Madam Ester

Madam Ester Good Health care

UTAJUAJE K**A UNA FANGASI SUGU* ?👇Kuna dalili nyingi zinazoonyesha kuwa una fangasi ukeni k**a zifuatazo;1.Kuwa na miwas...
27/04/2025

UTAJUAJE K**A UNA FANGASI SUGU* ?👇

Kuna dalili nyingi zinazoonyesha kuwa una fangasi ukeni k**a zifuatazo;

1.Kuwa na miwasho sehemu za siri mara kwa mara

2.Vipele vidogo vidogo ukeni

3.Kutokwa na uchafu mweupe au wa rangi ya kijivu ukeni wenye harufu mbaya

4.Vidonda au kuwa na michubuko ukeni

5.Kutokwa na harufu mbaya ukeni

6.Kupatwa na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa au tumbo La chini

7.Kuvimba au kuwa mwekundu katika mdomo wa nje ya uke.

8.Kuwaka moto ndani na nje ya uke.

Je una dalili hizo? tuna tiba ZENYE UBORA kwa ajili ya Kukusaidia kutibu fangasi sugu na magonjwa Mengine Ya sehemu za siri
Offer maalumu ya siku 3 tu

WOMEN FERTILITY KIT🤱🏻     Huenda wengi wenu mkawa mnajiuliza je women fertility kit na inafanya kaz soma nakala hapo chi...
15/04/2025

WOMEN FERTILITY KIT🤱🏻
Huenda wengi wenu mkawa mnajiuliza je women fertility kit na inafanya kaz soma nakala hapo chini na utapata kuelewa zaid

Hii kit ni nzuri k**a wewe ni mwanamke na unataman kuitwa m**s lakn umeshafanya vipimo vyote na huonekani kuwa na tatizo ningeshauri utumie hii kiti maana inafanya majukumu yafuatayo
👇

▶️inasaidia kupevusha mayai

▶️inasafisha mirija,ready kabis
a kupitisha Yai/mayai(kwa mapacha),na mbegu za kiume zinapita vizur kabisa

▶️inaweka kizazi vizuri kabisa,ready kupokea mtoto

▶️inaweka PH ya uke,vagina ile nzur inafaa kupitisha mbegu za kiume bila kuziua.

▶️inakufanya mwanamke upate ule UTE special unaovutika k**a ute mweupe wa mayai ukiwa siku za hatari,huu ute ni muhimu maana ndio ute special mbegu za kiume zinapitia kuingia ndani....

▶️zinaweka hormones Zikae sawa ka bisaaaaa
a zinazofanya upevushe mayai,udake mimba na ukipata mimba,Isitoke.

▶️INATIBU PID.inasafisha infection na uchafu wote. Na k**a imeonekana hupati MIMBA,lakin shida aijaonekana,basi unahitaji sanaaaa sanaaaa hii kit,package.
Piga..
0765170625

Unatafuta suluhisho la kweli kwa matatizo ya U.T.I, fungus na harufu mbaya sehemu za siri?Fermicare Cleanser ndiyo jibu ...
09/04/2025

Unatafuta suluhisho la kweli kwa matatizo ya U.T.I, fungus na harufu mbaya sehemu za siri?
Fermicare Cleanser ndiyo jibu lako!

Bidhaa yetu imesaidia wanawake wengi kurejesha afya ya uke na kujiamini tena. Imeundwa kwa mimea asilia, salama na yenye matokeo ya haraka.

Bei ya ofa: 60,800 TZS tu!
Usikubali kuishi kwa maumivu—chukua hatua leo!

Wasiliana nasi sasa kupitia WhatsApp: 0765 170 625.
Au tembelea duka letu: PREMIUM BEAUTY






.T.I

OFFA OFFA OFFALEO NATOA OFFER YA KIPEKEE  WAPENDWA WANGU 🥰UKINUNUA FEMICARE UNAPATA SABUNI YA ANATIC 1 BUREEE KABISAAOFF...
28/02/2025

OFFA OFFA OFFA

LEO NATOA OFFER YA KIPEKEE WAPENDWA WANGU 🥰

UKINUNUA FEMICARE UNAPATA SABUNI YA ANATIC 1 BUREEE KABISAA

OFFA HII Ni YAMUDA MFUPI IVYO ITAISHA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA

KARIBUNI SANA
65,000/=

UNAPATA FEMICARE & SABUNI 1😍😍

Kumbuka bidhaa hizi ukitumia Tatizo halijirudii tena

Ila unapata kwa offer kwa Tsh 65,000 tuu mbali na hapo sabuni ya Anatic itakufanya uwe mrembo na kumbendeza ngozi tunakupa bureeeee kabisaaaaa

kumbuka Thamani halisi ya sabuni ni 15,000 ila unapewa bureeeee kabisaaaa

Unakosaje offer hii kwa mfano zingatia inaisha muda wowote kuanzia sasa

11/02/2025

Ushawahi kujiuliza kwanini unatumia dawa nyingi kupambana na utokwaji wa uchafu wenye harufu mbaya ukeni lakini huponi..?
Madam wako kipenz 🥰
0765170625

📌Leo nakupa wazo dogo tu utaelewa ukifuatilia mpaka mwisho...

Iko hivi.👇👇

♻️Kinachofanya uchafu wenye harufu utokee ni uwepo wa MAJERAHA pamoja na WADUDU kwenye mfumo wa uzazi wako then Nini hutokea..??

🤔...JERAHA pamoja na WADUDU haya ni mazingira yanayozalisha uchafu wenye harufu kutokana na Maisha ya viumbe katika jamii hiyo kwenye kizazi chako.

🤷‍♀️...Huwa unafanya hivi unanunua dose (antibiotics) ambazo kazi yake ni kuua WADUDU na kinachobaki ni JERAHA.

🤦JERAHA .... Ama kidonda kikibakia huruhusu WADUDU tena kuja kuishi ndio maana wakati unatumia antibiotics kutatua changamoto ya kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya ukeni utajiona unaendelea vizuri ...

👉Hutokea hivyo kwa sababu kazi ya antibiotics imetimia imeua WADUDU kwenye MAJERAHA huoni utundu wao kuzalisha uchafu...

😭Baada ya siku chache kumaliza dawa shida hii hapa tena kwanini irudie ???

😭Unaamini umelogwa umeshindikana hapana..

Ebu twende👇

😭Nguvu ya antibiotics ikiiisha JERAHA huruhusu WADUDU wapya kuja kuendeleza kazi yao....

🤷‍♀️ Sasa ufanye Nini ndugu yangu?????

🥰Hakikisha unapata dose yenye sifa hizi utakuwa umekomesha 👇

Dose yenye uwezo wa ....

1️⃣ Kuua WADUDU ( bacteria fangus ,n.k)

2️⃣kuponesha MAJERAHA (kwenye kizazi Kuna smooth muscle uponyaji ni taratibu)

3️⃣ Kubalance pH ya uke na mfumo wa kizazi

4️⃣ Kukaza kizazi

5️⃣ Kusafishaa kizazi

6️⃣ Kubalance hormones zako

🌹 Ninacho kijua chenye uwezo huu ni tumia WOMEN FERTILITY KIT (Uzazi package)

🌴 Kwa tatizo la uvimbe, PID, Fangasi, UTI SUGU N.K Nitumie ujumbe Whatsapp

Homoni Ya Estrogen:Hii ni homoni ya k**e muhimu zaidi ambayo hutunzwa kwenye ovari, ini na huwasaidia wanawake wajawazit...
27/05/2024

Homoni Ya Estrogen:
Hii ni homoni ya k**e muhimu zaidi ambayo hutunzwa kwenye ovari, ini na huwasaidia wanawake wajawazito, huwasaidia wasichana kwenye ukuaji, husaidia pia kwenye kipindi cha ovulasheni. Wakati wa hedhi kuisha kabisa kiwango cha estrogeni hushuka.

Kazi Za Homoni Ya Estrogen:
1) Hufanya uke wa msichana uwe umekomaa ili awe tayari kushiriki katika tendo la ndoa na pia kushika mimba.

2) Homoni hii huwafanya wasichana wapate uchu wa ngono, au ashiki ya mapenzi na kwa njia hii huonekana k**a homoni ya uzazi wa wanawake.

3) Estrojeni pia husaidia mama anapokuwa mjamzito ili matiti yake yawe tayari kutoa maziwa ya kunyonyesha mtoto.

4) Homoni ya estrojeni ikishirikiana na homoni ya ukuaji (human growth hormone) husaidia katika ubalehe wa wasichana ambapo matiti yao madogo huanza kunenepa na kuwa makubwa.

Upungufu Wa Homoni Ya Estrogen:
Hii ni aina ya mvurugiko wa homoni ambao hutokea sana kwa wanawake waliofikia ukomo wa kujifungua hasa kuanzia miaka 45 na kuendelea na hasa kwa wale waliofikia ukomo wa hedhi ambapo kwa kitaalamu huitwa menopause, kwa upande wa kimo wanawake wembamba uathiriwa zaidi kuliko wanawake wanene. zifuatazo ni dalili za mvurugiko wa homoni ya estrogen;

Ushawahi kujiuliza kwanini unatumia dawa nyingi kupambana na utokwaji wa uchafu wenye harufu mbaya ukeni lakini huponi.....
26/05/2024

Ushawahi kujiuliza kwanini unatumia dawa nyingi kupambana na utokwaji wa uchafu wenye harufu mbaya ukeni lakini huponi..?
Madam wako kipenz 🥰

0765 170 625

📌Leo nakupa wazo dogo tu utaelewa ukifuatilia mpaka mwisho...

Iko hivi.👇👇

♻️Kinachofanya uchafu wenye harufu utokee ni uwepo wa MAJERAHA pamoja na WADUDU kwenye mfumo wa uzazi wako then Nini hutokea..??

🤔...JERAHA pamoja na WADUDU haya ni mazingira yanayozalisha uchafu wenye harufu kutokana na Maisha ya viumbe katika kizazi .

🤷‍♀️...Huwa unafanya hivi unanunua dose (antibiotics) ambazo kazi yake ni kuua WADUDU na kinachobaki ni JERAHA.

🤦JERAHA .... Ama kidonda kikibakia huruhusu WADUDU tena kuja kuishi ndio maana wakati unatumia antibiotics kutatua changamoto ya kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya ukeni utajiona unaendelea vizuri ...

👉Hutokea hivyo kwa sababu kazi ya antibiotics imetimia imeua WADUDU kwenye MAJERAHA huoni utundu wao kuzalisha uchafu...

😭Baada ya siku chache kumaliza dawa shida hii hapa tena kwanini irudie ???

😭Unaamini umelogwa umeshindikana hapana..

Ebu twende👇

😭Nguvu ya antibiotics ikiiisha JERAHA huruhusu WADUDU wapya kuja kuendeleza kazi yao....

🤷‍♀️ Sasa ufanye Nini ndugu yangu?????

🥰Hakikisha unapata dose yenye sifa hizi utakuwa umekomesha 👇

Dose yenye uwezo wa ....

1️⃣ Kuua WADUDU ( bacteria fangus ,n.k) na kuweka kinga kwa kuongeza bscteria wazuri

2️⃣kuponesha MAJERAHA (kwenye kizazi Kuna smooth muscle uponyaji ni taratibu)

3️⃣ Kubalance pH ya uke na mfumo wa kizazi

4️⃣ Kukaza kizazi

5️⃣ Kusafishaa kizazi

6️⃣ Kubalance hormones zako

🌹 Ninacho kijua chenye uwezo huu ni tumia WOMEN FERTILITY KIT (Uzazi package)

🌴 Kwa tatizo la uvimbe, PID, Fangasi, UTI SUGU N.K Nitumie ujumbe Whatsapp gusa hicho kitufe utawasiliana nami

DALILI ZA KUVIMBA KWA VIFUKO VYA MAYAI YA UZAZI (OVARIAN CYST)Uvimbe kwenye vifuko vya mayai ya mwanamke (o***y), hutoka...
26/05/2024

DALILI ZA KUVIMBA KWA VIFUKO VYA MAYAI YA UZAZI (OVARIAN CYST)

Uvimbe kwenye vifuko vya mayai ya mwanamke (o***y), hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya vifuko vya mayai ya mwanamke. Uvimbe huu hutokea kwa wanawake wa umri wowote ule na mara nyingi huonekana kwa wanawake waliofikia kikomo cha umri wa kupata ujauzito.

Sababu/ Mambo hatarishi yanayopelekea vimbe katika vifuko vya mayai: .
➢ Matatizo ya homoni hali hii hutokana na matumizi ya vidonge vinavyotumiwa kwa ajili ya kupevusha mayai bila ushauri wa daktari. .
➢ Ujauzito wakati mwingine uvimbe unaojitokeza huweza kukaa kwa kipindi cha ujauzito. .
➢ Endometriosis hii huwa ni hali inayosababisha seli za ukuta wa tumbo la kizazi kuota nje ya kifuko chako cha kizazi. Baadhi ya tishu zinaweza kushik**ana na vifuko vyako vya mayai na kutengeneza uvimbe. .
➢ Kutotibu maambukizi katika mfumo wa uzazi na mkojo k**a maambukizi ya bakteria k**a vile UTI, fangasi, magonjwa ya zinaa k**a pangusa(Chlamydia) au kisonono,

DALILI ZAKE;
➢ Maumivu kwenye nyonga hasa maeneo ulipo uvimbe. .
➢ Tumbo kujaa au kuwa zito. .➢ Tumbo kuunguruma. .
➢ Maumivu na kuhisi homa au kutapika. .
➢ Hali ya homa na uchovu kichefu chefu na kutapika .➢ Maumivu makali chini ya kitovu pembeni kushoto au kulia au pande zote. .
➢ Hedhi kuvurugika.
. ➢ Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.

Mwanamke asipotibu tatizo hili mapema anaweza kupoteza uwezo wake wa kubeba ujauzito/UGUMBA.

K**a umeshakumbana na madhara haya Thabith Personal Care NUTRITION CLINIC tuna virutubisho lishe/ tiba lishe mzuri sana ya kukusaidia na kuondoa madhara haya.

Ni dawa zinazotokana na mimea tiba na matunda pamoja na ushauri wa kitaalamu.

Wasiliana nasi

0765170625

*Acha Leo nikwambie tu ukweli  Ewe mwanamke....* Maswali yamekuwa mengi sana juu ya dawa gani ni sahihi ya kutibu maambu...
24/04/2024

*Acha Leo nikwambie tu ukweli Ewe mwanamke....*

Maswali yamekuwa mengi sana juu ya dawa gani ni sahihi ya kutibu maambukizi ya 👇👇👇
*✅fangasi...*
*✅Uti ....*
*✅PID...*
, *✅uchafu ukeni....*
*✅miwasho ....*
*✅maumivu wakati wa tendo la ndoa...*
*✅Uke mkavu...*
*✅Maumivu ya tumbo, mgongo,kiuno na nyonga nk...*

Ukweli ni kwamba utatumia sana Bidhaa za *antibiotics* kwa muda mrefu na hutopata matokeo yoyote..

Badala yake utasababisha ongezeko la bakteria wabaya ukeni na kuufanya uke kuwa dhaifu na wenye maradhi kila siku ...

Hutopona kwa dawa za *antibiotics au pain killers...*

Cha kusikitisha ni kwamba ,unamkuta mwanamke analalamika eti katumia dawa nyingi na hapati matokeo sahihi....

Ukimuuliza umetumia dawa gan ,anasema za hospital,ukimuuliza ni bei gan kila Moja atakwambia elf 3 au elf 5 dose ...

*Hebu fikiria tu mwenyew...👇👇* ...

Ukae na tatzo lako au changamoto Yako kwa Zaidi ya miezi 6 au Zaid ya mwaka,na unategemea kupona kwa thamani ya elf 5?...

*How comes?"Does it make sense?"*

Unatakiwa kujua kwamba hutopata Bidhaa Bora na sahihi ya kutumia kutibu changamoto yako Zaid ya " *TIBA LISHE"...TU.*

*WOMEN FERTILITYKIT* Ndo bidhaa sahihi na ya uhakika , imewasaidia wanawake wengi kurudisha furaha zao na Amani kiakili na kimwili...

Na wengine kurudisha furaha ya ndoa zao,Nina ushuhuda wa kutosha wa Bidhaa hii....

Njoo inbox Sasa tuzungumze namna gani unaweza kuipata Tiba Lishe Leo ya WOMEN FERTILITY KIT na uanze kutumia kuepuka Madhara makubwa baadae yatakayokufanya kutumia gharama kubwa Zaidi....

Njoo ujipatie Tiba Lishe ya WOMEN FERTILITY KIT Ili uokoe pesa nyingi za matibabu yasiyokuwa na faida zozote...


Madam Ester
BRIGHT PHAMATHETICAL
Call:0765170625
Dar es salaam.

KWANINI UNAKOSA ZIKU ZAKO ZA HEDHI AMA KUPITISHA MWEZI BILA KUONA SIKU ZAKO???  SOMA ELIMU HII UFAHAMU Unaweza kupitiliz...
02/01/2024

KWANINI UNAKOSA ZIKU ZAKO ZA HEDHI AMA KUPITISHA MWEZI BILA KUONA SIKU ZAKO???

SOMA ELIMU HII UFAHAMU

Unaweza kupitiliza siku zako za hedhi kwa sababu nyingi. Post hii itakueleza ni kwa nini umechelewa kupata siku zako.

Hizi ni baadhi tu ya sababu za kuchelewa kupata siku zako

1.Mimba

2. Stress

3. Vyakula

4. Hali ya hewa

5. Shughuli

6. Mabadiliko ya homoni

7. Maradhi



Mimba inaweza kuwa ni sababu ya kwanza ambayo watu huwa wanaifikiria. Hata hivyo mara nyingi mimba haiwi ni sababu ya kukosa hedhi.



Msongo wa mawazo au stress, inaweza kuwa ni moja ya sababu za msingi sana za kukosa hedhi. Msongo wa mawazo unaweza pia kusababisha ugonjwa.



Vyakula mara nyingi huwa ni chanzo cha kukosa hedhi. Angalia k**a umebadili utaratibu wa kula. Huwenda vyakula ndio vilipelekea hasa.



Matumizi ya dawa na baadhi ya njia za kudhibiti uzazi mara nyingi huchangia kukosa hedhi. Dawa za uzazi ambazo ni za homoni zinaweza kukukoseshea hedhi

jwa ushauri ama matibabu wasiliana nami

Address

UBUNGO
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Madam Ester posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram