Mayox Herbal medicine

  • Home
  • Mayox Herbal medicine

Mayox Herbal medicine mayox herbal medicine

*DALILI ZA KUZIDI KWA ACID TUMBONI ACID REFLU/GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE/ACID REFLUX.* 1: kubeua/kucheua (regurgita...
29/07/2025

*DALILI ZA KUZIDI KWA ACID TUMBONI ACID REFLU/GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE/ACID REFLUX.*

1: kubeua/kucheua (regurgitation/food backwash).

2: Maumivu ya kuwaka moto sehemu ya kati ya kifua yanayosambaa mpaka katika mabega hasa la kushoto.

3: kiungulia (heartburn)

4: tumbo kujaa gesi (bloating).

5: Mapigo ya moyo kwenda mbio.

6: wasiwasi usioisha.

7: kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni na ukijaribu kukitoa hakitoki.

8: kuwasha kwa koo la chakula (esophagus) na kuvimba.

9: Kupumua kwa shida.

10: kikohozi kikavu na kisichoisha.

11: kupiga chafya mara kwa mara.

12: kupata choo kigumu.

13: Harufu mbaya kinywani.

14: kuhisi k**a kuchanganyikiwa.

15: Maumivu ya mgongo.

16: Maumivu ya kichwa.

17: Sauti kukwaruza.

18: Kumeza chakula kwa shida.

*SABABU ZINAZOWEZA KUPELEKEA MTU KUPATWA GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE* .

*a* ) Matumizi ya vyakula vilivyo na acid mfano machungwa, malimao, nyanya na ndimu.

*b* ) Matumizi ya vyakula vilivyo na pilipili nyingi.

*c* ) Matumizi ya vyakula ambavyo vimepikwa kwa viungo vingi mfano pilau.

*d* ) Matumizi ya dawa za kutuliza maumivu Non-steroidal anti-inflammatory drugs mara kwa mara.

*e* ) Msongo wa mawazo.

*f* ) Matumizi ya vinywaji vikali kupita kiasi k**a vile pombe.

*g* ) Uvutaji wa sigara.

*h* ) Ngiri (hietus hernia).

*i* ) Mimba.

*J* ) Kuongezeka kwa baadhi ya hormone ndani ya mwili mfano progesterone na oestrogen.

*K* ) Uzito kupita kiasi.

*l* ) Vidonda vya tumbo.

*m* )Maambukizi ya H. pylori bacteria tumboni.

MADHARA YA GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE (KUZIDI KWA ACID TUMBONI).

1: Uvimbe kooni ( esophagitis).

2: Vidonda kooni (esophageal ulcers).

3: Barrett's esophagus ni hali ambayo ukuta wa pinki wa koo la chakula ( rangi ya ngozi) hubadilika na kuwa na rangi nyekundu na kuongezeka unene au
Ni hali ambayo seli za ukuta wa koo la chakula huanza kupatwa na hali tangulizi ya kansa , seli hizi za ukuta wa koo la chakula huonekana sawa na seli zilizoathiriwa na kansa isipokuwa hukosa baadhi ya sifa za seli zilizoathiriwa na kansa k**a kuvunjika au kujigawa kupitia membrane ya organi zinapotokea na kusambaa katika organ zingine.

3: kupungua kwa kipenyo cha koo la chakula (esophageal stricture).

4: Maumivu wakati wa kumeza chakula kwa sababu ya Vidonda na Uvimbe.

5: Fangasi mdomoni.

6: Meno kuoza.

7: Sauti kukwaruza.

8: maumivu ya kifua, mgongo na mwili mzima .

9: Macho kukosa uwezo wa kuona vizuri.

10: Kutoa harufu mbaya kinywani.

11: Mwili kukosa nguvu.

12: Homa.

13: Kupatwa na choo kigumu (constipation).

14: Kupungua kwa nguvu za kiume.

FANYA MATIBABU NASI MAYOX HERBAL MEDICINE YA ACID REFLUX KUZIDI KWA ACID TUMBONI NA VIDONDA VYA TUMBO KWA HARAKA NA GHARAMA NAFUU KABISA.

MAWASILIANO;

0784387440 NA
0744 821 891.

TUNAPATIKANA
DAR ES SALAAM, ILALA NA KIBAHA KONGOWE.

*VIDONDA VYA TUMBO (PEPTIC ULCERS).*  *_Maana ya Vidonda vya tumbo_*  *Vidonda vya tumbo* ni vidonda ambavyo hutokea kat...
04/06/2025

*VIDONDA VYA TUMBO (PEPTIC ULCERS).*

*_Maana ya Vidonda vya tumbo_*

*Vidonda vya tumbo* ni vidonda ambavyo hutokea katika kuta za tumbo au sehemu ya juu ya utumbo mwembamba au katika koo la chakula.

Vidonda hivi husababishwa na sababu kuu mbili
1: bacteria waitwao _Helicobacter pylori_ na

2: utumiaji wa mara kwa mara wa dawa za kutuliza maumivu (Non-steroidal anti-inflammatory drugs NSAIDs) k**a vile aspirini, ibuprofen na motrin.

*AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO* .

Kuna aina tatu za vidonda vya tumbo;

a) *Gastric ulcers_* ni aina ya Vidonda tumbo ambavyo hutokea katika kuta za tumbo.
b) *Duedenal ulcers* _ ni aina ya Vidonda vya tumbo ambavyo hutokea sehemu ya juu ya utumbo mwembamba.

*c)esophageal* *ulcers*_ ni aina ya Vidonda vya tumbo ambavyo hutokea katika koo la chakula.

*VISABABISHI VYA VIDONDA VYA TUMBO*

a) Vidonda vya tumbo husababishwa na Bacteria waitwao Helicobacter pylori ambao huenea kwa njia ya
-Kubusu (kissing)
-chakula na maji
-kinyesi
-Matapishi

*_Namna ambayo* helicobacter pylori_ humuwezesha kuishi katika mazingira yenye PH ndogo (mazingira ambayo yana tindikali (acid) nyingi).Ukuaji wa helicobacter pylori unahitaji mazingira ambayo PH yake ni 7 (neutral) hivyo basi mazingira ambayo hupatikana ndani ya tumbo PH yake ni chini ya 7 hivyo si mazingira rafiki kwa ukuaji na maisha ya bacteria yoyote. Ni kwanini basi bacteria hawa aina ya Helicobacter pylori huweza kukua, kuishi, na kuzaliana ndani ya tumbo?. Ni kwa sababu helicobacter pylori huzalisha kimeng'enya (enzyme) kiitwacho urease ambacho huivunja vunja urea na kupelekekea uzalishaji wa ammonium ambayo ni bezi (base) hivyo kupelekekea ubatilishaji wa tindikali au asidi ambayo huzalishwa ndani ya tumbo na kuyafanya mazingira kuwa na PH ambayo huwezesha bacteria hawa kuishi, kukua, na kuzaliana ndani ya tumbo.

2: *Dawa za kutuliza maumivu (Non-steroidal anti-inflammatory drugs NSAID) k**a vile aspirini, ibuprofen na motrin.* Utumiaji wa muda mrefu wa dawa za kutuliza maumivu huenda ukapelekea vidonda vya tumbo hii ni kwa sababu dawa za kutuliza maumivu hupelekea uzuiaji wa uzalishaji wa enzyme au kimeng'enya kiitwacho Cox- 1 katika organ ambazo huusika na mfumo wa mmeng'enyo wa chakula k**a vile tumbo, utumbo mwembamba na koo la chakula hivyo kupelekekea kupungua kwa uzalishaji wa prostaglandin. Prostaglandin ni dutu mfano wake ni k**a homoni huzalishwa sana katika kipindi cha majeraha, maambukizi, na uvimbe kwa ajili ya kuuhami mwili. Hivyo kupungua kwa uzalishaji wa prostaglandin kadhalika hupelekea kupungua kwa uzalishaji wa mak**asi au ute ute ambao huzalishwa na kuta za tumbo kwa ajili ya kuzuia hydrochloric acid (HCL acid) kugusana na kuta za tumbo . kugusana kwa HCL acid na kuta za tumbo hupelekekea kutokea kwa vidonda katika kuta za tumbo. Cyclooxygenase-1 (Cox-1) ni enzyme au kimeng'enya ambacho huchochea ubadilishaji wa arachidonic acid kuwa prostaglandin.

c) *Ulaji wa vyakula ambavyo vinazalisha asidi kwa wingi k**a vile machungwa, malimao, nyanya, na ndimu.*

d) *Unywaji wa pombe na vinywaji vikali kupitiliza.*

e) *Uvutaji wa sigara.*

f) *Ulaji usiokuwa na mpangilio maalumu* .

g) *Kansa ya tumbo.*

H) *Msongo wa mawazo.*

I) *Ulaji wa vyakula vilivyo na chumvi nyingi*.

J,) *ulaji wa vyakula vilivyo na viungo vingi k**a pilau*.

K) *Matumizi ya vyakula vilivyo na pilipili nyingi.*

*DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO* .

a) Kupatwa na maumivu ya kuwaka moto tumboni huzidi hasa wakati wa kula na usiku wakati kulala.

b) Kiungulia (heartburn).

c) Tumbo kujaa ges.

d) kuvimbiwa.

e) Kujisaidia haja kubwa yenye rangi ya kahawia au nyeusi na harufu mbaya sana na pia yaweza changanyikana na damu.

F)Kupungua uzito.

g) Kupoteza hamu ya kula.

h) Maumivu ya mgongo na kifua.

I) Chembe moyo.

J) Kupata choo kigumu.

K) Kichefuchefu na kutapika matapishi yenye rangi nyekundu au kahawia na pengine kutapika damu.

m) Kupumua kwa shida.

n) Kupungukiwa na damu
Mapigo ya moyo kwenda mbio.

O) Kuhisi kizunguzungu au kuzimia kabisa.

*MADHARA YA KUKAA NA VIDONDA VYA TUMBO KWA MUDA MREFU BILA KUFANYA MATIBABU* .

1): *Kuvujia kwa damu ndani* *kwa ndani* hali hii anaweza kuijua mgonjwa kwa dalili zifuatazo
(a) kizunguzungu na Kuhisi kichwa chepesi
(b) uchovu
(C) Kupumua kwa shida
(d)kujisaidia kinyesi chenye rangi ya kahawia au cheusi
(e) kutapika damu
Kuvujia kwa damu ndani kunaweza kupelekea *anaemia* *na upungufu wa damu* ambao unaweza kupelekea mgonjwa uhitaji wa kuongezewa damu.

2): Vidonda vya tumbo vinaweza kupelekea *Matundu katika kuta za tumbo* .

3): *Kansa ya tumbo (gastric cancer).*

4): *Kuziba kwa njia za chakula hali inayopelekea kushiba haraka, kutapika na kupungua uzito.

*MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO.*

*MAZINGATIO WAKATI WA MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO.*

*_EPUKA VICHOCHEZI VYA VIDONDA VYA TUMBO._*

Mfano wa vichochezi na visababishi;

1: Utumiaji wa vyakula ambavyo vinazalisha acid mfano matunda jamii ya machungwa, limao, ndimu, nyanya n.k.

2: Utumiaji wa vyakula ambavyo vimepikwa kwa viungo vingi.

3: Unywaji wa pombe.

4: Uvutaji wa sigara.

5: Matumizi ya mara kwa mara ya dawa za kutuliza Maumivu mfano panadol, vivian, ibufen na kadhalika.

6: utumiaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na vyakula vilivyopikwa kwa mafuta mengi mfano chips.

7: utumiaji wa vyakula vilivyotiwa chumvi nyingi.

8: Msongo wa mawazo.

9: Kahawa na bidhaa zote zinazotokana na kahawa.

10: Carbonated drinks mfano soda, energy drinks.

11: Pilipili.

12: Nyama zilizosindikwa (processed meat).

13: Chocolate

14: vitunguu saumu na vitunguu maji

15 : Chai ilotengenezwa kwa majani ya chai yani chai bora na mfano wake.

16: vyakula vinavyozalisha gesi nyingi mfano maharage.

17: Maziwa.

18: Mandazi, chapati, vitumbua, mihogo , viazi vitamu na viazi mbatata.

_*ULAJI WA VYAKULA AMBAVYO HUSAIDIA KATIKA MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO.*_
Mfano

1: Mboga za majani mfano tembele, mchicha, bamia, nyanya chungu, kabeji (cabbage), chinese, spinach, broccoli, cauliflower, majani ya maboga, beetroots carrots n.k.

2: Matunda mfano parachichi, matikiti, ndizi, tango, na papai.

3: vyakula vyenye kamba kamba (fibrous foods) mfano mboga mboga na matunda.

4: juice ya cabbage au supu ya cabbage.

5: probiotic foods ni vyakula ambavyo vinauwezo wa kuua bacteria mfano wake ni cabbage na aloe vera juice.

7: Chai ya mgonjwa wa vidonda vya tumbo itengenezwe kwa mdalasini, hiriki, mchaichai, karafuu.

8: Nyama nyeupe (lean meats) mfano nyama ya kuku, sungura na bata.

_*DAWA SAHIHI*_

Matibabu ya vidonda vya tumbo yamegawanyika katika njia mbili,

(a) kwa njia ya kisasa
(b) kwa njia ya asili

*(a) MATIBABU KWA NJIA YA KISASA*.

matibabu kwa njia ya kisasa ni matibabu ambayo hutolewa hospitalini huusisha dawa aina zifuatatazo

*Antibiotics*
- ni dawa ambazo zinauwezo wa kuua Helicobacter pylori mfano amoxicillin (Amoxil), clarithromycin (Biaxin), metronidazole (Flagyl), tinidazole (Tindamax), tetracycline na levofloxacin.

*Proton pump inhibitors PPI* - ni dawa ambazo hupunguza uzalishaji wa acid tumboni na hivyo kuleta nafuu kwa mgonjwa mfano wa PPIs ni Omeprazole, pantoprazole na lansoprazole.

*H-2 blockers* - ni dawa ambazo hupunguza uzalishaji wa acid tumboni kwa kuzuia uzalishaji wa histamine hivyo kuleta nafuu kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo mfano wa H-2 blockers nifamotidine (Pepcid AC), cimetidine (Tagamet HB) na nizatidine (Axid AR).

*Antacids* - ni dawa ambazo hubatilisha acids ambayo huzalishwa tumboni hivyo huleta nafuu ya haraka kwa mgonjwa.matibabu mengine ni matibabu ambayo mgonjwa hupewa dawa ambazo zinaulinda ukuta wa tumbo kwa kutengeneza tabaka ambalo linazuia acid kugusa ukuta wa tumbo N.k.

(b) *MATIBABU KWA NJIA YA ASILI*

Matibabu kwa njia ya asili ni matibabu ambayo yanahusisha utumiaji wa dawa zilitengengenezwa kwa mimea tiba. Zipo dawa nyingi za asili zinazotibu vidonda vya tumbo miongoni mwa dawa hizo ni *PUD powder* .

WASILIANA NASI MAYOX HERBAL MEDICINE KUPITIA NAMBA

0784 387 440.

KWA MSAADA WA HARAKA NA MAELEZO ZAIDI YA KITAALAMU.

TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM, ILALA NA KIBAHA, KONGOWE.

*DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO* .a) Kupatwa na maumivu ya kuwaka moto tumboni huzidi hasa wakati wa kula na usiku wakati k...
04/06/2025

*DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO* .

a) Kupatwa na maumivu ya kuwaka moto tumboni huzidi hasa wakati wa kula na usiku wakati kulala.

b) Kiungulia (heartburn).

c) Tumbo kujaa ges.

d) kuvimbiwa.

e) Kujisaidia haja kubwa yenye rangi ya kahawia au nyeusi na harufu mbaya sana na pia yaweza changanyikana na damu.

F)Kupungua uzito.

g) Kupoteza hamu ya kula.

h) Maumivu ya mgongo na kifua.

I) Chembe moyo.

J) Kupata choo kigumu.

K) Kichefuchefu na kutapika matapishi yenye rangi nyekundu au kahawia na pengine kutapika damu.

m) Kupumua kwa shida.

n) Kupungukiwa na damu
Mapigo ya moyo kwenda mbio.

O) Kuhisi kizunguzungu au kuzimia kabisa.

*MADHARA YA KUKAA NA VIDONDA VYA TUMBO KWA MUDA MREFU BILA KUFANYA MATIBABU* .

1): *Kuvujia kwa damu ndani* *kwa ndani* hali hii anaweza kuijua mgonjwa kwa dalili zifuatazo
(a) kizunguzungu na Kuhisi kichwa chepesi
(b) uchovu
(C) Kupumua kwa shida
(d)kujisaidia kinyesi chenye rangi ya kahawia au cheusi
(e) kutapika damu
Kuvujia kwa damu ndani kunaweza kupelekea *anaemia* *na upungufu wa damu* ambao unaweza kupelekea mgonjwa uhitaji wa kuongezewa damu.

2): Vidonda vya tumbo vinaweza kupelekea *Matundu katika kuta za tumbo* .

3): *Kansa ya tumbo (gastric cancer).*

4): *Kuziba kwa njia za chakula hali inayopelekea kushiba haraka, kutapika na kupungua uzito.

*MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO.*

*MAZINGATIO WAKATI WA MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO.*

*_EPUKA VICHOCHEZI VYA VIDONDA VYA TUMBO._*

Mfano wa vichochezi na visababishi;

1: Utumiaji wa vyakula ambavyo vinazalisha acid mfano matunda jamii ya machungwa, limao, ndimu, nyanya n.k.

2: Utumiaji wa vyakula ambavyo vimepikwa kwa viungo vingi.

3: Unywaji wa pombe.

4: Uvutaji wa sigara.

5: Matumizi ya mara kwa mara ya dawa za kutuliza Maumivu mfano panadol, vivian, ibufen na kadhalika.

6: utumiaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na vyakula vilivyopikwa kwa mafuta mengi mfano chips.

7: utumiaji wa vyakula vilivyotiwa chumvi nyingi.

8: Msongo wa mawazo.

9: Kahawa na bidhaa zote zinazotokana na kahawa.

10: Carbonated drinks mfano soda, energy drinks.

11: Pilipili.

12: Nyama zilizosindikwa (processed meat).

13: Chocolate

14: vitunguu saumu na vitunguu maji

15 : Chai ilotengenezwa kwa majani ya chai yani chai bora na mfano wake.

16: vyakula vinavyozalisha gesi nyingi mfano maharage.

17: Maziwa.

18: Mandazi, chapati, vitumbua, mihogo , viazi vitamu na viazi mbatata.

_*ULAJI WA VYAKULA AMBAVYO HUSAIDIA KATIKA MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO.*_
Mfano

1: Mboga za majani mfano tembele, mchicha, bamia, nyanya chungu, kabeji (cabbage), chinese, spinach, broccoli, cauliflower, majani ya maboga, beetroots carrots n.k.

2: Matunda mfano parachichi, matikiti, ndizi, tango, na papai.

3: vyakula vyenye kamba kamba (fibrous foods) mfano mboga mboga na matunda.

4: juice ya cabbage au supu ya cabbage.

5: probiotic foods ni vyakula ambavyo vinauwezo wa kuua bacteria mfano wake ni cabbage na aloe vera juice.

7: Chai ya mgonjwa wa vidonda vya tumbo itengenezwe kwa mdalasini, hiriki, mchaichai, karafuu.

8: Nyama nyeupe (lean meats) mfano nyama ya kuku, sungura na bata.

_*DAWA SAHIHI*_

Matibabu ya vidonda vya tumbo yamegawanyika katika njia mbili,

(a) kwa njia ya kisasa
(b) kwa njia ya asili

*(a) MATIBABU KWA NJIA YA KISASA*.

matibabu kwa njia ya kisasa ni matibabu ambayo hutolewa hospitalini huusisha dawa aina zifuatatazo

*Antibiotics*
- ni dawa ambazo zinauwezo wa kuua Helicobacter pylori mfano amoxicillin (Amoxil), clarithromycin (Biaxin), metronidazole (Flagyl), tinidazole (Tindamax), tetracycline na levofloxacin.

*Proton pump inhibitors PPI* - ni dawa ambazo hupunguza uzalishaji wa acid tumboni na hivyo kuleta nafuu kwa mgonjwa mfano wa PPIs ni Omeprazole, pantoprazole na lansoprazole.

*H-2 blockers* - ni dawa ambazo hupunguza uzalishaji wa acid tumboni kwa kuzuia uzalishaji wa histamine hivyo kuleta nafuu kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo mfano wa H-2 blockers nifamotidine (Pepcid AC), cimetidine (Tagamet HB) na nizatidine (Axid AR).

*Antacids* - ni dawa ambazo hubatilisha acids ambayo huzalishwa tumboni hivyo huleta nafuu ya haraka kwa mgonjwa.matibabu mengine ni matibabu ambayo mgonjwa hupewa dawa ambazo zinaulinda ukuta wa tumbo kwa kutengeneza tabaka ambalo linazuia acid kugusa ukuta wa tumbo N.k.

(b) *MATIBABU KWA NJIA YA ASILI*

Matibabu kwa njia ya asili ni matibabu ambayo yanahusisha utumiaji wa dawa zilitengengenezwa kwa mimea tiba. Zipo dawa nyingi za asili zinazotibu vidonda vya tumbo miongoni mwa dawa hizo ni *PUD powder* .

FAIDA ZA MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO KWA NJIA YA ASILI

WASILIANA NASI MAYOX HERBAL MEDICINE KUPITIA NAMBA

0784 387 440.

KWA MSAADA WA HARAKA NA MAELEZO ZAIDI YA KITAALAMU.

TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM, ILALA NA KIBAHA, KONGOWE.

*DALILI ZA KUZIDI KWA ACID TUMBONI ACID REFLU/GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE/ACID REFLUX.* 1: kubeua/kucheua (regurgita...
27/04/2025

*DALILI ZA KUZIDI KWA ACID TUMBONI ACID REFLU/GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE/ACID REFLUX.*

1: kubeua/kucheua (regurgitation/food backwash).

2: Maumivu ya kuwaka moto sehemu ya kati ya kifua yanayosambaa mpaka katika mabega hasa la kushoto.

3: kiungulia (heartburn)

4: tumbo kujaa gesi (bloating).

5: Mapigo ya moyo kwenda mbio.

6: wasiwasi usioisha.

7: kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni na ukijaribu kukitoa hakitoki.

8: kuwasha kwa koo la chakula (esophagus) na kuvimba.

9: kukosa pumzi.

10: kikohoo kisichoisha.

11: kupiga chafya.

12: kupata choo kigumu.

13: Harufu mbaya kinywani.

14: kuhisi k**a kuchanganyikiwa.

15: Maumivu ya mgongo.

16: Maumivu ya kichwa.

*SABABU ZINAZOWEZA KUPELEKEA MTU KUPATWA GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE* .

*a* ) Matumizi ya vyakula vilivyo na acid mfano machungwa, malimao, nyanya na ndimu.

*b* ) Matumizi ya vyakula vilivyo na pilipili nyingi.

*c* ) Matumizi ya vyakula ambavyo vimepikwa kwa viungo vingi mfano pilau.

*d* ) Matumizi ya dawa za kutuliza maumivu Non-steroidal anti-inflammatory drugs mara kwa mara.

*e* ) Msongo wa mawazo.

*f* ) Matumizi ya vinywaji vikali kupita kiasi k**a vile pombe.

*g* ) Uvutaji wa sigara.

*h* ) Ngiri (hietus hernia).

*i* ) Mimba.

*J* ) Kuongezeka kwa baadhi ya hormone ndani ya mwili mfano progesterone na oestrogen.

*K* ) Uzito kupita kiasi.

*l* ) Vidonda vya tumbo.

*m* )Maambukizi ya H. pylori bacteria tumboni.

MADHARA YA GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE (KUZIDI KWA ACID TUMBONI)

1: Uvimbe kooni ( esophagitis)

2: Vidonda kooni (esophageal ulcers)

3: Barrett's esophagus ni hali ambayo ukuta wa pinki wa koo la chakula ( rangi ya ngozi) hubadilika na kuwa na rangi nyekundu na kuongezeka unene au
Ni hali ambayo seli za ukuta wa koo la chakula huanza kupatwa na hali tangulizi ya kansa , seli hizi za ukuta wa koo la chakula huonekana sawa na seli zilizoathiriwa na kansa isipokuwa hukosa baadhi ya sifa za seli zilizoathiriwa na kansa k**a kuvunjika au kujigawa kupitia membrane ya organi zinapotokea na kusambaa katika organ zingine

3: kupungua kwa kipenyo cha koo la chakula (esophageal stricture)

4: Maumivu wakati wa kumeza chakula kwa sababu ya Vidonda na Uvimbe

5: Fangasi mdomoni

6: Meno kuoza

7: Sauti kukwaruza

8: maumivu ya kifua, mgongo na mwili mzima

9: Macho kukosa uwezo wa kuona vizuri

10: Kutoa harufu mbaya kinywani

11: Mwili kukosa nguvu

12: Homa

13: Kupatwa na choo kigumu (constipation)

14: Kupungua kwa nguvu za kiume.

FANYA MATIBABU NASI MAYOX HERBAL MEDICINE YA ACID REFLUX KUZIDI KWA ACID TUMBONI NA VIDONDA VYA TUMBO KWA HARAKA NA GHARAMA NAFUU KABISA.

MAWASILIANO
0744 821 891.

TUNAPATIKANA
DAR ES SALAAM, ILALA NA KIBAHA KONGOWE.

Acid reflux GERD upo uwezekano wa wewe kupona acid reflux biidhnillahi ni wewe kufanya maamuzi
04/04/2025

Acid reflux GERD

upo uwezekano wa wewe kupona acid reflux biidhnillahi ni wewe kufanya maamuzi

*DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO* .a) Kupatwa na maumivu ya kuwaka moto tumboni huzidi hasa wakati wa kula na usiku wakati k...
01/04/2025

*DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO* .

a) Kupatwa na maumivu ya kuwaka moto tumboni huzidi hasa wakati wa kula na usiku wakati kulala.

b) Kiungulia (heartburn).
c) Tumbo kujaa ges.
d) kuvimbiwa.
e) Kujisaidia haja kubwa yenye rangi ya kahawia au nyeusi na harufu mbaya sana na pia yaweza changanyikana na damu.

F)Kupungua uzito.

g) Kupoteza hamu ya kula.

h) Maumivu ya mgongo na kifua.

I) Chembe moyo.

J) Kuwa na choo kigumu.

K) Kichefuchefu na kutapika na pengine kutapika damu.

m) Kushindwa kupumua vizuri.

n) Kupungukiwa na damu
Mapigo ya moyo kwenda mbio.

O) Kuhisi kizunguzungu.
[

*MADHARA YA KUKAA NA VIDONDA VYA TUMBO KWA MUDA MREFU BILA KUFANYA MATIBABU* .

1): *Kuvujia kwa damu ndani* *kwa ndani* hali hii anaweza kuijua mgonjwa kwa dalili zifuatazo
(a) kizunguzungu na Kuhisi kichwa chepesi
(b) uchovu
(C) Kupumua kwa shida
(d)kujisaidia kinyesi chenye rangi ya kahawia au cheusi
(e) kutapika damu
Kuvujia kwa damu ndani kunaweza kupelekea *anaemia* *na upungufu wa damu* ambao unaweza kupelekea mgonjwa kuhitaji kuongezewa damu.

2): *Matundu katika ukuta wa tumbo* .

3): *Kansa ya tumbo (gastric cancer).*

4): *Kuziba kwa njia za chakula hali inayopelekea kushiba haraka, kutapika na kupungua uzito.

*MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO.*

Matibabu ya vidonda vya tumbo yamegawanyika katika njia mbili,

(a) kwa njia ya kisasa
(b) kwa njia ya asili

*(a) MATIBABU KWA NJIA YA KISASA*.

matibabu kwa njia ya kisasa ni matibabu ambayo hutolewa hospitalini huusisha dawa aina zifuatatazo

*Antibiotics*
- ni dawa ambazo zinauwezo wa kuua Helicobacter pylori mfano amoxicillin (Amoxil), clarithromycin (Biaxin), metronidazole (Flagyl), tinidazole (Tindamax), tetracycline na levofloxacin.

*Proton pump inhibitors PPI* - ni dawa ambazo hupunguza uzalishaji wa acid tumboni na hivyo kuleta nafuu kwa mgonjwa mfano wa PPIs ni Omeprazole, pantoprazole na lansoprazole.

*H-2 blockers* - ni dawa ambazo hupunguza uzalishaji wa acid tumboni kwa kuzuia uzalishaji wa histamine hivyo kuleta nafuu kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo mfano wa H-2 blockers nifamotidine (Pepcid AC), cimetidine (Tagamet HB) na nizatidine (Axid AR).

*Antacids* - ni dawa ambazo hubatilisha acids ambayo huzalishwa tumboni hivyo huleta nafuu ya haraka kwa mgonjwa.matibabu mengine ni matibabu ambayo mgonjwa hupewa dawa ambazo zinaulinda ukuta wa tumbo kwa kutengeneza tabaka ambalo linazuia acid kugusa ukuta wa tumbo N.k.

(b) *MATIBABU KWA NJIA YA ASILI*

Matibabu kwa njia ya asili ni matibabu ambayo yanahusisha utumiaji wa dawa zilitengengenezwa kwa mimea. Zipo dawa nyingi za asili zinazotibu vidonda vya tumbo miongoni mwa dawa hizo ni *PUD powder* .

*MAZINGATIO WAKATI WA MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO.*

*_EPUKA VICHOCHEZI VYA VIDONDA VYA TUMBO._*

Mfano wa vichochezi na visababishi;

1: Utumiaji wa vyakula ambavyo vinazalisha acid mfano matunda jamii ya machungwa, limao, ndimu, nyanya n.k.

2: Utumiaji wa vyakula ambavyo vimepikwa kwa viungo vingi.

3: Unywaji wa pombe.

4: Uvutaji wa sigara.

5: Matumizi ya mara kwa mara ya dawa za kutuliza Maumivu mfano panadol, vivian, ibufen na kadhalika.

6: utumiaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na vyakula vilivyopikwa kwa mafuta mengi mfano chips.

7: utumiaji wa vyakula vilivyotiwa chumvi nyingi.

8: Msongo wa mawazo.

9: Kahawa na bidhaa zote zinazotokana na kahawa.

10: Carbonated drinks mfano soda, energy drinks.

11: Pilipili.

12: Nyama zilizosindikwa (processed meat).

13: Chocolate

14: vitunguu saumu na vitunguu maji

15 : Chai ilotengenezwa kwa majani ya chai ya chai bora na mfano wake.

16: vyakula vinavyozalisha gesi nyingi mfano maharage.

17: Maziwa.

_*ULAJI WA VYAKULA AMBAVYO HUSAIDIA KATIKA MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO.*_
Mfano

1: Mboga za majani mfano tembele, mchicha, bamia, nyanya chungu, kabeji (cabbage), chinese, spinach, broccoli, cauliflower, majani ya maboga, beetroots carrots n.k.

2: Matunda mfano parachichi, matikiti, ndizi, tango, na papai.

3: vyakula vyenye kamba kamba (fibrous foods) mfano mboga mboga na matunda.

4: juice ya cabbage au supu ya cabbage.

5: probiotic foods mfano cabbage na aloe vera juice.

7: Chai itengenezwe kwa mdalasini, hiriki, mchaichai, karafuu.

8: Nyama nyeupe (lean meats) mfano nyama ya kuku, sungura na bata.

_*DAWA SAHIHI*_

Dawa sahihi kwa matibabu ya Vidonda vya tumbo ni dawa ambayo ina sifa zifuatazo,

1: Iwe inauwezo wa kutibu vidonda vya ndani.

2: Iwe inauwezo wa kuua Helicobacter pylori.

3: Iwe inauwezo wa kurekebisha uzalishaji wa acid tumboni.

4: Iwe na uwezo wa kurekebisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.

5: Isiache athari hasi baada Matumizi.

6: Iwe na uwezo wa kuondoa gesi tumboni.

7: Iwe na uwezo wa kulainisha choo.

8: iwe na uwezo wa kurudisha uwezo wa kuta tumbo kuzalisha mak**asi.

FANYA MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO NA KUZIDI KWA ACID TUMBONI KWA HARAKA KABLA MADHARA MAKUBWA HAYAJAKUPATA

MAYOX HERBAL MEDICINE

MAWASILIANO

0744 821 891.

DAR ES SALAAM, ILALA.

*DALILI ZA KUZIDI KWA ACID TUMBONI ACID REFLU/GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE/ACID REFLUX.* 1: kubeua/kucheua (regurgita...
19/02/2025

*DALILI ZA KUZIDI KWA ACID TUMBONI ACID REFLU/GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE/ACID REFLUX.*

1: kubeua/kucheua (regurgitation/food backwash).

2: Maumivu ya kuwaka moto sehemu ya kati ya kifua yanayosambaa mpaka katika mabega hasa la kushoto.

3: kiungulia (heartburn)

4: tumbo kujaa gesi (bloating).

5: Mapigo ya moyo kwenda mbio.

6: wasiwasi usioisha.

7: kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni na ukijaribu kukitoa hakitoki.

8: kuwasha kwa koo la chakula (esophagus) na kuvimba.

9: kukosa pumzi.

10: kikohoo kisichoisha.

11: kupiga chafya.

12: kupata choo kigumu.

13: Harufu mbaya kinywani.

14: kuhisi k**a kuchanganyikiwa.

15: Maumivu ya mgongo.

16: Maumivu ya kichwa.

*SABABU ZINAZOWEZA KUPELEKEA MTU KUPATWA GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE* .

*a* ) Matumizi ya vyakula vilivyo na acid mfano machungwa, malimao, nyanya na ndimu.

*b* ) Matumizi ya vyakula vilivyo na pilipili nyingi.

*c* ) Matumizi ya vyakula ambavyo vimepikwa kwa viungo vingi mfano pilau.

*d* ) Matumizi ya dawa za kutuliza maumivu Non-steroidal anti-inflammatory drugs mara kwa mara.

*e* ) Msongo wa mawazo.

*f* ) Matumizi ya vinywaji vikali kupita kiasi k**a vile pombe.

*g* ) Uvutaji wa sigara.

*h* ) Ngiri (hietus hernia).

*i* ) Mimba.

*J* ) Kuongezeka kwa baadhi ya hormone ndani ya mwili mfano progesterone na oestrogen.

*K* ) Uzito kupita kiasi.

*l* ) Vidonda vya tumbo.

*m* )Maambukizi ya H. pylori bacteria tumboni.

MADHARA YA GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE (KUZIDI KWA ACID TUMBONI)

1: Uvimbe kooni ( esophagitis)

2: Vidonda kooni (esophageal ulcers)

3: Barrett's esophagus ni hali ambayo ukuta wa pinki wa koo la chakula ( rangi ya ngozi) hubadilika na kuwa na rangi nyekundu na kuongezeka unene au
Ni hali ambayo seli za ukuta wa koo la chakula huanza kupatwa na hali tangulizi ya kansa , seli hizi za ukuta wa koo la chakula huonekana sawa na seli zilizoathiriwa na kansa isipokuwa hukosa baadhi ya sifa za seli zilizoathiriwa na kansa k**a kuvunjika au kujigawa kupitia membrane ya organi zinapotokea na kusambaa katika organ zingine

3: kupungua kwa kipenyo cha koo la chakula (esophageal stricture)

4: Maumivu wakati wa kumeza chakula kwa sababu ya Vidonda na Uvimbe

5: Fangasi mdomoni

6: Meno kuoza

7: Sauti kukwaruza

8: maumivu ya kifua, mgongo na mwili mzima

9: Macho kukosa uwezo wa kuona vizuri

10: Kutoa harufu mbaya kinywani

11: Mwili kukosa nguvu

12: Homa

13: Kupatwa na choo kigumu (constipation)

14: Kupungua kwa nguvu za kiume.

FANYA MATIBABU NASI MAYOX HERBAL MEDICINE YA ACID REFLUX KUZIDI KWA ACID TUMBONI NA VIDONDA VYA TUMBO KWA HARAKA NA GHARAMA NAFUU KABISA.

MAWASILIANO
0744 821 891 NA 0784 387 440.

TUNAPATIKANA
DAR ES SALAAM, ILALA NA KIBAHA KONGOWE.

*DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO* .a) Kupatwa na maumivu ya kuwaka moto tumboni huzidi hasa wakati wa kula na usiku wakati k...
23/01/2025

*DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO* .

a) Kupatwa na maumivu ya kuwaka moto tumboni huzidi hasa wakati wa kula na usiku wakati kulala.

b) Kiungulia (heartburn).

c) Tumbo kujaa ges.

d) kuvimbiwa.

e) Kujisaidia haja kubwa yenye rangi ya kahawia au nyeusi na harufu mbaya sana na pia yaweza changanyikana na damu.

F)Kupungua uzito.

g) Kupoteza hamu ya kula.

h) Maumivu ya mgongo na kifua.

I) Chembe moyo.

J) Kupata choo kigumu.

K) Kichefuchefu na kutapika matapishi yenye rangi nyekundu au kahawia na pengine kutapika damu.

m) Kupumua kwa shida.

n) Kupungukiwa na damu
Mapigo ya moyo kwenda mbio.

O) Kuhisi kizunguzungu au kuzimia kabisa.

*MADHARA YA KUKAA NA VIDONDA VYA TUMBO KWA MUDA MREFU BILA KUFANYA MATIBABU* .

1): *Kuvujia kwa damu ndani* *kwa ndani* hali hii anaweza kuijua mgonjwa kwa dalili zifuatazo
(a) kizunguzungu na Kuhisi kichwa chepesi
(b) uchovu
(C) Kupumua kwa shida
(d)kujisaidia kinyesi chenye rangi ya kahawia au cheusi
(e) kutapika damu
Kuvujia kwa damu ndani kunaweza kupelekea *anaemia* *na upungufu wa damu* ambao unaweza kupelekea mgonjwa uhitaji wa kuongezewa damu.

2): Vidonda vya tumbo vinaweza kupelekea *Matundu katika kuta za tumbo* .

3): *Kansa ya tumbo (gastric cancer).*

4): *Kuziba kwa njia za chakula hali inayopelekea kushiba haraka, kutapika na kupungua uzito.

*MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO.*

*MAZINGATIO WAKATI WA MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO.*

*_EPUKA VICHOCHEZI VYA VIDONDA VYA TUMBO._*

Mfano wa vichochezi na visababishi;

1: Utumiaji wa vyakula ambavyo vinazalisha acid mfano matunda jamii ya machungwa, limao, ndimu, nyanya n.k.

2: Utumiaji wa vyakula ambavyo vimepikwa kwa viungo vingi.

3: Unywaji wa pombe.

4: Uvutaji wa sigara.

5: Matumizi ya mara kwa mara ya dawa za kutuliza Maumivu mfano panadol, vivian, ibufen na kadhalika.

6: utumiaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na vyakula vilivyopikwa kwa mafuta mengi mfano chips.

7: utumiaji wa vyakula vilivyotiwa chumvi nyingi.

8: Msongo wa mawazo.

9: Kahawa na bidhaa zote zinazotokana na kahawa.

10: Carbonated drinks mfano soda, energy drinks.

11: Pilipili.

12: Nyama zilizosindikwa (processed meat).

13: Chocolate

14: vitunguu saumu na vitunguu maji

15 : Chai ilotengenezwa kwa majani ya chai yani chai bora na mfano wake.

16: vyakula vinavyozalisha gesi nyingi mfano maharage.

17: Maziwa.

_*ULAJI WA VYAKULA AMBAVYO HUSAIDIA KATIKA MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO.*_
Mfano

1: Mboga za majani mfano tembele, mchicha, bamia, nyanya chungu, kabeji (cabbage), chinese, spinach, broccoli, cauliflower, majani ya maboga, beetroots carrots n.k.

2: Matunda mfano parachichi, matikiti, ndizi, tango, na papai.

3: vyakula vyenye kamba kamba (fibrous foods) mfano mboga mboga na matunda.

4: juice ya cabbage au supu ya cabbage.

5: probiotic foods ni vyakula ambavyo vinauwezo wa kuua bacteria mfano wake ni cabbage na aloe vera juice.

7: Chai ya mgonjwa wa vidonda vya tumbo itengenezwe kwa mdalasini, hiriki, mchaichai, karafuu.

8: Nyama nyeupe (lean meats) mfano nyama ya kuku, sungura na bata.

_*DAWA SAHIHI*_

Matibabu ya vidonda vya tumbo yamegawanyika katika njia mbili,

(a) kwa njia ya kisasa
(b) kwa njia ya asili

*(a) MATIBABU KWA NJIA YA KISASA*.

matibabu kwa njia ya kisasa ni matibabu ambayo hutolewa hospitalini huusisha dawa aina zifuatatazo

*Antibiotics*
- ni dawa ambazo zinauwezo wa kuua Helicobacter pylori mfano amoxicillin (Amoxil), clarithromycin (Biaxin), metronidazole (Flagyl), tinidazole (Tindamax), tetracycline na levofloxacin.

*Proton pump inhibitors PPI* - ni dawa ambazo hupunguza uzalishaji wa acid tumboni na hivyo kuleta nafuu kwa mgonjwa mfano wa PPIs ni Omeprazole, pantoprazole na lansoprazole.

*H-2 blockers* - ni dawa ambazo hupunguza uzalishaji wa acid tumboni kwa kuzuia uzalishaji wa histamine hivyo kuleta nafuu kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo mfano wa H-2 blockers nifamotidine (Pepcid AC), cimetidine (Tagamet HB) na nizatidine (Axid AR).

*Antacids* - ni dawa ambazo hubatilisha acids ambayo huzalishwa tumboni hivyo huleta nafuu ya haraka kwa mgonjwa.matibabu mengine ni matibabu ambayo mgonjwa hupewa dawa ambazo zinaulinda ukuta wa tumbo kwa kutengeneza tabaka ambalo linazuia acid kugusa ukuta wa tumbo N.k.

(b) *MATIBABU KWA NJIA YA ASILI*

Matibabu kwa njia ya asili ni matibabu ambayo yanahusisha utumiaji wa dawa zilitengengenezwa kwa mimea tiba. Zipo dawa nyingi za asili zinazotibu vidonda vya tumbo miongoni mwa dawa hizo ni *PUD powder* .

FAIDA ZA KUTUMIA PUD POWDER.

PUD POWDER.

Ni dawa ya asili iliyotengenezwa kwa mchanganyiko wa mimea tiba.

PUD powder ni dawa ambayo inauwezo wa kutibu na kuponyesha vidonda vya ndani.

PUD powder ni dawa ambayo inauwezo wa kuua helicopter pylori ( ni aina ya bacteria ambao husababisha vidonda vya tumbo).

Kadhalika ni dawa ambayo inauwezo wa kurekebisha na kudhibiti uzalishaji wa hydrochloric acid tumboni ( ni acid ambayo huzalishwa na ukuta wa tumbo kwa ajili ya kuua vidudu k**a vile bacteria n.k).

Pia ni dawa ambayo inarudisha uwezo wa ukuta wa tumbo wa kuzalisha mak**asi (mucus) kwa wingi . Mak**asi (mucus) huizuia hydrochloric acid ambayo huzalishwa tumboni kukutana au kugusana na ukuta wa tumbo.

Kadhalika PUD powder ni dawa ambayo inauwezo wa kutibu tatizo la kuzidi kwa acid tumboni Gastroesophageal reflux disease GERD acid reflux.

PUD powder ni dawa ambayo haina madhara kwa mtumiaji wake ni salama kabisa.

WASILIANA NASI MAYOX HERBAL MEDICINE KUPITIA NAMBA

0744821891 na 0784387440.

KWA MSAADA WA HARAKA NA MAELEZO ZAIDI YA KITAALAMU.

TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM, ILALA NA KIBAHA, KONGOWE.

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 20:45
Tuesday 08:00 - 20:45
Wednesday 08:00 - 20:45
Thursday 08:00 - 20:45
Friday 08:00 - 20:45
Saturday 08:00 - 20:45
Sunday 08:00 - 20:45

Telephone

+255744821891

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mayox Herbal medicine posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mayox Herbal medicine:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram