naipenda afya yangu

naipenda afya yangu Tunatoa Ushauri Juu ya maswala mbalimbali ya kiafya kwa kutumia virutubisho Lishe

Mwanaume alie jichua Kwa mda mrefu na kuangalia video za ngono mara nyingi hupata Dalili zifuatazo 1]. Maumivu ya mgongo...
28/07/2024

Mwanaume alie jichua Kwa mda mrefu na kuangalia video za ngono mara nyingi hupata Dalili zifuatazo

1]. Maumivu ya mgongo,kiuono

2].Mwili kuwa na uchovu mda wote

3].Hofu na kutojiamini

4].Kupungukiwa na uwezo wa kufikli anapokuwa kwenye majukumu ya kula siku

5]. Kushindwa kushiriki tendo la ndoa kikamilifu

Unatakiwa ufanye nini ili kurudisha uwezo wako na nguvu zako za kiume fuata hatua hizi kuweza kujiokoa

HATUA 10 ZA KUACHA PUNYETO;

1]. ACHA KUANGALIA VIDEO ZA NGONO
2]. AMUA KUACHA
3]. JISHUGHULISHE
4]. FANYA MAZOEZI YA KEGEL
5]. TAFUTA MSAADA
6]. ONGEA NA MTU
7]. TAFUTA SAPOTI YA GROUP
8]. KUWA MVUMILIVU
9]. KUWA MKWELI
10]. VAA NGUO ZA ZIADA USIKU WAKATI WA KULALA

Fuata hatua hizo Kwa mda WA siku 30 mpka 90 utaweza kurudisha uwezo wako na kurudisha nguvu zako za kiume

Kila la kheri

Kwa Ushauri Binafsi call/ WhatsApp ☎️ 0752103399

"Je, unataka kuongeza nguvu zako za kiume kwa njia asilia na yenye nguvu? Hapa kuna siri iliyosahaulika ambayo inaweza k...
28/07/2024

"Je, unataka kuongeza nguvu zako za kiume kwa njia asilia na yenye nguvu?

Hapa kuna siri iliyosahaulika ambayo inaweza kuleta maajabu katika maisha yako ya kimapenzi

Kwa kutumia Mchanganyiko wa vitunguu swaumu punje 6, vitunguu maji, tangawizi, na Asali.

Rejesha utendaji wako wa kihinsia na nguvu zako za kiume kwa njia hii rahisi na ya asilia:

Hatua 1]: Vitunguu Swaumu Punje 6

Vitunguu swaumu ni tiba ya kale inayojulikana kwa kuboresha mzunguko wa damu,

ambayo ni muhimu kwa utendaji wa kijinsia.

Punje 6 za vitunguu swaumu zinaweza kuwa mkombozi wako.

Hatua 2]: Vitunguu Maji

Tumia vitunguu maji kuongeza nguvu zako na kuboresha afya ya moyo.

Vitunguu maji vinaweza kusaidia kudhibiti shinikizo la damu na kuboresha mzunguko wa damu,

jambo muhimu kwa nguvu za kiume.

Hatua 3]: Tangawizi

Tangawizi ni kiungo kingine cha ajabu kinachojulikana kwa kuboresha libido na kuongeza nguvu za kiume.

Inasaidia kudumisha nguvu na stamina katika tendo la ndoa.

Kwa kuunganisha vipengele hivi vyote katika mchanganyiko,

unaweza kufaidika na nguvu za kiume zilizoimarishwa, stamina, na kurudia bao la pili kwa ufanisi zaidi.

Hii ni njia ya asilia na salama ya kuboresha uzoefu wako wa kimapenzi.

Tumia siri hii ya asilia kwa uangalifu na utaona mabadiliko katika maisha yako ya kimapenzi."
Kwa Ushauri Binafsi call/WhatsApp ☎️ 0752103399

Mshike sehemu hizi vizuri  kabla kuanza kumuingilia atokaa akusahau kamwe.1]. MIDOMO YAKE.Tumia midomo yako,ulimi wako n...
28/07/2024

Mshike sehemu hizi vizuri kabla kuanza kumuingilia atokaa akusahau kamwe.

1]. MIDOMO YAKE.

Tumia midomo yako,ulimi wako na meno yako kuchezea mdomo wake wa juu na wa chini na umbusu kwa msisimko mkubwa. Kunyonya ulimi pia huchangia kuongeza kasi ya mwanamke kwenda kileleni.(usafi wa kinywa kwa wote wawili ni muhimu).

2]. UKE NA KINEMBE.

Tumia kidole chako cha kwanza cha mkono wa kulia polepole pitisha katika mfereji wa uke ukianzia chini (kutokea kwenye uke) ukipandisha juu, fanya hivyo mara kadhaa. Kutegemea umbo lako na urefu, unaweza kuchanganya zoezi hili na kunyonya matiti yake na hapo utaona upumuaji wake ukibadilika na majimaji yakiongezeka kwenye uke.

3]. MATITI YAKE.

Matiti yake ni sehemu muhimu sana kwa mwanamke k**a ilivyo kwa uke wake. Utampatia raha kamili mwanamke k**a utayapapasa papasa matiti yake utayaminyaminya kwa upole wa kimahaba, utayalambalamba na kuyanyonya.

4]. MASIKIO YAKE.

Wanawake wengi hupata burudani masikio yao yanapolambwa au kunyonywa au kupigwa busu.

5]. SEHEMU YA NYUMA YA SHINGO

Tumia ulimi wako kulamba sehemu ya shingo yake kwa mwendo wa kutekenya tekenya.Tumia ncha ya ulimi kutekenya tekenya kwa kufanya mduara na kuendelea kuchora mduara na kurudiarudia.

6]. SEHEMU YA NYUMA YA GOTI.

Sehemu ya nyuma ya goti ina miishio mingi ya mishipa ya fahamu na utashangaa jinsi ambavyo mwanamke atapata burudani kwa kuishughulikia vyema sehemu hii.

7]. SEHEMU YA NDANI YA MAPAJA.

Tumia ubapa wa kiganja chake kupapasa kwa ulaini sehemu ya ndani ya mapaja yake, fanya hivyo juu juu huku ukimbusu busu mapaja yake.

8]. MIISHO YAKE.

Miguu yake imejaa miishio ya mishipa ya fahamu kiasi ambacho baadhi ya wanawake wanaweza kufika katika kilele cha burudani ya tendo la ndoa kwa miguu yao kusuguliwa na kupapaswa.

9]. USO WAKE.

Mwanamke atafurahi sana utakaposhika uso wake katika hali ya mahaba na huku ukitabasamu. Wakati ukifanya hivyo unaweza kumbusu midomo yake, mashavu na kwenye paji la uso.

10]. HIPS ZAKE.

Sehemu hii ni moja ya sehemu ambazo zitamfanya mwanamke ajisikie amekubalika kabisa iwapo utashika wakati wa tendo la ndoa.

11]. G-**OT

Sehemu hii iko ndani ya uke ambayo inapata hisia kubwa sana ikibonyezwa bonyezwa.

NINI KINATOKEA UNAPOACHA KUJICHUA NA KUANGALIA VIDEO ZA NGONO Siku ya 01/60bila video za ngono & nyeto. Kuangalia video ...
27/07/2024

NINI KINATOKEA UNAPOACHA KUJICHUA NA KUANGALIA VIDEO ZA NGONO

Siku ya 01/60bila video za ngono & nyeto.

Kuangalia video za ngono na  kujichua unajiharibu mwenyewe, gharama zake ni kubwa na utazilipia.

Unatakiwa kuacha na kuanza rasmi kuhesabu siku 90 hadi 100 bila kuangalia video za ngono wala kupiga punyeto (Semen retention).

