Afya ni uwekezaji

Afya ni uwekezaji Utatuzi wa changamoto za afya.

BAWASIRI INATIBIKA BILA YA UPASUAJI Huu ni ugonjwa wa kinyama aidha kuwa ndani ama nje ya njia ya haja kubwa sababu ya k...
27/06/2024

BAWASIRI INATIBIKA BILA YA UPASUAJI

Huu ni ugonjwa wa kinyama aidha kuwa ndani ama nje ya njia ya haja kubwa sababu ya kupata haja ngumu na kusababisha njia hiyo kutengeneza hivyo vinyama .. wengi wanateseka juu ya hili.

Husababishwa na ulaji mbovu, kutokunywa maji kwa wingi, kutokula matunda, mbogamboga, nafaka nzima nzima na vyakula vya nyuzi nyuzi.

Matibabu yapo bila ya upasuaji na kumaliza changamoto kabisa.

Karibu nikuhudumie wasiliana nami kupitia https://wa.me/+255712657055

Natibia changamoto za afya tofauti tofauti kuanzia watoto hdi watu wazima na zina matokeo sn namshukuru Mungu 🤲🏽✍🏾 Uzazi...
14/05/2024

Natibia changamoto za afya tofauti tofauti kuanzia watoto hdi watu wazima na zina matokeo sn namshukuru Mungu 🤲🏽

✍🏾 Uzazi jinsia zote
✍🏾 Kukosa hamu ya kula
✍🏾 Allergies
✍🏾 Mfumo wa mkojo na tezi dume bila upasuaji.

✍🏾Mifupa (mgongo, magoti, kukosa ute ute, uric acid)
✍🏾 Mfumo wa chakula (mmeng'enyo, kukosa haja kubwa, kupata haja kidg na ngumu, gesi nyingi, madonda ya tumbo na bawasiri - kinyama kwny njia ya haja kubwa)

✍🏾 Mfumo wa damu (kisukari, presha, kiharusi - stroke na kukosa kumbukumbu)
✍🏾 Ngozi (matumizi ya cream, kuumwa muda mrefu kuchakaa, kukimbiza uzee (wrinkles- makunyanzi), athari za miale ya jua)

✍🏽 Kutoa sumu mwilini
✍🏾 Shida za ukeni (miwasho, harufu, UTI na PID)
✍🏾 Afya ya kinywa (harufu, maumivu ya fizi na meno kw ujumla)

✍🏾 Changamoto za maradhi makubwa yasiyoambukiza (kansa, Figo, ini, vidonda ndugu km vile visivyopona kw haraka)

https://wa.me/+255712657055
Karibuni inbox ✨

Hakika hii ni halisi bila kukwepesha na tiba ipo bila upasuaji wala madhara 👇👇Ewe mwanaume chukua tahadhari bila kukwepe...
09/04/2024

Hakika hii ni halisi bila kukwepesha na tiba ipo bila upasuaji wala madhara 👇👇

Ewe mwanaume chukua tahadhari bila kukwepesha juu ya kukabiliana na changamoto ya tezi dume na siku hizi haiangalii suala la umri huwapata wanaume wa rika kuanzia kati kuelekea uzeeni tofauti na miaka ya nyuma ilikw nadra na kwa wazee pekee.

Kuna waliowahi kufanyiwa upasuaji na ikarudi mara kadhaa na wengine wamethibutu kusafiri Hadi nje ya nje na bado imerudi.

Wasiliana nami https://wa.me/+255712657055
Ama piga kawaida au ujumbe mfupi kwenda namba +255 712657055

Karibu sana ✨✨

29/02/2024

TATIZO LA UZAZI KWA WANAUME
NA SULUHISHO LAKE
Wanaume wengi wanakumbana na changamoto zifuatazo katika uzazi
1️⃣Mbegu chache (s***m count).
2️⃣Tatizo la semen, ni majimaji yanayozunguka mbegu za kiume ambayo kazi yake ni kuzuia mbegu za kiume zisiungue zinapoingia katika mji wa mimba.
3️⃣Kutoa mbegu chache ambazo hazina mkia.
4️⃣Kutokuwa na hamu ya tendo.
5️⃣Kutokuwa na nguvu ya kufanya tendo.
6️⃣Kuwa na mbegu zisizo na sifa.
7️⃣Kutoweza kurudia tendo.
8️⃣Kuwahi / kuchelewa kumaliza tendo

Wasiliana nasi kwa ujumbe mfupi (sms), WhatsApp ama tupigie +255712657055

https://wa.me/+255712657055

Hakika magonjwa ni gharama .. usikimbilie kulalamika Bei za dawa ndugu mgonjwa 📌
06/02/2024

Hakika magonjwa ni gharama .. usikimbilie kulalamika Bei za dawa ndugu mgonjwa 📌

KISUKARI KISUKARI 🔥🔥Zamani kidogo tuliaminishwa na kuambiwa ni ugonjwa wa watu wazima pia matajiri na watu wenye uwezo m...
06/01/2024

KISUKARI KISUKARI 🔥🔥

Zamani kidogo tuliaminishwa na kuambiwa ni ugonjwa wa watu wazima pia matajiri na watu wenye uwezo mkubwa kiuchumi sababu ya mfumo wa maisha yao (life style) na unarithishwa kifamilia (historia ya familia).

