Medical Stores Department (MSD)

Medical Stores Department (MSD) MSD is annually audited by CAG and has fully-fledged competent internal audit Unit that oversees internal controls effectiveness.

Medical Stores Department (MSD) was established by the Act of Parliament No.13 of 1993 as an autonomous department under the Ministry of Health, responsible for developing, maintaining and managing an efficient and cost effective system of procurement, storage and distribution of approved medicines and medical supplies required for use by the public health services as the Ministry of Health may from time to time approve. Board of Trustees is the highest decision-making body that governs and set the directions of MSD on behalf of the Minister for Health, The Board composed of nine(9) members appointed every three years. The Chairman appointed by the President of the United Republic of Tanzania, eight (8) members are appointed by the Minister responsible for health.The Board is comprising of a multidisciplinary team including eminent public servants, scientists, practicing medical doctors, lawyers, accountants, professors and renowned economists. To implement its responsibilities the Board operates through three committees namely; Audit and Risk Management Committee that provides the management with accurate information on the effectiveness of risk management and internal controls including regulatory compliance by the Department; Technical Services Committee that handles all matters related to quality of medicines and medical supplies together with management expired medicines. Finance and Administration Committee tha is mandated in handling all matters related to MSD Financial Management, Human Resources Management and Administrative functions of the Department. The Board delegates the day to day management of the department operations to Director General who is appointed by the President of the United Republic of Tanzania. The administrative functions and operations of Department are carried by and through the Executive Management Team (EMT).The EMT is constituted by the Director General, Director of Human Resources and Administration, Director of Finance and Planning, Director of Logistics, Director of Procurement, Director of Information and Communication Technology, Director of Customer Service and Zonal Operations as well as Chief Legal Counsel. The departnment operates through eight zonal stores in Dar-es-salaam, Mwanza, Iringa,Moshi,Mbeya,Tabora, Dodoma and Mtwara suppoted by two Sales Points in Tanga and Muleba.

12/01/2026

Karibu ujionee namna Watumishi wa MSD walivyosherehekea maboresho mbalimbali ya huduma kwa kupandisha bendera ya MSD kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro

12/01/2026
*MSD YAENDELEA KUIMARISHA UHUSIANO NA WATEJA KUPITIA ZIARA ZA KIMKAKATI*Bohari ya Dawa (MSD), kupitia Dawati la Wateja W...
09/01/2026

*MSD YAENDELEA KUIMARISHA UHUSIANO NA WATEJA KUPITIA ZIARA ZA KIMKAKATI*

Bohari ya Dawa (MSD), kupitia Dawati la Wateja Wakubwa Makao Makuu kwa kushirikiana na Kanda ya MSD Mwanza, inaendelea kutekeleza ziara za kimkakati zenye lengo la kuimarisha uhusiano na kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja wake wakubwa nchini. Ziara hiyo ilianza rasmi tarehe 05 Januari 2026 ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wa muda mrefu wa MSD wa kuimarisha huduma jumuishi, zinazolenga mahitaji halisi ya wateja wake wakuu.

Kupitia ziara hiyo katika kanda ya MSD Mwanza, MSD ilitembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Simiyu kwa lengo la kuimarisha upatikanaji wa bidhaa za afya, hususan zile zenye mahitaji maalum, kwa kuzingatia uwepo wa wataalam bingwa waliopo hospitalini hapo.

Vilevile, MSD ilijadiliana na uongozi wa hospitali hiyo kuhusu uimarishaji wa usuluhishi wa miamala ya kifedha na dawa, pamoja na utatuzi wa changamoto na malalamiko mbalimbali ikiwemo masuala ya ubora wa vifaa tiba.

Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Simiyu, Dkt. Athanas Ngabakubi, ameipongeza MSD kwa kuendeleza ziara hizi za kimkakati, akieleza kuwa zimekuwa na mchango mkubwa katika kuboresha huduma kwa wateja wakubwa. Amebainisha kuwa kwa sasa bidhaa za afya zinafika hospitalini kwa wakati, upatikanaji wa dawa umeimarika kwa kiwango kikubwa, na mahusiano kati ya hospitali na MSD Kanda ya Mwanza yameendelea kuimarika.

Dkt. Ngabakubi ameongeza kuwa hali hiyo imewezesha hospitali kuboresha upatikanaji wa bidhaa za afya kwa kiwango cha takribani asilimia 95, ambapo sehemu kubwa ya bidhaa hizo hupatikana kupitia MSD Kanda ya Ziwa. Aidha, kupitia vikao mbalimbali vya wadau vinavyoendeshwa na MSD, hospitali imefanikiwa kuweka utaratibu wa ulipaji wa bidhaa za afya kwa malipo ya awali (Payment in Advance) kwa kutumia vyanzo vyake vya mapato ya kila mwezi kabla ya kuchukua bidhaa husika.

Kwa upande wake, Kiongozi wa Timu ya Wataalam kutoka MSD na Msimamizi wa Huduma kwa Wateja Wŕakubwa Makao Makuu bw. Michael Y. Bajile, ameeleza kuridhishwa na utayari wa hospitali kubwa kushirikiana kwa karibu na MSD katika kutatua

Watumishi 11 wa MSD leo wameandika historia ya kipekee kwa kufanikiwa kufika Kilele cha Mlima Kilimanjaro - Uhuru, ikiwa...
03/01/2026

Watumishi 11 wa MSD leo wameandika historia ya kipekee kwa kufanikiwa kufika Kilele cha Mlima Kilimanjaro - Uhuru, ikiwa ni kilele cha juu zaidi barani Afrika na fahari ya Taifa 🇹🇿.

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Florence Samizi amefanya ziara ya kikazi Bohari ya Dawa (MSD) kwa lengo la kufahamu namna taas...
01/01/2026

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Florence Samizi amefanya ziara ya kikazi Bohari ya Dawa (MSD) kwa lengo la kufahamu namna taasisi hiyo inavyotekeleza majukumu yake. Katika ziara hiyo Naibu Waziri amekutana na Menejimenti ya MSD na kupatiwa taarifa ya utendaji ya taasisi na kutembelea maghala ya MSD kujionea namna bidhaa za afya zinavyotunzwa.

Akizungumza na menejimenti ya MSD Dkt Samizi amesema maboresho katika uzalishaji, uagizaji, utunzaji na usambazaji wa bidhaa za afya yazingatie kumridhisha mwananchi ambaye anafika kituoni kupata huduma za afya.

  the Top
31/12/2025

the Top

Jumla ya Watumishi 31 wa MSD wamefanikiwa kufika kituo cha pili cha mlima Kilimanjaro– Horombo Hut, katika safari yao ya...
31/12/2025

Jumla ya Watumishi 31 wa MSD wamefanikiwa kufika kituo cha pili cha mlima Kilimanjaro– Horombo Hut, katika safari yao ya kufika kilele cha Mlima Kilimanjaro kupitia njia ya Marangu 💪🏽.

Safari hii imehusisha takribani kilomita 12 kutoka Mandara Hut, hadi Horombo Hut, na kufanya jumla ya kilomita 20 kwa miguu, kutoka Lango la Marangu hadi Horombo Hut.

Kituo hiki kipo umbali wa mita 3,720 juu ya usawa wa bahari, hatua muhimu inayohitaji uimara wa mwili na akili kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa na hewa ya mlima.

Mafanikio haya yanaonyesha ushirikiano, nidhamu na ari ya watumishi wa MSD katika kukabiliana na changamoto hadi kufikia malengo makubwa. Safari ya kuelekea kilele inaendelea! 🇹🇿✨

31/12/2025

30/12/2025

Hakika ni ukweli usiopingika kwamba maboresho ya huduma za upatikanaji wa bidhaa za afya kutoka MSD, yanaendelea kuleta matumaini mapya na kuridhika kwa wateja nchini kote.

Msikilize Bw. Haruna Omary Msehwa- Mteknolojia Mionzi, akieleza juu ya maboresho ya huduma za MSD

29/12/2025

Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na MSD, sambamba na wadau wengine, kwa mara nyingine tena wamesogeza huduma za afya karibu na wananchi wa Mkoa wa Arusha.

Karibuni tuwahudumie.

Address

Off, Nyerere Road, Keko Mwanga
Dar Es Salaam
9081

Opening Hours

Monday 07:30 - 15:30
Tuesday 07:30 - 15:30
Wednesday 07:30 - 15:30
Thursday 07:30 - 15:30
Friday 07:30 - 15:30

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Medical Stores Department (MSD) posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram