Swaumu afya tips

Swaumu afya tips NATOA SULUHISHO LA MATATIZO YOTE KUHUSU AFYA PID sugu Fungus sugu Miwasho UTI sugu UZAZI ME/KE NK..

CHANZO CHA SALPINGITISKati ya watu 10 wenye salpingitis, 9 huwa wameathiriwa na bakteria. Bakteria wanaohusika zaidi na ...
25/09/2023

CHANZO CHA SALPINGITIS

Kati ya watu 10 wenye salpingitis, 9 huwa wameathiriwa na bakteria. Bakteria wanaohusika zaidi na salpingitis ni:
chlamydia gonococcus mycoplasma staphylococcus streptococcus

Bakteria hawa ni lazima wawe wameingia kwenye viungo vya uzazi vya mwanamke na njia zifuatazo zaweza kuhusika:
kujamiiana kupenyeza kifaa cha IUD (intra-uterine device) mimba kuharibika kutoa mimba uzazi appendicitis

Madhara Yatokanayo Na Salpingitis

Bila tiba, kuna madhara mengi yanayoweza kutokea, ikiwa ni pamoja na:
Maambukizi ya ziada – maambukizi yanaweza kusambaa hadi kwenye ovari, uterus, n.k. Kuwaambukiza wenza -wenza wa mwanamke wanaweza nao kuambukizwa Tubo-ovarian abscess – asilimia 15 ya wanawake wenye salpingitis hujenga uvimbe wenye usaha Ectopic pregnancy – Mrija wa uzazi ulioziba huzuia yai lililorutubishwa kuingia kwenye nyumba ya uzazi (uterus). Yai linalokua (embryo) huendelea kukua kwenye nafasi finyu ndani ya mirija ya uzazi. Uwezekano wa mwanamke mwenye salpingitis au tatizo jingine la PID kupata ujauzito wa namna hii ni hadi asilimia 20. Ugumba -Mrija wa uzazi huweza kupoteza umbo lake au ukawa na makovu kiasi kwamba yai la mwanamke na mbegu za mwanamme vikashindwa kukutana. Kuugua mara moja salpingitis kunaongeza ugumba kwa mwanamke kwa asilimia 15. Asilimia hupanda hadi 50 mwanamke akiuugua salpingitis mara 3.

🆕TOPIC: KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI Mirija ya uzazi (fallopian tubes) huanzia kwenye nyumba ya uzazi (uterus) na kwenda p...
25/09/2023

🆕TOPIC: KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI

Mirija ya uzazi (fallopian tubes) huanzia kwenye nyumba ya uzazi (uterus) na kwenda pande zote mbili hadi kwenye ovari. Yai lililoachiwa huingia kwenye mirija ya uzazi na kusukumwa na vijinywele vidogo kuelekea kwenye nyumba ya uzazi.

Salpingitis ni mashambulizi ya mirija ya uzazi. Mashambulizi haya mara nyingi ni ya bakteria, yakijumuisha yale yanayotokana na ngono k**a gonorrhoea na chlamydia. Mashambulizi haya husababisha majimaji ya ziada au hata usaha kujazana ndani ya mirija ya uzazi. Mashambulizi ya upande mmoja huweza kuhamia hupande wa pili.

fallopian tube

Salpingitis ni ugonjwa unaochangia kwa kiwango kikubwa kwenye tatizo la ugumba kwa wanawake. Tatizo lisipotibiwa kwa wakati, mirija ya uzazi huweza kuharibiwa kabisa na kusababisha mayai yanayoachiwa wakati wa mzunguko wa hedhi kushindwa kukutana na mbegu za kiume.
Makovu na kuziba kwa mirija ya uzazi ni moja ya matokeo ya kudumu ya mashambulizi ya maeneo ya pelvis, hali ambayo huitwa Pelvic Inflammatory Disease (PID).
PID ni neno la jumla la kuelezea mashambilizi ya viungo vya uzazi vya mwanamke, likihusisha mashambulizi ya uterus na ovari.

DALILI Uchafu ukeni usio wa kawaida, k**a harufu au rangi isiyo ya kawaida Maummivu wakati wa hedhi Maumivu wakati mayai yakiachiwa Maumivu wakati wa tendo la ndoa Homa Maumivu ya tumbo, pande zote mbili Maumivu ya mgongo, sehemu ya chini Haja ndogo mara kwa mara Kichefuchefu na kutapika Dalili kutokea baada ya hedhi

Salpingitis huwekwa kwenye makundi mawili, acute na chronic. Salpingitis ikiwa ni acute, mirija ya uzazi huwa myekundu, iliyovimba na hutoa majimaji hivi kwamba kuta za ndani huk**atana. Mirija inaweza pia kuk**atana na viungo vingine k**a utumbo. Wakati mwingine mirija hujaa usaha. Mara chache, mirija huweza kupasuka na kusababisha maambukizo mabaya kwenye uvungu wa tumbo (peritonitis). Chronic salpingitis hufuatia acute salpingitis. Maambukizo huwa siyo makali sana, huchukua muda mrefu na pengine kusiwe na dalili zo zote.

Wow ❤️.  Nashukur mungu sana kwa hizi baraka Ni zamu yako na wewe kuitwa mama jiunganishe na hizi baraka Call/Whatsapp 0...
24/09/2023

Wow ❤️. Nashukur mungu sana kwa hizi baraka

Ni zamu yako na wewe kuitwa mama jiunganishe na hizi baraka

Call/Whatsapp 0769184251

KUTOKWA NA UCHAFU UKENI!!!Kutokwa na uteute wa njano au mweupe ukeni ambao sio mzito sana ni jambo la kawaida kwa mwanam...
24/09/2023

KUTOKWA NA UCHAFU UKENI!!!
Kutokwa na uteute wa njano au mweupe ukeni ambao sio mzito sana ni jambo la kawaida kwa mwanamke.
Hii hutokana na mfumo wa uzazi kujisafisha kwa kuondoa seli zilizokufa, tishu za mabaki ya hedhi, na masalia mengine ya hedhi. Hivyo vyote husafishika na kutolewa kupitia ukeni.

Mara nyingi uteute huo hua si mzito, hauwashi wala hautoi harufu mbaya/kali. Uteute huo hua pia na lactic acid na walinzi wengine wa mwilini ambao huua bakteria ama fangasi wabaya wanaojaribu kuvamia via vya uzazi.

Kutokwa na uteute unaowasha, wenye harufu mbaya na kali k**a vitu vilivyooza au shombo ya samaki wabichi alafu ute kua wenye rangi nyeupe na mzito k**a maziwa mgando ni dalili mbaya ya Ugonjwa wa VAGINOSIS.
Ugonjwa huu ni janga linalokera, ngumu kuelezeka kwa sababu wanawake wahanga wengi huficha hali hiyo wakihofia kutengwa ama kuonekana vibaya.

Hata hivyo shida hii imezidi kuzua migogoro binafsi na kindoa na kuvunjika kwa mahusiano mengi!!!!!

CHANZO CHAKE NI NINI?
Chanzo kikuu cha ugonjwa huu ni bakteria kukua kwa wingi ukeni na via vyake. Pia kuna athari za fangasi na matumizi ya kemikali ukeni, kemikali k**a sabuni, perfume na matumizi ya bidhaa za Kubana uke

DALILI ZA UGONJWA HUU
>Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
>Kutokwa na uteute wenye damu kipindi kisicho cha hedhi
>Harufu mbaya ukeni
>Kutokwa na uchafu mweupe unaonuka wakati wa tendo la ndoa
>Uteute kuwasha

MADHARA YAKE
>Mimba kuharibika
>Kupata maradhi mbalimbali k**a U.T.I
>Kujifungua kabla ya mda
>Kujifungua mtoto mwenye ukavu macho
>Kuharibika kwa kuta za uke na mfuko wa uzazi.
>Misuli ya uke kulegea na uke

MATIBABU
●Fuata vipimo vya hospitali
●Tumia lishe bora.
-Vyakula vyenye madini yakutosha
-Vyenye mbogamboga na matunda
-Tumia virutubisho lishe

Mawasiliano zaid
Call/Whatsapp 0621334545

TABIA SITA ZA KILA SIKU ZINAZOMALIZA NGUVU ZA KIUME...Soma👇Ukosefu wa nguvu za kiume ni tatizo la kusikitisha linaloweza...
24/09/2023

TABIA SITA ZA KILA SIKU ZINAZOMALIZA NGUVU ZA KIUME...Soma👇

Ukosefu wa nguvu za kiume ni tatizo la kusikitisha linaloweza kuvunja nyumba nyingi. 

Huku idadi kubwa ya tatizo hilo ikihusishwa na maradhi au matatizo ya kiafya, 

Utafiti umeonyesha kwamba mambo na tabia za kila siku za wanaume pia zinaweza kuchangia hali hiyo.

Zifuatazo ni tabia za kila siku ambazo huenda zinamaliza nguvu zako za kiume na kuathiri afya yako ya kushiriki ngono bila wewe kujua.

1.UVUTAJI WA SIGARA;
Matangazo ya sigara huandamana kila mara na ilani kuwa ‘uvutaji wa sigara unadhuru afya yako’, wengi hupuuza na kuendelea na tabia hiyo. Kando upungufu wa nguvu za kiume , uvutaji sigara hupunguza mbegu za uume na husababisha saratani.

2.UNYWAJI WA POMBE KUPITA KIASI; ni tabia inayoweza kuharibu vibaya afya ya mwanamume kuhusu uzazi.Japo huonekana k**a tabia ya kila siku isiyo na madhara, madhara yake kwa uzazi na kushiriki ngono yanasikitisha. Usihadaiwe na msisimko wake wa muda mfupi. 

3. KUVAA NGUO ZINAZOBANA;Hili ni jambo linalopuuzwa na wanaume wengi. Vazi lisalofaa ni lisiloruhusu kiungo chako kupumua hali inayoathiri utendaji wako na nguvu za kiume

4. MSONGO WA MAWAZO;Hali hii inaweza kutatiza afya yako kwa jumla. Tenga muda wa kupunguza mawazo, usiwaze mno. Fanya kazi kwa bidii lakini uwe na muda wa kupumzisha mwili na akili. 

5. ULAJI MBOVU;Lishe bora ni muhimu mno kwa afya ya mwanaume, Usile tu chakula mradi chakula ushibe kula chakula kinachofaa, jaribu kusawazisha kila viinimwili yaani mlo kamili.

6.MATUMIZI YA MIHADARATI;Mihadarati k**a vile bangi na nyinginezo huweza kuathiri nguvu za kiume. Wengi hujihusisha nayo pasipo kujua madhara yake. 

Wanaume, ikiwa unahusika na mojawapo ya tabia hizi na tayari imekuletea madhara usife moyo. Tunayo mbinu ya kukusaidia kuondoa changamoto hii ama kwa kukupa Elimu na ushauri juu ya uraibu wa tabia hizi na zingine

PIGA/WHATSAPP
📞+255 769184251

🆕TOPIC/MADAFIBROID (VIUVIMBE KWENYE KIZAZI)Wanawake wanaokaribia kufikia ukomo wa kupata siku zao za mwezi wanaonekana k...
23/09/2023

🆕TOPIC/MADA
FIBROID (VIUVIMBE KWENYE KIZAZI)

Wanawake wanaokaribia kufikia ukomo wa kupata siku zao za mwezi wanaonekana kuwa kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata fibroids kwa sababu ya kuwa wameishi na homoni ya estrogen kwa muda mrefu zaidi

DALILI ZA FIBROIDS
– Kutokwa na damu kwa wingi wakati wa siku au kutokwa na damu kwa muda mrefu

– Kutokawa na damu kusiko kwa kawaida katikati ya siku za mwezi

– Mauvimu ya nyonga (uvimbe kugandamiza kwenye viungo vya nyonga)

– Kupata haja ndogo mara kwa mara

– Maumivu ya mgongo

– Maumivu wakati wa tendo la ndoa

– Upungufu wa damu kwa sababu ya kutokwa na damu kwa wingi wakati wa siku

– Maumivu ya kichwa

– Maumivu kwenye miguu

– Kuvimba sehemu ya chini ya tumbo (Fibroids kubwa)

– Uzazi wa shida

– Mimba za shida

– Kutopata mimba

– Kutoka kwa mimba mara kwa mara

Kwa suluhisho la changamoto za afya
Call/Whatsapp 0769184251

🆕TOPIC /MADA :PREVENT SMELLY VAGINA(KUZUIA UKE KUTOA HARUFU )Kwa kawaida uke hutoa majimaji na ute unaoteleza , hii ni n...
23/09/2023

🆕TOPIC /MADA :PREVENT SMELLY VAGINA(KUZUIA UKE KUTOA HARUFU )

Kwa kawaida uke hutoa majimaji na ute unaoteleza , hii ni njia inayowezesha viungo vya uzazi vya mwanamke Kujisafisha au kutoa uchafu wa seli zilizokufa na mabaki ya damu ya hedhi nje ya mwili pia huvikinga viungo vya uzazi dhidi ya maambukizi ya bacteria…Kwa kawaida huwa hayatoi harufu na huwa hayawashi na sio mazito yenye rangi nyeupe au njano pia huwa na acid ya LACTIN ambayo huzuia bacteria kuzaliana

Kutokwa na harufu mbaya ukeni kunasababishwa na fungus wa candida , hivyo hupelekea harufu mbaya inayoambatana na dalili k**a miwasho sehem za siri, hisia za kuungua ukeni, michomo na kutokwa na uchafu ukeni

VISABABISHI VYA HARUFU UKENI NI:
a.magonjwa ya zinaa k**a kisonono , kaswende trichomoniasis nk
b.matumiz holela ya dawa za antibiotic
c.kutokuzingatia usafi(kutokwa sana na jasho) hii ni kuwepo na unyevunyevu sehem za siri huzalisha harufu mbaya
d. Maambukizi katika via vya uzazi PID
e. Bacteria vaginosis
f. Mabadiliko ya hormon
g. Kupiga deki uke(kuingiza vidole ndani ya uke na kuondoa ute ute )

VITU VYA KUEPUKA ILI KUZUIA HARUFU MBAYA UKENI
1. Vaginal Douching ;Hii ni hali ya kupiga deki ukeni na kutumia viosheo maalum vinavyopatikana madukani ni kutumia sabuni ambayo si rafiki kwa uke hivyo hupelekea kuua floral bacteria na kuibuka kwa mashambulizi ya vimelea vya bacteria wabaya

2. Vaginal steaming; hiki ni kitendo cha kujifukiza kwa kutumia marashi

KWA WANAWAKE WENYE CHANGAMOTO YA KUPATA MIWASHO NA UKE KUTOA HARUFU MBAYA NJOO TUONGEE UPATE SULUHISHO LA UHAKIKA MATOKEA KUANZIA SIKU YA 7-14

Call/Whatsapp 0769184251

➡️TOPIC/MADA.   UKE MKAVUKwa kawaida kwa kila mwanamke, uke wake unapaswa kuwa na hali ya unyevu nyevu kutokana na ute m...
23/09/2023

➡️TOPIC/MADA. UKE MKAVU
Kwa kawaida kwa kila mwanamke, uke wake unapaswa kuwa na hali ya unyevu nyevu kutokana na ute mwepesi unaozalishwa ili kusaidia katika hali hii.
Hormon inayojulikana k**a estrogen ndio inayofanya kazi ya kutoa ute ute huu ili kufanya uke kuwa na unyevu nyevu na kuta za uke kuwa zinavutika(elastic)

Pia ute huu husaidia kuweka sawa mazingira rafiki kwa mbegu za kiume ili zinapokuwa zimeingia zisiweze kufa hadi zinapolifikia yai

Kiwango vha estrogen kinaweza pia kushuka kutokana na vitu vifuatavyo
1.KUZAA NA KUNYONYESHA
Kipjndi hiki mwili unazalisha hormon za maziwa PROLACTIN HORMON ambayo pia inazuia kuzalishwa kwa hormon ya estrogen
2.Matibabu ya saratani (Tiba ya mionzi na dawa za saratani)
3.kutolewa mifuko ya mayai (ovaries)
4.Dawa zinazozuia uzalishaji wa hormon za estrogen kwa watu wenye tatizo la uvimbe kwenye kizazi FIBROID NA ENDOMETRIOSIS

DALILI ZA KUWA NA UKE MKAVU
Maumivu wakati wa kushiriki tendo
Kusinyaa kwa kuta za uke
Kutokwa na damu wakati wa tendo
Kupoteza hamu ya tendo kutokana na maumivu
Maumivu ya uke wakati wa kufanya mazoezi ,kutembea, kukaa na kusimama
Kubadilika kwa muomekano wa uke na mashavu ya uke
Kubadilika kwa tabia ya ute unaotoka ukeni
Kupata hisia za kuungua ukeni
Msongo wa mawazo na kuhisi mabadiliko makubwa mwilini mwako

Njoo upate suluhisho la uhakika ndani ya siku 14

Call/ Whatsapp 0769184251

➡️TOPIC/ MADAFUNGUS UKENIFangasi ukeni ni maambukizi ya kawaida ya midomo ya uke (v***a) na uke yanayosababishwa na fang...
21/09/2023

➡️TOPIC/ MADA
FUNGUS UKENI
Fangasi ukeni ni maambukizi ya kawaida ya midomo ya uke (v***a) na uke yanayosababishwa na fangasi inayoitwa candida. Ugonjwa huu hujulikana pia k**a fangasi kwenye sehemu za siri.

Kandida mara nyingi huwepo katika viwango vidogo mwilini. Hata hivyo, katika baadhi ya visa, kuna uwezekano fangasi hawa kuwepo kwa wingi na kusababisha maambukizi. Huu kwa kawaida siyo ugonjwa unaosambazwa kwa njia ya kujamiiana (STI). Lakini, wakati mwingine unaweza kusambazwa kati ya wapenzi.

ILI KUJIEPUSHA NA FUNGUS FANYA HAYA:
1.ACHA KUPIGA DEKI UKE
Nawakumbusheni kina dada /mama msifikiri ili kujiweka safi sehem za siri ni lazima uingize vidole ukeni🙅‍♀️

Uke unajisafishaga wenyewe na hauna haja ya kupiga deki kwani ukipiga deki utakuwa umeharibu ulinzi wa uke wako na ukishaharibu ulinzi huo unakuwa rahisi kupata fungus na uke utatoa harufu mbaya

2.ACHA MATUMIZ YA MADAWA KIHOLELA
Acha matumiz ya madawa kiholela hasa dawa za UTI , kikohozi ,tumbo nk
Dawa hizo ni k**a flagly, amoxicillin,cipro nk
MATUMIZ HOLELA YA DAWA HIZI HUSABABISHA UHARIBIFU WA ULINZI WA UKE AMBAPO KUNAWAACHIA MWANYA FUNGUS KUTAWALA

Kwa elimu ya afya zaid
call/Whatsapp 0621334545

⏺TOPIC: VISABABISHI VYA MIMBA KUTOKA (FIRST TRIMESTER MISCARRIAGES)1:CHROMOSOMAL DEFECTS;Hii inaongoza kwa kusababisha k...
18/09/2023

⏺TOPIC: VISABABISHI VYA MIMBA KUTOKA (FIRST TRIMESTER MISCARRIAGES)

1:CHROMOSOMAL DEFECTS;
Hii inaongoza kwa kusababisha kutoka mimba kwa sababu asilimia 75 na wengi mimba zinatoka kuanzia mwezi mmoja mpka miwili (wiki ya 4-8) na hij mwanamke anapozidi kuwa na umri mkubwa yaani zaid ya miaka 35 inakuwa inatokea zaidi

2:WINGI AU UPUNGUFU WA BAADHI YA HORMON
Unasababisha pia kwa kiasi kikubwa kutoka kwa mimba miezi mitatu ya mwanzo na lifestyle ya siku hizi vyakula tunavyokula,utoaji mimba ,njia za uzazi wa mpango vinachangia mvurugiko wa hormon

3:INFECTIONS
Kwenye mfumo wa damu k**a RUBELLA CYTOMEGALOVIRUS, TOXOPLASMOSIS NA INFECTION kwenye njia ya uzazi k**a PID,ENDOMETRIOSIS etc….

Lakini pia mtu ambaye mimba hutoka ,Anakuwa hatarini zaidi mimba nyingine kutoka asipokuwa na uangalizi wa karibu na mtaalamu wa afya

⏺KWA MTU MWENYE SHIDA YA MIMBA KUTOKA TENA K**A ZINATOKA MFULULIZO KUKIMBILIA KUBEBA MIMBA NYINGINE SIO SOLUTION, TIBA NA USHAURI UZINGATIWE KWANZA
PATA VIPIMO ILI UJUE CHANZO CHA TATIZO PIA SULUHISHO LA KUDUMU UWEKE HALI YAKO SAWA KWANZA

Kwa ushauri na tiba call/Whatsapp 0769184251

Address

Sinza Africasana
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Swaumu afya tips posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Swaumu afya tips:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram