AFYA CARE

AFYA CARE UZAZI KWA MWANAMKE NA MWANAUMEPID FUNGUSUTIHORMANE

SULUHISHO LA KUDUMU
�0789234678

🎋Unatokwa na uchafu ukeni wala usijali nipo kukusaidia na utapona kabisa 📞0️⃣7️⃣8️⃣9️⃣2️⃣3️⃣4️⃣6️⃣7️⃣8️⃣
09/11/2023

🎋Unatokwa na uchafu ukeni wala usijali nipo kukusaidia na utapona kabisa 📞0️⃣7️⃣8️⃣9️⃣2️⃣3️⃣4️⃣6️⃣7️⃣8️⃣

👉Je, mzunguko wa siku zako upo vizuri?👉je, unapata maumivu makali sana ya tumbo wakati wa hedhi?👉Je, una uvimbe kwenye k...
09/11/2023

👉Je, mzunguko wa siku zako upo vizuri?

👉je, unapata maumivu makali sana ya tumbo wakati wa hedhi?

👉Je, una uvimbe kwenye kizazi?

👉Je, unapata maumivu ya tumbo chini ya kitovu upande wa kulia na kushoto?

👉Je, unatokwa na uchafu wa aina yeyote ile ukeni?

👉Je, unapata siku zako vile inavyotakiwa? Yaani mzunguko wa siku zako upo sawa?

👉Je, unapata maumivu wakati wa tendo la ndoa?

👉Je, unapata ukavu wakati wa tendo la ndoa?

👉Je unakosa hisia za tendo la ndoa?

👉Je, huwa unapata ute wa uzazi siku za hatari (ovulation days)?

👉Je, ulishawahi kutoa ujauzito?

👉Je, umeshawahi kuugua P.I.D (mashambulizi ya bakteria kwenye kizazi)?

✅k**a jibu ni ndio kwa sababu mojawapo tajwa hapo juu basi hiyo ndiyo Sababu inayokuzuia kupata ujauzito.

👂🏾Je wewe unatatizo gani linakusumbua? Niambie sasahivi! Nikusaidie.

🥼NAMBIE LEO UNA CHANGAMOTO GANI NIKUSAIDIE KATI YA MATATIZO YAFUATAYO🌱Mvurugano wa hormones(Hormonal imbalance)🌱Maambuki...
09/11/2023

🥼NAMBIE LEO UNA CHANGAMOTO GANI NIKUSAIDIE KATI YA MATATIZO YAFUATAYO
🌱Mvurugano wa hormones
(Hormonal imbalance)
🌱Maambukizo Kwenye via vya uzazi PID (pelvic inflammatory disease)
🌱Uvimbe kwenye kizazi (Uterine fibroids)
🌱Kushindwa kunasa mimba kwa wakati ugumba (infertility)
🌱Uvimbe kwenye mfuko wa mayai (Ovarian cyst)
🌱Uvimbe maji PCOs (Polycystic ovarian syndrome
🌱Fangasi sugu (Candidas albicans)
🌱U.T.I sugu (Urinary track infection
🌱Kizazi kujaa maji maji
🌱Unatokwa na uchafu mzito k**a jibini sometimes mweupe k**a maziwa mtindi rangi tofuti njano,kijani, kahawia wai upate SULUHISHO tofauti na hapo hakuna rangi utaacha kuona huko chini

🌱Kukosa hamu ya tendo la ndoa
🌱maumivu ya mgongo nyonga
🌱maumivu chini ya kitovu
🌱Kukosa ute ute wa ovulation
🌱Mayai yako hayakomai na kipevushwa vizuri
🌱Kizazi kulegea
🌱uchi uko wazi muda wote
🌱Hufiki kileleni
🌱Chuchu zinatoa maziwa hali yakuwa hunyonyesh au una dalili zote za ujauzito na huna mimba

CHUKUA HATUA AFYA YAKO UTAJIRI WAKO NI RAHISI KUJISIKIA FURAHA K**A TU UKO NA AFYA

NIPIGIE SIMU TUONGEE NITAKUSHAURI VIZURI ZAIDI NDUGU IKIBIDI NIKUPE SULUHUHISHO SAHIHI LA TATIZO LAKO

Call me/whtsap
☎📞 0789234778

📌 *Matumizi ya P2 sio njia ya kupanga uzazi, ni njia ya dharura tuu!*😌*Sasa kuna wanawake wenzangu wanazila k**a peremen...
09/11/2023

📌 *Matumizi ya P2 sio njia ya kupanga uzazi, ni njia ya dharura tuu!*😌

*Sasa kuna wanawake wenzangu wanazila k**a peremende😁😁🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️...hivi unajua kwa ajili ya afya yako, unatakiwa kutumia p2 mara moja tuu katika mzunguko wako wa hedhi mmoja😁😁...mwezi huu mpaka sasa umetumia ngapi???*🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️

*NJIA YA DHARULA*

P2 au morning after pills ni vidonge vya kuzuia mimba baada ya kufanya tendo la ndoa (s*x) bila kinga (condom).

Vidonge hivi vina homoni iitwayo levonogesterol ambayo huenda kufamya kazi vema ,ikitumiwa ndani ya masaa 72 (siku tatu) baada ya kufanya mapenzi bila kinga.

Kiujumla P2 haina madhara ya muda mrefu ikitumiwa.Lakini ikitumiwa mara kwa mara inaweza sababisha
👉Damu kutoka ukeni siku chache baada ya kuitumia.
👉Kubadilisha siku za hedhi yako ya kawaida .So unaweza pata period siku chache kabla au siku chache baada ya tarehe ulizoexpect period yako ya kawaida.

Maudhi madogo mengine ni k**a:
👉kichefuchefu
👉kutapika
👉kuchoka
👉kichwa kuuma

*Je, wewe P2 zimekupa dalili gani?*🙋🏽‍♀️🙋🏽‍♀️

*BAADHI YA SABABU ZINAZO ATHIRI UTE WA UZAZI:*👉🏾Kutokunywa maji ya kutosha👉🏾Mpangilio mbovu wa milo👉🏾Mvurugiko wa homoni...
09/11/2023

*BAADHI YA SABABU ZINAZO ATHIRI UTE WA UZAZI:*
👉🏾Kutokunywa maji ya kutosha
👉🏾Mpangilio mbovu wa milo
👉🏾Mvurugiko wa homoni
👉🏾Madawa ya uzazi wa mpango
👉🏾Maambukizi
👉🏾Uvimbe
👉🏾Mirija kuziba
👉🏾Pombe/sigara
👉🏾Msongo wa mawazo/mfadhaiko/stress n. K

*🌹Mwanamke Kukosa Hedhi, Nini Chanzo Cha Tatizo..?*Katika Somo letu la leo tutalijadili tatizo la kukusa hedhi ambalo ki...
09/11/2023

*🌹Mwanamke Kukosa Hedhi, Nini Chanzo Cha Tatizo..?*

Katika Somo letu la leo tutalijadili tatizo la kukusa hedhi ambalo kitaalamu huitwa Amenorrhea. Mwanamke anakuwa na tatizo hilo pale ambapo anakosa hedhi kwa kipindi cha miezi mitatu mfululizo, au msichana ambaye hajaanza kupata hedhi akiwa na umri wa miaka 15.
Sababu ya kawaida ya kukosa hedhi ni ujauzito. Sababu nyingine ya kukosa hedhi ni dosari katika viungo vinavyojenga mfumo wa uzazi au tezi zinazosaidia kudhibiti viwango vya homoni katika mwili.
Tiba ya chanzo cha tatizo mara nyingi huondoa tatizo hili la mwanamke kukosa hedhi.

*🌹Aina za Amenorrhea*

1. Primary amenorrhea ni kukosekana kwa hedhi na mabadiliko ya kijinsia (k**a kuota maziwa na kuota mavuzi) kwa msichana wa miaka 14 au kukosekana kwa hedhi kukiwa na mabadiliko ya kijinsia kwa msichana wa miaka 16.

2. Secondary amenorrhea ni kukosekana kwa hedhi kwa mwanamke ambaye awali alikuwa anapata hedhi lakini baadaye akasimama kwa miezi 3 au zaidi bila ya kuwa na ujauzito, bila ya kuwa na maziwa ya kunyonyesha, bila kuzuia mzunguko wa wa hedhi kwa vidonge, au kukoma hedhi
Ili mwanamke awe na mzunguko wa hedhi mzuri, hypothalamus, tezi ya pituitary, ovari, na uterus vyote vinatakiwa vifanye kazi ipaswavyo.
Hypothalamus huiamuru tezi ya pituitary kutoa homoni za follicle-stimulating (FSH) na luteinizing (LH). FSK na LH husababisha ovari kutoa homoni za estrogen na progesterone.
Estrogen na progesterone zinahusika katika mzunguko wa mabadiliko katika endometrium (utando unaofunika uterus), pamoja na hedhi. pamoja na hayo yote, mkondo wa uke lazima uwe wazi ili kuruhusu damu ya hedhi.


*🌹Nini Kinasababisha Kukosa Hedhi..?*

Amenorrhea inaweza kutokea kwa sababu nyingi. Baadhi zikiwa ni za kawaida katika maisha ya mwanamke, wakati nyingine zikisababishwa na matumizi ya madawa au zikiwa ni ishara ya tatizo la kiafya.
Tatizo la kukosa hedhi linaweza kusababishwa na dosari yo yote kwenye hypothalamus, pituitary, ovari, mkondo wa uke au ya kiutendaji kimwili.

Visababishi ni pamoja na ...

▶️Ujauzito
▶️Kunyonyesha
▶️Kukoma hedhi
▶️Dawa za Kuzuia Mimba
▶️Mitindo Ya Maisha
▶️Kukosa Uwiano wa homoni

0789234678

💥Tafiti zinaonesha kwamba Matumizi ya antibiotics kwa muda mrefu husababisha kushuka kwa kinga ya mwili na wakati mwingi...
09/11/2023

💥Tafiti zinaonesha kwamba Matumizi ya antibiotics kwa muda mrefu husababisha kushuka kwa kinga ya mwili na wakati mwingine ndiyo maana unahangaika kutibia UTI kila mara na haiponi (inajirudiarudia)

09/11/2023
💥 K**a mtoto wako anapitia hii changamoto lipo suluhisho sahihi 📞0789234678
09/11/2023

💥 K**a mtoto wako anapitia hii changamoto lipo suluhisho sahihi 📞0789234678

🎋Karibu upate suluhisho LA ukweli na uhakikaCall 0789234678
09/11/2023

🎋Karibu upate suluhisho LA ukweli na uhakika

Call 0789234678

🎋  UTAJISKIAJE UKIPONA KABISA PID?(PID)Pelvic Inflammatory DiseaseNi Maambukizi kwenye via vya Uzazi VyaMwanamke. Huu ni...
09/11/2023

🎋 UTAJISKIAJE UKIPONA KABISA PID?

(PID)Pelvic Inflammatory Disease
Ni Maambukizi kwenye via vya Uzazi Vya
Mwanamke. Huu ni ugonjwa ambao hushambulia mfumo wa uzazi wa mwanamke

PID sio nzuri kwa Afya ya Uzazi, Kati ya wanawake 8 wenye PID sugu mmoja anakuwa Mgumba.

MADHARA YA PID KATIKA MFUMO WA UZAZI

📌Moja ya madhara makubwa ya PID ni
UGUMBA (infertility)
📌Mimba kutugwa nje ya kizazi (Ectopic pregnancy).
katika tatizo hili Mbegu ya kiume na yai huungana kutengeneza kiinitete kwenye mirija ya uzazi (follopian tube)Badala ya kupandikizwa kwenye mji wa mimba (Uterus)

📌Kwa mantic hiyo k**a mimba ikijipandikiza kwenye mirija ya uzazi (follopian tube)

Inakuwa na hatari ya kupasuka kadri mimba inavyokua Na kupelekea kupoteza damu nyingi sana
📌Mimba kutoka (miscarriage ).
📌Mirija ya uzazi kuziba.
📌Kizazi kujaa maji maji.
📌Husababisha uvimbe kwenye mayai (ovarian cyst).
📌Hormonal imbalance.
📌Saratani ya shingo ya kizazi unapo kaa na infection kwa muda mrefu.

UTAJUAJE K**A UNA PID?

Hizi Hapa Dalili Kuu 10 Hatarishi za P.I.D

➡️Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, kahawia au maziwa.
➡️Kuwashwa sehemu za siri.
➡️Uke kutoa harufu mbaya.
➡️Maumivu ya tumbo chini ya kitovu.
➡️Uke kuwa Mkavu sana
➡️Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
➡️Kuvurugika Kwa hedhi.
➡️Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi.
➡️Maumivu wakati wa kukojoa
➡️Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula.

MATIBABU YAKE
PID inatakiwa kutibiwa kuanzia ndani kwenye chanzo au kiini cha tatizo kwa Msaada zaidi wasiliana Nami kupitia namba 📞0789234678

Kwanini usipake mate wakati watendo landoa  hi nikwasababu kwenye mdomo kunabacteria wanaohusika katika swala LA kinywa ...
09/11/2023

Kwanini usipake mate wakati watendo landoa hi nikwasababu kwenye mdomo kunabacteria wanaohusika katika swala LA kinywa nakatika uke kunabacteria walioko kwaajili yauliznzi wa uke pale ambapo unamtumia mate k**a kilainishi cha uke wako unajikita umewalwta bacteria wamdomoni sehemu isiyo husika wale bacteria wauke wanaanza kupambana nahao wageni sas tunaanza Kupata matoke k**a haya
👉Harufu mbaya kwenye uke
👉Uchafu mwingi sana ukeni
👉Uvimbe kwenye mirija ya uzazi
👉Kansa ya kizazi
K**a unachangamoto ya Kukosa Ute katika tendo la ndoa tafadhali usisite kunitafuta Kwa namba
📞0789234678

🤏Urinary track lnfection(U .T.I) ni  maambukizi katika njia ya mkojo ambayo huweza husisha ,Figo (kindrey), mrija unapos...
09/11/2023

🤏Urinary track lnfection(U .T.I) ni maambukizi katika njia ya mkojo ambayo huweza husisha ,Figo (kindrey), mrija unaposafirisha kojo hadi kwenye kibofu xha mkojo (ureter),kibofu cha mkojo (urinary bladder) nw mrija unaotoa mkojo nje ya kibofu (urethra) kwa asilimia kubwa U.IT.I husababushwa na bacteraemia,lakini pia huweza sababishwa na fungus au viruses..

SABABU ZA U.T.I MARA KWA MARA

■USUGU:
Matumizi mabaya ya antibiotic huweza kusababisha usugu wa bacteria kwa kutengeneza namna mpya ya kuweza kuepuka na kujilinda dhidi ya dawa hizo.

■UJAUZITO:
Kadri nji wa mimba unavyokuwa hugandamiza kibofu cha mkojo na hivyo kusababisha mama mjamzito ashindwe kutoa mkojo wote
Mabaki hayo ya mkojo huweza sababisha bacteria kuzaliana na kusababisha U.T.I

■HALI YA USAFI:
Kwa wanawake ,mrija wa mkojo na tundu la haja kubwa hua vipo karibu kwa hiyo rahisi sana wakati wa kujisafusha kuhamisha bacteria kutokana na sehemu ya haja kubwa kwenda kwenye mrija wa mkojo .Hivyo basi bacteria ambayo wamehamishwa kutoka kwenye mazingira yao kwenda sehemu nyingine mfumo wa mkojo huweza kusababisha U.T.I hivyo basi mwanamke unatakiwa kusafisha kuanzia mbele kurudi nyuma.

■KUTOKUNYWA MAJI MENGI
Unywaji wa maji mengi husaidia kusafisha Figo.

■MAUMBILE
Wanawake wengi hukubwa na tatizo hili ni kutokana na kua na mrija mfupi wa mkojo na pia kua karibu na tundu la haja kubwa ,hivyo nirahisi sana kwa bacteria kutoka kwenye haja kubwa kuingia kwenye mfumo wa mkojo:

■TABIA YA KUSAFISHA UKE KWA KUTUMI VITU VYEVYE KEMIKARI
K**a vile sabuni zenye kemikali ambazo huharibu mazingira ya uke na kusababisha maambukizi ya mara kwa mara :

■MAGONJWA
kuna baadhi ya magonjwa ambayo husababishwa U.T.I ya mara kwa mara k**a vile kisukari hii ni kwa sababu ya kushuka kwa kinga ya mwili:

■MAZINGIRA WAKATI WA KUJAMIANA ;
Bacteria wanao sababusha U.T.I huweza kusambaa kwa kufanya oral s*x au s*x toys
Karibu kwa suluhisho la changamoto. 📞 0789234678

💥Fungusi ni tatizo kubwa sana usipopata tiba sahihi kwasababu* Husababisha cancer ya kizazi* Ugumba* MUWASHO UKENI* Miri...
09/11/2023

💥Fungusi ni tatizo kubwa sana usipopata tiba sahihi kwasababu
* Husababisha cancer ya kizazi
* Ugumba
* MUWASHO UKENI
* Mirija ya uzazi kuziba

Usichukulie jambo la kawaida siku zako kubadilikabadilkia, kutana na watalam kupata tiba 📞0789234678
09/11/2023

Usichukulie jambo la kawaida siku zako kubadilikabadilkia, kutana na watalam kupata tiba 📞0789234678

Je unazifahamu dalili za tezi dume??
09/11/2023

Je unazifahamu dalili za tezi dume??

09/11/2023

FULL PACKAGE YA VIRUTUBISHO
⭐Kuongeza hamu ya kula
⭐Kuingeza uzito
⭐Kuimarisha immunity/Kinga
⭐Kuondoa allergy
⭐Kuongeza damu
⭐Kuimarisha viungo
⭐Ngozi iwe nzuri
⭐Kuongeza kumbukumbu
⭐Afya ya macho
⭐Kukosa choo
MUONEKANO WA MTOTO UNAKUWA VIZURI SANA

Address

SINZA
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA CARE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA CARE:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram