Afya na tiba RDr Abuu

Afya na tiba RDr Abuu Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya na tiba RDr Abuu, Medical and health, Dar es Salaam.

joint solution na Dr Abuu

Nawasaidia kutatua changamoto ya mifupa
Mgongo kuuma ,kiuno ,nyonga ,Uric acid ,Gauti ,ute ute kuisha katika maungio
pingili kusagana ,pamoja na mengineyo mengi

kwa msaada zaidi wasiliana nasi
+255755767635 both whatsap nk

03/10/2025

Uonapo maumivu makali katika Maungo yako chukua hatua mapema
+255755767635

20/09/2025

TIBA YA MAUMIVU YA SCIATICA NA MAGOTI KUSAGANA.

Mshauri: +255 755767635

⚠️ 1. Dalili za Maumivu ya Sciatica (Sciatic Nerve Pain)

Sciatica ni hali inayotokea pale ambapo neva ya sciatica inabanwa au kushinikizwa, mara nyingi kutokana na diski ya mgongo iliyotoka (bulging/herniated disc).

✅ Dalili kuu:

Maumivu ya kukeketa kuanzia mgongoni chini hadi mguuni, hasa upande mmoja.

Maumivu yanayopita katika sehemu ya chini ya mgongo, kiuno, mapaja, nyuma ya goti hadi mguuni.

Kuchoma au kuungua (burning sensation) kwenye mguu.

Ganzi au kufa ganzi kwenye mguu au vidole vya mguu.

Udhaifu wa misuli ya mguu, unaoweza kufanya kushindwa kuinua mguu au kukanyaga vizuri.

Maumivu yanazidi unapokaa kwa muda mrefu, kuinama, au kupiga chafya/kukohoa.

⚠️ 2. Dalili za Magoti Kusagana (Osteoarthritis ya Goti)

Hii ni hali ambapo gegedu (cartilage) inayolinda mifupa ya goti inachakaa, na kusababisha mfupa kusagana na mfupa.

✅ Dalili kuu:

Maumivu kwenye goti, hasa yanapoongezeka taratibu na wakati wa kutembea au kupanda ngazi.

Uvutaji wa goti au kuganda – goti linaweza kuwa gumu kulikunja au kulinyosha.

Uvimbaji wa goti baada ya kutumia kwa muda mrefu.

Mlio au kusikia kitu k**a kinabofya au kusuguana ndani ya goti.

Udhaifu wa mguu, kushindwa kusimama kwa muda mrefu.

Maumivu wakati wa kubadilisha hali, mfano kutoka kukaa hadi kusimama.

❌ Madhara ya Kutotibu Mapema

1. Kwa Sciatica:

Kudumu kwa maumivu na kuongezeka kwa maumivu hadi kuwa sugu.

Uharibifu wa kudumu wa neva ikiwa hali inapuuzwa kwa muda mrefu.

Kupoteza uwezo wa kutembea vizuri au kushindwa kusimama moja kwa moja.

Hatari ya kupata udhaifu wa kudumu kwenye misuli ya mguu.

Kuharibika kwa kibofu au utumbo iwapo mishipa ya neva itaathiriwa sana (condition inayoitwa cauda equina syndrome – emergency).

2. Kwa Magoti Kusagana (Osteoarthritis):

Kuharibika kwa goti kabisa hadi kuhitaji upasuaji wa kubadilisha goti (knee replacement).

Kupungua kwa uwezo wa kufanya shughuli za kila siku (k**a kutembea, kupika, kupanda ngazi).

Maumivu ya kudumu na ulemavu wa kudumu.

Misuli ya mguu kushuka nguvu (muscle wasting) kutokana na kutotumia mguu.

✅ Hitimisho

Kuchelewa kutibu maumivu ya sciatica au magoti kusagana kunaweza kusababisha matatizo makubwa ya kiafya na kupoteza ubora wa maisha. Ni muhimu kutafuta matibabu mapema kwa kutumia:

TUPIGIE SIMU MOJA KWA MOJA: +255 755767635

14/09/2025

USIFANYE UPASUAJI WA VIUNGO KWANZA
sikiliza hii itakupa nguvu upya ya uponaji
+255755767635

05/09/2025

Je ,umekuwa unapitia hali ya maumivu makali ya viungo
Mgongo kuuma ,magoti uteute umeisha kabisa ,kiuno ,mabega pamoja na Ganzi miguuni na umejitahidi kupata matibabu lakini bado hujapata ahueni yoyote

Nakuletea Leo matibabu ambayo yamesaidia wengi kupona moja kwa moja changamoto izo

Wahi matibabu Leo upate huduma kwa punguzo la tiba kwa discount kubwa

Kwa msaada zaidi wasiliana nami Leo
0755 767 635

03/09/2025

Uonapo changamoto yako haijapona
Ujue kuna sehemu bado kuna tatizo ndani yake Sasa ni mda wa kuchukua hatua za haraka kuweza kutibia tatizo lako kwa haraka sana
0755 767 635

02/09/2025

Kwa msaada zaidi
0755 767 635

27/08/2025

Amua kuchukua maumuzi Leo ili maumivu yako hayo ya mifupa kwa mda mrefu yapone kabisa
Kwa msaada zaidi
Wasiliana nami
0755 767 635

15/08/2025

Una sukari na unajiskia hali ya Ganzi
Nitafute Leo

07/08/2025

Je ,umekuwa unapata maumivu makali ya viungo
Na umejitahidi kupata dawa lakini bado hujapona
Nakuletea matibabu sahihi kabisa
Ambayo unatumia kwa mda mfupi na hali yako ikapona kabisa

Usijutie Tena chukua hatua mapema kuweza kuondokana na changamoto yako iyo ambayo imekutesa kwa mda mrefu

Mgongo ,kiuno ,pingili za mgongo
+255 755767635 Dr Abubakar

17/07/2025

JE UNAHISI MAUMIVU YA
MAGOTI....
MGONGO….
VIUNGIO…..
KIUNO…..
MISULI….
NA MIFUPA KWA UJUMLA…?

Maumivu ya viungo na mifupa yameongezeka kwa miaka ya hivi karibuni kutokana na sababu mbalimbali…..

Dalili kubwa ikiwa ni maumivu ya mgongo..,maungio na misuli kukaza hasa ya miguuni…..

Dalili zingine ni pamoja na ganzi za mikono na miguukuvimba kwa sehem za maungio k**a goti…!

*Fuatana nami kuangalia visababishi vya tatizo hili na namna ya kuliepuka.*

Matatizo haya yanaweza kutokana na moja ya sababu zifuatazo:-

📍Upungufu wa madini yanayoimarisha mifupa mf. Calcium.

📍Kukosekana kwa uteute katika maungio na hivyo mifupa kusagana.

📍Tatizo LA mishipa ya faham kwenye uti wa mgongo.

📍Visahani ( cartilage) vilivyopo katikati ya viungio kulika.

📍Kufanya kazi nzito au kunyanyua vitu vizito.
🦴 Kwa wanawake walofikia kikomo cha hedhi yaani menopause.

📍Matumizi ya madawa yanayopungiza uimara wa mifupa, (corticosteroid) moja ikiwa ni dawa wanazopenda kutumia mama zetu za kung'arisha nyuso mfano mediven, dawa hizi zikitumika kwa muda mrefu hushusha uimara wa mifupa.
📍Uzito uliopitiliza.

Je mtu atajikinga vipi na tatizo hili?
● Pima uwiano wa uzito wako na urefu. K**a ukibainika na uzito uliopitiliza fanya juhudi za makusudi kupunguza uzito….

● Kula mlo kamili wenye madini, mbogamboga na matunda kwa wingi…

● Fanya mazoezi sahihi kwa uzito na umri wako walau mara tatu kwa wiki….

● Tumia vitu vyenye madini ya calcium na zinc kwa wingi….

● Vitu k**a supu ya kongoro, supu ya samaki na maziwa vinasaidia….

● Tumia virutubisho vya asili vyenye natural Chondroitin na Glucoseamine pamoja na calcium…..

KWA TIBA NA USHAURI UNAWEZA KUWASILIANA NAMI KWA NAMBA

WhatsApp
+255 755767635

Calls
+255 755767635

AU UNAWEZA KUBONYEZA NENO *WhatsApp* CHINI UPANDE WA KULIA MWA PICHA

17/07/2025

```MAUMIVU YA KIUNO, MGONGO NA NYONGA KWA WANAUME NA WANAWAKE NA TIBA YAKE```

Tatizo hili huweza kumpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno
huanza chini ya mgongo na kuk**ata katika vifupa vilivyo kwa chini
karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na
wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika
vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya
yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno.

Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya
kiuno au nyonga yakawa peke yake. Nyonga huunganisha miguu Na
mifupa ya mapaja inayotengeneza kiuno. Nyonga ndiyo inayofanya
utembee, inakuwezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine, kukaa
kuruka…

```SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA```

1. kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo
zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu ukiihitaji.

2.Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo

3.Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo,

4.mawazo (stress) nyingi

5.kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya MTO ,

Je ukipuuza maumivu haya haya na kuyachulia ni suala la kawaida unaweza kuathirika kivipi?

1.Hupelekea kushindwa kufanya tendo LA ndoa

2.hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili

3.hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia

4.Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala

_jitibu maumivu ya mgongo na nyonga kwa dawa ya gluzojoint ambayo itakuondolea maumivu hayo kwa siku 7 tu na utarudi katika hali nzur ,ni dawa Nzuri sana kwa maumivu ya mgongo_

☎️Kwa msaada zaidi na ushauri wasiliana nami moja kwa moja

0755767635

🔰Ijali afya yako.

12/07/2025

Usikubali kuteseka na maumivu ya mgongo na kuno
Pitia hatua za kuweza kutibia tatizo hilo kwa mda mfupi

Tupigie tuweze kukusaidia kwa haraka
+255755767635

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255755767635

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya na tiba RDr Abuu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya na tiba RDr Abuu:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram