Irene_afya_tips

Irene_afya_tips Pata suluhisho la afya ya uzazi kwa wanawake na wanaume

04/04/2024
Hbd to you leave long life🍼🎂🍿
30/03/2024

Hbd to you leave long life🍼🎂🍿

HAPPY BIRTHDAY TO THE MOST BEAUTIFUL YOUNG GIRL...MAY GOD FULL FILL UR WISHES🎂🎂🎂
30/03/2024

HAPPY BIRTHDAY TO THE MOST BEAUTIFUL YOUNG GIRL...MAY GOD FULL FILL UR WISHES🎂🎂🎂

Happy rebon day to her Baby❤
30/03/2024

Happy rebon day to her Baby❤

BAADHI YA SABABU NI K**A:  ✅Uke mkavu : Hili tatizo mara nyingi linaweza changiwa na mambo k**a vile unyonyeshaji, kujif...
28/03/2024

BAADHI YA SABABU NI K**A:

✅Uke mkavu : Hili tatizo mara nyingi linaweza changiwa na mambo k**a vile unyonyeshaji, kujifungua, wale ambao walifanyiwa upasuaji wa kuondoa O***y, baadhi ya madawa k**a vile antidepressants, madawa ya pumu, madawa ya mzio, madawa ya Saratani n.K. Lakini kuna sababu zingine k**a vile kufanya mapenzi wakati bado hujaandaliwa vizuri, kuosha sehemu za uke kwa ndani, kutumia kemikali na bidhaa zenye kemikali za kuoshea uke, n.K

✅ Polyps : Hizi ni vimbe zisizokua Saratani, mara nyingi hutokea katika mlango wa kizazi au katika kuta za mji wa uzazi (Endometrial lining), hizi vile huweza sababisha maumivu na hata damu kutoka wakati wa tendo la ndoa

✅Majeraha katika Uke : Hii inasababishwa na ile hali ya kufanya tendo la ndoa kwa vurugu, wale mnaofanya tendo k**a vita mnanielewa 🙄 sasa ukikuta mwanamke ana uke mkavu basi anaathirika zaidi

✅ Saratani : Kuwa na mzunguko usioeleweka na kutokwa damu wakati wa tendo ni dalili kubwa kabisa ya S

Suluhisho linatibika piga simu📞no..0676567119
25/03/2024

Suluhisho linatibika piga simu📞no..0676567119

Address

Mwenge
Dar Es Salaam
16108

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Irene_afya_tips posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram