afya bora

afya bora tiba kwa ajili ya matatizo ya
�kisukari
�presha
�tezi dume
�goita
�viungio�chunusi�tonsils nk

I: ANATIC HERBAL ESSENCE SOAPHii sabuni imetengenezwa na:1)Asali wa nyuki wa mwitu2)Mafuta ya n**i3)Mafuta ya mchikichil...
21/09/2023

I: ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP
Hii sabuni imetengenezwa na:
1)Asali wa nyuki wa mwitu
2)Mafuta ya n**i
3)Mafuta ya mchikichil
4)Majani ya mchaichai
FAIDA ZA ANATIC SOAP
1;Inaondoa makovu na mabaka mwilini
2:Inaondoa miwasho,vipele
3:Ni nzuri kuitumia k**a after shave kwa wanaume
4:Huua bakteria kwenye ngozi
5:Inatibu chunusi, upele, harara
6: Nzuri kwa watu wenye mapunye,mafua
7:Inasaidia kukuza nywele na kulinda zisikatike hovyo kwa
kuoshea k**a shampoo
8:Inalinda ngozi yako na mionzi ya jua. Nzuri pia hata kwa
wale wanaotumia cream kali
9: Nzuri kwa watoto hata awe mchanga
10:Inazuia malengelenge unapokuwa umeungua na maji
au mafuta baada ya kupaka povu lake
Wanaoitumia wanajua hii ni sabuni kwa nje lakini kwa
ndani ni zaidi ya sabuni kwa kazi zake. Mnunulie mwanao
au familia yako leo
Ijaribu leo hakika hutojuta na utapenda uitumie kila siku na
kila mara.hii ndio mkombozi wa ngozi yako na matatizo
yako.
Inunue Leo kwa ofa
Wahi mapema mzigo umebakia kidogo.

http://wa.me/255655919608

*FAIDA ZA DR TS TOOTHPASTE:*👉🏾Hung'arisha meno.👉🏾Huimarisha meno na fizi👉🏾Huondoa tatizo la kutokwa damu wakati wa kufan...
21/09/2023

*FAIDA ZA DR TS TOOTHPASTE:*

👉🏾Hung'arisha meno.

👉🏾Huimarisha meno na fizi

👉🏾Huondoa tatizo la kutokwa damu wakati wa kufanya usafi wa kinywa.

👉🏾Huwafaa watu wanaosumbuliwa na meno

👉🏾Huondoa tatizo la kutokwa damu kwenye fizi na meno

👉🏾Hutibu tatizo la meno kumeguka meguka

👉🏾Huondoa tatizo la meno
kutingishika mara kwa mara

👉🏾Huondoa bacteria hatarishi katika kinywa

👉🏾Hulinda kinywa kisipatwe na magonjwa hatarishi

👉🏾Huondoa tatizo la harufu kinywani

👉🏾Huwafaa watu wenye ukungu/meno kuoza

👉🏾Hukinga kinywa dhidi ya saratani

👉🏾Huodoa uchakavu wa meno

👉🏾Huwafaa watu wenye tatizo la mabakabaka katika ulimi (Geographic tongue)

👉🏾Ni suluhisho kwa watu wanaopata vidonda kinywani nk.

bfsuma_tiba Je! Umekuwa ukifanya kosa moja kati yahaya makosa 6?Unahisi miwasho sehemu nyeti lakini unapuuzia nakusema n...
21/09/2023

bfsuma_tiba Je! Umekuwa ukifanya kosa moja kati ya
haya makosa 6?
Unahisi miwasho sehemu nyeti lakini unapuuzia na
kusema ni kawaida yako?
(Ukivua chupi jioni unakuta imechafuka na ute mbaya
lakini unaona kawaida?
Uchafu unatoka k**a maziwa na mda mwingine una
rangi zingine k**a njano,kahawia,wenye damu na pia
unaambatana na harufu mbaya lakini bado unachukulia
poa?
(UTI inakurudia kila mara ila unaona sawa tu na kusema
ni ugonjwa wako
Ukijamiiana unapata maumivu na hauna hisia na wala
huchukui hatua yeyote?
Unapata michubuko unahisi unawaka moto na kukosa ute
bado unaona kawaida?
Period yako haieleweki inatoka na mabonge bonge
unaona sawa tu?
Hizo ni dalili za fangasi na maambukizi makubwa katika
via vya uzazi hupaswi kupuuzia madhara yake ni
makubwa sana usipopata suluhu mapema.
Wanawake wengi wanapuuzia dalili moja kati ya hizo,
mwisho wa siku wanapata matatizo makubwa ya kiafya
k**a kansa ya kizazi,kutoshika ujauzito na kuharibika
kwa mimba.
Njoo tukupatie virutubisho lishe vitakavyokusaidia
asilimia mia

Whatsapp 0682919608

Tunadawa dhabiti za kuimarisha mifupa, Kuondoa maumivu na magonjwa yote ya mifupa,Inazuia kulika na kusagana maungio kwa...
21/09/2023

Tunadawa dhabiti za
kuimarisha mifupa,
Kuondoa maumivu na magonjwa yote ya mifupa,
Inazuia kulika na kusagana maungio kwa kuzalisha gegedu mpya(cartilage)
Huondoa tatizo la kuvimba kwa mifupa
Huongeza uteute kwenye maungio

Kwa mawasiliano tupigie 0682919608

Detoxilive ni bidha bola kati ya bidhaa bora Detoxilive ni bidha ya asili inayo patikana katika kampuni kubwa  ya Bf sum...
20/09/2023

Detoxilive ni bidha bola kati ya bidhaa bora

Detoxilive ni bidha ya asili inayo patikana katika kampuni kubwa ya Bf suma

Imetengenezwa kwa mimea ya soya virutubisho hivi vina uwezo mkubwa wakuondoa sumu mwilini

Kazi za bidha ya Detoxilive

➡️Inaondoa Madhara ya pombe kwa wanywaji na kulinda afya ya ini na figo
➡️Inaondoa sukari iliyozidi mwilini
➡️Inaondoa mafuta yalio zidi mwilini /vitambi na nyama uzembe
➡️Inaondoa URIC ACID iliyozidi mwilini hivyo Huzuiya gonjwa wa Gauti (baridi ya bisi)
➡️Humsaidia mtu mwenye presur kisukari homa ya ini na figo

Mwanaume chonde chonde Epuka kabisautumiaji wa Boosters (Mkongo, Vi**ra) zinaenda kukuathirivibaya mno zinaharibu miship...
20/09/2023

Mwanaume chonde chonde Epuka kabisa
utumiaji wa Boosters (Mkongo, Vi**ra) zinaenda kukuathiri
vibaya mno zinaharibu mishipa kwasababu ni k**a
unafosi Uume wako usimame kwa nguvu mwisho wa siku
iyo hali itaufanya uzidiwe na kelegea daima....Kamal
unapitia changamoto ya nguvu ya kiume tumia
virutubisho lishe maalumu ili uweze kurudi kwenye hali
yako nzuri kwenye kufanya tendo la ndoa haijalishi ni
muathirika wa PUNYETO au laa...Usisite kuuliza chochote
utajibiwa kwa ufasaha na kupewa Ushauri mzuri
zaidi....KARIBU SANA ni kazi yetu kukuhudumia na
kurejesha tabasamu lililopotea.....NARUDIA TENA Epuka
utumiaji wa Boosters utakuja kujutia!!! Kwa masiliano 0682919608

NJIA RAHISI KUPONA VIDONDA TUMBOVIDONDA VYA TUMBO ni michubuko au makovu yanayotokea ndani katika Kuta za TUMBO .VIDONDA...
20/09/2023

NJIA RAHISI KUPONA VIDONDA TUMBO

VIDONDA VYA TUMBO ni michubuko au makovu yanayotokea ndani katika Kuta za TUMBO .
VIDONDA hivi husababishwa na bacteria anayeitwa helicobactor (h.pylori). Ambaye huaribu utando unaokinga Kuta za utumbo kutoharibiwa na tindikali

Bofya hapa👉🏼http://wa.me/255655919608

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO.

🥒.Kiungulia au maumuivu makali k**a kuungua katikati ya kifua.

🥒Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa

🥒.Kupata maumuivu makali ya tumbo yanayokuwa k**a moto mkali

🥒.Kutapika damu.

🥒.Kupata haja kubwa ya rangi ya kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya sana

MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO.

♦️.Kupata saratani ya tumbo.

♦️.Kuziba kwa njia ya chakula.

♦️.Kuathiri ini na kongosho.

♦️Kusababisha tundu katika tumbo na kusababisha tumbo kutoboka Kwa ukuta wa tumbo.

♦️ kusababisha kansa ya utumbo

FURSA!  FURSA! FURSA!BFSUMA ni Kampuni inayo jihusisha na Uzalishaji naUsambazaji wa bidhaa za VIRUTUBISHALISHE .Bidhaah...
20/09/2023

FURSA! FURSA! FURSA!

BFSUMA ni Kampuni inayo jihusisha na Uzalishaji na
Usambazaji wa bidhaa za VIRUTUBISHALISHE .Bidhaa
hizi huzaliswa katika nchi za 🇺🇲MAREKANI 🇭🇰HongKong
🇩🇪Germany

*** Unaweza KUJISAJILI na Kua WAKALA WA BFSUMA
Kwa MTAJI WA Laki moja na Hamsini Elfu (Tsh 150,000/
=)
•FAIDA za kuwa WAKALA wa BFSUMA
1)UBORA WA BIDHAA,bidhaa zetu ni bora kwa kuwa na
matokeo mazuri kwa kila mtumiaji
2)BEI YA BIDHAA,tuna bidhaa nyingi za Bei ya chini
Ambazo watu Wengi wana Mudu hivyo itakurahisishia
kufanya biashara kwa watu wa matabaka/level zote
3)NAMNA YA KUANZA BIASHARA,ni rahisi kuanza
biashara na BFSUMA kwani MTAJI unaohitajika ni (Tsh
150,000/=)Ambayo watu Wengi wana mudu...Uta Chukua bidhaa ambazo una mteja anaihitaji au
unazohitaji kuzitumia
4)MPANGO MASOKO BORA NA
UNAOTEKELEZEKA,mpango masoko wa BFSUMA ni rahisi
kwa kila Mwenye kujituma katika kufanya kazi hivyo
huwezesha WAGAVI/MAWAKALA Kupata BONUS KILA
MWEZI,ku QUALIFY SAFARI NA MAGARI
5) UWEPO WA BIDHAA NYINGI Aina TOFAUTI TOFAUTI,
HII inakusaidia wewe Mgavi/Wakala KUKUA KI BIASHARA
Kwani unakua na Wigo mpana wa SOKO.

Pia Kampuni Ya BFSUMA huzalisha BIDHAA zake zote
Yenyewe kitu kinachoiwezesha Kampuni ku Control
UBORA WA BIDHAA Tofauti na Makampuni mengine ambayo huingia ubia/Mikataba na viwanda/uzalishaji ili kuweza kuzalishwa bidhaa kwa brand/ majina yao

*CHUKUA HATUA KILA KITU KINAWEZEKANA*

JIUNGE NASI TUKUWEZESHE UFIKIE MALENGO YAKO

Wasiliana nasi kupitia 0682 919 608

Wapo wanawake wengi ambao wana uvimbekwenye kizazi na hali hii inawapelekea kupata madharambalimbali k**a kutokushika mi...
20/09/2023

Wapo wanawake wengi ambao wana uvimbe
kwenye kizazi na hali hii inawapelekea kupata madhara
mbalimbali k**a kutokushika mimba(Ugumba),kukosa
choo na matatizo mengineyo...Inawezekana umetumia
dawa nyingi ili kuondoa changamoto hii lakini
imeshindikana mpaka kufikia hatua ya kukata
tamaa... Taarifa njema ni kwamba tatizo hili lina uwezo wa
kutibika kwa 100% na likaondoka kabisa moja kwa moja
na ukaweza kubeba ujauzito, Matibabu hayo yatafanyika
kupitia virutubisho lishe maalumu ambavyo ni rafiki kwa
wote wenye changamoto hii na havina madhara
yoyote....Kwa Matibabu/Ushauri usisite kuwasiliana
nami...UVIMBE UNATIBIKA VIZURI BILA UPASUAJI
KARIBU SANA MPENDWA!

Kwa mawasiliano 0682 919 608

MAUMIVU MAKALI YA MIFUPA NA VIUNGO Huweza kuwa yasiyohama na yanayosambaaDALILI ZA MAGONJWA YA MIFUPA NA VIUNGO✓Maumivu ...
20/09/2023

MAUMIVU MAKALI YA MIFUPA NA VIUNGO

Huweza kuwa yasiyohama na yanayosambaa

DALILI ZA MAGONJWA YA MIFUPA NA VIUNGO
✓Maumivu ya Mgongo

✓Kushindwa kufanya shughuli za kawaida zakilasiku kutokana na maumivu

✓ homa na kutetemeka

✓kupungua Uzito

✓Kupungua Nguvu katika Misuli ya miguu

✓Miguu/mikono kuwakwa Moto/kuchomchoma mithili ya sindano au miiba

✓Ganzi kwenye miguu Hadi kushindwa kumudu kuzuia haha ndogo/kubwa

Sababu kuu za maumivu haya

kujeruhiwa Kwa misuli/mifupa ya eneno husika

mgandamizo Katika mfumo wa fahamu na kusababisha Maumivu yanayosambaa mfano shida ni katika Mgongo lakin unahisi ganzi na kuwakwa Moto kwenye miguu

MADHARA YAKE
✓ulemavu wa kudumu
✓kuvilia damu katika mishipa Hatimae stroke/kupooza
✓saratani ya mifupa

Kupata suluhisho la changamoto yako piga simu
0682 919 608
Ama gusa kitufe cha Whatsup kuwasiliana na mtalamu Afya ya mifupa na maungio

Address

Dar Es Salaam
255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when afya bora posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram