Afya ni uwekezaji

Afya ni uwekezaji Utatuzi wa changamoto za afya.

BAWASIRI INATIBIKA BILA YA UPASUAJI Huu ni ugonjwa wa kinyama aidha kuwa ndani ama nje ya njia ya haja kubwa sababu ya k...
27/06/2024

BAWASIRI INATIBIKA BILA YA UPASUAJI

Huu ni ugonjwa wa kinyama aidha kuwa ndani ama nje ya njia ya haja kubwa sababu ya kupata haja ngumu na kusababisha njia hiyo kutengeneza hivyo vinyama .. wengi wanateseka juu ya hili.

Husababishwa na ulaji mbovu, kutokunywa maji kwa wingi, kutokula matunda, mbogamboga, nafaka nzima nzima na vyakula vya nyuzi nyuzi.

Matibabu yapo bila ya upasuaji na kumaliza changamoto kabisa.

Karibu nikuhudumie wasiliana nami kupitia https://wa.me/+255712657055

Natibia changamoto za afya tofauti tofauti kuanzia watoto hdi watu wazima na zina matokeo sn namshukuru Mungu 🤲🏽✍🏾 Uzazi...
14/05/2024

Natibia changamoto za afya tofauti tofauti kuanzia watoto hdi watu wazima na zina matokeo sn namshukuru Mungu 🤲🏽

✍🏾 Uzazi jinsia zote
✍🏾 Kukosa hamu ya kula
✍🏾 Allergies
✍🏾 Mfumo wa mkojo na tezi dume bila upasuaji.

✍🏾Mifupa (mgongo, magoti, kukosa ute ute, uric acid)
✍🏾 Mfumo wa chakula (mmeng'enyo, kukosa haja kubwa, kupata haja kidg na ngumu, gesi nyingi, madonda ya tumbo na bawasiri - kinyama kwny njia ya haja kubwa)

✍🏾 Mfumo wa damu (kisukari, presha, kiharusi - stroke na kukosa kumbukumbu)
✍🏾 Ngozi (matumizi ya cream, kuumwa muda mrefu kuchakaa, kukimbiza uzee (wrinkles- makunyanzi), athari za miale ya jua)

✍🏽 Kutoa sumu mwilini
✍🏾 Shida za ukeni (miwasho, harufu, UTI na PID)
✍🏾 Afya ya kinywa (harufu, maumivu ya fizi na meno kw ujumla)

✍🏾 Changamoto za maradhi makubwa yasiyoambukiza (kansa, Figo, ini, vidonda ndugu km vile visivyopona kw haraka)

https://wa.me/+255712657055
Karibuni inbox ✨

Hakika hii ni halisi bila kukwepesha na tiba ipo bila upasuaji wala madhara 👇👇Ewe mwanaume chukua tahadhari bila kukwepe...
09/04/2024

Hakika hii ni halisi bila kukwepesha na tiba ipo bila upasuaji wala madhara 👇👇

Ewe mwanaume chukua tahadhari bila kukwepesha juu ya kukabiliana na changamoto ya tezi dume na siku hizi haiangalii suala la umri huwapata wanaume wa rika kuanzia kati kuelekea uzeeni tofauti na miaka ya nyuma ilikw nadra na kwa wazee pekee.

Kuna waliowahi kufanyiwa upasuaji na ikarudi mara kadhaa na wengine wamethibutu kusafiri Hadi nje ya nje na bado imerudi.

Wasiliana nami https://wa.me/+255712657055
Ama piga kawaida au ujumbe mfupi kwenda namba +255 712657055

Karibu sana ✨✨

29/02/2024

TATIZO LA UZAZI KWA WANAUME
NA SULUHISHO LAKE
Wanaume wengi wanakumbana na changamoto zifuatazo katika uzazi
1️⃣Mbegu chache (s***m count).
2️⃣Tatizo la semen, ni majimaji yanayozunguka mbegu za kiume ambayo kazi yake ni kuzuia mbegu za kiume zisiungue zinapoingia katika mji wa mimba.
3️⃣Kutoa mbegu chache ambazo hazina mkia.
4️⃣Kutokuwa na hamu ya tendo.
5️⃣Kutokuwa na nguvu ya kufanya tendo.
6️⃣Kuwa na mbegu zisizo na sifa.
7️⃣Kutoweza kurudia tendo.
8️⃣Kuwahi / kuchelewa kumaliza tendo

Wasiliana nasi kwa ujumbe mfupi (sms), WhatsApp ama tupigie +255712657055

https://wa.me/+255712657055

Hakika magonjwa ni gharama .. usikimbilie kulalamika Bei za dawa ndugu mgonjwa 📌
06/02/2024

Hakika magonjwa ni gharama .. usikimbilie kulalamika Bei za dawa ndugu mgonjwa 📌

KISUKARI KISUKARI 🔥🔥Zamani kidogo tuliaminishwa na kuambiwa ni ugonjwa wa watu wazima pia matajiri na watu wenye uwezo m...
06/01/2024

KISUKARI KISUKARI 🔥🔥

Zamani kidogo tuliaminishwa na kuambiwa ni ugonjwa wa watu wazima pia matajiri na watu wenye uwezo mkubwa kiuchumi sababu ya mfumo wa maisha yao (life style) na unarithishwa kifamilia (historia ya familia).

Hakika zama zimebadilika sana, ugonjwa huu hauchagui umri, uchumi wala aina ya maisha ya mgonjwa yaani yeyote anaweza upata tena hata kwenye familia yake hakuna aliyewahi umwa kisukari.

Tiba ipo na inatatua kabisa ugonjwa wa Kisukari hata uwe tayari umefikia hatua ya kutumia sindano, utapona kabisa bila madhara na itabaki historia.

Amua kutibia Kisukari kupitia bidhaa za tiba lishe na zenye matokeo mazuri mfano wa shuhuda hapo juu na kuokoa wengine wanaopitia changamoto hii.

Wasiliana nami kupitia WhatsApp http://wa.me/+255712657055 ama tuma ujumbe mfupi au piga namba +255712657055

Address

Kigamboni
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ni uwekezaji posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya ni uwekezaji:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram