Yusra Health care

Yusra Health care AFYA KWA WANAUME
TIBA YAUVIMBE WA TEZI DUME BILA UPASUAJI, NGUVU ZA KIUME, UZAZI
+255712549157.

03/06/2024

Watch, follow, and discover more trending content.

Njoo ujifunze namna ya kuanza biashara kwa mtaji mdogo pia utajifunza kuhusu afya yako bure 0712 549 157
17/05/2024

Njoo ujifunze namna ya kuanza biashara kwa mtaji mdogo pia utajifunza kuhusu afya yako bure
0712 549 157

13/04/2023

SABABU ZINAZOPELEKEA KUPATA TATIZO LA BUSHA 0712549157

06/04/2023
Tezi Dume inatibika bila upasuaji wahi kabla ya tatizo kuwa kubwaCall/ WhatsApp 0712549157    Saratani ya tezi dume ni n...
19/03/2023

Tezi Dume inatibika bila upasuaji wahi kabla ya tatizo kuwa kubwa
Call/ WhatsApp 0712549157

Saratani ya tezi dume ni nini?

Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini

Visababishi hatarishi kwa saratani ya Tezi dume

Umri Mkubwa kuanzia miaka 40

Nasaba (ukoo wenye historia ya saratani hii

Lishe hatarishi-nyama nyekundu kwa wingi, mafuta/samli,maziwa ya krimu

Unene uliokithiri

Ukosefu wa mazoezi

Upungufu wa virutubisho,mfano vit D.

Maambukizi ya mara kwa mara kwenye tezi dume

Dalili zake ni zipi?

✓]!Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.
Kwenda kukojoa mara kwa mara.
✓Damu ndani ya mkojo.
✓Kushindwa kukojoa.
✓Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.
✓Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.
✓Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.
✓Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika.

UCHUNGUZI
Wanaume wote wanapaswa kufanya uchunguzi wa saratani ya tezi dume kuanzia miaka 45. Kwa wale wenye historia katika familia wanapaswa kuanza wakiwa na umri wa miaka 40..

Tezi Dume inatibika bila upasuaji wahi kabla ya tatizo kuwa kubwa
Call/ WhatsApp 0712549157.

13/03/2023

KINGA NA TIBA YA TEZI DUME
(+255712549157)
TEZIDUME ni tezi inayopatikana kwa mwanaume tu..ipo kuzunguka njia ya mkojo karibu na kibofu cha mkojo.
kazi ya tezi dume ni kutengeneza majimaji ya shahawa,na kurutubisha mbegu za kiume yaani kuzipa chakula..
Mtu anapofikisha miaka arobaini na kuendelea hiyo tezi huanza KUVIMBA ikiibana njia ya mkojo.

Hivyo na kupelekea mtu kukojoa na mkojo kutokuisha kwenye kibofu.

Hapo MTU huanza kupata dalili zifuatazo.

1.kukojoa Mara kwa Mara Hasa nyakati za usiku.Mara Tatu au Zaidi
2.unapobanwa kukojoa huwezi kusubiri unatamani kukojoa papo hapo.
3.ukikojoa mkojo hauruki mbele unatoka kwa kasi ndogo na sio k**a zamani
4.unatumia muda mrefu k**aliza mchakato wa kukojoa.
5.unapata ugumu kuanza mchakato wa kusukuma mkojo pindi unapokwenda haja ndogo
6.baada ya kumaliza kukojoa unajisikia tena hamu ya kukojoa tena unajihisi mkojo bado Upo Kwenye kibofu.
7..unapomaliza kukojoa mkojo unatoka kisirisiri na kolowanisha nguo ya Ndani unajishangaa umelowana..
8.kupata upungufu wa nguvu za kiume.

UKIONA UNA HIZO DALILI BASI UJUE TEZI YAKO IMEANZA KUVIMBA TAYARI..Yaani unatatizo LA uvimbe wa tezi dume..
Mara nyingi suluhisho imekua upasuaji lakini upasuaji ukifeli watu wanakosa nguvu za kiume na kupoteza uwezo wao wa kushiriki Tendo la ndoa kabisa.
Sasa KUNA SULUHUSHO..
Dawa ya asili inayokinga na kutibu tezi dume bila upasuaji.
Na kumkinga mtu dhidi ya SARATANI(CANCER) ya TEZI DUME. Imewasaidia wengi sana..haina kemikali, imetengenezwa kwa mtishamba unaoitwa prostaep(flavnoids na polypeptide) itakusaidia.imethibitishwa na Tfda,cGMP,na Halal,unaweza tumia kujitibu au kujikinga (+255712549157).

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255712549157

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Yusra Health care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram