Afya care

Afya care Pata sulihisho la
�PID,Fangasi na UTI
�Uvimbe kwenye kizazi,mirija, mayai
�Kisukari na pressure

  offer
13/03/2024

offer

Offer ni ya🔥🔥 nunua package yoyote ya uzazi kutoka kwetu na upate offer ya 10%
13/03/2024

Offer ni ya🔥🔥 nunua package yoyote ya uzazi kutoka kwetu na upate offer ya 10%

Ramadan offer kwa package zetu zote za uzazi🔥🔥Wasiliana nasi kwa namba 0759416659
13/03/2024

Ramadan offer kwa package zetu zote za uzazi🔥🔥
Wasiliana nasi kwa namba 0759416659

Feedback🔥🔥
26/09/2023

Feedback🔥🔥

Likabarikiwe kila tumbo la mwanamke anaetaka kuwa mama🤲good morning my customers huduma bado inaendelea
26/09/2023

Likabarikiwe kila tumbo la mwanamke anaetaka kuwa mama🤲good morning my customers huduma bado inaendelea

Progress ya dose kutoka kwetu🔥🔥
18/09/2023

Progress ya dose kutoka kwetu🔥🔥

K**a wewe ni mwanamke na unatokwa na huu uchafu na bado hujui unafanya nini naomba tuwasiliane chap0759416659
18/09/2023

K**a wewe ni mwanamke na unatokwa na huu uchafu na bado hujui unafanya nini naomba tuwasiliane chap
0759416659

Package za fertility haziongopi,hongera sana dear🔥🔥
18/09/2023

Package za fertility haziongopi,hongera sana dear🔥🔥

TOPIC/MADA⏩HORMONE IMBALANCE(Mvurugiko wa homoni) Mvurugiko wa homoni kwa wanawake ni kitendo cha kuongezeka au kupungua...
18/09/2023

TOPIC/MADA⏩HORMONE IMBALANCE(Mvurugiko wa homoni) Mvurugiko wa homoni kwa wanawake ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa homoni katika mwili wa mwanamke, hivyo kufanya mabadiliko katika mwili wa mwanamke. Tatizo hili pia hujulikana kwa kitaalamu k**a Hormonal imbalance. Mvurugiko wa homoni kwa wanawake huweza kuchangiwa na kutokuwepo kwa usawa katika homoni zifuatazo; Estrogen, progesterone na testosterone ambapo kuzidi au kupungua kwa homoni hizi hupelekea mvurugiko wa homoni kwa wanawake. Kazi Za Homoni Ya Estrogen: 📌Hufanya uke wa msichana uwe umekomaa ili awe tayari kushiriki katika tendo la ndoa na pia kushika mimba. 📌Homoni hii huwafanya wasichana wapate uchu wa ngono, au ashiki ya mapenzi na kwa njia hii huonekana k**a homoni ya uzazi wa wanawake. 📌Estrojeni pia husaidia mama anapokuwa mjamzito ili matiti yake yawe tayari kutoa maziwa ya kunyonyesha mtoto. 📌Homoni ya estrojeni ikishirikiana na homoni ya ukuaji (human growth hormone) husaidia katika ubalehe wa wasichana ambapo matiti yao madogo huanza kunenepa na kuwa makubwa. DALILI ZA UPUNGUFU WA HOMONI WA ESTROGEN 📌Kuwepo kwa ukavu ukeni. 📌 Maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa. 📌 Kutokwa jasho wakati wa usiku. 📌 Kujisikia uchovu mara kwa mara hasa wakati wa kufanya kazi. MADHARA YA MVURUGIKO WA HOMONI 📌kutopata ujauzito kwa wakati 📌ugumba 📌uvimbe kwenye kizazi,mayai na mirija K**A UNA CHANGAMOTO HII UNATAKIWA KUANZA TIBA HARAKA SANA imbalance

Feedback🔥🔥
18/09/2023

Feedback🔥🔥

TOPIC/MADA➡️KUTOKWA UCHAFU UKENI  uchafu unaotoka ni dalili ya maambukizi ya magonjwa katika uke. Maambukizi katika uke ...
18/09/2023

TOPIC/MADA
➡️KUTOKWA UCHAFU UKENI
uchafu unaotoka ni dalili ya maambukizi ya magonjwa katika uke. Maambukizi katika uke sio Hali ya kawaida kwa wanawake na wanawake wengi sikuhizi wanasumbuliwa na tatizo la maambukizi. Ukiona yafuatayo, ujue unaweza kuwa na tatizo la maambukizi ya vijidudu vya maradhi katika uke wako. 📌Kutokwa na uchafu ukeni kunako ambatana na kuwashwa au vijipele 📌Kutokwa na uchafu ukeni ambako ni endelevu na kwa kiwango kinachozidi kila siku 📌Kusikia maumivu wakati wa kutoa haja ndogo Kutokwa na uchafu mweupe, mzito k**a jibini 📌Uchafu wa kijivu/mweupe au njano/kijani unaotoa harufu mbaya 📌Uchafu Mweupe Mzito K**a Jibini Hii ni dalili ya maambukizi ya aina ya fungus (Yeast infection) na dalili nyingine atakazozisikia mwanamke huyu ni kuvimba na maumivu kwenye sehemu za nje za siri (v***a), kuwashwa na maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa. 📌Uchafu Mweupe, Wa Njano Au Wa Kijivu Wenye Harufu Ya Samaki Uchafu wa aina hii ni dalili za maabukizi ya Bacterial Vaginosis. Mwanamke mwenye tatizo hili atasikia miwasho au maumivu, kuvimba kwa uke au sehemu ya nje ya uke (v***a). 📌Uchafu Wenye Rangi Ya Mawingu Au Njano Hii ni dalili ya ugonjwa wa kisonono (Gonorrhea). Mwanamke atatokwa na damu katikati ya siku zake, atatokwa na mkojo bila kukusudia na kupata maumivu ya nyonga. MADHARA YA KUTOKWA NA UCHAFU UKENI ✅Ugumba ✅Mirija ya uzazi kuziba ✅kukosa Ute wa mimba ✅Kupata Uvimbe kwenye kizazi,Mayai au Mirija ✅Saratani ya Shingo ya kizazi SULUHISHO LIPO LA KUDUMU 📞0759416659

Good morning my beautiful customers huduma bado znaendelea kwa cgangamoto yoyote ya uzazi wasiliana nasi kwa whatsapp na...
18/09/2023

Good morning my beautiful customers huduma bado znaendelea kwa cgangamoto yoyote ya uzazi wasiliana nasi kwa whatsapp namba 0759416659 kwa tiba na ushauri

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram