AFYA & PESA

AFYA & PESA WATAALAMU WA TIBA LISHE, TUNAWASAIDIA WATU KUTATUA MATATIZO MBALIMBALI YA KIAFYA KWA NJIA YA ASILIA. KARIBU TUKUHUDUMIE.

KAMA UNASUMBULIWA NA MATATIZO KAMA BAWASILI( KUOTA KINYAMA KTK NJIA YA HAJA KUBWA), TEZI DUME, MIFUPA, PRESHA, KISUKALI HOMON INBALANCE KWA WANAWAKE, PID NA MATATIZO KWA WATOTO, USITESEKEE TIBA YAKE IPO. PIA TUNA PROGRAMU YA KUPUNGUZA UZITO & UNENE/ TUMBO KWA NJIA YA ASILI KABISA ( BILA KUFANYA DIET WALA KUHARISHA) NA KUUWEKA MWILI WAKO KATIKA MUONEKANO MARIDHAWA.

05/12/2020

Mfumo mbovu wa Mmeng'enyo wa chakula husababisha matatizo mengi ya Kiafya, km vile Kupata choo Kigumu,
Gesi tumboni,
Vidonda vya tumbo,
Bawasiri (Kinyama ktk njia ya haja kubwa).

Pata Dawa ya Asili isiyo na Kemikali, inayoondoa Matatizo yote hayo Bila UPASUAJI.

0714108203, 0748106464

Vinapatikana katika Mazingira yako...?
30/11/2020

Vinapatikana katika Mazingira yako...?

Your body is the only Vehicle that will Carry you throw this Experience called LIFE...
20/10/2020

Your body is the only Vehicle that will Carry you throw this Experience called LIFE...

13/09/2020

JITIBU KIASILI - 0714108203

Afya ni kitu muhimu sana, linda Afya yako. K**a unasumbuliwa na mojawawapo ya matatizo haya.
: Bawasi (Kinyama katika njia ya haja kubwa)
: Kupata Choo kigumu
: Tezi dume
: Mifupa (Uti wa Mgongo)
: Homon imbalance
: PID (Kwa wanawake)
: Vidonda vya Tumbo
: Upungufu wa nguvu za kiume.. Nk
Tuwasiliane upate dawa ya uhakika
0714-108203

TATIZO LA WANAUME KUKOSA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA! Ndugu zangu leo napenda tulijadili tatizo la kukosa hamu ya kufa...
12/09/2020

TATIZO LA WANAUME KUKOSA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA!

Ndugu zangu leo napenda tulijadili tatizo la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa, kwa maneno mengine ya mitaani linaitwa tatizo la kukosa ny*ge. Kuna sababu nyingi zinazompelekea mtu kuwa na Tatizo hili K**a vile; Maradhi ya mida mrefu (Kisukari, Presha, UTI...) Wasiwasi, Uchovu, Kijichua, Ulaji na Mtindo wa maisha Nk..

Bahati nzuri ni kwamba kuna mambo unayoweza kuyafanya kupunguza ukubwa wa tatizo hili au kuliondoa kabisa. Watu wengine wanamini kuwa hamu ya kufanya tendo la ndoa inapungua kadri umri wa mwanamme unavyoongezeka. Wakati ni kweli kwamba hilo huwatokea wengi, SIYO LAZIMA kwamba hamu ya kufanya mapenzi ipungue umri unapoongezeka. Kuna idadi kubwa tu ya wanaume ambao hamu yao ya kufanya tendo la ndoa imebaki vilevile hata umri wao ulipokuwa mkubwa kabisa.

Acha Kuteseka Tiba Ipoo ya ASILI, unaweza kuyafurahia tena Mahusiano.. 0748106464

Our bodies only needs a loot of this things,  don't be distracted you cane live a deases FREE Life..
12/09/2020

Our bodies only needs a loot of this things, don't be distracted you cane live a deases FREE Life..

Ni kweli unaweza kuishi kwa kula matunda tuu..
02/09/2020

Ni kweli unaweza kuishi kwa kula matunda tuu..

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA & PESA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA & PESA:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram