29/07/2022
UVIMBE KWENYE KIZAZI UNATIBIKA BILA UPASUAJI
⚫ Uvimbe kwenye kizazi (Fibroids) na kwenye Mfumo wa mayai(Ovarian cysts) ni matatizo ambayo yanawasumbua wanawake wengi sana hasa katika zama hizi. Hali hii imepelekea wanawake wengi kushindwa kabisa kupata ujauzito na wengine ujauzito kutoka.
⚫ Wengi hutumia dawa nyingi bila mafanikio kwasababu wengi wanaojinadi kutoa matibabu ya tatizo hili hawajui njia sahihi za kukabiliana na tatizo hili,hali hiyo imepelekea watu kupoteza pesa nyingi sana na kuamini kwamba njia pekeee ya kutibu uvimbe ni UPASUAJI tu ilihali sio kweli kwasababu hata wanaofanya UPASUAJI uvimbe hurudi tena.
⚫ Njia sahihi ya kufanya matibabu ya Uvimbe kwenye kizazi ni kwanza kujua nini kinachosababisha uvimbe kwenye kizazi. Miongoni mwa visababishi vikubwa vya Uvimbe kwenye kizazi ni kuzidi kwa kiasi cha hormones mbili yaani PROGESTERONE & ESTROGEN. Hormone hizi kuzidi ndio sababu kubwa ya Uvimbe kwenye kizazi, hivyo huwezi kutibu uvimbe moja kwa moja bila kurekebisha mfumo wa hormones hizi.
⚫ Sisi tumegundua njia bora kabisa katika kutibu tatizo hili na wamefanikiwa wengi kutibu uvimbe kwenye kizazi bila Upasuaji. njia hii inahusisha urekebishaji wa mfumo wa hormones, kutibia athari za mfurugiko wa hormones ikiwemo uvimbe na kusafisha kizazi.
HUDUMA ZETU ZINAKUFIKIA POPOTE ULIPO NJE NA NDANI YA NCHI. Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kwa namba 0764915872 au 0623754981