16/02/2026
Upungufu wa madini ya chuma ndiyo sababu kuu ya upungufu wa damu duniani.
Hali hii inaweza kusababishwa na kupoteza damu, kuongezeka kwa mahitaji ya mwili, au kupungua kwa ufyonzwaji wa madini ya chuma.
Kuelewa chanzo ni hatua muhimu kabla ya kuanza au kuendelea na matumizi ya virutubisho.
—
Iron deficiency is the leading cause of anaemia globally.
It may result from blood loss, increased physiological demand, or reduced absorption.
Identifying the cause is important before long-term supplementation.
SerenOx Africa
Dar es Salaam