Viungo Na Mifupa

Viungo Na Mifupa Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Viungo Na Mifupa, Medical and health, Dar es Salaam.

19/11/2024

UTOFAUTI KATI YA BONE MARROW NA SYNOVIAL FLUID (UTE UTE).
0656 793 841.

BONE MARROW.
-----------------------------
Bone marrow ni tishu laini zinazo patikana katikati ya mdupa au ndani ya mfupa.

Bone marrow hizi zinakua na rangi ya manjano na nyekundu.

Kazi ya bone marrow ni kuzalisha cells mabalimbali za damu ambazo ni...
-Red blood cells
-White blood cells
-Platelets

SYNOVIAL FLUID (UTE UTE).
-----------------------------------------------
Hiki ni kimiminika kinachopatikana kwenye maungio ya mifupa (joint's).

Kazi yake nikuweka ulainishi kwenye joint na kusaidia mfupa na mfupa viweze kupishana pasipo na msuguano.

Ute ute unahali ya kimiminika chenye kulendemka k**a mlenda au yai.

Hivyo mtu anapopata shida ya joint kutoa milio au mifupa kusagika maana yake nikua amekaukiwa na ute ute kwenye maungio ya mifupa yake au joint's zake

Inapaswa mtu huyu apate msaada wa virutubisho vitakavyo msaidia kulejesha ute ute kwenye joint zake au maungio yake.

Na k**a wewe unaesoma au kusikiliza ujumbe huu unachangamoto ya maungio yako au joint's zako kutoa milio, kuhisi maumivu na kusagika

karibu tuweze kukusaidia namna ya kulejesha ute ute kwenye joint's zako kwa kutumia virutubisho vyenye GlucosAmine na Chondroitine ya asili na vyenye ubora wa hali ya juu

Na tatizo lako litakwisha kabisa

Kwa mawasiliano zaidi
piga no - 0656 793 841.

゚ ゚viralシfypシ゚

15/11/2024

SULUHISHO LA MIFUPA KUSAGIKA NA KUISHIWA UTE UTE. 0656 793 841.

Makundi haya ya vyakula yatakusaidia kuulinda mwili wako dhidi ya magonjwa ya mifupa au kuongeza kasi ya uponyaji ikiwa tiyali unachangamoto ya mifupa. Viungo Na Mifupa.

Jielimishe kupitia video hii..

14/11/2024

SULUHISHO LA MIFUPA KUSAGIKA NA KUISHIWA UTE UTE. 0756 793 841. karibu upate suluhisho la Viungo Na Mifupa Wasafi TV Shilole

14/11/2024

Aina ya vyakula mgonjwa anavyokula pia vinaweza kukwamisha mchakato wa uponyaji kwa asilimia kubwa

Hususani haya magonjwa ambayo sio ya kuambukiza yanayotokana na mfumo wa maisha(life style)

Mgonjwa mwenye tatizo la mifupa kusagika (arthraits) na anauzito mkubwa anashauliwa kuepuka ainahii ya vyakula ili kupata matokeo chanya kwenye mchakato wa uponyaji watatizo lake.

Anashauliwa kuepuka vyakula vya
-Wanga kwa wingi
-Matumizi ya sukari
-Matumizi ya vinywaji vya viwandani
-Vyakula vyenye mafuta mengi
-Fast food
NK......

Hii itamsaidia kupunguza ukubwa wa tatizo lake na mchakato wa uponyaji kwenda sawa sawia
Kwa maana ulaji wa vyakula hivi au matumizi ya vyakula ivyo vimechangia kwa asilimia kubwa yeye kupata iyoshida

Kwaiyo mgonjwa akiepuka matumizi ya vyakula hivi na akatumia virutubisho vitakavyo msaidia kulejesha ute ute kwenye joint
baada ya muda ataona afya yake inaanza kuimalika na tatizo linalomkabili kubaki kuwa historia.

Kwaiyo K**a unapitia changamoto za mifupa kusagika au uzito mkubwa na haujapata suluhisho karibu tuweze kukusaidia kulitatua tatizo lako kwa virutubisho maalumu na bora kabisa.

Kwa mawasiliano zaidi piga no..0656 793 841.

13/11/2024

MATUMIZI YA GREEN TEA AU OLIVE OIL KWA MGONJWA WA ARTHRAITS YANAMANUFAA MAKUBWA ZAIDI.
.0656 793 841.

Vinasaidia kwa kiwango kikubwa sana..
-kupunguza maumivu
-kusaidia mchakato wa uponyaji uende vizuri
-kuondoa sumu mwilini
-kuondoa cholestrol iliyozidi mwilini
-kupunguza uzito
-kupunguza kasi ya uzee na uchakavu wa mwili kwa ujumla
Nk....

Unaweza kuvipata vitu ivi katika suppermaketi mbali mbali na ukavitumia ili vikusaidie katika mchakato wako wa uponyaji wa tatizo la Arthraits

K**a utataka ushauli kutoka kwangu karibu tuwasiliane kwa no 0656 793 841.

12/11/2024

Mmeng'enyo wa chakula unanafasi kubwa katika kukupa matokeo mazuri ya uponyaji ikiwa unatumia dozi ya kukusaidia kulejesha ute ute kwenye joint zinazo sagika.

K**a unapitia changamoto ya mmeng'enyo wa chakula
-hupati choo au haja kwa wakati
-gesi tumboni
-choo kigumu
-kiungulia
-acid iliyozidi tumboni
NK.....

Hali hii inachelewesha mchakato wa uponyaji wa tatizo lako la mifupa kusagika.

Hivyo unapaswa utatue changamoto ya mmeng'enyo ili mchakato wa uponyaji wa tatizo lako la mifupa kusagika uende ipasavyo kwa maana ya kukupa matokeo mazuri.

Karibu tukuhudumie tunatatua changamoto hizi kwa kutumia virutubisho vilivyotengenezwa katika ubora wa hari ya juu na nisalama kwa afya yako.

Kwa mawasiliano zaidi piga no 0656 793 841.

11/11/2024

SULUHISHO LA JOINT KUISHIWA UTE UTE NA MIFUPA KUSAGIKA.
0656 793 841.

Milio kwenye joint ni mojawapo ya taarifa au dalili inayo kutaarifu kuwa joint zako zinakaukiwa ute ute na zinaanza kusagika.

Na zinapo anza kusagika kinacho athirika zaidi kwanza ni gegedu.

Hivyo hupaswi kuupuuzia hii dalili ya milio kwenye joint maana ni hatua ya mwisho pindi tatizo la mifupa kusagika linapo anza kwa mtu.

Baada ya hapo ni madhara tu ndio mtu utaanza kuyaona.

Madhara yenyewe ni k**a vile...

-kushindwa kutembea vizuri
-maumivu kuwa makari sana
-joint kuvimba au kuwaka moto muda wote
-inaweza kumsababishia mtu ulemavu.
NK......

K**a unapitia changa moto hii karibu tuweze kuku tatulia tatizo lako kwa virutu bisho na changamoto yako itakwisha kabisa

Kwamawasiliano zaidi namnayakupata huduma piga no 0656 793 841..
゚viralシ2024fyp

10/11/2024

SULUHISHO LA MIFUPA KUISHIWA UTE UTE NA KUSAGIKA (ARTHRITS).
.0656 793 841.

Huu ni ugonjwa unao athiri joint na mifupa kwa ujumla
Ugonjwa huu unaweza kuanzia joint yoyote kwenye mwili wa mtu japo asilimia kubwa ya wagonjwa wa arthraits shidayao kubwa ni magoti

Kwaiyo nivyema kulitatua tatizo hili mapema pindi linapoanza kuliko kupambana nalo likiwa limefikia hatua ya juu zaidi

Hivyo k**a unapitia dalili hizi kwenye joint yoyote ya mwili wako na dalili hizo ni zakudumu au za mala kwa mala

Tambua yakua unapaswa uanze matibabu rasmi.

achana na kutumia njia za mkato au zisizoweza kukutatulia kiini cha tatizo lako k**avile.
kuchua, kumeza dawa za maumivu, kuvaa knee surpot hivi ni vitu vinavyo kusaidia kwamuda uku ukifanya jitiada za matibabu rasmi.

Kwaiyo k**a unapitia hali ya
- Maumivu.
-Milio kwenye joint.
-Joint kuhisi inawaka moto.
-Ugumu wa joint mojawapo kupishana au kuhisi mifupa inakak**aa.
NK....

Anza mapema kutumia virutubisho vikusaidie kulejesha ute ute na kuzilinda gegedu zako zisisagike

Kwamawasiliano zaidi piga no..0656 793 941.
゚viralシ2024fyp

08/11/2024

SULUHISHO LA MIFUPA KUSAGIKA. 0656 793 841.

K**aunapitia maumivu ya kiuno ambayo ni ya mala kwa mala au ya kudumu nivyema ukafanya vipimo mapema ili kutambua shida haswa ni nini

Lakini pia k**a umepima na imegundulika kuwa una changamoto za disc zachini yani L5 au S1-S5 karibu tukuhudumie.

Tunawasaidia watu wenyechangamoto k**ahizo kwa kutumia virutubisho maalum vyenye uwezo wa kuziimalisha disc za uti wa mgongo nakulesha ute ute pia.

K**a ungependa kupata huduma kwetu au ushauli karibu tuwasiliane kwa no..0656 793 841.
゚viralシ2024fyp

07/11/2024

SULUHISHO LA MIFUPA KUSAGIKA NA KUISHIWA UTE UTE.

Kutokulichukulia hatua tatizo la mifupa hususani uti wa mgongo kunaweza kupelea kuingia kwenye hatua isiyo nzuri ambsyo huwezi kuitibu kwa dawa mpaka ufanyiwe upasuaji

Disc za uti wa mgongo zinapo anza kuchakaa na kutema ute wake nistua ambayo sionzuri kwa usalama wa pingili za mgongo

Kwasababu baada ya disc kulika zaidi pingili ya eneohilo inaanza kutoka kwenye mpangilio wake au inakua haipo kwenye uwiano sawa na pingili zingine za uti wako

Hivyo ni vyema kutumia virutubisho ikiwa bado tatizo lako halijafikia hatua hiyo ili kuepuka madhara mengine k**a hayo yanayoweza kuepukika kwakutumia virutubisho

Karbu sana tuweze kukuhudumia
Kwa mawasiliano zaidi piga no...
0656 793 841.
゚viralシ2024fyp

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255656793841

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Viungo Na Mifupa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Viungo Na Mifupa:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram