11/09/2023
PID huchangia kwa kiasi kikubwa wanawake wasibebe ujauzito. .
Sababu kubwa ni kwamba hizi infection hazihishii Tu kwenye vaginal husambaa maeneo mengi muhimu ya uzazi kuanzia mlango Wa mfuko Wa uzazi ,mfuko Wa uzazi ,mirija na kwenye o***y.. .
Hufika kwenye mfuko Wa uzazi hapa huweza kusababisha endometriosis, vile vile huweza kusababisha fibroid yaan ni hatari
Hufika kwenye mirija hapa husababisha mirija kuziba au kujaa maji au kuleta makovu kwenye mirija ambayo husababisha mirija kuziba pia...
Pia wanawez fika kwenye o***y hapa wanaweza sababisha PCOS ...
Haya maeneo yote ni sehem ambazo Hormone zinafanya kazi zake ikiwemo kwenye o***y zinapotengenezwa pia !! Kwa matatizo haya lazima mtu apate tatizo la hormone imbalances. .
Ndo hapa mimba kuingia inakuwa shughuri mnoo.
📱📲0769 0769 589 040