leys__wellness

  • Home
  • leys__wellness

leys__wellness ✨VIRUTUBISHO|LISHE|AFYA , nitakusaidia kupunguza uzito , kitambi, nyama uzembe ndani ya siku 9-24 tu

17/07/2025

30/04/2025

Ni mimi mshauri wako wa afya leyla rashid, niko kukupa huduma nzuri ili uweze kuzingatia afya yako na kukuelimisha juu ya utumiaji mzuri wa virutubisho.Wasiliana nami kupitia WhatsApp/call +255676535043 huduma boraBidhaa zangu zote ni salama na hazina madhara yoyote. 🤍

Ni mimi mshauri wako wa afya leyla rashid, niko kukupa huduma nzuri ili uweze kuzingatia afya yako na kukuelimisha juu y...
30/04/2025

Ni mimi mshauri wako wa afya leyla rashid, niko kukupa huduma nzuri ili uweze kuzingatia afya yako na kukuelimisha juu ya utumiaji mzuri wa virutubisho.

Wasiliana nami kupitia WhatsApp/call
huduma bora

Bidhaa zangu zote ni salama na hazina madhara yoyote. 🤍

Karibu nikusaidie  kupungua uzito, unene na kutoka nyama uzembe k**a ni  changamoto sasa basi mshauri wako wa afya nina ...
19/10/2024

Karibu nikusaidie kupungua uzito, unene na kutoka nyama uzembe k**a ni changamoto sasa basi mshauri wako wa afya nina program salama ya siku 9 hadi 24 yakukusaidia kusolve changamoto yako🔥🔥ni salama na hakuna kuharisha wala kukesha njaa huku ✅ wasiliana nami
kupata muongozo zaidi.


Bidhaa zangu zote ni salama na hazina madhara yoyote. 🤍


Ety😂😂Hebu njoo nkusaidie
02/08/2024

Ety😂😂

Hebu njoo nkusaidie

Hujachoka tu 😩😁😁+255676535043
24/05/2024

Hujachoka tu 😩😁😁

+255676535043

Aisee nawapenda wateja wangu hamuna mbambaaa🔥🔥🔥 mteja wangu kutoka Arusha kalipia package zake mbili za kupunguza uzito ...
13/04/2024

Aisee nawapenda wateja wangu hamuna mbambaaa🔥🔥🔥 mteja wangu kutoka Arusha kalipia package zake mbili za kupunguza uzito 🔥

Wale ntafnya diet na mazoezi 🙌🙌 anza kusafisha utumbo wako kwanza kuondoa toxins zilizopo kwa ndani ya mwili wako !!! To...
12/04/2024

Wale ntafnya diet na mazoezi 🙌🙌 anza kusafisha utumbo wako kwanza kuondoa toxins zilizopo kwa ndani ya mwili wako !!! Toxins zikiwa nyingi zinasaidia kuprotect viungo vyako vyengn visiwe affected na ndo maana ina generate mafuta (fats) !!! Start with detoxing and cleansing ur gut then anza kula vzr na mazoezi marahisi📌

NI RAHISI SANA👇🏽Wanaume wengi baada ya kupata hili tatizo huwaumiza kichwa, hukosa amani, huanza kupambana na kutafuta w...
04/04/2024

NI RAHISI SANA👇🏽

Wanaume wengi baada ya kupata hili tatizo huwaumiza kichwa, hukosa amani, huanza kupambana na kutafuta wapi watapata majibu ya maswali yao.

Hapa hutegemeana na kila mtu amkutana na nani? Wengi huingia kutumia njia hatari sana na mwisho wanapoteza hata zile nguvu kidogo walizo nazo.
Zifuatazo ni njia unazoweza kuzitumia ili kuondoa tatizo hili.

1. FAHAMU CHANZO CHA TATIZO LAKO.
Wanaume wengi hujitambua kuwa hawana uwezo lakini hawajui tatizo limesababishwa na nini?
Hutumia tiba ambazo si za chanzo kilichowapa wao tatizo.
Lazima ufahamu chanzo ni uzito na unene? Madawa?
Punyeto? Kisukari? Ama la?
Kwahiyo ukishafahamu chanzo ni Uzito na unene, unapewa program ya kupungua uzito kwanza, ukiimaliza ndipo uanze kuipata programme ya nguvu za kiume kuboreshwa.
K**a chanzo ni kisukari au majukumu ya kazi utaanza na kumaliza kisukari kwanza, kisha unafuata program ya kuboresha nguvu zako.
Wengi wanatumia madawa mbalimbali hawaponi ni kwasababu hawajaondoa chanzo cha tatizo Lao, hata k**a program inarudisha nguvu zako ila k**a uzito uliokuwa chanzo cha tatizo bado upo hauwezi kupona.

2. AMINI JITIHADA NA HAKUNA NJIA ZA MKATO
Tatizo la nguvu za kiume halina shortcuts, epuka madawa ya kuboost nguvu k**a njia ya mkato kumaliza tatizo k**a vile (Vigra, Enjoy, Eletro) utaharibu kizazi chako kabisa, utakuwa mtumwa wa hayo madawa na mwisho hormones zako zitarelax, hutaweza kusimamisha tena milele, unakuwa mtu wa majuto na maumivu sana.

3. TUMIA PROGRAM MAALUMU KWAAJILI YA KUONDOA TATIZO LAKO.
Ukishafahamu tayari una tatizo na chanzo chake unakijua, mfano ni unene kupitiliza, madhara ya punyeto, kazi ngumu na kukosa lishe nk.
Basi pata program sahihi kwa kuwafuata wataalamu wazoefu na ukaona pia waliohudumiwa na wao wamepona au la? Matapeli ni wengi, watu wanajali pesa zaidi kuliko mafanikio ya afya yako.

NB. K**a umeshajua wewe Mwanaume unaweza kunipigia au kuniandikia ujumbe mfupi inbox ukieleza changamoto yako nitakupatia ushauri utakao Kusaidia kuimarisha Afya yako ya Uzazi.

Karibu uweze kuendelea kujifunza masomo haya kupitia WhatsApp status +255676535043 ni bure kabisa
Namna ya kupata hivi virutubisho
WHATSAPP/CALL
+255676535043
#

Raha ya punyeto ni zaidi ya raha ya tendo la ndoa.Baada ya punyeto unapata majuto baada ya tendo unatamani tena kesho uf...
04/04/2024

Raha ya punyeto ni zaidi ya raha ya tendo la ndoa.
Baada ya punyeto unapata majuto baada ya tendo unatamani tena kesho ufanye
baada ya punyeto uume huchoka baada ya tendo uume huimarika na kupata nguvu mpya
Va**na is the best over ma********on!! Acha kujichua.

Address


Telephone

+255764204175

Website

https://wa.me/message/IMX2AN3VSRMZN1

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when leys__wellness posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to leys__wellness:

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Contact The Practice
  • Claim ownership or report listing
  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share