Hii ni moja ya experience niliyowahi kupitia wakati naacha uchafu huo;

SIKU YA 1-6
- Utakuwa na wakati mgumu sana
- Ubongo utaanza kupungua ukungu
- Kujiamini kutaongezeka kidogo

SIKU YA 7-30
- Testosterone itapanda kwa kasi
- Kujiamini kutaongezeka sana
- Utaanza kupata positive energy
- Misuli ya uume itaanza kupona na kuwa imara

SIKU YA 31-50
- Ongezeko la nguvu zaidi
- Ngozi kunawiri & Nywele kustawi
-Aibu itaondoka na misuli ya uume kukua tena
- Utaanza kuwapenda wanawake & s*x halisi

SIKU YA 51+
- Utaboresha nidhamu yako
- Utazingatia malengo yako
- Utaweza kuongea na wanawake hovyo
- Utapata ustawi wa juu wa maisha

S*x energy ni kitu chenye nguvu sana kimwili na kiroho. Itumie energy hiyo kuboresha maisha yako.

Acha kuangalia p***o & punyeto na

Jitibu kwa kufanya mazoezi sahihi ya kegels, kula matunda manne muhimu, kutumia mchanganyilko wa habati soda na kutorudia kabisa uchafu huo.

Kwa Ushauri Binafsi call/ WhatsApp ☎️ 0752103399

Sio kila anayewahi kufika kileleni ni tatizo,Sababu zingine huwa ni1].Kutofanya mara kwa mara2].Kushindwa kuitawala akil...
27/07/2024

Sio kila anayewahi kufika kileleni ni tatizo,

Sababu zingine huwa ni

1].Kutofanya mara kwa mara
2].Kushindwa kuitawala akili
3].Kushindwa kutawala pumzi

Tunaodumu muda mrefu kwenye tendo hatujabarikiwa ila tunajua kutawala pumzi

Ukiona unakaribia kumaliza vuta pumzi kubwa achia taratibu.

Kila la kheli

Kwa Ushauri Binafsi call/ WhatsApp ☎️ 0752103399

Kuna wakati mwanaume upo na mwanamke mzuri, mrembo na  kafika kitandani lakini jitihada za kusimamisha uume zinagonga mw...
26/07/2024

Kuna wakati mwanaume upo na mwanamke mzuri, mrembo na  kafika kitandani lakini jitihada za kusimamisha uume zinagonga mwamba. 🥺

Anakusaidia kuisimamisha, atakushika hapa na kule baada ya dk 30 inasimama lakini kinyonge sana, unaanza s*x hata dk 3 hazifiki umeshamwaga.💦 🤗

Unafadhaika, unaumia moyo, mwanamke ni mzuri, anakuvutia kwa Kila kitu lakini Mwili wako hauwezi kitu.

Anakuuliza mbona unakuwa mnyonge?

Kwanini una hali hiyo?

Unakosa majibu, roho inauma, unawaza ni punyeto au kukosa Lishe? na je ukisema kwasababu ya punyeto atakuelewa au itakuwa aibu tu..?

Unaishia kuomba muonane siku nyingine labda utapata kujiamini...Cha ajabu unakutana na yale yale.😔

Kila unayemuomba ushauri hakusikilizi...

Wanaishia kukusema, unaingia mtandaoni lakini cha ajabu na wao wanaishia kukupiga hakuna suluhisho wanakupatia ni kula pesa yako bure tu..!

DAAAAH.....!!!!

Pole sana kwa mapito unayopitia kwasababu maumivu yako hayabebeki, wanawake wanakudharau, umeishia kuwa single, huoni tumaini...!

1]. Kwanza unahitaji counseling kwasababu inawezekana hauna tatizo ila tu saikolojia yako imeathiriwa.

2]. Pili, unahitaji program ya usimamizi, elimu juu ya afya yako ya uzazi, viungo na mfumo wako wa uzazi, Kuanzia misuli ya Uume, mishipa ya damu, na mitindo imara ya maisha.

3].Tatu, kuzingatia maelekezo ya lishe bora na codes, itakusaidia,  kuimarisha uwiano wa hormones zako, uzalishaji wa mbegu, kuongeza hamasa ya tendo (Lobido) ambapo utaweza kurudia tendo na kupiga show kwa muda mrefu.


K**A NI MTU WA SEKUNDE [40] FANYA HIVI,

Tikiti robo, limao 1 & Tangawizi 1 kubwa weka maji glass moja na saga kwa pamoja.

-Usisahau kutoa mbegu za Limao na maganda ya nje.

Kunywa nusu saa kabla, utaenda hadi dakika 40. (itaongeza hamu na kuzuia kumaliza haraka)

Kila la Kheri.

Kwa Ushauri Binafsi Tupigie/ WhatsApp ☎️ 0752103399

Mambo 7 usiyoyajua kuhusu uume Maumbile ya mwanaume ni mojawapo ya mada zinazojadiliwa kwa muda mrefuKuanzia kuangalia u...
26/07/2024

Mambo 7 usiyoyajua kuhusu uume

Maumbile ya mwanaume ni mojawapo ya mada zinazojadiliwa kwa muda mrefu

Kuanzia kuangalia ukubwa, urefu na ufanisi wake katika tendo

Leo nataka nikujuze mambo saba usiyoyajua kuhusu uume

1. Mzunguko mzuri wa damu ndo unafanya uume usimame vizuri

2. Uume unatofautiana kwa urefu na upana

3.Uume ni mrefu zaidi ya unavyoonekana

4. Ukubwa wa mguu au vidole hauhusiani na saizi ya uume

5. Uume unaweza kuvunjika

6.Uume kusimama hakumaanishi umepata msisimko wa kimapenzi

7.Kadri ya umri unavyosogea hivyo ndivyo hisia na mzunguko wa damu unavyopungua kwenye uume

Kwa Ushauri Binafsi Tupigie ☎️ 0752103399

Je umekuwa ukipitia Hali ya kushindwa kushiriki tendo la ndoa vizuriHali ambayo inakunyima Amani na kukukosesha furaha k...
26/07/2024

Je umekuwa ukipitia Hali ya kushindwa kushiriki tendo la ndoa vizuri

Hali ambayo inakunyima Amani na kukukosesha furaha katika ndoa yako

Usijali naelewa changamoto yako unachotakiwa kufanya andaa mchanganyiko wa vitu vifuatavyo kisha tumia

Ndani ya wiki moja utaona maajabu katika ndoa yako

MAHITAJI MUHIMU ANDAA

1]. Tangawizi mbichi ukubwa wa kidole gumba

2]. Mdalasini (wa unga) nusu kijiko cha chai

3]. Maji safi kikombe kikubwa kimoja na robo

4]. Asali kijiko kikubwa 1-2

5].Sufuria na kikombe kikubwa

6]. Moto 🫕

JINSI YA KUIANDAA

1]. Osha tangawizi yako kisha isage au itwange vizuri

2]. Chemsha maji, tangawizi na mdalasini hadi uhakikishe vimenganyanyika vizuri

3]. Ipua kisha iache ipoe kidogo

4]. Chuja na mimina kwenye kikombe

5]. Ongeza asali vijiko viwili vya chai kwenye kikombe

JINSI YA KUITUMIA

1]. Hii ni lishe bora, pendelea kutumia mchanganyiko huu walau mara tatu kwa wiki, utakusaidia kuboresha afya yako

Hii ni tiba lishe yenye faida zifuatazo

1]. Kuongeza Testosterone

Asali ikichanganywa na tangawizi na mdalasini husaidia kuongeza kiwango ya homoni ya testosterone, homoni hii ni muhimu katika uzalishaji wa manii zenye ubora, hii husaidia kuongeza uwezo wake wa kumpa mwanamke ujauzito.

2]. Kuongeza Hamu

Husaidia kuongeza hamu na kusisimsha mwili wakati wa tendo la ndoa.

3]. Mzunguuko mzuri wa damu kwenye uume Husaidia uume kuwa imara za kusimama muda mrefu wakati wa tendo la ndoa.

4]. Kuongeza Nishati Wakati wa tendo la ndoa mwili wa mwanaume huhitaji nguvu ili kufanya mapenzi kwa ufanisi zaidi.

Kwa Ushauri binafisi Tupigie ☎️ 0752103399

Hatua za kutibu tatizo la Kuwahi Kufika Kileleni HARAKA1] Start and stop and squeeze methodsNjia hii inafanyika kwa kuin...
25/07/2024

Hatua za kutibu tatizo la Kuwahi Kufika Kileleni HARAKA

1] Start and stop and squeeze methods

Njia hii inafanyika kwa kuingiza uume taratibu ukeni na kupump kwa sekunde chache kisha unatulia kwa dakika mbili mpaka uume ukaribie kulegea. Kisha endelea tena kufanya tendo. Rudia hili zoezi mmpaka ujione umezoea mazingira ya ndani ya uke.

Njia ya pili ya squeeze ni kwamba mpenzi wako anaamsha hisia mpaka uume unasimama imara, kisha anafanya k**a kuukamua mpaka ulegee.

Hii itakusaidia kuzoea msisimko wa kimapenzi kabla hujafika kileleni, ili ujizuie kumwaga mapema.

2] Mazoezi Ya Nyonga

Baadhi ya mazoezi ya nyonga yanaweza kukusaidia. Mfano wa mazoezi hayo ni kegel exercise.

3] Kupunguza Msisimko Wa Kimapenzi

Kupunguza msisimko wa kingono inaweza kukusaidia kuchukua muda mrefu bila kumwaga mbegu.

Kuvaa kondomu wakati wa tendo kunapunguza msisimko na ukaweza kwenda dakika nyingi bila kufika mshindo.

4] Pendelea pia kula vyakula vyenye madini ya zinc kwa wingi k**a karanga, korosho na mbegu za maboga zitakusaidia.

NB: Zungumza Na Mwezi Wako

K**a unapata tatizo la kuwahi kufika kileleni mara kwa mara ongea na mpenzi wako, mweleze tatizo hili.

Kuliko kulipuuza na kusingizia stress za ofsini na kazi nyingi. Kuwa mpole na muongee kwa kina juu ya tatizo.

Wote kwa pamoja mnatakiwa kufahamu kwamba

1] tatizo linatibika

2] changamoto inawatokea wanaume wengi

3] tiba ya tatizo litayajenga zaidi mahusiano yenu

4] tiba inaanzia kwenye kujua na kushugulika na chanzo cha tatizo kwanza.

Kwa Ushauri binafisi Tupigie ☎️ 0752103399

Nini Maana Ya Kuwahi Kufika Kileleni?Kufika kileleni kwa mwanaume ni kitendo cha kumwaga mbegu kutoka kwenye uume wakati...
25/07/2024

Nini Maana Ya Kuwahi Kufika Kileleni?

Kufika kileleni kwa mwanaume ni kitendo cha kumwaga mbegu kutoka kwenye uume wakati wa kufikia mshindo.

Kuwahi kufika kileleni ni pale mbegu zinapotoka mapema zaidi kuliko wewe na mwenzi wako mlivyotarajia.

Pengine wakati wa kumuandaa mwanamke au umeingiza uume sekunde chache tu umemwaga mbegu. Kitaalamu tatizo huitwa premature ejaculation(PE)

Kuwahi kufika kileleni kunaweza kuchangiwa na changamoto za kiafya ikiwemo matatizo ya kisaikolojia k**a

1] msongo mawazo kupitiliza

2] hofu ya kushindwa kumridhisha mpenzi wako

3] wasiwasi wa kutokuwa mzoefu wa kimapenzi kuliko mpenzi wako (pengine unahisi atakucheka na kukudharau)

4] changamoto za kutoridhika kimapenzi kwenye uhusiano wako uliopita

5] Changamoto zingine za kimwili zinaweza kuchangia kuwahi kufika kileleni. Mfano k**a una tatizo la uume kutosimama vizuri inaweza kukufanya uwahi kumwaga kabla uume haujalegea.

Tiba Ya Kuwahi Kufika Kileleni.

Kwa kiasi fulani unaweza kutibu tatizo kwa kurekebisha mtindo wa maisha na vyakula.

Pia unaweza kujaribu michezo mingine ya kimahaba kwa nusu saa kabla ya kumuingilia mwanamke. Hii itapunguza ule muhemko na presha ya tendo.

Kwa Ushauri binafisi Tupigie ☎️ 0752103399

VYAKULA VYA KUONGEZA MBEGU ZA KIUME KWA HARAKA .Twende pamoja tuchambue aina hizi saba za vyakula vinavyo ongeza kiwango...
25/07/2024

VYAKULA VYA KUONGEZA MBEGU ZA KIUME KWA HARAKA .

Twende pamoja tuchambue aina hizi saba za vyakula vinavyo ongeza kiwango cha mbegu za kume kimoja baada ya kingine.

1. MAYAI:
Huongeza idadi ya mbegu za kiume kwani yana protini, virutubisho vilivyomo kwenye mayai husaidia katika utengenezaji wa mbegu za kiume zenye nguvu na afya bora.

2. MCHICHA:
Una folic acid ambayo ni muhimu kwa ukuaji wa afya ya manii.

3. NDIZI:
Zina vitamin A,B1 na C ambazo husaidia mwili kutengeneza chembechembe za mbegu za kiume zenye afya na nguvu zaidi.Idadi ya manii pia inategemea hizi vitamini.

4. CHOKOLETI NYEUSI:
Imepakiwa na asidi ya amino iitwayo L-arginine HCl ambayo imethibitishwa kuchangia ujazo wa viwango vya juu vya mbegu za kiume.Ulaji kwa kiasi kidogo unaweza kuboresha idadi ya mbegu kwa kasi.

5. KARANGA:
Ni chanzo kizuri cha mafuta yenye afya na protini. Mafuta yenye afya yanahitajika kwa ajili ya utengenezaji wa membreni ya seli kwa seli za manii.Asidi hizi zina mafuta ya omega-3 ambayo husaidia kuongeza ujazo wa mbegu za kiume kwa kuongeza mtiririko wa damu kwenye korodani.

6. MBEGU ZA MABOGA:
Zina phytosterol ambayo inajulikana kuboresha uzalishaji wa testosterone katika mwili.Zina mafuta yenye asidi ya omega-3 ambayo kuboresha mzunguko wa damu na kuongeza kiasi cha mbegu.

7. VYAKULA VYA ZINKI:
Zinki inajukumu kubwa katika utengenezaji wa seli za mbegu za kiume.Vyakula k**a maharage, nyama nyekundu vina zinki nyingi na vinapaswa kujumuishwa katika lishe yako ili kuwa na idadi kubwa ya manii.

HITIMISHO.
Kwa uhitaji wa virutubisho vya kuongeza nguvu za kiume Kwa haraka, wasiliana nasi kwa simu namba ☎️0752103399.


Epuka matumizi ya madawa ya kuongeza nguvu za kiume, booster, Nihatari kwa afya yako.Fanya mazoezi ya KEGEL kila siku kw...
24/07/2024

Epuka matumizi ya madawa ya kuongeza nguvu za kiume, booster, Nihatari kwa afya yako.

Fanya mazoezi ya KEGEL kila siku kwa DK 20 Hadi 30,

Usitafute nguvu za kiume tafuta Uimara wa homoni yako ya Testosteroni, 📌📌📌

☎️ 0752103399
☎️ 0752103399

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255752103399

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when naipenda afya yangu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to naipenda afya yangu:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram