08/05/2023
UNA SHOMBO NA MUWASHO WA FANGASI UKENI ULIPO...!
K**a ndo unaanza kuona dalili za uke kutoa majimaji yenye harufu na unahisi miwasho unaweza kuijaribu njia hii ya
KuChukua punje moja au k**a mbili hivi za kitunguu saumu na umenye vizuri kisha zifunge kwenye kitambaa. Weka kitambaa hicho ukeni muda wa kulala kisha asubuhi kitoe na uchambe uke wako kwa maji (sio maji moto)
Njia hii husaidia kuua bakteria au fangasi wanaoshambulia uke.
Unaweza kutumia maziwa mtindi, mtindi nao ni mzuri sana kwani husaidia kutunza bakteria wazuri wanaolinda uke usishambuliwe. Utumie mtindi kwa kunywa pia unaweza kuweka kijiko kidogo kimoja shamba za bibi usiku wakati wa kulala...
Madhara Ya fangasi au bakteria kushambulia uke, husababisha mvurugiko wa hedhi na ikidumu sana hupelekea vivimbe katika vifuko vya mayai, mirija kuziba, kuwa na makovu katika njia za uzazi na mimba kuharibika.
Kabla hujafikia madhara makubwa Lifanye jiko lako kuwa hospital kwa kuzingatia kanuni bora ya ulaji na unywaji [Unaweza kujiunga group langu la WhatsApp namba 0757487684]
Wakati ukiachana na ulaji wa vyakula vya ngano iliyokobolewa na vyakula vya kutiwa sukari na mafuta mengi k**a soda, roast beef n.k
👇🏿
👉🏽Chai yako iunde kiasili zaidi kwa kutumia viungo k**a iliki, mdalasini, tangawizi, mchaichai, mshona nguo, majani makavu ya mpapai, mlonge, majani ya limau, karafuu, n.k atleast upate vitatu au vinne kati ya hivi na unaweza usiweke sukari ukitumia asali k**a mbadala ni nzuri na utaipenda sana chai yako na kwa sababu ngano (mikate, chapati na mandazi) sio vitu vizuri kwako basi unaweza kuandaa mchemsho wako wa ndizi, au muhogo, au magimbi au hata mayai ili kuisogeza chai yako.
👉🏽Kuhusu mlo wako, iwe mchana au usiku hakikisha hukosi tunda pembeni au mboga ya majani ni muhimu kwa ajili ya kuimarisha kinga yako ya mwili.
Ukihisi tatizo limeshakuwa sugu na unakosa amani ndani ya ndoa kwa mambo ya uzazi,,, ninazo dawa asili kwa ajili ya kusafisha mirija, kuondoa uchafu katika uzazi na