Hakika zama zimebadilika sana, ugonjwa huu hauchagui umri, uchumi wala aina ya maisha ya mgonjwa yaani yeyote anaweza upata tena hata kwenye familia yake hakuna aliyewahi umwa kisukari.

Tiba ipo na inatatua kabisa ugonjwa wa Kisukari hata uwe tayari umefikia hatua ya kutumia sindano, utapona kabisa bila madhara na itabaki historia.

Amua kutibia Kisukari kupitia bidhaa za tiba lishe na zenye matokeo mazuri mfano wa shuhuda hapo juu na kuokoa wengine wanaopitia changamoto hii.

Wasiliana nami kupitia WhatsApp http://wa.me/+255712657055 ama tuma ujumbe mfupi au piga namba +255712657055

Hello ..Huu ndio muda wa changamoto hasa kipindi cha baridi na mvua kupata kwa ngiri (hernia) kwa rika na jinsia zote.Ch...
10/11/2023

Hello ..

Huu ndio muda wa changamoto hasa kipindi cha baridi na mvua kupata kwa ngiri (hernia) kwa rika na jinsia zote.

Changamoto hii huwafanya wengi kukosa raha, amani na hata kuwa wachovu sana sababu ya maumivu makali wanayopitia muda wote.

Kuna wanoshindwa kabisa kusimama, kukaa, kutembea, kulala na hata kushiriki shughuli tofauti za kijamii.

Usipoteze muda mwingi kuwaza juu ya tiba kuhusu ugonjwa huu, tiba ipo isiyo na madhara kabisa tena yenye matokeo na kuponya bila madhara.

Amua kuwasiliana nami kwa WhatsApp https://wa.me/+255712657055

Ama tuma ujumbe mfupi au piga kawaida kabisa kw namba +255712657055 mida wote.

Karibuni sana tuwahudumie.

Mifupa mifupa mifupa ..Ni changamoto inayowatesa watu wengi sana na kwa karne hii haiendani na umri kabisa wala jinsia.Z...
06/10/2023

Mifupa mifupa mifupa ..
Ni changamoto inayowatesa watu wengi sana na kwa karne hii haiendani na umri kabisa wala jinsia.

Zamani kidogo watu wenye umri mkubwa kidogo ndio ilikuwa changamoto yao kubwa Ila kwa sasa rika zote na jinsia zote imekuwa tatizo kubwa.

Sababu ni nyingi sana huenda ulipata ajali, kuumwa muda mrefu pia huchangia, mazoezi, uzito mkubwa, kubeba vitu vizito, aina ya kazi uzofanyazo ama yaweza kuwa sababu nyingineyo tofauti.

Umeshatafuta tiba mida mrefu bila mafanikio ya kupona na huenda umeshakata tamaa kabisa juu ya utatuzi wa changamoto hii .. tiba ipo tena isiyo na madhara kiasili kabisa.

Wasiliana nami bila kusita kutatua hili kwa WhatsApp https://wa.me/+255712657055 ama tuma ujumbe kawaida au nipigie kupitia namba +255712657055

Wanawake wanawake ..... Changamoto za UTI / PID sugu zinatibika bila madhara yoyote tena kwa njia ya KIASILI kabisa. Hiz...
30/09/2023

Wanawake wanawake .....
Changamoto za UTI / PID sugu zinatibika bila madhara yoyote tena kwa njia ya KIASILI kabisa.

Hizi ni shuhuda za watu walivaa taulo za k**e kwa muda wa miaka miwili mfululizo kwa sababu hiyo na kuwapelekea kutokuwa na furaha, kutojiamini na kujitenga kabisa na jamii.

Harufu, miwasho, maji maji, kujikuna muda wote na kutokwa na vitu mfano wa mafuta mazito ama lotion vyote viliambatana.

Madhara ni makubwa sana hasa katika afyabya uzazi wa mwanamke na hupelekea hta kuchelewa kushika ujauzito na kansa ya kizazi.

Hujachelewa amua sasa kutibia na kutokomeza changamoto hii kwa WhatsApp https://wa.me/+255712657055
Ama wasiliana nami kwa ujumbe mfupi ama piga namba +255712657055

Karibu sana tibu sasa ibaki historia.

Presha, presha, presha, presha ..Tumetahadharishwa juu ya afya zetu kupitia utumiaji mkubwa wa chumvi, sukari na mafuta ...
22/09/2023

Presha, presha, presha, presha ..

Tumetahadharishwa juu ya afya zetu kupitia utumiaji mkubwa wa chumvi, sukari na mafuta ili kujiepusha ama kuikimbia kabisa changamoto hii.

Hakika hili linawezeka tuamue kubadilika na kubadili milo yetu kwa ajili ya kubaki ktk hali ya kuwa na afya njema, inayovutia na isiyo na magonjwa.

Chukua hatua Sasa juu ya hili, jielimisheni bila kuwasahau watu wako wa karibu na wa mbali.

Kwa changamoto hii kutibia bila madhara kwa njia ya asili kabisa inawezekana, wasiliana nami WhatsApp https://wa.me/+255712657055 au kw ujumbe mfupi ama piga +255712657055

Address

Kigamboni
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ni uwekezaji posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya ni uwekezaji:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram