25/01/2023
❤KUTOKWA NA UTEUTE UKENI.❤
Part 2 anzia ulipoishia ....
👒 Ute ambao unasababishwa na kuathriwa kwa mfumo wa uzazi na mgonjwa ya zinaa. Huu huwa una Rangi ya kijani au njano inategemeana na aina ya ugonjwa wa zinaa. K**a ni kisonono huwa ni ute wa rangi ya njano, na k**a ni chlamydia huwa ni Rangi ya kijani.
👒 Ute unaosababishwa na mlango wa uzazi au uke kutoa damu, huu ute huwa na rangi ya pinki na pia hutoka wakti ambapo mwanamke ametoka kufanya tendo la ndoa akapata mchubuko ukeni au kwenye shingo ya kizazi.
👒 Ute unaosababishwa na uvimbe kwenye mji wa mimba au kansa ya shingo ya kizazi, huu huwa na Rangi nyekundi na mara nyingi huambatana na maumivu makali ya kiuno pamoja na kukondeana endapo mama atakuwa anumwa kansa.
"KWA SULUHISHO NA MSAADA ZAIDI WA HARAKA TUPIGIE :-
Kupitia Simu namba. 0659800564
Ku chart Moja Kwa Moja nasi Whatssapp Bonyeza hapa 👉🏿👇🏿
0621617664 Dr.Miriam