka na kujirudia rudia mara nyingi zaidi ikilinganishwa na aina ya kwanza ya chembe ya moyo, hutokea hata k**a umetulia pasipo kujishughulisha.

Aina hii ya chembe ya moyo hutokea mara baada ya kuundwa kwa kitu chenye mafuta katika mishipa ya damu izungukayo moyo, na upana wa mishipa ya moyo kupungua (kusinyaa kwa mishipa ya damu), ambayo hupelekea kufunga au kuvunjika kwa mishipa izungukayo moyo hatimae hupelekea damu kutofika ya kutosha kuuzunguka moyo, kupungua kwa hewa safi ya oxygen hupelekea chembe hai za misuli ya moyo kufa kwa asilimia ( 10%-20%).
Lakini matibabu ya haraka husaidia zaidi kuepusha na uwezekano huu ni 5%-7%.

♻️... Aina ya tatu (Prinzmental's); Ni mara chache sana aina hii hutokea, ila hutokea mara baada ya mishipa izungukayo moyo kupungua upana au kusinyaa hupelekea kizuizi cha mzunguko wa damu kuuzunguka moyo.

Hali hii huwa na hatari zaidi endapo mishipa izungukayo moyo ikifunga au kuvunjika. Mgonjwa hulalamika kuwa na maumivu ya kifua hata akiwa amepumzika au akiwa anafanya kazi. Maumivu haya au ukosefu huu wa faraja hauwezi kutoweka licha ya kutumia dawa.

Chembe ya moyo ya aina hii endapo ikiendelea kutokea kwa kipindi kirefu hupelekea kutokea kwa mshtuko wa moyo, hatimae kufariki.

♻️... Aina ya nne (Nocturnal Angina); Aina hii ya chembe ya moyo hutokea zaidi nyakati za usiku, ambapo unaweza kumsaidia mgonjwa kwa kumlaza kitandani huku kichwa kikiwa katika mto au kitanda kuinuliwa sehemu ya kichwani.

♂️DALILI ZA CHEMBE YA MOYO;
🕳️ Maumivu kifuani kwenye moyo.
🕳️ Maumivu bega la kushoto.
🕳️ Maumivu nyuma ya shingo au kuzunguka shingo.
🕳️ Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
🕳️ Moyo kulipuka.
🕳️ Maumivu kusambaa hadi mgongoni.
🕳️ Kuhisi Maumivu kifuani wakati wa mazoezi ya kutembea au kukimbia.
🕳️ Kutokwa na jasho jingi na kuumwa kichwa.

NB: Chembe ya moyo hutokana na moyo kukosa damu yenye hewa safi ya oxygen na virutubisho ya kutosha na kupelekea mishipa ya damu pamoja na seli za misuli ya moyo kufa.

♂️ MATIBABU YA CHEMBE YA MOYO;
Matibabu ya chembe ya moyo hutegemea zaidi aina ya chembe ya moyo kwa mgonjwa husika.

Matibabu ya CHEMBE YA MOYO yanaweza k**a ifuatavyo;-
1. Matibabu ya kutumia madawa.
2. Mabadiliko ya maisha.
3. Upasuaji.

Lengo la matibabu haya ni kumrudisha mgonjwa katika hali yake ya kawaida kabisa ya chembe ya moyo au isione kabisa chembe ya moyo ama kudhibiti Maumivu yatokanayo na aina ya chembe ya moyo inayomsumbua mgonjwa.

Lakini lengo lingine kuu ni kumpunguzia mgonjwa katika hatari ya kupata mshtuko wa moyo na hatimae kifo cha ghafla kutoka na mshtuko pamoja na maumivu makali yenye kubana kifua pamoja na kukosa pumzi ya kutosha pia kupungua kwa kujirudia rudia kwa Dalili za chembe ya moyo mpaka hali itakapoweza kuwa sawa kabisa.

1. MATIBABU YA KUTUMIA MADAWA; yapo katika makundi mawili ambayo ni;- ♻️ Anti anginal drugs- ambazo hizi dawa husaidia katika matibabu ya aina ya kwanza na ya pili ya chembe ya moyo (Stable and unstable Angina).

Anti-anginal drugs; hujumuisha makundi yafuatayo ya dawa;-

🔸 Dawa zinazopelekea mishipa ya damu kulegea (organic nitrate).
🔸 Dawa zinazuia seli za misuli ya moyo zifahamikazo kitaalamu (Beta blockers)
🔸 Dawa zinazozuia madini ya calcium katika usukumaji wa damu (calcium blockers).

♻️.... Vasoprotective drugs; hili Ni kundi la dawa ambalo hutumika kwa aina zote za chembe ya moyo.

Dawa zote hizi kwa pamoja husaidia kuweka mapigo ya moyo sawa, shinikizo la damu na husaidia kulegeza mishipa ya damu.

2. MABADILIKO YA MFUMO WA MAISHA;
Epuka uvutaji wa sigara au kukaa karibu na mtumiaji wa sigara, unywaji wa pombe na ulaji wa vyakula vyenye chumvi nyingi. Kula matunda, mbogamboga na vyenye kiasi kidogo cha mafuta lazima mgonjwa awe makini katika matumizi yake. Kuepuka ulaji wa nyama nyekundu ili kudhibiti kiasi cha cholesterol (lehemu) mwilini.

Fanya mazoezi walau dakika 30 au 60 kwa siku 7/5 kila wiki.

3. UDHIBITI WA SHINIKIZO LA DAMU; presha ambayo ni nzuri kwa mgonjwa yeyote wa shinikizo la damu ni kuwa chini ya

FAHAMU KUHUSU STROKE/KIHARUSI....Stroke( kiharusi) Ni tatizo linalotokea kwenye ubongo ambapo mtiririko wa damu wa eneo ...
01/08/2022

FAHAMU KUHUSU STROKE/KIHARUSI....

Stroke( kiharusi) Ni tatizo linalotokea kwenye ubongo ambapo mtiririko wa damu wa eneo fulani la ubongo kukosa damu na virutubishi muhimu na seli za eneo Hilo huanza kufa.

Stroke kitaalamu hujulikana k**a cerebrovascular accident (CVA).
Hili linaweza kutokea pale mishipa ya damu ya kuelekea kwenye eneo Hilo ikiziba au mishipa ndani ya ubongo Katika eneo hilo kupasuka. Seli za ubongo za eneo Hilo zikianza kufa kwa kukosa damu, shughuli zote zinazoendeshwa na eneo Hilo la ubongo husimama kwa mfano kumbukumbu na misuli. Kiharusi Ni ugonjwa wa ghafla hivyo Tiba inatakiwa ipatikane mapema iwezekanavyo.

Kiharusi inaweza kumpata mtu yoyote wakati wowote.

AINA KUU ZA KIHARUSI
➡️ Kiharusi kinachotokana na kuziba kwa mishipa ya damu ya ubongo.
➡️ Kiharusi kinachotokana na kupasuka kwa mishipa ya damu ya ubongo.

Vitu vinavyochangia mtu kupata Kiharusi

➡️ Ugonjwa wa SHINIKIZO kubwa la DAMU (presha)
➡️ Uvutaji sigara
➡️ Ugonjwa wa KISUKARI
➡️ Magonjwa ya moyo hasa ugonjwa wa mtetemo wa moyo (atrial fibrillation)
➡️ Tatizo la mafuta mengi kwenye moyo ( Lehemu au cholesterol)
➡️ Uzito uliopitiliza
➡️ Unywaji wa pombe uliokithiri.
➡️ Kutokufanya mazoezi.

K**a unamfahamu mtu mwenye changamoto hii usisite kuwasiliana nasi, tunalo suluhisho la kutibu tatizo la kiharusi bila upasuaji.

Kwa mawasiliano zaidi:

Piga simu•|sms•|WhatsApp
☎️0692 936 639
📞0757 499 476

DALILI ZINAZOASHIRIA UNAFUNGUS UKENI (jitibie mapema ) ✍muwasho makali Sehemu Za Siri ( unaweza kuja na kupotea)*✍ vipel...
31/07/2022

DALILI ZINAZOASHIRIA UNAFUNGUS UKENI (jitibie mapema )
✍muwasho makali Sehemu Za Siri ( unaweza kuja na kupotea)*
✍ vipele Vidogo Vidogo Ukeni
✍ kutokwa Uchafu Mweupe mzito K**a mtindi Au Wa Rangi Ya Kijivu Ukeni Wenye Harufu Mbaya
✍ Vidonda Au Michubuko Ukeni
✍ kutokwa Na Harufu Mbaya Ukeni
✍ kupatwa Na Maumivu Makali Wakati Wa Tendo La Ndoa
✍ kuvimba Na Kuwa Mwekundu Katika Mdomo Wa Nje Wa Uke
✍ kuwaka Moto Ndani Na Nje Ya Uke. 👇👇👇MADHARA YA FUNGUS ISIPOTIBIWA MAPEMA 👉 Maumivu wakat wa tendo la ndoa 👉uke kuwaka moto 👉mimba kuharibika 👉kutokupata ujauzito kwa muda mrefu 👉homon imblance 👉 harufu mbaya ukeni 👉uke kuwa mkavu n.k

SABABU ZA FUNGUS UKENI
🕳️ Matumizi ya sabuni (Medicated soap) kuoshea uke.

🕳️ Matumizi ya dawa za antibiotics mara kwa mara.

🕳️ Utumiaji wa vyakula/vinywaji vyenye kiasi kikubwa cha sukari.

🕳️ Ngono zembe n.k

Tatizo la Fangas linatibika na kuisha kwa kuzingatia mazingira salama kuepuka visababishi pamoja na tiba zisizo za Kikemikali.

K**a ni mhanga wa tatizo hili na umetumia tiba ya hospitali bila mafanikio yoyote, USISITE KUWASILIANA nasi tafadhali kwa ushauri na tiba...

Piga simu•|sms|WhatsApp
☎️0692936639
📞0757499476

Tunapatikana Mliman City Dar es Salaam...

* *Inapotokea unatokwa na uchafu ukeni na harufu mbaya pamoja na Miwasho ukeni, hiyo ni hatua ya Fangasi sugu na ni isha...
08/06/2022

* *
Inapotokea unatokwa na uchafu ukeni na harufu mbaya pamoja na Miwasho ukeni, hiyo ni hatua ya Fangasi sugu na ni ishara bacteria wanaokula *SHINGO YA KIZAZI* (Cervix), Mirija ya Uzazi (Fallopian Tubes) na mfuko wa uzazi (Endometrium)..

Katika hatua hii, mwanamke anaweza kupoteza uwezo wa kushika ujauzito, homoni na mzunguko wa hedhi kuvurugika, kuumwa UTI mara kwa mara na kuwa sugu, kutokewa na uvimbe unaojipachika katika kizazi (Fibroids & Ovarian Cyst), Saratani/kansa ya mlango wa kizazi (Cervical Cancer).

Changamoto za uzazi ni matokeo ya sababu mbalimbali k**a wanawake kukosa elimu juu ya afya ya uzazi na namna ya kujikinga na maambukizi.

Kwa msaada tiba na ushauri••||AFYA YA UZAZI••||mawasiliano••||Piga••sms••whatsapp••||☎️: 0692936639••||AFYA_CARE_HEALTH_HELP••||afya Bora Nguvu kazi yako••||

Aslimia 80% ya PID husababishwa na utoaji wa mimba abortion japo kuna Visababibishi vingine vya pid k**a📌1.Matumizi ya u...
19/05/2022

Aslimia 80% ya PID husababishwa na utoaji wa mimba abortion

japo kuna Visababibishi vingine vya pid k**a

📌1.Matumizi ya uzazi wa mpango kwa mda mrefu
📌2.mama alotoka Kujifungua anaweza pata maambukizo kwenye via vya uzazi
📌3.Vipimo kwenye mlango wa uzazi
📌4.Matumizi ya s*x toy
📌5.Kujichua pia inapelekea infection maana vidole hubeba bacteria wengi sana
📌6. Kuwa na historia ya U.T.I za mara ka mara

DALILI ZA PID
Dalili za PID zinatofautiana,zinaweza kuwa

🌱1.Maumivu ya tumbo sehemu ya chini au upande wa kulia
🌱2.Kutokwa kwa uchafu ukeni usio wa kawaida wenye rangi ya kijani au ya njano na wakati mwingine una harufu isiyo ya kawaida
🌱3.Kichefuchefu na kutapika
🌱4.maumivu ya mgongo na nyonga
🌱5.Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🌱6.Maumivu wakati wa kukojoa
🌱7.Maumivu sehemu ya kulia upande wa juu wa tumbo

MAMBO YANAYOWEZA KUMUWEKA HATARINI MWANAMKE KUPATA PID

Kuna baadhi ya vitu ambavyo vinamuweka mwanamke katika hatari ya
kupata PID ni k**a vifuatavyo

📌1.Wanawake wenye magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya kujamiiana k**a kisonono na klaimidia wako hatarini sana kupata PID

📌2.Wanawake ambao waliwahi kupata PID wako hatarini kupata tena

📌3. Wasichana wadogo wapo hatarini kupata PID kuliko wazee.

📌4.Wanawake wenye wapenzi wengi wako katika hatari ya kupata magonjwa ya zinaa na PID

Baadhi ya tafiti zinaeleza uoshaji wa uke unachangia kupata PID.
Kuosha uke( Douching) kunaweza pelekea kusukuma bakteria sehemu za juu za via vya uzazi na kuzuia kutoka kwa uchafu ambao mwanamke angeweza kutumia k**a ishara ya kwenda kuonana na wataalamu wa Afya mapema

MADHARA YA PID

Kutokea /kujirudia kwa PID kunaweza kusababisha
kutokea kuharibika mirija ya uzazi ambayo inaweza kupelekea
🌱1.Ugumba
🌱2.Mimba kutunga kwenye mirija ya uzazi(ectopic pregnancy)
🌱3.Maumivu makali kwenye shingo ya kizazi
Kati ya wanawake nane (8) wanaougua PID mmoja(1) unakuwa mgumba

WASILIANA NASI KWA TIBA NA USHAURI:🅰️FYA/UZAZI/TIBA&USHAURI

Call/WhatsApp: 0692936639_🅰️FYA_CARE🌍

Zipo sababu nyingi zenye kuwafedheesha au kuwapa wakati mgumu wanawake wengi katika kuhitaji/hamu ya kushiriki tendo la ...
18/05/2022

Zipo sababu nyingi zenye kuwafedheesha au kuwapa wakati mgumu wanawake wengi katika kuhitaji/hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

Zifuatazo ni kati ya sababu za Wanawake kukosa hamu ya tendo la ndoa:-

1/ Utokwaji wa uchafu ukeni (Vaginal discharge)

2/ Harufu mbaya ukeni wakati wakushiriki tendo la ndoa

3/ Fangasi sugu/Miwasho baada ya kushiriki tendo la ndoa.

4/ Kuhisi maumivu na michubuko/uke kuwaka moto wakati wa tendo la ndoa

5/ Uke kuwa mkavu sana

K**a ni mhanga wa changamoto hii kwa muda mrefu na unahitaji msaada. Usisite kuwasiliana

Piga/sms/WhatsApp: 0692 936 639 __

AFYA/UZAZI/TIBA NA USHAURI

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA NGUVU KAZI YAKO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA NGUVU KAZI YAKO:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram