Dk Farhaty

Dk Farhaty Tunatoa tiba asilia na ushauri nasaha juu ya maradhi ya Bawasiri, matatizo ya mmengenyo na Tezi dume

Hii Ni Kwa Watu Wanaotaka Kuondokana na Matatizo Ya Viuongo Na Mifupa...!Tafti Mbalimbali Zilibaini Kuwa Asilimia Kubwa ...
05/04/2023

Hii Ni Kwa Watu Wanaotaka Kuondokana na Matatizo Ya Viuongo Na Mifupa...!

Tafti Mbalimbali Zilibaini Kuwa Asilimia Kubwa Ya watu wanaopata Maumivu Kwenye Mgongo, Magoti au Kwenye Maungio Ya Mifupa Begani Husababishwa na Umri.

Inakadiriwa Kuwa kadri Umri unavyozidi Kwenda Virutubisho Hupungua na Mwili Hushindwa kutengeneza Ute Ute na Gegedu ( cartilage).

Sababu Zingine Zinazoongeza Kasi Ya Viungo Kusagana Ni ; Uzito Uliopindukia, Historia Ya Familia, Ajali, Kutumikisha Viungo Kupita Kiasi.

Maumivu Kwenye Maungio Ya Mifupa Huanza Taratibu kisha Hali Ubadilika Na Hali Ambayo Huwapelekea Watu Wengine Kufanyiwa Upasuaji Wengine Kupoteza Matumaini Ya Kusimama Na Kutembea Tena.

Ni bahati kwako kwamba kuna Zawadi Pekee Yenye Thamani kubwa Sana 100%.

Ila Kuanzia LEO Utachangia Kwa 25% TU Kwahiyo 75% Utapata BURE kabisa.

Watu 20 Wa Kwanza Watapata Bonasi 4 BURE.

1. Program Ya Mazoezi Ambayo Yanasaidia Kuimarisha Afya Ya Mifupa [ Yamefanyiwa Uchunguzi Na Ma-daktari Bingwa Na Yanasaidia Kwa Kiasi Chake].

2. Utapata Program BURE Ya Mchanganyiko Wa Njia Mbadala Wa Kuondokana Na Maumivu kwenye Mgongo, magoti.

3. Utapata Program BURE Ya Elimu Na Changamoto Zote Za Matatizo Ya Mifupa.

4. Utapata Tiba Lishe Mbili BURE [ 100% Hazina Madhara Yoyote na Zimethibitishwa na Mamlaka kimataifa k**a GMP, PIC/S, TMDA, FDA, TBS, NAFDAC na HALAL, Tena Zinamadini Muhimu K**a Glucosamine na Chondroitin Ni Virutubisho Vinavyosaidia Kurejesha Gegedu Na kuzalisha Ute Ute].

Endapo Ukatumia Hizi Program Kwa Usahihi K**a Nitakavyokuelekeza Basi Utakuwa Balozi Mzuri Kwetu Juu Ya Changamoto Ya mifupa kusagana

Ili Kupata Hizi Zawadi Bonnyeza neno WhatsApp hapo chini Ama Tutumie Ujumbe NIZINGATIE Kupitia Namba Hii 0678296205.

Hizi ZAWADI Ni Za Mwezi Huu Tu, Unaweza Usiione Tena Hadi Mwakani 2024.

Wekeza Kwenye AFYA Yako Ndio Mtaji Wako Karibu!

https://chat.whatsapp.com/EJgNyPWTWzX5ERovN3ITvs*Nataka kutoa Ofa kubwa sana Ambayo sijawahi kuitoa kabisa kwa wahanga w...
28/02/2023

https://chat.whatsapp.com/EJgNyPWTWzX5ERovN3ITvs

*Nataka kutoa Ofa kubwa sana Ambayo sijawahi kuitoa kabisa kwa wahanga wa changamoto zifuatazo*
🩺 BAWASIRI
🩺 VIDONDA VYA TUMBO
🩺VIUNGO NA MIFUPA
🩺U.T.I NA FUNGUS SUGU
🩺HOMON IMBALANCE NA CHANGAMOTO ZA UZAZI
🩺 STROKE

*Masharti*
1_🩺Save namba yangu kisha nitumie majina yako inbox

2_🩺K**a tuliwahi kuongea basi unikumbushe tulipokomea na K**a Bado basi utanielezea changamoto yako.

3_🩺Ni lazima Usambaze Link ya group

4_🩺K**a upo Nje ya mkoa utazafirishiwa Bure Dawa

5_🩺K**a upo Dar, utafikishiwa nyumbani kwako / utafuata ofisen mwenyewe

6_🩺Baada ya kupona uwe tayari kutoa ushuhuda kwa njia ya Video au Audio

7_🩺 K**a uliwahi kutumia virutubisho na ukipata Robo/ Nusu Dozi Una kitu maalumu pia kwako ambacho utaenjoy sana🧏🏼‍♂️

```Mwenye sikio na asikie neno hili```
*Mashart ni hayo hili punguzo ukilikosa kujirudia tena itakuwa Mtihani sasa Jitahidi usije kumbuka shuka kumekucha*

Bonyeza hapa
http://wa.me/+255757223987

Wasiliana na Mshauri wa Afya akusaidie juu ya mboga mboga , mizizi na matunda maalumu ambavyo vimedhibitishwa kitaalamu ...
06/02/2023

Wasiliana na Mshauri wa Afya akusaidie juu ya mboga mboga , mizizi na matunda maalumu ambavyo vimedhibitishwa kitaalamu na vitakavyo kusaidia kuweka Hali sawa sambamba na kujikinga dhidi ya changamoto za namna hio
https://wa.me/+255757223987

LIJUE TATIZO LA BAWASIRI https://wa.me/+255757223987Bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya Damu ya ...
23/01/2023

LIJUE TATIZO LA BAWASIRI
https://wa.me/+255757223987

Bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya Damu ya ndani au nje ya eneo la haka kubwa.
Tatizo hili Huwapata watu wote ila huathiri Zaidi watu wazima kuliko watoto, na inakadiriwa kuwa Karibu 50% ya watu wote wapo katika hatari ya kupatwa na tatizo hili katika umri wa kuanzia miaka 30 nakuendelea.

zipo sababu kuu zinazo pelekea ugonjwa huu ambazo ni.
🩺Ulaji mbovu
🩺Kutokuka vyakula jamii ya mizizi, mboga mboga na matunda.
🩺Kukaa kitako muda mrefu
🩺Kufanya kazi za kutumia Nguvu
🩺Uzazi(kujifungua) kwa wanawake
🩺Kutokunywa maji ipasavyo
🩺 Matatizo yanayohusiana na choo kigumu kwa muda mrefu.
🩺kushiriki mapenzi kinyume na maumbile
🩺Matatizo ya mmengenyo n.k

ATHARI ZAKE
🔬Kupasuka kwa mishipa na kupelekea kutokwa na kinyam eneo la haja kubwa
🔬Kupatwa na saratani ya utumbo mpana
🔬 Kupungua kwa Uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kwa mwanaume
🔬Kukosa hamu ya Tendo la ndoa kwa Mwanamke
🔬Kusababisha ongezeko la maradhi ya uzazi.
🔬Kushuka kwa Kinga ya mwili, Hali inayo pelekea kongosho kutozalisha insulin inayo dhibiti sumu mwilini vya kutosha.
🔬 matatizo ya Figo, na mfumo mzima wa damu
🔬Ngozi isiyo Agh'avu na chunusi
🔬Kushindwa kuzaa kwa Mwanamke au kuzalisha kwa mwanaume
🔬Kupungukiwa damu mara kwa mara

DALILI ZAKE

✍️ Kuchoma choma kwa sehemu ya haha kubwa.
✍️Kupata choo chenye damu
✍️ Maumivu wakati wa kujisaidia
✍️Kushindwa kukaa kitako muda mrefu
✍️ Kuwashwa eneo la haja kubwa
✍️ Kupata choo kigumu
✍️Kutokwa kwa kinyama au uvimbe eneo la haja kubwa
✍️Kupungua ghafla kwa Uwezo wa kushiriki tendo la ndoa
✍️Maumivu ya kiuno/kuchoka bila sababu

JAMBO LA KUZINGATIA
🙏Watu wengi hukimbilia Kufanya upasuaji ila naomba nikufahamishe kuwa Upasuaji hauondoi tatizo, unaondoa sehemu ya tatizo na Bawasiri hutibiwa kwa kulekebishwa kwa mfumo mzima wa mmengenyo wa chakula maana huo ndio mzizi mkuu.
Kuna vyakula na mboga mboga ukivizingatia basi unaondoa mzizi wa tatizo na kubaki huru daima.
🧏Sijui umehangaika mara ngapi ila ni wakati wako sasa kurudisha Tabasamu lako kwa kutumia matunda, mitishamba maalumu iliyo sindikwa kitaalamu na kudhibitishwa na mamlaka za ndani na nje ya Tanzania, ikiwemo mamlaka za kidunia na Zile za kidini k**a halal ya uarabuni katika kudhibitishwa kwa uhalali na ubora wake.

Wasiliana sasa na Mshauri wa Afya nikusaidie kuitatua changamoto hii inayo kunyima Raha
doctor Seen 0757223987 👇
https://wa.me/+255757223987

Saratani ya Utumbo mpana, hutokea pindi matatizo yanayohusisha mmengenyo wa chakula k**a🪄 Bawasiri, 🪄Vidonda vya Tumbo, ...
09/01/2023

Saratani ya Utumbo mpana, hutokea pindi matatizo yanayohusisha mmengenyo wa chakula k**a
🪄 Bawasiri,
🪄Vidonda vya Tumbo,
🪄tatizo la choo kigumu au kutopata choo kabisa kwa Zaidi ya saa 12, na matatizo ya gesi tumboni yanapokaa kwa Muda Mrefu,
🧏 Changamoto ni kwamba watu wengi huyadharau maradhi ya aina hio na kuyaona k**a maradhi ya kawaida na hujigundua kuwa wako na saratani hio ya utumbo mpana wakati ambao saratani hio inapokuwa Stage 3, Nikushauri wewe ambaye unachangamoto mojawapo kati ya hizo jitibie mapema sana Kuna wakati utafika ambao unaweza kuwa ni mgumu Zaidi kiafya kuliko sasa, Hatuombi iwe hivo ila Mungu atufanyie wepesi Tusifike huko. ```TAFUTA MTAALAMU AKUSAIDIE```
Kwa maswali bonyeza 👇 ilinkuchart na mtaalamu
https://wa.me/+255757223987

Kwa masomo. Mbali mbali kuhusu Afya  Tuma neno Afya Kwenda Dr Seen 0765325005
18/12/2022

Kwa masomo. Mbali mbali kuhusu Afya Tuma neno Afya Kwenda Dr Seen 0765325005

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255757223987

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dk Farhaty posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share