Afya Herbs

Afya Herbs Karibu kwenye ukurasa huu kupata suluhisho la matatizo ya uzazi kwa wanawake na wanaume

Ulikua Unafahamu? K**a Unaweza Kutibu Changamoto Za Kiafya Zaidi Ya 20 Kwa Kutumia Dawa Ya Meno Tu?Dawa Hii Ya Meno Imet...
28/03/2023

Ulikua Unafahamu? K**a Unaweza Kutibu Changamoto Za Kiafya Zaidi Ya 20 Kwa Kutumia Dawa Ya Meno Tu?

Dawa Hii Ya Meno Imetengenezwa Kwa Aloe, Propolis (Inayotokana Na Nyuki Wadogo) Na Calcium Na Hivyo Kuwa Msaada Namba Moja Kutibu Changamoto Zote Za Meno Na Kinywa K**a;

Maumivu Makali Ya Meno, Meno Kulegea, Fidhi Kutoa Damu, Changamoto Ya Fangasi Kwenye Ulimi, Vidonda Mdomoni Na Kwenye Koo, Midomo Kupasuka Na Kuwa Mikavu Sana Na Changamoto Ya Majipu Yenye Maumivu Kinywani.

Ona Faida Nyingi Zaidi Za Dawa Hii Ya Meno Pamoja Na Changamoto Zaidi Ya 20 (Mafua Makali Yasiokoma, Bawasiri, Fangasi, Kuwashwa Sehemu Za Siri, Vipele, Chunusi N.k) Zinazotatulika Kirahisi Sana Kwa Kutumia Dawa Ya Meno Tu Kwa Kubonyeza Link Hii Ya Bluu >>>>>>>> https://bit.ly/3l4qHay

Dr Mshamu Mshamu
0744660345
0688438710

K**a una changamoto ya Fangasi sugu, U.T.I ya kujirudia mara kwa mara na unatoka uchafu wenye harufu mbaya ukeni, soma h...
15/03/2023

K**a una changamoto ya Fangasi sugu, U.T.I ya kujirudia mara kwa mara na unatoka uchafu wenye harufu mbaya ukeni, soma hapa >>>>>>>>> http://bit.ly/3ZZJwu1

Ujue nini cha kufanya kuondokana na changamoto hizo. Point namba 14 & 16 zitakushangaza.

Dr Mshamu Mshamu
0744660345
Whatsapp πŸ‘‰ https://wa.me/message/XXTCEC4BHBYJA1

TAFADHALI Usisome Ujumbe Huu.......K**a... Unaridhika Kuwa Kwenye Maumivu Na Hauko Tayari Kutoka Kwenye Maumivu.......Ya...
06/03/2023

TAFADHALI Usisome Ujumbe Huu.......

K**a...

Unaridhika Kuwa Kwenye Maumivu Na Hauko Tayari Kutoka Kwenye Maumivu.......

Yatokanayo Na Changamoto Za Magonjwa.......

Ya...

Fangasi, U.T.I Sugu, Miwasho Ukeni Na Changamoto Ya Kutoka Uchafu Wenye Harufu Mbaya Unaotoka Ukeni.......

Nakuhakikishia Hivi...

Utakayoyafahamu Hapa Yawezekana Hukuwahi Kufikiria K**a Unaweza Kuyafahamu Kirahisi Tu.......

Kwani...

Hayafundishwi Na Madaktari Wengi.......

Mimi Dr Mshamu Nakusaidia Kuondokana Na Changamoto Hizo.......

Kwani...

Nimekuandalia Kitabu Cha BURE Kilichopo Kwenye Mfumo Wa PDF Nasisitiza tena.......

Kwamba...

Kitabu hiki ni BURE KABISA!

Ndani Ya Kitabu Utajifunza Kwa Undani Kuhusu Tatizo Sugu La U.T.I, Fangasi, Miwasho, Pamoja Na Uchafu Wenye Harufu Mbaya Unaotoka Ukeni.......

Zaidi Sana Utajifunza Haya Hapa Kwenye Kitabu Hicho.......

1. Vyanzo Na Jinsi Ya Kujikinga Na Magonjwa Ya U.T.I Sugu Inayojirudia Rudia, Fangasi, Miwasho Ukeni Na Uchafu Wenye Harufu Mbaya Unaotoka Ukeni (Ukurasa Wa 6, 7 & 8 Wa Kitabu).......

2. Aina Tofauti Za Uchafu Unaotoka Ukeni Na Maana Zake Kiafya (Ukurasa Wa 10 Na 11 Wa Kitabu).......

3. Aina Tofauti Za Uke Wa Mwanamke Na Jinsi Zinavyoweza Kuwa Chanzo Cha Baadhi Ya Magonjwa Yanayosumbua Wanawake Wengi. (Ukurasa Wa 16 & 17 Wa Kitabu).......

4. Mambo Ambayo Mwanamke Hatakiwi Kuyafanya Ukeni Kwani Yanaweza Kuwa Chanzo Cha Magonjwa Sugu Yatakayomsumbua Kwa Muda Mrefu Sana (Ukurasa Wa 20 Wa Kitabu).......

5. Jinsi Ya Kujipa Huduma Ya Kwanza Mwenyewe Ukiwa Nyumbani Kwa Matatizo Sugu (Fangasi, U.T.I, Muwasho Ukeni Na Uchafu Wenye Harufu Mbaya) Yanayosumbua Wanawake Wengi Sana (Ukurasa Wa 24 & 25 Wa Kitabu).......

Kupata Copy Ya Kitabu Chako Cha BURE Kilicho Kwenye Mfumo Wa PDF Nitumie SMS Whatsapp Yenye Neno "KITABU" Hapa >>>>>>> https://bit.ly/3kNz0Y7

Yawezekana umeomba sana hujajibiwa na hamu yako ya kupata mtoto imekua kubwa mno, lakini usikate tamaa mshukuru Mungu na...
03/03/2023

Yawezekana umeomba sana hujajibiwa na hamu yako ya kupata mtoto imekua kubwa mno, lakini usikate tamaa mshukuru Mungu na amini mwaka huu ni mwaka wako wa kunyonyesha πŸ€±πŸ‘©β€πŸΌ

K**a bado una changamoto yoyote ya uzazi wasiliana na mimi sasahivi nina suluhisho kwa ajili yako.

Dr Mshamu Mshamu
0744660345
Whatsapp 0744 660 345

  Mwanaume anao uwezo wa kukaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi, jambo ambalo ni ngumu kwa mwanamke.Mwanamke akiishi zai...
26/02/2023

Mwanaume anao uwezo wa kukaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi, jambo ambalo ni ngumu kwa mwanamke.

Mwanamke akiishi zaidi ya miezi mwili, ataanza kuongea mambo yasiyo eleweka (Pumba) na kucheka cheka mara kwa mara.

Aidha upo uwezekano mkubwa wa kupata madhara ya kiakili.

HILI NALO MNAPINGA? 😁

K**a una changamoto yoyote kwenye afya yako ya uzazi, kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi, kutokwa uchafu ukeni, fangasi na miwasho wasiliana na mimi sasahivi nina suluhisho kwa ajili yako.

Dr Mshamu Mshamu
0744660345
Whatsapp +255 744 660 345

K**A HUPATI UJAUZITO JIULIZE MASWALI YAFUATAYO:πŸ‘‰Je, mzunguko wa siku zako upo vizuri?πŸ‘‰je, unapata maumivu makali sana ya...
25/02/2023

K**A HUPATI UJAUZITO JIULIZE MASWALI YAFUATAYO:

πŸ‘‰Je, mzunguko wa siku zako upo vizuri?

πŸ‘‰je, unapata maumivu makali sana ya tumbo wakati wa hedhi?

πŸ‘‰Je, una uvimbe kwenye kizazi?

πŸ‘‰Je, unapata maumivu ya tumbo chini ya kitovu upande wa kulia na kushoto?

πŸ‘‰Je, unatokwa na uchafu wa aina yeyote ile ukeni?

πŸ‘‰Je, unapata siku zako vile inavyotakiwa? Yaani mzunguko wa siku zako upo sawa?

πŸ‘‰Je, unapata maumivu wakati wa tendo la ndoa?

πŸ‘‰Je, unapata ukavu wakati wa tendo la ndoa?

πŸ‘‰Je unakosa hisia za tendo la ndoa?

πŸ‘‰Je, huwa unapata ute wa uzazi siku za hatari (ovulation days)?

πŸ‘‰Je, ulishawahi kutoa ujauzito?

πŸ‘‰Je, umeshawahi kuugua P.I.D (mashambulizi ya bakteria kwenye kizazi)?

k**a jibu ni ndio kwa sababu mojawapo tajwa hapo juu basi hiyo ndiyo Sababu inayokuzuia kupata ujauzito.

Je wewe unatatizo gani linakusumbua? Niambie sasahivi!

Dr Mshamu Mshamu
0744660345
Whatsapp +255 744 660 345
https://wa.me/message/XXTCEC4BHBYJA1

SABABU ZA KUWEPO KWA HARUFU MBAYA UKENI1. Sababu ya kwanza ni uharibifu wa ph kwenye uke unaosababishwa na vitu mbalimba...
18/02/2023

SABABU ZA KUWEPO KWA HARUFU MBAYA UKENI

1. Sababu ya kwanza ni uharibifu wa ph kwenye uke unaosababishwa na vitu mbalimbali k**a vile kutumia sabuni za harufu nzuri ambazo zina chemikali kubwa na kusababisha ph kuharibiwa hali inayosababisha kuendelea kukua na kuongezeka kwa bakteria na virusi na kusababisha uke kutoa harufu mbaya kwa sababu ya walinzi wa uke ambao ni bakteria wazuri wameharibiwa na sabuni na kemikali

2. Kukosekana kwa hewa safi ya oksijeni kwenye uke.

Kuna wakati mwingine oxgeni inakosa sana kwa sababu uke unabanwa na nguo zilizobana na kwa wakati mwingine wakati wa usiku tunalala na nguvu nyingi hatimaye kulala tukiwa tumevaa chupi na kuzuia hewa kuingia kwenye uke hali inayosababisha uke kutoa harufu mbaya.

3. Magonjwa ya zinaa.

Vile vile naagonjwa ya zinaa usababisha kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke, kwa sababu ya hali ya maambukizi bwana,na pia inaseenekave

Kwamba magonjwa ya zinaa ndicho chanzo kikubwa cha kupata harufu mbaya ukeni.

4. Upungufu wa kinga mwilini.

Kwa kawaida mgonjwa mwenye kinga kidogo ya mwili usababisha kila nyemelezi, yaani ugonjwa huu unaweza kumshambulia kwa hiyo ni vizuri kabisa kumpa nafasi ya kupumzika.

K**a una changamoto yoyote kwenye mfumo mzima wa uzazi wasiliana na mimi sasahivi nina suluhisho kwa ajili yako

Dr Mshamu Mshamu
Whatsapp 0744 660 345
Call/sms 0688438710/0744660345

PELVIC INFLAMATORY DISEASES (P.I.D)✍️ Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa kitaalamu Pelvic Inflamatory Dise...
12/02/2023

PELVIC INFLAMATORY DISEASES (P.I.D)

✍️ Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa kitaalamu Pelvic Inflamatory Diseases au kwa kifupi PID, ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake. Kwa kawaida maambukizi haya huusisha shingo ya uzazi (cervix), nyama ya mfuko wa uzazi (endometrium), na mirija ya uzazi (fallopian tubes) hali ijulikanayo kitabibu k**a salpingitis.

PID husababishwa na nini?

Pamoja na aina kadhaa za vimelea kuhusishwa na PID, vimelea vya jamii ya Neisseria Gonorrhoeae pamoja na Chlamydia trachomatis ndivyo vinavyoongoza kwa umaarufu zaidi katika kusababisha PID kwa akina mama.

Je mwanamke huambukizwaje PID?

Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na

πŸ‘‰ Kufanya ngono isiyo salama
πŸ‘‰ Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period)
πŸ‘‰ Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage)
πŸ‘‰ Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango, na
πŸ‘‰ Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID.

Dalili za PID ni zipi?

Zipo dalili kadhaa za ugonjwa huu wa PID. Miongoni mwa dalili hizi ni

πŸ“Œ Mwanamke kuhisi maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu
πŸ“Œ Kupata maumivu ya mgongo
πŸ“Œ Mwanamke kupata utoko mchafu sehemu za siri. Utoko huu huambatana na harufu mbaya.
πŸ“Œ Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
πŸ“Œ Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
πŸ“Œ Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi
πŸ“Œ Kupata homa
πŸ“Œ Wakati fulani kuhisi kichefuchefu na pia kutapika

Jinsi ya kuzuia maambukizi katika mfumo wa uzazi

Kuna njia kadhaa za kuzuia maambukizi katika mfumo wa uzazi. Njia hizi ni pamoja na

πŸ‘‰ Kufanya ngono salama kwa kutumia kondomu au k**a ikiwezekana kujizuia kabisa kufanya ngono.
πŸ‘‰ Kuwahi kuwaona wataalamu wa afya mara dalili za ugonjwa huu zinapoanza kujitokeza au pindi tu unapogundua kuwa mwenzi wako ana dalili za magonjwa ya zinaa
πŸ‘‰ Kufanya vipimo mara kwa mara hasa vya mfumo wa uzazi, pamoja na vipimo vya maambukizi ya magonjwa yanayosambazwa kwa njia ya ngono (STI).
πŸ‘‰ Kutofanya ngono mara baada ya kujifungua, mimba kutoka au mara baada ya kutoa mimba ili kuhakikisha njia ya shingo ya uzazi imefunga vema.

K**a bado umekata tamaa kwa tatizo la uzazi ulilonalo unakosea sana! Wasiliana nami sasahivi

Dr. Mshamu Mshamu
0688438710

πŸ‘‰ http://bit.ly/3K2cAMY

KUVURUGIKA KWA MPANGILIO WA HOMONI ZA K**E (HORMONE IMBALANCE)✍ Kuvurugika kwa homoni za k**e (hormone imbalance) ni kua...
07/02/2023

KUVURUGIKA KWA MPANGILIO WA HOMONI ZA K**E (HORMONE IMBALANCE)

✍ Kuvurugika kwa homoni za k**e (hormone imbalance) ni kuathirika kwa uzalishaji na ufanyaji kazi wa vichocheo ama homoni. Msongo wa mawazo, umri kwenda, mitindo ya maisha na baadhi ya sababu za kimazingira zinaongoza kwa kuvuruga mpangilio wa homoni kwa kiasi kikubwa.

✍ Mpangilio mbovu wa homoni kwa mwanamke husababisha kiwango cha homoni ya estrogen kuwa juu hali inayosababishwa na insulin kuisisimua o***y ifanye kazi kwa kiwango kikubwa, madhara yake ukuta wa uzazi unaweza kuwa mkubwa na kusababisha kansa ya kizazi pamoja na hedhi nzito kupita kiasi

✍ Vyanzo vya tatizo hujumuisha utoaji wa mimba, uwepo wa sumu mwilini, mfumo mbovu wa maisha na uzito mkubwa, kukoma kwa hedhi na matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango

VIASHIRIA VYA TATIZO LA HORMONE IMBALANCE
βœ‹ Hedhi kuvurugika kabisa. Mwanamke anaweza kupata hedhi hata mara mbili kwa mwezi au asipate kabisa miezi sita hata mwaka.

βœ‹ Kuwa na kitambi cha tumbo la chini

βœ‹ Kukosa mtoto kwa muda mrefu na kukosa hamu ya tendo la ndoa

βœ‹ Maumivu makali wakati wa hedhi na kuwa na hedhi ya muda mrefu sana

βœ‹ Kukosa usingizi na kuwa na uzito mkubwa sana au mdogo sana usioelezeka

βœ‹ Kuwa na mapigo ya moyo yasio ya kawaida na kuchoka sana mwili

MADHARA YA KUVURUGIKA KWA MPANGILIO WA HOMONI
βœ‹ Kukosa ujauzito kabisa

βœ‹ Ni rahisi kupata saratani pamoja na mirija ya uzazi kuziba

βœ‹ Mimba kuharibika mara kwa mara

βœ‹ Kupata uvimbe kwenye kizazi

MUHIMU
β›” Usitumie dawa yoyote kuweka homoni zako sawa kabla hujafanya vipimo kujua chanzo cha tatizo.
✊ Wakati unapata matibabu ya kubalance homoni pendelea kula mayai, maparachichi, almond, apple, samaki na mbogamboga kwa wingi.
✊ Punguza stress na uzito mwilini, jichanganye na wengine na pata usingizi wa kutosha.
✊ Fanya vipimo vya mara kwa mara unapohisi dalili zozote zisizo za kawaida mwilini.

Changamoto ipi ya uzazi unapitia? Umezunguka sana na hujapata majibu? Wasiliana na mimi sasahivi tuzungumze uzazi

0688438710
0744 660 345

K**A HUPATI UJAUZITO JIULIZE MASWALI YAFUATAYO:πŸ‘‰Je, mzunguko wa siku zako upo vizuri?πŸ‘‰je, unapata maumivu makali sana ya...
02/02/2023

K**A HUPATI UJAUZITO JIULIZE MASWALI YAFUATAYO:

πŸ‘‰Je, mzunguko wa siku zako upo vizuri?

πŸ‘‰je, unapata maumivu makali sana ya tumbo wakati wa hedhi?

πŸ‘‰Je, una uvimbe kwenye kizazi?

πŸ‘‰Je, unapata maumivu ya tumbo chini ya kitovu upande wa kulia na kushoto?

πŸ‘‰Je, unatokwa na uchafu wa aina yeyote ile ukeni?

πŸ‘‰Je, unapata siku zako vile inavyotakiwa? Yaani mzunguko wa siku zako upo sawa?

πŸ‘‰Je, unapata maumivu wakati wa tendo la ndoa?

πŸ‘‰Je, unapata ukavu wakati wa tendo la ndoa?

πŸ‘‰Je unakosa hisia za tendo la ndoa?

πŸ‘‰Je, huwa unapata ute wa uzazi siku za hatari (ovulation days)?

πŸ‘‰Je, ulishawahi kutoa ujauzito?

πŸ‘‰Je, umeshawahi kuugua P.I.D (mashambulizi ya bakteria kwenye kizazi)?

k**a jibu ni ndio kwa sababu mojawapo tajwa hapo juu basi hiyo ndiyo Sababu inayokuzuia kupata ujauzito.

Je wewe unatatizo gani linakusumbua? Niambie sasahivi!

Dr Mshamu Mshamu
+255688438710
+255744660345
https://wa.me/message/XXTCEC4BHBYJA1

FAHAMU TATIZO LA MIMBA KUHARIBIKA✍ Miscarriage (Mimba kuharibika) ni kupoteza ujauzito kabla ya wiki ya 20 ya ujauzito. ...
31/01/2023

FAHAMU TATIZO LA MIMBA KUHARIBIKA

✍ Miscarriage (Mimba kuharibika) ni kupoteza ujauzito kabla ya wiki ya 20 ya ujauzito. Karibu asilimia 10 mpaka 20 ya wajawazito hupitia changamoto hii, japo idadi inaweza kuwa kubwa zaidi kwani kuna mimba huaribika mapema sana kabla ya mtu kujifahamu ni mjamzito.

✍ Mimba inapoharibika huonyesha kwamba kuna tatizo kwenye mji wa mimba na mara nyingi husababishwa na kiumbe kushindwa kukua na kujishikilia vizuri k**a inavyotarajiwa. Mimba nyingi zinazoharibika huwa ni kabla ya wiki ya 12. Elewa vizuri visababishi, vyanzo na jinsi ya kuepukana na tatizo hapa chini.

VIASHIRIA VYA MIMBA KUHARIBIKA
🀰 Kutokwa na damu ukeni wakati wa ujauzito. Si mara zote damu ikitoka ni mimba imetoka lakini mara nyingi mjamzito chini ya wiki 20 anapotoka damu ukeni huwa ni mimba imeharibika.

🀰 Maumivu makali ya kiuno na mgongo wakati wa ujauzito hasa kabla ya wiki ya 20 yasiyokoma kwa muda mrefu.

🀰 Kutokwa na ute mchafu usioeleweka wakati wa ujauzito (mimba inapokua changa) mara nyingi huwa ni sababu ya mimba kuharibika.

VISABABISHI VYA MIMBA KUHARIBIKA
🀰 Umri. Wanawake wenye miaka zaidi ya 35 wapo kwenye hatari kubwa ya mimba kutoka kuliko wenye miaka chini ya hapo

🀰 Historia ya mimba kuharibika. K**a mjamzito aliharibikiwa na mimba mara mbili nyuma ni rahisi kwa mimba ya tatu kuharibika pia

🀰 Uzito uliopitiliza pia unaweza kuleta athari kwa mimba kuharibika

🀰 Maambukizi kwenye mji wa mimba, kwenye via vya uzazi (P.I.D) pamoja na mimba kutungwa nje ya kizazi huweza kusababisha mimba kuharibika

🀰 Matumizi ya vilevi, sigara na madawa ya kulevya wakati wa ujauzito

JINSI YA KUJIKINGA NA MIMBA KUHARIBIKA
✍ K**a sababu ni magonjwa lazima kutibu magonjwa ili kujikinga na mimba kuharibika, hakuna kingine unaweza kufanya kuzuia mimba isiharibike zaidi ya;
1. Kujizuia na uraibu wa matumizi ya vilevi, sigara na madawa ya kulevya
2. Kupata matibabu haraka unapohisi dalili zisizo za kawaida wakati wa ujauzito
3. Kupata vyakula vyenye vitamin kwa wingi wakati wa ujauzito
4. Usitumie kahawa wakati wa ujauzito

MUHIMU
✊ Mimba haiwezi kutoka kwa kufanya mazoezi rahisi k**a kutembea ama jogging na kushiriki tendo la ndoa
✊ K**a unatoka damu wakati wa ujauzito onana na daktari haraka
✊ Ukitoka uchafu usioeleweka ukeni usiuchukulie kawaida onana na daktari haraka
✊ Usijitibie mwenyewe kwa changamoto yoyote unayoipata wakati wa ujauzito ni hatari kwa afya ya mama na mtoto

Una tatizo la mimba kuharibika mara kwa mara? Umehangaika na changamoto hiyo hujapata muafaka? K**a umekata tamaa kuhusu kupata mtoto unakosea sana! Wasiliana nami sasa hivi

Dr Mshamu Mshamu
0688438710
Whatsapp
https://wa.me/message/XXTCEC4BHBYJA1

PELVIC INFLAMATORY DISEASES (P.I.D)✍️ Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa kitaalamu Pelvic Inflamatory Dise...
28/01/2023

PELVIC INFLAMATORY DISEASES (P.I.D)

✍️ Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa kitaalamu Pelvic Inflamatory Diseases au kwa kifupi PID, ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake. Kwa kawaida maambukizi haya huusisha shingo ya uzazi (cervix), nyama ya mfuko wa uzazi (endometrium), na mirija ya uzazi (fallopian tubes) hali ijulikanayo kitabibu k**a salpingitis.

PID husababishwa na nini?

Pamoja na aina kadhaa za vimelea kuhusishwa na PID, vimelea vya jamii ya Neisseria Gonorrhoeae pamoja na Chlamydia trachomatis ndivyo vinavyoongoza kwa umaarufu zaidi katika kusababisha PID kwa akina mama.

Je mwanamke huambukizwaje PID?

Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na

πŸ‘‰ Kufanya ngono isiyo salama
πŸ‘‰ Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period)
πŸ‘‰ Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage)
πŸ‘‰ Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango, na
πŸ‘‰ Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID.

Dalili za PID ni zipi?

Zipo dalili kadhaa za ugonjwa huu wa PID. Miongoni mwa dalili hizi ni

πŸ“Œ Mwanamke kuhisi maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu
πŸ“Œ Kupata maumivu ya mgongo
πŸ“Œ Mwanamke kupata utoko mchafu sehemu za siri. Utoko huu huambatana na harufu mbaya.
πŸ“Œ Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
πŸ“Œ Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
πŸ“Œ Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi
πŸ“Œ Kupata homa
πŸ“Œ Wakati fulani kuhisi kichefuchefu na pia kutapika

Jinsi ya kuzuia maambukizi katika mfumo wa uzazi

Kuna njia kadhaa za kuzuia maambukizi katika mfumo wa uzazi. Njia hizi ni pamoja na

πŸ‘‰ Kufanya ngono salama kwa kutumia kondomu au k**a ikiwezekana kujizuia kabisa kufanya ngono.
πŸ‘‰ Kuwahi kuwaona wataalamu wa afya mara dalili za ugonjwa huu zinapoanza kujitokeza au pindi tu unapogundua kuwa mwenzi wako ana dalili za magonjwa ya zinaa
πŸ‘‰ Kufanya vipimo mara kwa mara hasa vya mfumo wa uzazi, pamoja na vipimo vya maambukizi ya magonjwa yanayosambazwa kwa njia ya ngono (STI).
πŸ‘‰ Kutofanya ngono mara baada ya kujifungua, mimba kutoka au mara baada ya kutoa mimba ili kuhakikisha njia ya shingo ya uzazi imefunga vema.

KOSA KUBWA WANAOLIFANYA WENGI LINALOPELEKEA KUTESEKA NA P.I.D KWA MUDA MREFU NI KUTUMIA DAWA BILA KUFANYA VIPIMO SAHIHI VYA UZAZI! NA WENGINE KUTUMIA DAWA BILA KUWA NA UHAKIKA WA TATIZO ALILONALO

K**a bado umekata tamaa kwa tatizo la uzazi ulilonalo unakosea sana! Wasiliana nami sasahivi kwa vipimo sahihi, ushauri nasaha na matibabu sahihi ya tatizo ulilonalo.

Dr. Mshamu Mshamu
0688438710
https://wa.me/message/XXTCEC4BHBYJA1

TATIZO LA KUTOKWA NA UCHAFU UKENI✍ Tatizo la kutokwa na uchafu ukeni mara nyingi huambatana na harufu mbaya, vipele na m...
28/01/2023

TATIZO LA KUTOKWA NA UCHAFU UKENI

✍ Tatizo la kutokwa na uchafu ukeni mara nyingi huambatana na harufu mbaya, vipele na muwasho hali inayopelekea mwanamke kukosa kujiamini

✍ Moja ya madhara ya kutokwa na uchafu ukeni ni kushindwa kushiriki tendo la ndoa ipasavyo. Uchafu unaoambatana na harufu mbaya huwa una rangi tofauti tofauti

1. Uchafu wenye rangi ya damu.
Uchafu wa aina hii huashiria dalili ya kansa ya kizazi na kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi. Mara nyingi kutokwa kwa uchafu wa aina hii huambatana na maumivu ya nyonga.

2. Uchafu mzito wenye rangi nyeupe.
Uchafu mzito wa rangi nyeupe huambatana na harufu mbaya sana, pia mara nyingi huwa ni dalili ya fangasi ukeni na mara kadhaa mwenye tatizo hili anahisi hali ya kuungua wakati wa kutembea.

3. Uchafu wenye rangi ya kijani au njano.
Uchafu wa aina hii huambatana na maumivu wakati wa tendo la ndoa na wakati wa kukojoa na muda mwingine kutokwa damu wakati wa tendo la ndoa. Mara nyingi huwa ni dalili ya P.I.D na maambukizi yatokanayo na ngono zembe. Aina nyingine inayoendana na hii ni uchafu mweupe wenye harufu k**a ya samaki na huambatana na maumivu na muwasho ukeni.

CHANZO CHA KUTOKA NA UCHAFU UKENI
✍ Maambukizi kwenye mlango wa kizazi
✍ Fangasi ukeni
✍ Maambukizi kwenye via vya uzazi (P.I.D)
✍ Maambukizi kwenye mirija ya mkojo (U.T.I)
✍ Kufanya ngono zembe
✍ Kuvurugika kwa mpangilio wa siku za hedhi

JINSI YA KUEPUKANA NA TATIZO LA KUTOKA UCHAFU UKENI
✍ Fanya ngono salama
✍ Fanya vipimo vya afya mara kwa mara uonapo dalili za tofauti ili ujitibu mapema kabla tatizo halijasababisha kutokwa na uchafu ukeni
✍ Usijisafishe ukeni na sabuni zenye kemikali kwani huua bacteria walinzi wa uke na kuruhusu maambukizi ukeni

MUHIMU
✍ Usitumie dawa yoyote kwa tatizo la kutoka na uchafu ukeni kabla ya kufanya vipimo kwanza, kwani tiba zinatofautiana kutokana na chanzo cha tatizo. Hapa ndipo wengi wanaposhindwa kutibu tatizo!
✍ Kuna tofauti kati ya uteute wa siku za hatari na uchafu unaotoka ukeni. Ute wa siku za hatari unavutika na hauna harufu mbaya.

K**a tayari tatizo limetokea wasiliana nami moja kwa moja sasa kwa ushauri, vipimo na matibabu sahihi

Dr. Mshamu Mshamu
0688438710
https://wa.me/message/XXTCEC4BHBYJA1

Address

Majumbasita, Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Herbs posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Herbs:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram