Medical Stores Department (MSD)

Medical Stores Department (MSD) MSD is annually audited by CAG and has fully-fledged competent internal audit Unit that oversees internal controls effectiveness.

Medical Stores Department (MSD) was established by the Act of Parliament No.13 of 1993 as an autonomous department under the Ministry of Health, responsible for developing, maintaining and managing an efficient and cost effective system of procurement, storage and distribution of approved medicines and medical supplies required for use by the public health services as the Ministry of Health may from time to time approve. Board of Trustees is the highest decision-making body that governs and set the directions of MSD on behalf of the Minister for Health, The Board composed of nine(9) members appointed every three years. The Chairman appointed by the President of the United Republic of Tanzania, eight (8) members are appointed by the Minister responsible for health.The Board is comprising of a multidisciplinary team including eminent public servants, scientists, practicing medical doctors, lawyers, accountants, professors and renowned economists. To implement its responsibilities the Board operates through three committees namely; Audit and Risk Management Committee that provides the management with accurate information on the effectiveness of risk management and internal controls including regulatory compliance by the Department; Technical Services Committee that handles all matters related to quality of medicines and medical supplies together with management expired medicines. Finance and Administration Committee tha is mandated in handling all matters related to MSD Financial Management, Human Resources Management and Administrative functions of the Department. The Board delegates the day to day management of the department operations to Director General who is appointed by the President of the United Republic of Tanzania. The administrative functions and operations of Department are carried by and through the Executive Management Team (EMT).The EMT is constituted by the Director General, Director of Human Resources and Administration, Director of Finance and Planning, Director of Logistics, Director of Procurement, Director of Information and Communication Technology, Director of Customer Service and Zonal Operations as well as Chief Legal Counsel. The departnment operates through eight zonal stores in Dar-es-salaam, Mwanza, Iringa,Moshi,Mbeya,Tabora, Dodoma and Mtwara suppoted by two Sales Points in Tanga and Muleba.

01/03/2026



  na familia yetu mtandaoni kupitia whatsap channel -tanzania.
01/03/2026

na familia yetu mtandaoni kupitia whatsap channel -tanzania.

*MSD YASHIRIKI MKUTANO WA MAWAZIRI WA AFYA NA MAWAZIRI WENYE DHAMANA YA MASUALA YA UKIMWI SADC*Bohari ya Dawa (MSD) imek...
27/02/2026

*MSD YASHIRIKI MKUTANO WA MAWAZIRI WA AFYA NA MAWAZIRI WENYE DHAMANA YA MASUALA YA UKIMWI SADC*

Bohari ya Dawa (MSD) imekuwa sehemu ya washiriki katika mkutano wa Mawaziri wa Afya na wanaoshughulikia masuala ya UKIMWI kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), uliofanyika jijini Johannesburg, nchini Afrika Kusini kuanzia tarehe 21 hadi 24 Februari, 2026.

Mkutano huo, uliwaleta pamoja viongozi wa sekta ya afya ambapo pamoja na mambo mengine walijadili mikakati ya pamoja ya kuboresha upatikanaji wa dawa na huduma za afya katika ukanda wa SADC. Miongoni mwa ajenda zilizowasilishwa ilikuwa ni Tanzania kuwa mwenyeji katika mpango wa kuanzishwa kwa taasisi ya ununuzi wa dawa kwa pamoja kupitia mfumo wa SADC Pooled Procurement Service (SPPS).

Kupitia mfumo huo wa SPPS, nchi wanachama zinatarajiwa kunufaika na ununuzi wa pamoja wa dawa na bidhaa za afya kwa gharama nafuu, kuongeza uwazi katika manunuzi, pamoja na kuimarisha upatikanaji wa dawa muhimu hususan za kukabiliana na UKIMWI na magonjwa mengine ya mlipuko.

Kwa upande mwingine, watalaam kutoka MSD walipata fursa ya kutembelea ofisi ya ubalozi Jijini Pretoria na kufanya mazungumzo na Mh. Balozi James Bwana. Mazungumzo hayo yalijadili fursa za kiuchumi zinazoweza kupatikana kupitia sekta ya afya, pamoja na kuimarisha zaidi uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na nchi zinazowakilishwa kupitia ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini ambazo ni Botswana na Lesotho.

Kwa ujumla, Ushiriki wa MSD katika mkutano wa Mawaziri na mazungumzo na balozi Bwana, ni hatua zinazoendelea kuchukuliwa na taasisi katika kuendelea kuunga mkono jitihada za serikali kwenye kuboresha sekta ya afya, kwa kuzingatia ushirikiano wa kikanda, ubunifu na matumizi bora ya rasilimali katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya kwa wakati.

27/02/2026
27/02/2026

Bohari ya Dawa (MSD) imeendelea na ubunifu wa matumizi ya mifumo katika utoaji wa huduma zake ikiwa ni pamoja na MSDconn...
27/02/2026

Bohari ya Dawa (MSD) imeendelea na ubunifu wa matumizi ya mifumo katika utoaji wa huduma zake ikiwa ni pamoja na MSDconnect na WEMIS lengo ni kuhakikisha huduma zake zinakuwa bora zaidi.

Akitoa maelezo kwenye maonesho ya Wiki ya Ubunifu inayoendelea chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), Afisa TEHAMA wa MSD Basso Sumawe ameelez kuwa pamoja na ubunifu huo MSD sasa inasambaza bidhaa mbalimbali zenye Tekinolojia ya Akili Mnemba (Artificial Inteligence) ambazo zinatumika kwenye vituo vya kutolea huduma za afya.

Sumawe amesema Katika zama hizi za mapinduzi ya kidijitali, teknolojia si chaguo tena bali ni hitaji la msingi katika kuboresha huduma za afya. “MSD, tunaendelea kuimarisha majukumu yetu kwa kujenga na kuboresha mifumo ya TEHAMA inaongeza ufanisi na thamani mnyororo mzima wa ugavi wa bidhaa za afya.Kwa sasa mfumo wa MSDconnect umeboresha usimamizi wa ununuzi, mfumo Fleet Management umeleta tija kwenye usambazaji wa bidhaa za afya na mfumo wa WEMIS umeboresha jinsi ya hifadhi dawa kwenye hali ya hewa stahiki”. Amesema Sumawe

Mifumo hii inabuniwa na kutengenezwa na wataalamu wa ndani ya MSD na ubunifu huo unaakisi uwezo mkubwa wa wataalamu wa MSD kutatua changamoto za mifumo ya mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya nchini.

26/02/2026

Pata elewa juu ya masuala na shughuli mbalimbali zinazo tekelezwa na MSD.

Pata elimu juu ya masuala mbalimbali, yanayohusu utekelezaji wa majukumu ya   na nafasi yake katika sekta ya afya.Ni kes...
25/02/2026

Pata elimu juu ya masuala mbalimbali, yanayohusu utekelezaji wa majukumu ya na nafasi yake katika sekta ya afya.

Ni kesho saa 12:30 asubuhi, kupitia Kumekucha ya ITV.

* *

  Siku ya Wanawake Duniani 2026
25/02/2026

Siku ya Wanawake Duniani 2026

Address

Off, Nyerere Road, Keko Mwanga
Dar Es Salaam
9081

Opening Hours

Monday 07:30 - 15:30
Tuesday 07:30 - 15:30
Wednesday 07:30 - 15:30
Thursday 07:30 - 15:30
Friday 07:30 - 15:30

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Medical Stores Department (MSD) posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram