SerenOx Africa

SerenOx Africa Huduma za Kibingwa kwa magonjwa ya damu & maabara inayoleta utambuzi sahihi kwa gharama nafuu, Afrika

When Tanzania wanted to hold its first DNA Day Summit, we wanted to be there. And we were there.The Government Chemist L...
24/04/2026

When Tanzania wanted to hold its first DNA Day Summit, we wanted to be there. And we were there.
The Government Chemist Laboratory Authority presented SerenOx Africa with an Appreciation Award at the Tanzania DNA Day Summit 2026, in recognition of our commitment to DNA and Genomic Science in this country. To be part of this historic first summit has meant a great deal to our entire team.
Thank you GCLA, and to everyone building the future of genomic science in Tanzania alongside us. ๐Ÿ™๐Ÿ”ฌ
___
Wakati Tanzania ilitaka kuandaa mkutano wake wa kwanza wa DNA Day Summit, sisi pia tulitaka kuwepo. Na tulikuwepo.
Mamlaka ya Serikali ya Kemikali za Maabara (GCLA) ilitoa Tuzo ya Shukrani kwa SerenOx Africa katika Tanzania DNA Day Summit 2026, kwa kutambua mchango wetu katika sayansi ya DNA na Genomics nchini. Kushiriki katika mkutano huu wa kihistoria kumekuwa na maana kubwa sana kwa timu yetu yote.
Asante GCLA, na kwa kila anayejenga mustakabali wa sayansi ya genomics Tanzania pamoja nasi. ๐Ÿ™๐Ÿ”ฌ

Jana Dodoma, katika Tanzania National DNA Summit, tulishiriki mchango tunaotoa katika kuendeleza tiba inayolenga mtu mmo...
24/04/2026

Jana Dodoma, katika Tanzania National DNA Summit, tulishiriki mchango tunaotoa katika kuendeleza tiba inayolenga mtu mmoja mmoja hapa Tanzania.

Leo, siku ya pili. Karibuni sana kwenye banda letu.

โ€”

Yesterday in Dodoma at the Tanzania National DNA & Genomics Summit, we shared our story and the contribution we make to advancing precision medicine in Tanzania.

Today is day two. Karibuni sana, come by our stand.

Taasisi inayohifadhi afya yako.
The institution that keeps you well.

Precision medicine. Right here in East Africa. ๐ŸงฌTanzania's first specialised haematology clinic โ€” bringing NGS sequencin...
09/04/2026

Precision medicine. Right here in East Africa. ๐Ÿงฌ
Tanzania's first specialised haematology clinic โ€” bringing NGS sequencing, flow cytometry, bone marrow studies, and cancer wellness support to patients who need it most.

We started because the gap was real. We're still here because the need is real.

As a social enterprise, every test, every diagnosis, every result goes back into building something bigger โ€” equitable access to precision medicine across Sub-Saharan Africa.

This is who we are. This is what we do.

๐Ÿ“ Dar es Salaam, Tanzania
๐ŸŒ www.serenoxafrica.co.tz
๐Ÿ“ž 0657 879 109

Not all conditions are visible on routine blood tests.Serum Protein Electrophoresis (SPE) helps analyse blood protein pa...
26/03/2026

Not all conditions are visible on routine blood tests.

Serum Protein Electrophoresis (SPE) helps analyse blood protein patterns and supports further evaluation when results remain unclear.

It may be used when investigating:
โ€ข Unexplained anaemia
โ€ข Persistent fatigue
โ€ข Abnormal protein levels

๐Ÿ“žCall us at +255 679 338 696 (Tigo) or visit our website to book your tests and safeguard your health.

โœ…We accept Britam and GA Insurance.

๐ŸŒWebsite: serenoxafrica.co.tz
๐Ÿ“Address: 3 Kilombero St, Upanga
Available at SerenOx Africa.
----
Si kila tatizo linaonekana kwenye vipimo vya kawaida vya damu.

Serum Protein Electrophoresis (SPE) husaidia kuchambua muundo wa protini kwenye damu na kusaidia uchunguzi wa kina zaidi pale majibu ya vipimo vya kawaida yanapokuwa hayatoshi kueleweka.

Inaweza kutumika katika uchunguzi wa:
โ€ข Upungufu wa damu usioeleweka
โ€ข Uchovu wa muda mrefu
โ€ข Mabadiliko yasiyo ya kawaida ya protini kwenye damu

๐Ÿ“žPiga simu +255 679 338 696 (Tigo) au tembelea tovuti yetu kupanga vipimo na kulinda afya yako.

โœ…Tunapokea bima za Britam na GA Insurance

Clear imaging supports better decisions.Ultrasound services are used to assess pregnancy, organs, and blood flow, helpin...
23/03/2026

Clear imaging supports better decisions.
Ultrasound services are used to assess pregnancy, organs, and blood flow, helping guide clinical care.
Available services include obstetric, pelvic, breast, and Doppler studies.

๐Ÿ“žCall us at +255 679 338 696 (Tigo) or visit our website to book your tests and safeguard your health.

โœ…We accept GA Insurance.

๐ŸŒWebsite: serenoxafrica.co.tz
๐Ÿ“Address: 3 Kilombero St, Upanga

---
Upigaji picha sahihi husaidia kufanya maamuzi bora ya kitabibu.
Huduma za ultrasound hutumika kuchunguza ujauzito, viungo vya mwili, na mtiririko wa damu ili kusaidia mwelekeo wa matibabu.
Huduma zinazopatikana ni pamoja na obstetric, pelvic, breast, na Doppler.

๐Ÿ“žTupigie kwa +255 679 338 696 (Tigo) / +255 745 453 095 (Vodacom) au tembelea tovuti yetu ili uweke miadi ya kipimo chako na kulinda afya yako.

โœ…Tunapokea Bima ya GA.

๐ŸŒTovuti yetu: serenoxafrica.co.tz

๐Ÿ“Anuwani: 3 Kilombero St, Upanga

Upungufu wa madini ya chuma ndiyo sababu kuu ya upungufu wa damu duniani.Hali hii inaweza kusababishwa na kupoteza damu,...
16/02/2026

Upungufu wa madini ya chuma ndiyo sababu kuu ya upungufu wa damu duniani.

Hali hii inaweza kusababishwa na kupoteza damu, kuongezeka kwa mahitaji ya mwili, au kupungua kwa ufyonzwaji wa madini ya chuma.

Kuelewa chanzo ni hatua muhimu kabla ya kuanza au kuendelea na matumizi ya virutubisho.

โ€”

Iron deficiency is the leading cause of anaemia globally.

It may result from blood loss, increased physiological demand, or reduced absorption.

Identifying the cause is important before long-term supplementation.

SerenOx Africa
Dar es Salaam

Valentine Season OfferGet insights on your health at our Clinic this Valentine Season, come with a loved one Menโ€™s Set โ€”...
12/02/2026

Valentine Season Offer
Get insights on your health at our Clinic this Valentine Season, come with a loved one

Menโ€™s Set โ€” TZS 45,000 (TZS 5,000 per test)
Hormonal, prostate, and general health markers.

Womenโ€™s Set โ€” TZS 45,000 (TZS 5,000 per test)
Reproductive and general health markers.

These tests support clinical assessment and are interpreted within appropriate medical context.

Offer available until 28 February.
๐Ÿ“ 3 Kilombero Street, Upanga, Dar es Salaam
๐Ÿ“ž +255 679 338 696
Insurance: Britam, GA

Lishe si mtindo.Ni sehemu ya matibabu na afya ya muda mrefu.Katika kliniki ya SerenOx Africa, huduma za mtaalamu wa lish...
06/02/2026

Lishe si mtindo.
Ni sehemu ya matibabu na afya ya muda mrefu.

Katika kliniki ya SerenOx Africa, huduma za mtaalamu wa lishe zinazingatia vyakula vinavyopatikana na kuliwa hapa Tanzania, ili ushauri uwe wa vitendo na unaotekelezeka katika maisha ya kila siku.

12 mchana - 2 Jioni - Monday to Friday (Kwa miadi)
4 Asubuhi - 8 Mchana - Saturday Consultation - 30k
Kwa maelezo zaidi au kupanga miadi:
๐Ÿ“ž +255 679 338 696
___________

Nutrition is not a trend.
It is part of treatment and long-term health.

At SerenOx Africa, dietitian services are grounded in locally available Tanzanian foods, ensuring nutrition guidance is practical, realistic, and suitable for everyday life.

6 - 8PM - Monday to Friday (Appointments are encouraged)
10AM - 2PM - Saturday Consultation - 30k

For enquiries or appointments:
๐Ÿ“ž +255 679 338 696

05/02/2026

Siku ya Saratani Duniani hutukumbusha kuwa
saratani inaweza kumpata mtu yeyote.
Kwa uelewa, kinga, na uchunguzi wa mapema,
tunaweza kufanya maamuzi bora ya kiafya.
Uelewa huanza na sisi sote.

23/01/2026

Muone Daktari wa Wanawake SerenOx Africa.
Huduma za homoni, uzazi, afya ya hedhi na mipango ya uzazi โ€” kila Jumamosi kwa ushauri wa kitaalamu na wa kuaminika.

๐Ÿ•™ Kila Jumamosi | 10:00 asubuhi โ€“ 2:00 jioni
๐Ÿ“ž 0679 338 696
Miadi inapendekezwa
Tunapokea bima: AGA, Britam

EN:
See the Gynaecologist at SerenOx Africa.
Professional care for hormones, fertility, menstrual health and family planning โ€” available every Saturday.

๐Ÿ•™ Every Saturday | 10:00am โ€“ 2:00pm
๐Ÿ“ž 0679 338 696
Appointments recommended
Insurance accepted: GA Insurance, BRITAM

Fahamu kuhusu Saratani ya Shingo ya Kizazi๐Ÿ“ž Call/Tupigie: +255 679 338 696 (Tigo) / +255 745 453 095 (Vodacom)๐ŸŒ Visit/Te...
19/01/2026

Fahamu kuhusu Saratani ya Shingo ya Kizazi

๐Ÿ“ž Call/Tupigie: +255 679 338 696 (Tigo) / +255 745 453 095 (Vodacom)
๐ŸŒ Visit/Tembelea: serenoxafrica.co.tz to book your tests and safeguard your health / ili kuweka miadi ya kipimo chako na kulinda afya yako.

โœ… We accept / Tunapokea Bima ya GA. Na Britam
๐Ÿ“ Address / Anuwani: 3 Kilombero St, Upanga

08/01/2026

Hormone Testing Services
Get accurate and reliable hormone testing delivered by qualified professionals at Serenox Africa. Knowing your levels is the first step to understanding your health.
Tests Available:
๐Ÿ”น Fertility & Reproductive (Progesterone, Estradiol, FSH, LH, Testosterone)
๐Ÿ”น Thyroid Function (TSH)
๐Ÿ”น General Wellness (Prolactin, Beta HCG)
๐Ÿ’ณ Insurance Accepted: GA Insurance & Britam

---
Huduma za Vipimo vya Homoni
Pata majibu ya uhakika ya vipimo vya homoni kutoka kwa wataalamu waliobobea Serenox Africa. Kujua hali ya homoni zako ni hatua ya kwanza ya kuimarisha afya yako.
Vipimo Tunavyotoa:
๐Ÿ”น Afya ya Uzazi (Progesterone, Estradiol, FSH, LH, Testosterone)
๐Ÿ”น Tezi ya Shingo/Thairoidi (TSH)
๐Ÿ”น Afya kwa Ujumla (Prolactin, Beta HCG)
๐Ÿ’ณ Bima Tunazopokea: GA Insurance na Britam.

๐Ÿ‘‡ BOOK NOW / WEKA MIADI:
๐Ÿ“ž Call/WhatsApp: +255 679 338 696
๐ŸŒ Website: www.serenoxafrica.co.tz
Accurate assessment for better care. / Vipimo sahihi kwa huduma bora.

Address

3 Kilombero Street
Dar Es Salaam
11000

Opening Hours

Monday 08:30 - 20:30
Tuesday 08:30 - 20:30
Wednesday 08:30 - 20:30
Thursday 08:30 - 20:30
Friday 08:30 - 20:30
Saturday 09:00 - 15:00

Telephone

+255679338696

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SerenOx Africa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to SerenOx Africa:

Share

Category