
27/06/2024
BAWASIRI INATIBIKA BILA YA UPASUAJI
Huu ni ugonjwa wa kinyama aidha kuwa ndani ama nje ya njia ya haja kubwa sababu ya kupata haja ngumu na kusababisha njia hiyo kutengeneza hivyo vinyama .. wengi wanateseka juu ya hili.
Husababishwa na ulaji mbovu, kutokunywa maji kwa wingi, kutokula matunda, mbogamboga, nafaka nzima nzima na vyakula vya nyuzi nyuzi.
Matibabu yapo bila ya upasuaji na kumaliza changamoto kabisa.
Karibu nikuhudumie wasiliana nami kupitia https://wa.me/+255712657055