Acid Reflux Specialist

Acid Reflux Specialist Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Acid Reflux Specialist, Medical and health, Kigamboni, Dar es Salaam.

ACID TUMBONIUnapo meza chakulaChakula kinapitia kwenye koo la chakula na kuingia tumboni  kabla ya chakula kuingia tumbo...
15/04/2025

ACID TUMBONI

Unapo meza chakula

Chakula kinapitia kwenye koo la chakula na kuingia tumboni

kabla ya chakula kuingia tumboni kuna msuli inayo funguka kuruhusu chakula kuingia tumboni na kufunga Ili chakula kisitoke tumboni kupanda juu misuri hii inaitwa Sphincter Muscles

Chakula kinapo ingia tumboni asidi nyingi sana inamwangwa kwaajili ya kumeng'enya chakula kile kilichopo tumboni bila kupanda juu kwasababu Sphincter itakuwa imeziba

Mfumo wa umeng'enyaji chakula unafanya Kazi k**a mashine inayo saga Unga

Hivyo chakula ulicho kula kitachanganwa na vitu Vidogo Vidogo vilivyopo tumboni Ili kutengeneza kirutubisho cha kujenga mwili

Endapo itatokea *Sphincter* imedhohofika pengine kwa magonjwa au hata kwa mfumo mzima wa maisha yako itaweza kutanuka na kuruhusu asidi kupanda juu

Kitu kitakacho changia chakula ulicho kula kisisagwe kwani asidi ambayo ingesaga chakula icho itakuwa inapanda juu kifuani na hata kwenye koo na kufanya chakula kilichopo tumboni kuchacha

Sphincter hii inaweza kuathirika na bacteria au hata minyoo kuzidi tumboni na kadri unavyo kaa siku nyingi pasipo kupata matibabu ndivyo inazidi kutanuka na kupanda zaidi kooni

Na wakati mwingine kuharibu baadhi ya viungo hasa kwenye mfumo wa hewa

Sauti inaweza kubadilika na kuhisi una asthma na kuanza kuongelea puani wengine sauti inakwaruza na Masikio kutoa mlio k**a filimbi

Hayo yote ni matokeo ya asidi kupanda zaidi hadi kwenye mfumo wa hewa

Japo kuna wengine wanapata maumivu makali Sana ya mgongo kifuani na hata kwenye koo

Sababu Za Acidity Tumboni.

• Uvutaji wa sigara kwa wingi

• Kunywa pombe kupita kiasi

• Vidonda vya tumbo
• kuzidi kwa asidi ya tumbo

• Kutokula kwa wakati

• Kula vyakula vya kukaanga na viungo vya chakula mara kwa mara

• Matatizo katika utendaji wa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula tumboni

• Kukaa na njaa kwa muda mrefu au kuto kula chakula cha Asubuhi

• Kula vyakula vingi vya mafuta, k**a chocolates

• kuwa na Mimba kunasababisha asidi pia.

• kuzeeka

• kuwa na hisia mbaya

• Udhaifu wa mishipa ya mwilini

*Dalili Za Acidity Tumboni

• Mchomo au maumivu katika tumbo saa moja mpaka masaa 4 baada ya mlo
• maumivu ya kifua

• Kiungulia cha Muda mrefu

• Kuhisi Uvimbe katika kifua (Kifua kizito)

• Kuhisi njaa mara kwa mara

• Daima maumivu katika upande wa juu wa tumbo
• Kucheua vitu vichungu

• Kichefuchefu

• Kuona ladha ya Uchungu katika kinywa

• Kupoteza hamu ya kula

• Kutapika

• Kukohoa

• Sauti ya mabadiriko na malezi ya kidonda katika umio (tube kuunganisha kinywa na tumbo)

Ama tunaweza kusema kuhisi vidonda katika koo kutokana na maumivu kila unapo meza mate ama chakula

• Maumivu ya sehemu za misuli ya mwili

• Maumivu katika masikio

Mgonjwa anae sumbuliwa na asidi mara kwa mara unakuta Sphincter imedhuhurika Sana kiasi kwamba unaruhusu asidi kupanda juu wakati usioruhusiwa

Madhara ya asidi

✍️Kupata SARATANI YA koo

✍️Sauti kubadilika kuwa k**a mkwaruzo

✍️Masikio kuuma

✍️Kubeuwa mara KWA asidi kali Sana k**a inaunguza

✍️ Kiungulia cha mara kwa mara

✍️Kifua kuuma/kuwaka moto

✍️Maumivu ya mgongo na Kiuno

✍️Kuishiwa Nguvu kwenye joint na mwili kudhoofika

✍️ Maumivu ya kichwa mara kwa mara

✍️ Ugonjwa wa ASID usipo patiwa matibabu unaweza kupoteza maisha KABISA ( kufa)

NB: Binadamu ni lazima uwe na asidi Tumboni kwani asidi ndio inatusaidia kumeng'enya chakula na kuua wadudu tumboni hivyo mtu akikosa ASID yupo hatarini kupoteza maisha pia kwani asidi isipo kuwepo chakula akiwezi kumeng'enywa ila asidi inapo zidi na kuunguza Sphincter mara kwa mara hapo ndipo huleta madhara mwilini

UGONJWA WA Asidi unatokea tumboni hivyo mtu yeyote anae sumbuliwa na asidi ajue kuwa ana tatizo tumboni

Ugonjwa huu unatibika na kupona kabisa

ila baada ya kutambua chanzo cha tatizo lako Endapo ugonjwa utakuwa umeshakomaa Sana chanzo kitatibika tofauti na asidi itatibika tofauti

Huu ugonjwa sio wa kuchukulia pouwa kwani ni miongoni mwa magonjwa yanayo uwa watu kimya kimya pasipo watu kutambua

Unaweza kudondoka ghafla na kufika Hospital ukaambiwa umekaukiwa maji na damu kwasababu Acid inaunguza

Darasa BureNjia rahisi ya kutibu na kupona Kabisa Vidonda vya tumbo Kwakutumia Mimea na chakulaBonyeza neno WhatsApp ili...
17/12/2023

Darasa Bure

Njia rahisi ya kutibu na kupona Kabisa Vidonda vya tumbo Kwakutumia Mimea na chakula

Bonyeza neno WhatsApp ili kuingia Darasani sasa hivi

Ndani ya Darasa hilo utajifunza

1.Sababu za kutopona Vidonda vya tumbo licha ya kutumia dawa mbalimbali kutibu tatizo hili

2.Hatua 3 muhimu za kuzingatia ili uweze kutibu na kupona Kabisa Vidonda vya tumbo

3.Jinsi ya kutumia Mimea na chakula k**a tiba lishe ya tatizo hili

Na mengine mengi sana utajifunza kupitia masomo haya

Kujiunga na Darasa hili Bofya neno WhatsApp kulia chini kabisa

Tukune Darasani

Health care & fitness
31/10/2023

Health care & fitness

10/08/2023

Address

Kigamboni
Dar Es Salaam

Opening Hours

Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 08:00 - 17:00
Sunday 08:00 - 12:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Acid Reflux Specialist posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram