
06/08/2025
π’ Boresha Ujuzi Wako, Imarisha Sekta ya Afya!
action medeor International Healthcare Tanzania
kwa kushirikiana na Baraza la Wataalam wa Maabara ya Afya (HLPC)
inawaletea:
π MAFUNZO YA MTANDAONI β ISO 15189:2022
Kwa Wataalam wa Afya
β
Yameidhinishwa na HLPC
β
Pointi 10 za CPD
β
Mtandaoni β Jifunze popote ulipo
β
Ada ni Tsh 10,000 kwa kila kikao
ποΈ Ratiba ya Mafunzo ni k**a ifuatavyo:
π Matakwa ya Usimamizi (Sehemu 8.6 β 8.9) β Septemba 12, 2025
π Matakwa ya Usimamizi (Sehemu 8.1 β 8.5) β Septemba 5, 2025
π Matakwa ya Mchakato β Agosti 29, 2025
π Matakwa ya Rasilimali β Agosti 22, 2025
π Utangulizi wa ISO 15189 β Agosti 15, 2025
π Usajili Unaendelea: Kuanzia Agosti 1, 2025
π Jisajili Kupitia: hprs.moh.go.tz
π² Namba ya MPESA LIPA: 5165895
π¬ Fursa ya kipekee kukuza ujuzi wa usimamizi wa ubora na viwango vya maabara. Usiikose!
π© Kwa mawasiliano zaidi:
π +255-793-370-371 | +255-793-370-363
βοΈ info@medeor.tz
π Kibaha, Pwani
π www.medeor.tz
π± |