
27/04/2025
UTAJUAJE K**A UNA FANGASI SUGU* ?👇
Kuna dalili nyingi zinazoonyesha kuwa una fangasi ukeni k**a zifuatazo;
1.Kuwa na miwasho sehemu za siri mara kwa mara
2.Vipele vidogo vidogo ukeni
3.Kutokwa na uchafu mweupe au wa rangi ya kijivu ukeni wenye harufu mbaya
4.Vidonda au kuwa na michubuko ukeni
5.Kutokwa na harufu mbaya ukeni
6.Kupatwa na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa au tumbo La chini
7.Kuvimba au kuwa mwekundu katika mdomo wa nje ya uke.
8.Kuwaka moto ndani na nje ya uke.
Je una dalili hizo? tuna tiba ZENYE UBORA kwa ajili ya Kukusaidia kutibu fangasi sugu na magonjwa Mengine Ya sehemu za siri
Offer maalumu ya siku 3 tu